Wednesday 8 February 2017

KUMBE UWOYA ANAPENDA WANAUME WENYE SURA MBAYA

STAR wa Bongo Movie mwenye mvuto wa pekee na mshiriki wa shindano la Ijumaa la Figa Bomba, Irene Uwoya, amefunguka kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa havutiwi na wanaume wenye muonekano mzuri na hujui ni kwa nini
Aidha staa huyo amewahi kuripotiwa na vyombo vya habari kuwa anavutiwa sana na wasanii wa Bongo
Fleva hasa wale wadogo kama Msami Baby.
“Kitu ambacho hamkijui kuhusu mimi ni kuwa SIJAWAHI kuvutiwa na wanaume wenye mionekano mizuri, sielewi ni kwa nini lakini wanaume wenye sura mbaya huwa wanaamsha hisia zangu za KIMAPENZI…’ aliandika Irene

No comments:

Post a Comment

advertise here