Friday, 28 August 2015

MAN U YAKAMILISHA USAJILI WA KEVIN

LAYIIII
Kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani Klaus Allofs amethibitisha kwa mshambuliaji wa zamani wa Chelsea kurudi katika Ligi Kuu Uingereza. Klaus Allofs amethibitisha kuwa klabu ya Wolfsburg imeridhia kumuachia Kevin De Bruyne ajiunge na klabu ya Manchester City.
De-Bruyne-main
De Bruyne akipiga picha na mashabiki wakati akiwa njiani kuelekea Manchester usiku wa August 28
Kevin De Bruyne atakuwa anarejea katika Ligi Kuu Uingereza ikiwa ni miezi 18 imepita

BZMORNING TANZANIA HAYA NDO MAGAZETI YA LEO 29/08/2015

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 28,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,

MBUNGE (WEMA SEPETU) ALIYESHINDWA AKALIBIWA NA KIPINDUPINDU

LAYIII
Brighton Masalu
Taarifa za ugonjwa wa kipindupindu zimebadili mfumo wa maisha ya watu wengi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha maeneo wanayoishi ni masafi lakini nyumbani kwa msanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Kijitonyama jijini Dar hali ni tofauti

NAVY KENZO WAZIDI KUCHANA ANGA

layiii


Kundi linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo.
Boniphace Ngumije
KUNDI linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo, linaloundwa na wasanii ‘couple’, Aika na Nahreal limezidi kuchana anga baada ya wimbo wao unaoitwa Game

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 28/08/2015

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 28,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,

Magazeti 18 ya Tanzania August 28 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews( na millardayo.com)

layiii
trending-news
Uchambuzi wa magazeti kupitia @CloudsFM umefanyika tayari, ninazo zile zote zinazoweka headlines kwenye magazeti leo 28 August 2015 baadhi zikiwa…

KUTOKA UTURUKI WALIKOWEKA KAMBI TAIFA STAR HII NDIYO REPORT

LAYIII
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars bado ipo nchini Uturuki inaendelea na kambi yake ya siku nane kujiandaa kabla kucheza mechi dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ya kuwania kufuzu AFCON 2017, mchezo utakaopigwa Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
ball
August 27 kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ametoa ripoti kuhusu maendeleo ya kambi hiyo sambamba na hali za wachezaji, Mkwasa amethibitisha wachezaji kuwa katika hali nzuri

Thursday, 27 August 2015

Aunt Ezekiel, Wolper, Shamsa Ford walivyojitokeza kwenye mkutano wa ukawa August 27(POST YOTE NI KWA MUJIBU WA MILLARDAYO.COM)

LAYIII
Screen Shot 2015-08-27 at 8.43.21 PM
.
2015 ni mwaka wa headlines za Uchaguzi ambapo leo Agosti 27 Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) walifanya mazungumzo na mgombea Urais kupitia UKAWA, Mhe. Edward

MESSI ATANGAZWA MCHEZAJI BORA ULAYA KWA MWAKA 2014/2015

LAYIII
Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
messiwin
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.

KAMPENI YA KINGWENDU YANIVUNJA MBAVU

LAYIII

Ona video yake hapo chini

MUGABE APATA WAKATI MGUMU BAADA YA KUZOMEWA NA WABUNGE WA CHAMA PINZANI

LAYIII

Wabunge wa upinzani Zimbabwe hawakumuacha Rais MUGABE hivi hivi…


mugabee
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea  wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi

HII NDIYO KAULI YA ARSENE WENGER KUHUSU USAJIRI KLABU YA ARSENAL

LAYIII
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye amekuwa akiwakwaza mashabiki wa klabu hiyo kwa tabia yake ya kutopenda kutoa fedha nyingi ili apate mchezaji wa kiwango cha juu, Wenger ni kocha ambaye amekuwa na misimamo ya kutopenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu.
Arsene Wenger
Hii ni taarifa kutoka kwake kwani baada kutokubali kukiri wazi kuwa ana mpango wa kufanya usajili msimu huu, August 27 imebidi aweke wazi kama sehemu ya kuwatuliza jazba mashabiki wa timu ambao walikuwa wakiamini kuwa huenda kocha huyo hana mpango wa kusajili tena msimu huu.

Wednesday, 26 August 2015

MAGUFULI AZIDI KUGALAGAZA MIKOANI HUKO

LAYIII

.
.
Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea

HATIMAYE DENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015

LAYIII

Mshindi wa TMT msimu wa pili, Dennis Laswai akiruka kwa furaha mara baada ya kutajwa kuwa mshindi.

