Friday 14 August 2015

BABA AMZALISHA BINTIE MWENYE UMLI WA MIAKA 11

LAYIII
FILE FILE - In this May 14, 2015 file photo, a 13-year-old girl holds her one-month-old baby at a shelter for troubled children in Ciudad del Este, Paraguay. The girl said she was raped by her stepfather from the time she was 10 and became pregnant when she was 12. Another pregnant girl, age 11, whose case drew international scorn when Paraguay's government denied her an abortion, gave birth on Thursday, Aug. 13, 2015. The girl was allegedly raped and impregnated by her stepfather when she was 10. In Paraguay, abortion is banned except when the mother's life is in danger. (AP Photo/Jorge Saenz, File)
Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya yake inapokua hatarini.
Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto baada ya kubakwa na baba yake wa kambo imeingia kwenye headlines.

Binti wa miaka 11 na mtoto wake!, sababu ya ujauzito wake ni hii hapa…


Mwanaseheria wa binti huyo Elizabeth Torales, amesema binti huyo alijifungua salama katika hospitali ya  Red Cross hospital na sasa hali yake pamoja na ya mtoto wake inaendelea vizuri.
Awali mama wa binti huyo aliomba mwanawe aitoe mimba lakini Serikali ya Paraguay ilikataa kutokana na kuwa ni kinyume na maandiko pia haki za binadamu.
Binti huyo alibakwa akiwa na miaka 10 na baba yake wa kambo ambaye ana miaka 42 na sasa kesi yake ipo mahakamani licha ya mwenyewe kukanusha tuhuma hizo.
 

No comments:

Post a Comment

advertise here