Sunday, 5 July 2015
SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA LATOA UAMUZI MGUMU DHIDI YA KOCHA WAKE
LAYIII
Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo

Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo
Uamuzi mgumu wa uongozi wa Shirikisho la soka Nigeria kwa kocha wa timu ya Taifa…
Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya
kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia
uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo.
DIAMOND ATOA SALUT KWA AY KATIKA PAGE YAKE YA FACEBOOK SOMA HAPA
LAYIII
LAYIII
NA KATIKA KOMBE LA DUNIA LA WANAWAKE JAPANI KUCHUANA NA MAREKANI
LAYIII
Fainali:Japan kuchuana na Marekani
Mabingwa watetezi Japan watajaribu
kulihifadhi taji lao la kombe la dunia upande wa wanawake wakati ambapo
wanakutana na Marekani kwa kipute cha fainali ya kombe hilo kwa mra ya
pili mfululizo.
KATIKA MASHINDANO YA CCOPA AMERICA CHILE YACHUKUA USHINDI
LAYIII

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
KIMENUKA ZITTO ATAJA WALIOFICHA FEDHA BENK
LAYIII
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.

Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Hata ni maneno aliyoyazunguza:-
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Sentensi nne za Zitto Kabwe akiwataja Watanzania walioficha fedha benki ya Uswis (Pichaz&Audio)
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Hata ni maneno aliyoyazunguza:-
Saturday, 4 July 2015
IKULU YA JK YAVAMIWA NA KITOTO kauli ikulu si ya babako ndo inatumika kwa sana
LAYIII
"IKULU SIO YA BABA'KO"!
Hii ni kauli ambayo inatumika kwenye Project Mpya ya kisiasa inayovuma nchini kwa jina la DJ (Dogo Jembe).
Projekti hii, yenye uwekezaji mkubwa na inayofanyika kwa viwango vya hali ya juu vya kiteknolojia katika uzalishaji na usambazaji wake, inamtumia kijana wa umri chini ya miaka 18, ambaye anataja mifano ya changamoto za nchi na kuzishangaa ni kwa namna gani zinashindwa kutatuliwa wakati inawezekana!
Kinachoipa nguvu hii projekti, ni namna ambavyo DJ huyo ameweza 'kuchukua' fomu ya Urais kupitia CCM na kutia nia ya kujitosa kwenye uongozi huo wa juu, ili kuweza kuwafundisha mafisadi cha kufanya katika kuiletea nchi maendeleo kwa upande wa afya, elimu, miundombinu na kadhalika.
Kwa namna inavyoendeshwa, hakuna shaka kwamba ina 'mkono mzito' wa mmoja wa watia nia ya urais nchini. Ni jambo jema, lakini usiri wake unazua maswali lukuki.
Watu wengi sasa wanajiuliza; Je, Ni nani aliye nyuma ya hii projekti? Ni nini haswa 'motive' ya hii projekti? Anafaidikaje kutokana na huu uwezekezaji?
Sasa basi, Napenda tusugue vichwa kwa pamoja, na tuanze kuunganisha nukta ili kuweza kumtambua muhusika wa hili suala.
Tuko nyakati za mambo mengi sasa kisiasa, kwahiyo ni vema tukajua michezo yote inayochezwa, iwe misafi ama michafu ili tusije tukaachwa feri!
"IKULU SIO YA BABA'KO"!
Hii ni kauli ambayo inatumika kwenye Project Mpya ya kisiasa inayovuma nchini kwa jina la DJ (Dogo Jembe).
Projekti hii, yenye uwekezaji mkubwa na inayofanyika kwa viwango vya hali ya juu vya kiteknolojia katika uzalishaji na usambazaji wake, inamtumia kijana wa umri chini ya miaka 18, ambaye anataja mifano ya changamoto za nchi na kuzishangaa ni kwa namna gani zinashindwa kutatuliwa wakati inawezekana!
Kinachoipa nguvu hii projekti, ni namna ambavyo DJ huyo ameweza 'kuchukua' fomu ya Urais kupitia CCM na kutia nia ya kujitosa kwenye uongozi huo wa juu, ili kuweza kuwafundisha mafisadi cha kufanya katika kuiletea nchi maendeleo kwa upande wa afya, elimu, miundombinu na kadhalika.
Kwa namna inavyoendeshwa, hakuna shaka kwamba ina 'mkono mzito' wa mmoja wa watia nia ya urais nchini. Ni jambo jema, lakini usiri wake unazua maswali lukuki.
Watu wengi sasa wanajiuliza; Je, Ni nani aliye nyuma ya hii projekti? Ni nini haswa 'motive' ya hii projekti? Anafaidikaje kutokana na huu uwezekezaji?