MAJIBU YA DIAMOND KWA DIVA BALAAA ETI LABDA NINGEKUWA NIMEKUKAZA HEHEHEHEH

LAYIII

DIAMOND AMCHANA DIVA BAADA YA KUMTUPIA VIJEMBE!! ADAI LABDA ANGEMKAZA ASINGEMWONGELEA

HAWAKAI ZIZI MOJA, WANAKULA NYASI ZILEZILE!

LAYIII
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Unapowazungumzia mastaa waliojizolea mashabiki wengi Bongo kupitia muziki wa Kizazi Kipya, huwezi kuacha kuwataja Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wasanii hao,

POLISI YAZUIA ZIARA ZA LOWASSA ZISIZO RASMI

LAYIII
.
.
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku wagombea wa vyama vya siasa kufanya vitendo vinavyo hatarisha usalama wa raia na mali zao kwa kufanya mikusanyiko isiyo rasmi kwenye masoko na vituo vya daladala.

Tuesday, 25 August 2015

NIMEKUSOGEZEA VIDEO ZOTE ZA LOWASSA AKITEMBEA KWA MIGUU MITAANI JIJINI DAR ES SALAAM

LAYIII
EL 1Mgombea Urais wa UKAWA 2015 Edward Lowassa alianza ziara ya kuingia mitaani Dar es salaam Aug 24 2015 ili kukutana na Wananchi uso kwa uso na kusikiliza matatizo yao.

Monday, 24 August 2015

Vipengele 25 vya MAGUFULI, Kadi feki za wapigakura, Maneno ya MKAPA, SUMAYE na wasomi je?..#StoriKUBWA {CONTENT ZOTE NA MILLARDAYO}

LAYIII

CLIK
HABARILEO
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeweka historia na kujenga heshima ya taifa kwa kuweza kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mfumo wa BVR kwa mafanikio makubwa na kuyashangaza mataifa makubwa duniani.

ONGEZEKO LA UZITO LIMEMFANYA ZIDANE AMWONDOE HUYU JAMAA KIKOSINI

LAYIII
Real Madrid Castilla ni timu ya pili au ya wachezaji wa akiba wa klabu ya Real Madrid ya Hispania lakini ni sehemu ya Academy ya klabu ya Real Madrid na hushiriki katika Ligi ya Segunda Division B. Meneja wa Real Madrid Castilla ni mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye amewahi kuitumikia klabu ya Real Madrid Zinedine Zidane.
eero-main
Zidane kushoto, upande wa kulia Markkanen
Timu hiyo ya wachezaji wa akiba kupitia kwa meneja wake Zinedine Zidane

EEE BWANA EEEE CHEKI HII JEURI YA FEDHA YA HUYU JAMAA

LAYIII

Jeuri nyingine ya fedha kwa bondia Floyd Mayweather na hili gari lake jipya..


may
Bondia wa kimataifa Floyd Mayweather  haishiwi Headlines, mara nyingi Stori zake nyingi zinahusiana na utajiri alionao.

Friday, 21 August 2015

DIAMOND PLATNUMZ NA STAR MKUBWA MAREKANI KUJA NA BONGE LA SONG WAKO STUDIO NOW

LAYIII

.
.
Tanzania inaendelea kujichukulia headline baada headlines tuliona Coke Studio Africa iliwakutanisha Ali Kiba na staa wa Marekani Ne-YO Nairobi kwenye kuandaa single mpya.

MGOMBEA URAIS TLP ARUDISHA FORM

LAYIII

.
.
Ni mwaka 2015 na headlines zake za uchaguzi mkuu Tanzania ambapo leo baadhi ya wagombea Urais wamefika kwenye ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi Dar es salaam

Collabo ya Ice Prince na Ali Kiba, mafanikio ya Jua Kali, Ali Kiba na alichokipata kwa Neyo..255 (Audio) NA MILLARDAYO

LAYIII

neyo

255 leo inatokea Kenya..Kulikua na tukio la uzinduzi wa Coke studio msimu wa tatu.. mastaa mbalimbali wa Afrika walikuwepo, leo Ice Prince amezungumza na kusema amefurahi sana

VANESSA , NEVY KENZO NEW HIT MTU WANGU

LAYIII


MAGUFULI ARUDISHA FORM OFFICE ZA NEC

LAYIII
.
.
Baada ya Lowassa kurejesha fomu ya kugombea Urais 2015 katika ofisi za NEC,  sasa ni time ya mgombea kutoka kwenye Chama cha Mapinduzi (CCM) , Dkt John Pombe Magufuli akiwa na

