Friday 14 August 2015

JOKATE ALIKIBA SIRI NJE TENA SIKIA SAUTI KUTOKA KWA SUDI

LAYIII
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Mengine ya Ali Kiba na Jokate haya hapa kwa Soudy Brown…kuna ndoa? #UHeard (Audio)

jojo
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Ali Kiba amekanusha habari hizo kuwa si za kweli na hajawahi kulizungumzia jambo hilo kama taarifa hizo zinavyodai.
Msikilize mwenyewe Soudy akizungumza na Ali Kiba…

 


No comments:

Post a Comment

advertise here