Sasa basi, Napenda tusugue vichwa kwa pamoja, na tuanze kuunganisha nukta ili kuweza kumtambua muhusika wa hili suala.
Tuko nyakati za mambo mengi sasa kisiasa, kwahiyo ni vema tukajua michezo yote inayochezwa, iwe misafi ama michafu ili tusije tukaachwa feri!
Dondoo: Huu mradi
unamiliki tovuti ya kisasa, vipande vya video vimerekodiwa kwa ubora wa
hali ya juu, Kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii zimedhaminiwa, na
waandishi wa habari wenye wafuasi wengi pia wanashiriki kuisambaza
(mfano, MillardAyo).
STARS NA UGANDA ZATOKA SARE 1-1
LAYIII
ANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.
Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.
Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’ alianza kuifungia Tanzania kwa penalti dakika ya 53 kwa penalti.
Penalti hiyo ilitolewa baada ya beki wa Uganda kuunawa mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Tanzania, Rashid Mandawa.
ANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.
Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.
Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’ alianza kuifungia Tanzania kwa penalti dakika ya 53 kwa penalti.
![]() |
Kikosi cha Taifa Stars kilichotoa sare ya 1-1 na Uganda leo Kampala |
WEMA SEPETU APATA BONGE LA SHAVU KATIKA SAFARI YAKE YA UBUNGE NA JOSE CHAMELEON
LAYIII
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Jose Chameleone aahidi kumpiga jeki Wema kwenye safari yake ya kuwania ubunge
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati
zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Petit ambaye ni mmoja wa watu walio karibu na Wema amepost screeshot
kwenye Instagram ya mazungumzo na Chameleone kwenye WhatsApp.
NUHU MZIWANDA HANA CHAKE ALIYE ZAA NA SHILOLE ANENA YAKE
LAYIII
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
Hata hivyo alipoulizwa kama anasikia wivu anasikia na kumuona Shilole akila raha na mpenzi wake mpya msanii Nuh Mziwanda alisema kuwa haoni wivu kwa kuwa Nuh anakula makombo yake kwani yeye ndiye aliyeanza kuwa na msanii huyo.
‘’Sioni wivu kabisa miye ndiyo niliyeanza huyo Nuh anakula makombo yangu,hata hivyo mimi nina mke na familia yangu huku Igunga,’aliongeza Makala.
Msanii Shilole alipoulizwa alisema kuwa hawezi kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui kama mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi, na anakula nini.
‘’Huwa sipendi kabisa kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi na anakula nini,’’alijibu Shilole.
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
ule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema Makala.Hata hivyo alipoulizwa kama anasikia wivu anasikia na kumuona Shilole akila raha na mpenzi wake mpya msanii Nuh Mziwanda alisema kuwa haoni wivu kwa kuwa Nuh anakula makombo yake kwani yeye ndiye aliyeanza kuwa na msanii huyo.
‘’Sioni wivu kabisa miye ndiyo niliyeanza huyo Nuh anakula makombo yangu,hata hivyo mimi nina mke na familia yangu huku Igunga,’aliongeza Makala.
Msanii Shilole alipoulizwa alisema kuwa hawezi kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui kama mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi, na anakula nini.
‘’Huwa sipendi kabisa kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi na anakula nini,’’alijibu Shilole.
EBANA EEE UNAJISKIAJE UKIKUTANA NA MPENZI ANAYEKUPA MAJIBU HAYA
LAYIII
Eti ukiwa unachat mpenzi wako anakupa majibu kama haya unamchukuliajeee
mfano
1.ukimwambia kila ukimwambia bby i love you much au nakupenda sana mpenzi wangu
yeye hujibu asante au thanks badala ya kusema i love you too mpenzi wangu
2.ukimtumia vocha hukaa kimya ukimpigia hujibu asante nimeipataa.
3.ukimwambia nimekumic mpenzi wangu hujibu asante au thanks au k thanks
4.ukimwambia kuhusu sex huandika k au sawa au bila kujibu
jee unamuongeleajee mpenzi kama huyu kwa wale wataalamu saikolojia
Hivi Unamchukuliaje Mpenzi Wako Mwenye Majibu Kama Haya Ukichat Nae

