Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la wananchi Tanzania,Magereza na uhamiaji wilaya ya Karagwe mkoani Kagera linawashikilia watuhumiwa wa madawa ya kulevya 16 wakiwemo watendaji wa serikali za vijiji wanaojihusisha na biashara haramu katika mpaka wa Tanzania na nchi ya Rwanda kinyume cha sheria za nchi.
Baada
ya kuwa na tetesi za kuachana kwa Hip Hop Couple ya Nicki Minaj na Meek
Mill, Jan 5 2017, hatimae tumepata kauli ya mwisho kutoka kwa Nicki
Minaj kuhusu tetesi hizo.
Mbali
na kauli hiyo pia zilishaibuka tetesi Nov 21 mwaka Jana (2016) kuwa
Nicki Minaj amempata mwanaume wa kumrithi Meek Mill baada ya kumpiga
chini. Mwanaume huyo