Wednesday, 19 August 2015

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA KAULI YA ZARI .............HAKUNA CHA DNA HAPA

layiii

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 20,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines

MANENO YA DIAMOND KUHUSU SMS ALIZO MTUMIA WEMA

LAYIII
Diamond AyoTVIlikua August 17 2015 Dar es salaam kwenye birthday party ya Rommy Jones ambaye ni ndugu wa mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz vilevile ndio official Dj wake ambapo vilevile AyoTV

MISS TANZANIA YASAMEHEWA RASMI

LAYIII

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA MECHI YA Man United Vs Club Brugge (Picha&video)

LAYIII
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya, michezo iliochezwa ni pamoja na mchezo ambao umewakutanisha Manchester United dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
1363998392555
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya Club Brugge nchini Ubelgiji katika uwanja wa Jan Breydel wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 29,472, mchezo umemalizika kwa klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-1 magoli ya

KIPINDU PINDU CHATISHIA DAR

LAYIII

10
HABARILEO
Mbunge wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa

Tuesday, 18 August 2015

KWA KILECHA SINTOFAHAU LULU AJIACHIA NA DIAMOND USIKU WA MANANE

LAYIII

Mwandishi Wetu
UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ëLuluí anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ëDiamond Platnumzí, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

KAKOSA KAZI YA URUBANI NA KUISHIA JELA

LAYIII
baltic
Usafiri wa anga japo kumekuwa na Ripoti mfululizo kuhusu ajali za ndege lakini bado, usafiri wa anga unaendelea kuwa usafiri salama zaidi Duniani.

KICHUPA HIKI CHA TYGA NI OFFER TOSHA KWA WANAHIP HOP

LAYIII

tyga2
Msanii wa Hip Hop Marekani kutoka kwenye kundi la Cash Money Records Tyga amerudi kuziweka headlines zake kwenye ubao wa burudani.

EBANA EEE NGOMA MPYA YA 50 CENT YAINGIA HEADLINE MAREKANI

LAYIII

9 shots
50 Cent amerudi kuziandika headlines zake kwenye kurasa za burudani, baada ya headlines nyingi za yeye na issue za mali na Mahakama 50 kaamua atupooze kidogo. Siku chache zilizopita 50 Cent aliachia kichupa kipya alichokipa jina 9 Shots.

MATOKEO YA Liverpool vs AFC Bournemouth (picha&video) NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
Klabu ya Liverpool imeshuka dimbani August 17 kukipiga na klabu ya AFC Bournemouth iliyopanda Ligi Kuu Uingereza msimu huu, huu ukiwa ni mchezo wa pili kwa kila timu, Liverpool imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuanza kuona matunda ya usajili wa mchezaji Christian Benteke iliomsajili msimu huu kutokea klabu ya Aston Villa.
Liverpool-vs-Bournemouth-Prediction-and-Preview
Kwa upande wa AFC Bournemouth hii sio historia nzuri kwani imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika Ligi Kuu Uingereza msimu huu, goli pekee la Christian Benteke dakika ya

HUU NDO MWONEKANO WA MABASI YAENDAYO KASI

LAYIII

.
.
Jana nilikusogezea stori kuhusiana na huu mradi wa mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) sasa hapa ni time ya kuona hizi picha za muonekano wa mabasi hayo kwa ndan na nje..

Monday, 17 August 2015

SABABU ZA JERRY MURO KUSHINDWA KATIKA KURA ZA MAONI

LAYIII
ina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu kumtambua, Jerry ambaye kwa sasa ni mkuu wa idara ya habari ya klabu ya Dar Es Salaam Young African.
Mwaka 2015 aliamua kuingia rasmi katika siasa kwa kuanza harakati za kutaka kulirudisha jimbo la Kawe kwa chama tawala, Jerry alikuwa ni miongoni mwa makada 21 wa CCM waliojitokeza kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia kwa chama cha mapinduzi (CCM).
Muro 20150727_001927
Kwa bahati mbaya kura hazikutosha kumuwezesha Jerry Muro kupata ridhaa hiyo ya kupata nafasi ya kugombea ubunge wa Kawe kupitia chama cha mapinduzi, ila ameeleza saba

UKAWA na Zanzibar, Sumaye kumnadi Magufuli, ACT Wazalendo watoswa mgombea Urais + alidai vifaa baada ya kubwagwa kura za maoni!? (Audio)

tues
Magazeti ya August 18 2015 tayari yako mtaani, nimezinasa zile zote kubwa kubwa za leo magazetini @CloudsFM zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…

TIFFAH WA DIAMOND APEWA BENZ LA MIL. 200!