mfano
1.ukimwambia kila ukimwambia bby i love you much au nakupenda sana mpenzi wangu
yeye hujibu asante au thanks badala ya kusema i love you too mpenzi wangu
2.ukimtumia vocha hukaa kimya ukimpigia hujibu asante nimeipataa.
3.ukimwambia nimekumic mpenzi wangu hujibu asante au thanks au k thanks
4.ukimwambia kuhusu sex huandika k au sawa au bila kujibu
jee unamuongeleajee mpenzi kama huyu kwa wale wataalamu saikolojia
CUBA SHANGWE TUPU HAKUNA UKIMWI WALA KASWENDE
LAYIII
Mafanikio hayo ya kutajika yanafuatia kampeini ya muda mrefu
miongoni mwa wanawake waja wazito ambao wamekuwa wakishauriwa kuanza
kupokea matibabu mapema na kufanyiwa vipimo mahsusi ilikujua hali ya
afya ya mama na mwanaye .
WHO inatumai kuwa mafanikio hayo ya Cuba yataigwa na mataifa mengine.
Shirika la afya duniani WHO, limethibitisha kuwa Cuba imemaliza kabisa maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama mzazi na Kaswende.
Mkuu wa shirika hilo WHO, Daktari Margaret Chan, ametaja ufanisi huo kuwa ''ni mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwa afya ya umma.''WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto
WHO inatumai kuwa mafanikio hayo ya Cuba yataigwa na mataifa mengine.
WAZIDI KUFANYA NGONO ETI DAWA YA UKIMWI IMEPATIKANA WACHANGANYIKIWA BAADA YA DAWA HIYO KUKOSOLEWA
LAYIII

Kwa muda mrefu wahudumu wa afya ya
masuala ya ngono wamesisitiza matumizi ya mipira ya kondomu kama mbinu
bora zaidi dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Lakini tabia moja hatari ya kutumia madawa ya kulevya na wapenzi wa jinsia moja inazidi kuibua wasiwasi.Dawa mpya ya ukimwi yakosolewa
Kwa muda mrefu wahudumu wa afya ya
masuala ya ngono wamesisitiza matumizi ya mipira ya kondomu kama mbinu
bora zaidi dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Lakini tabia moja hatari ya kutumia madawa ya kulevya na wapenzi wa jinsia moja inazidi kuibua wasiwasi.RAMAMEL FALCAO ATINGA CHELSEA
LAYIII
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.

Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa
klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna
uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
Falcao
mwenye umri wa miaka 29 alicheza kama mchezaji wa mkopo katika kilabu ya
Manchester United na kufanikiwa kufunga mabao manne katika mechi 29.MAN U YA FUJA PAUNI MILLION 100 KISA USAJIRI MZITO PIA ................
LAYIII
Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.
City ilipigwa faini ya pauni milioni 49 na kulazimishwa kutoa kikosi chenye upungufu wa wachezaji 21 msimu uliopita baada ya kukiuka sheria za UEFA.

Ununuzi wa mchezaji wa Aston Villa Fabian Delph atakayegharimu
Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.
City ilipigwa faini ya pauni milioni 49 na kulazimishwa kutoa kikosi chenye upungufu wa wachezaji 21 msimu uliopita baada ya kukiuka sheria za UEFA.
Mancity kutumia pauni milioni 100 msimu huu
Lakini baada ya kuafikia masharti hayo ,timu hiyo sasa iko huru kuwasaka wachezaji wapya akiwemo Paul Pogba,Kevin De Bruyne na Raheem Sterling.Ununuzi wa mchezaji wa Aston Villa Fabian Delph atakayegharimu
NYOMI YA JITOKEZA KATIKA KINYANG`ANYIRO CHA MILLIONI HAMSINI
LAYIII
Pazia la shindano la kuimba Bongo Star Search mwaka 2015, limeanza rasmi leo mkoani Mwanza ambapo usaili umefanyika kwenye hoteli inayojulikana kama Lakairo.
Shindano hilo linaloibua vipaji vya
vijana mwaka huu lina kauli mbiu mpya ya ‘Kuwa Original Chagua Original’
ambayo inawahimiza vijana kujitokeza na kuonesha vipaji vyao.
BSS 2015 kazi imeanza mwanza, picha 15 za usaili ziko hapa
Pazia la shindano la kuimba Bongo Star Search mwaka 2015, limeanza rasmi leo mkoani Mwanza ambapo usaili umefanyika kwenye hoteli inayojulikana kama Lakairo.
Shindano hilo linaloibua vipaji vya
vijana mwaka huu lina kauli mbiu mpya ya ‘Kuwa Original Chagua Original’
ambayo inawahimiza vijana kujitokeza na kuonesha vipaji vyao.
Shindano hilo la kusaka vipaji vya
kuimba kwa mwaka linatafanya usaili mikoa 5 ambapo Mwanza July 4-5 ndani
ya ukumbi wa La kairo, July 11-12 Arusha ukumbi wa Triple 7,
Friday, 3 July 2015
ULIPITWA NA MAGAZETI YA LEO CHEKI HAPA
LAYIII
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
StoriKUBWA >> Makao Makuu CCM Dom.. Waliosimamishwa Bungeni, Hakimu Feki Mahakamani !!
MWANANCHI
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia
kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma
umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la
Mwananchi kwenye maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma hadi jana, umebaini
kuwa tayari nyumba nyingi za kulala wageni na hoteli zimeshajaa.
NANI WA MAN U KUSAJIRIWA UTURUKI
LAYIII
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Fenerbahce kumsajili Nani wa Man United
Mchezaji wa klabu ya Manchester
United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya
Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya
yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihamia Manchester United kutoka klabu ya Sporting NIKOLAUS ANELKA KUWA TICHA WA MUMBAI SASA
LAYIII
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City

