Tuesday 7 February 2017

SIRRO: TUNAMSHIKILIA LISSU KWA MAHOJIANO

YOUTUBE
Kamishna wa kanda maalumu ya Dar es salaam Kamanda Simon Sirrio amethibitisha kuwa wanamshikiria mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu,
Aidha kamanda Sirro amesemakuwa wanamshikiria Lissu kwa kwa mahojiano juu ya matamshi yake aliyoyatia dhidi ya rais Joh Magufuli
Kamanda Sirro amesema kuwa Lissu anashikiriwa na polisi tangu jana jioni alipokamatwa mara baada ya
kutoka kwenye vikao vya bunge na amehamishiwa jijini Dar es salaam kwa mahojiano zaidi
SWAXBZ ONLINE SHOW INAKUJA HIVI KARIBUNI USIACHE KUJOIN NA KUSUBSCRIBE YOUTUBE

No comments:

Post a Comment

advertise here