LAYIII
Musa mateja
Kazi ipo mwaka huu! Ndugu wa mzazi mwenzake na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wamempa zawadi mtoto wa mastaa hao, Latiffah Nasibu ‘Princess

NAPE KAMUUMBUA LOWASSA

LAYIII
Erick Evarist
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) Nape Nnauye amemuumbua waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kumwelezea kama mtu

JOKATE KIMENUKA NI BAADA YA KUMTAMBULISHA ALIKIBA KWAO

LAYIII
2alikiba-1
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama iliv

MAPOKEZI YA LOWASSA HUKO ARUSHA NIMEKUSOGEZEA VIDEO YAKE HAPA


LAYIII

DIAMOND AJIBIA KUHUSU DNA KWA MTOTO TIFFA

LAYIII

tifaaa
Kumekuwa na stori ambayo imechukua sana headlines kuanzia mitandaoni mpaka kwenye Magazeti inayomhusu Diamond, Zari na mtoto wao.

Sunday, 16 August 2015

SIMU YENYE KAVA YA BASTOLA YAWATIA POLICE KIWEWE

LAYIII

Ni kawaida ukikutana na warembo siku hizi wamependeza wenyewe, na simu zao wanataka zipendeze vilevile, basi kuna cover za kila aina utawakuta nazo..

BAADA YA DIAMOND KUTUONYESHEA MWANAYE WEMA NAYE ATUPIA KITOTOOOOO NA KUTAMKA HAYA

LAYIII



UKAWA WAUNDA JESHI LAO

LAYIII

BIRTHDAY YA DJ WA DIAMOND ILIKUWA POA SANA MTU WANGU

LAYIII
Screen Shot 2015-08-17 at 4.34.40 AM
Diamond Platnumz na crew yake wakati wa kuingia kwenye party
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni

HILI NDILO GARI LA KWANZA KABISA AMBALO ALIWAHI KUMILIKI WYNE ROONY WA MAN U

LAYIII
Katika maisha kila mtu ana dream yake lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse, mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu anapohitaji kutumia matunda yake aliyochuma kutoka sehemu mbalimbali hususani katika kazi yake.
hi-res-9b3a5f04568f997f91879ed28ca0c436_crop_north
Hakuna askari polisi, Doctor, mwanasheria au nurse asiyekuwa na ndoto y

TAARIFA YA KUSTUA MWILI WA MICHAEL JACKSON WAONEKANA LOS ANGELS

LAYIIII

Micheal Jackson Double At BET Awards - michaeljacksonnotdead.wordpress.com 

Since you are here – it means that you too also question the ‘death’ of Michael Jackson.  The truth is that it was indeed staged, and Michael is STILL ALIVE

EWAAAA FURAHIA MAGOLI YA SIMBA VS URA AUGUST 2015 FULL TIME 2-1


MJUE MGOMBEA URAIS KUPITIA ACT

LAYIII
swaa
MWANANCHI
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.
Tukio hilo, ambalo lilifanyika mbele ya msafara wa Lowassa, lilitokea jana eneo la Daraja la

Saturday, 15 August 2015

TUDDY THOMAS KARUHUSIWA KUTOKA HOSPITAL NI BAADA YA KUPIGWA NA WEZI

LAYIII

2mgflIjumaa usiku wa July 31 ni siku ambayo Producer wa bongofleva wa hits kama mdogomdogo ya Diamond Platnumz, Tudd Thomas alivamiwa na wezi na kumshambulia kisha kumuibia vitu alivyokua navyo usiku huo

Friday, 14 August 2015

BABA AMZALISHA BINTIE MWENYE UMLI WA MIAKA 11

LAYIII
FILE FILE - In this May 14, 2015 file photo, a 13-year-old girl holds her one-month-old baby at a shelter for troubled children in Ciudad del Este, Paraguay. The girl said she was raped by her stepfather from the time she was 10 and became pregnant when she was 12. Another pregnant girl, age 11, whose case drew international scorn when Paraguay's government denied her an abortion, gave birth on Thursday, Aug. 13, 2015. The girl was allegedly raped and impregnated by her stepfather when she was 10. In Paraguay, abortion is banned except when the mother's life is in danger. (AP Photo/Jorge Saenz, File)
Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya yake inapokua hatarini.
Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto baada ya kubakwa na baba yake wa kambo imeingia kwenye headlines.

advertise here