''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye pia ni mwigizaji nyota wa Bollywood Ranbir Kapoor.
Anelka alikuwa mchezaji mkufunzi katika kilabu ya Shanhai Shenhua mwaka 2012.
Raia huyo wa Ufaransa alifanikiwa kufunga mabao mawili pekee katika mechi saba alizocheza katika msimu wake wa kwanza mjini Mumbai lakini anarudi katika kilabu hiyo kama mchezaji ambaye anafaa kulipwa mshahara mkubwa.
.
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.
Anelka
mwenye umri wa miaka 36 aliichezea klabu hiyo ya ligi kuu nchini India
chini ya ukufunzi wa aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Manchester City
Peter Reid.''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye pia ni mwigizaji nyota wa Bollywood Ranbir Kapoor.
Anelka alikuwa mchezaji mkufunzi katika kilabu ya Shanhai Shenhua mwaka 2012.
Raia huyo wa Ufaransa alifanikiwa kufunga mabao mawili pekee katika mechi saba alizocheza katika msimu wake wa kwanza mjini Mumbai lakini anarudi katika kilabu hiyo kama mchezaji ambaye anafaa kulipwa mshahara mkubwa.
.
SHAMSA NUSURU AUWAWE ATISHIWA KIFO KILICHOENDELEA HAPA NIMEKUWEKEA AUDIO MSIKIE MWENYEWE
LAYIII
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Shamsa aliripoti Polisi baada ya kutishiwa maisha na mchumba wake
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford
amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson
Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Akizungumza na millardayo.com alisema…’Ni
kweli wakati nilipokuwa katika mahusiano naye alikuwa ni mtu ambaye
anapenda sana kuniambia neno nitakuuwa mimi na mwanangu ndio maana
BAADA YA WEMA MPAKA ZARI SASA NI ZAMU YA OMOTOLA MSHUDIE DIAMOND HAPA NA OMOTOLA
LAYIII
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili.
Kwa mujibu wa chanzo kilichoambatana na Diamond katika ziara ya
kimuziki iitwayo ‘Nana Tour’ nchini humo, staa huyo ambaye kwa sasa ni
mpenzi wa mjasiamali maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’
amekuwa akiumizwa na penzi la Omotola kitambo sana lakini hakuwahi
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili.
DIAMOND AKIRI KUMPENDA OMOTOLA
Wanne washindwa kurejesha fomu, kilichojiri Bungeni kiko hapa na BVR Dar sasa Julai 16…#MAGAZETINI JULY3
LAYIII
NIPASHE
Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu
mkoani Kigoma, imeelemewa baada ya idadi ya wakimbizi kutoka Burundi
kuzidi kuongezeka hivyo kuzidi uwezo wake kama inavyotakiwa na sheria za
Umoja wa Mataifa (UN).
Mkurugenzi Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke,
alisema bado wakimbizi wa Burundi hawajaanza kurudi nyumbani kwao bali
hali imekuwa mbaya zaidi kutokana na idadi yao kuendelea kuongozeka.
Kwa mujibu wa Mseke, hadi sasa wakimbizi
katika kambi hiyo kutoka Burundi, wamefikia 71,000 na ndani ya wiki
moja iliyopita wameingia wakimbizi 10,000.
Alisema kwa sasa idadi ya wakimbizi wote kutoka Burundi na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), katika kambi hiyo ni takribani 100,000.
Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, idadi
hiyo ni kubwa kupita kiasi kwani sheria za UN kupitia shirika lake la
kuhudumia wakimbizi duniani (UNHCR) kambi moja inapaswa kuhudumia wakimbizi wasiozidi 50,000.
Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL
LAYIII
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.

