Saturday, 29 August 2015
Friday, 28 August 2015
MAN U YAKAMILISHA USAJILI WA KEVIN
LAYIIII
Kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani Klaus Allofs amethibitisha kwa mshambuliaji wa zamani wa Chelsea kurudi katika Ligi Kuu Uingereza. Klaus Allofs amethibitisha kuwa klabu ya Wolfsburg imeridhia kumuachia Kevin De Bruyne ajiunge na klabu ya Manchester City.
Kevin De Bruyne atakuwa anarejea katika Ligi Kuu Uingereza ikiwa ni miezi 18 imepita
KUTOKA UTURUKI WALIKOWEKA KAMBI TAIFA STAR HII NDIYO REPORT
LAYIII
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars bado ipo nchini Uturuki inaendelea na kambi yake ya siku nane kujiandaa kabla kucheza mechi dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ya kuwania kufuzu AFCON 2017, mchezo utakaopigwa Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars bado ipo nchini Uturuki inaendelea na kambi yake ya siku nane kujiandaa kabla kucheza mechi dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ya kuwania kufuzu AFCON 2017, mchezo utakaopigwa Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
August 27 kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ametoa ripoti kuhusu maendeleo ya kambi hiyo sambamba na hali za wachezaji, Mkwasa amethibitisha wachezaji kuwa katika hali nzuri
Thursday, 27 August 2015
MESSI ATANGAZWA MCHEZAJI BORA ULAYA KWA MWAKA 2014/2015
LAYIII
Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.
MUGABE APATA WAKATI MGUMU BAADA YA KUZOMEWA NA WABUNGE WA CHAMA PINZANI
LAYIII

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi
Wabunge wa upinzani Zimbabwe hawakumuacha Rais MUGABE hivi hivi…
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi
HII NDIYO KAULI YA ARSENE WENGER KUHUSU USAJIRI KLABU YA ARSENAL
LAYIII
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye
amekuwa akiwakwaza mashabiki wa klabu hiyo kwa tabia yake ya kutopenda
kutoa fedha nyingi ili apate mchezaji wa kiwango cha juu, Wenger ni kocha ambaye amekuwa na misimamo ya kutopenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu.
Hii ni taarifa kutoka kwake kwani baada
kutokubali kukiri wazi kuwa ana mpango wa kufanya usajili msimu huu,
August 27 imebidi aweke wazi kama sehemu ya kuwatuliza jazba mashabiki
wa timu ambao walikuwa wakiamini kuwa huenda kocha huyo hana mpango wa
kusajili tena msimu huu.
Wednesday, 26 August 2015
HATIMAYE DENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015
LAYIII

Mshindi wa TMT msimu wa pili, Dennis Laswai akiruka kwa furaha mara baada ya kutajwa kuwa mshindi.
Tuesday, 25 August 2015
Monday, 24 August 2015
ONGEZEKO LA UZITO LIMEMFANYA ZIDANE AMWONDOE HUYU JAMAA KIKOSINI
LAYIII
Real Madrid Castilla ni timu ya pili au ya wachezaji wa akiba wa klabu ya Real Madrid ya Hispania lakini ni sehemu ya Academy ya klabu ya Real Madrid na hushiriki katika Ligi ya Segunda Division B. Meneja wa Real Madrid Castilla ni mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye amewahi kuitumikia klabu ya Real Madrid Zinedine Zidane.
Timu hiyo ya wachezaji wa akiba kupitia kwa meneja wake Zinedine Zidane
Friday, 21 August 2015
Wednesday, 19 August 2015
MISS TANZANIA YASAMEHEWA RASMI
LAYIII

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka
December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka
NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA MECHI YA Man United Vs Club Brugge (Picha&video)
LAYIII
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi
Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya
kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la
klabu bingwa barani Ulaya, michezo iliochezwa ni pamoja na mchezo
ambao umewakutanisha Manchester United dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya Club Brugge nchini Ubelgiji katika uwanja wa Jan Breydel wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 29,472, mchezo umemalizika kwa klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-1 magoli ya
Tuesday, 18 August 2015
KWA KILECHA SINTOFAHAU LULU AJIACHIA NA DIAMOND USIKU WA MANANE
LAYIII
Mwandishi Wetu
UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ëLuluà anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ëDiamond PlatnumzÃ, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ëLuluà anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ëDiamond PlatnumzÃ, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
MATOKEO YA Liverpool vs AFC Bournemouth (picha&video) NIMEKUWEKEA HAPA
LAYIII
Klabu ya Liverpool imeshuka dimbani August 17 kukipiga na klabu ya AFC Bournemouth iliyopanda Ligi Kuu Uingereza msimu huu, huu ukiwa ni mchezo wa pili kwa kila timu, Liverpool imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuanza kuona matunda ya usajili wa mchezaji Christian Benteke iliomsajili msimu huu kutokea klabu ya Aston Villa.
Kwa upande wa AFC Bournemouth hii sio historia nzuri kwani imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika Ligi Kuu Uingereza msimu huu, goli pekee la Christian Benteke dakika ya
Monday, 17 August 2015
SABABU ZA JERRY MURO KUSHINDWA KATIKA KURA ZA MAONI
LAYIII
ina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu kumtambua, Jerry ambaye kwa sasa ni mkuu wa idara ya habari ya klabu ya Dar Es Salaam Young African.
ina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu kumtambua, Jerry ambaye kwa sasa ni mkuu wa idara ya habari ya klabu ya Dar Es Salaam Young African.
Mwaka 2015 aliamua kuingia rasmi katika siasa kwa kuanza harakati za kutaka kulirudisha jimbo la Kawe kwa chama tawala, Jerry alikuwa ni miongoni mwa makada 21 wa CCM waliojitokeza kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia kwa chama cha mapinduzi (CCM).
Kwa bahati mbaya kura hazikutosha kumuwezesha Jerry Muro kupata ridhaa hiyo ya kupata nafasi ya kugombea ubunge wa Kawe
kupitia chama cha mapinduzi, ila ameeleza saba
JOKATE KIMENUKA NI BAADA YA KUMTAMBULISHA ALIKIBA KWAO
LAYIII

Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv
Sunday, 16 August 2015
SIMU YENYE KAVA YA BASTOLA YAWATIA POLICE KIWEWE
LAYIII

Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..
Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..
HILI NDILO GARI LA KWANZA KABISA AMBALO ALIWAHI KUMILIKI WYNE ROONY WA MAN U
LAYIII
Katika maisha kila mtu ana dream yake
lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse,
mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu
anapohitaji kutumia matunda yake aliyochuma kutoka sehemu mbalimbali
hususani katika kazi yake.
Hakuna askari polisi, Doctor,
mwanasheria au nurse asiyekuwa na ndoto y
TAARIFA YA KUSTUA MWILI WA MICHAEL JACKSON WAONEKANA LOS ANGELS
LAYIIII
Since you are here – it means that
you too also question the ‘death’ of Michael Jackson. The truth is that
it was indeed staged, and Michael is STILL ALIVE.
Michael is STILL ALIVE – He STAGED his ‘DEATH’ – Its a HOAX!
July 12, 2009 in Michael Jackson Death is a Hoax - Fake Death - Still Alive | Tags: alive, conspiracy, fake death, hoax, Michael Jackson, MJ hoax, Not dead, staged death, still alive | 256 comments
Subscribe to:
Posts (Atom)