Falcao ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Colombia, anatarajia kujiunga na Chelsea kutokea Monaco kwa mkataba wa mwaka mmoja wa mkopo.
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.
Breaking News: Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.
Falcao ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Colombia, anatarajia kujiunga na Chelsea kutokea Monaco kwa mkataba wa mwaka mmoja wa mkopo.
MAPYA YAIBUKA DAIMOND KACOPY WIMBO WA NANA
LAYIII
Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.
Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.
Diamond kacopy Video ya Nana? Belle 9 hana habari na mitandao ya kijamii, Mb Dog na muziki je?..#255 (Audio)
Thursday, 2 July 2015
MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO
LAYIII
Maajabu ya Bagamoyo! Katika hali
ya kushtua, familia yenye makazi yake, Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani,
imejikuta kwenye mauzauza baada ya ndugu yao kufariki dunia huku
akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja
na kwamba daktari alithibitisha kifo.
MTAZAMO WA YEMI ALADE KUHUSU WASANII WA MZIKI KUPEANASUPPORT UTACHEKA UPASUKE
LAYIII
Yemi Alade ni msanii maarufu kutoka Nigeria ambaye alitamba sana na ngoma yake Johnny. Nimekutana na interview moja aliofanya msanii huyu jijini Lagos, aliulizwa maswali mengi lakini moja kubwa lilikuwa linahusu hali ya wasanii kupeana support kwenye muziki.
Yemi Alade alikuwa na haya ya kusema.
>>> “siwezi
kuzungumza kwa niaba ya kila mtu so nitaongea kulingana na mtazamo
wangu, kwa mimi binafsi nahisi kwenye industry wanaume wanapeana support
zaidi kuliko wanawake, sijui kwa nini ila naona hii ndio hali halisi
kwa hapa kwetu.”
ETI TAIFA STAR HAWAJUI KIINGELEZA SI JAMAA KANYOOSHA MKONO HAHAHA MSIKIE MWENYEWE
LAYIIII
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’ kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa MSIKIE MWENYEWE HAPA MTU WANGU kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mart Nooi.
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’ kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa MSIKIE MWENYEWE HAPA MTU WANGU kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mart Nooi.
Eti wachezaji wa Taifa Stars walikuwa hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro kanyoosha mkono
UJUE USHINDI WA RAIS KENYATA KWA MARA NYINGINE MTU WANGU
LAYIII
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.
Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
MCHEKI MESSI ALIVO WATOKA MABEKI KATIKA KIPANDE HIKI CHA VIDEO
LAYIII
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Video Player
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Kama unaamini ukali wa Lionel Messi, cheki hapa ‘alivyowatoka’ mabeki wawili wakaangukiana.. (Video)
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Japo Cristiano Ronaldo anatajwa kuwa ndio mchezaji wa soka mkali kabisa Duniani na ana Tuzo yake ya Ballon d’Or kwa mara tatu mfululizo, wapo wanaoamini Lionel Messi ndio mkali zaidi !!
Nina hivi vipisi vya video vinavyoonesha ukali mwingine wa Lionel Messi akiwa Uwanjani, play uone wachezaji wawili walivyoachwa kwenye mataa mtu wangu!!
Video Player
Video Player
FROM JELA HADI MTAANI MCHEKI RICK ROSS HAPA AKITOKA JELA
LAYIII
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.
NIMEKUWEKEA VIDEO YA MGOGORO WA BUNGENI LEO HAPA CHINI
LAYIII
Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015
Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida
leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa
kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo.
“Tumekabidhiwa
orodha ya shughuli za leo.. kimsingi imekiuka kanuni, uamuzi wa kuileta
hii miswada mitatu kwa pamoja kama hati ya dharura umekiuka kabisa
msingi wa makubaliano ya kwenye Semina ambapo Wabunge kwa kauli moja
tulikataa Miswada hii isiletwe kwa hati ya dharura“
Mbunge John Mnyika.
“Naomba Mwongozo, hili jambo linahitaji majibu sasa” >>> Mbunge John Mnyika.
Spika Makinda akaanza kutoa ufafanuzi kuhusu hiyo ishu >>> “Toa kwanza maneno ya kuniamrisha mimi cha kufanya… Hakuna mtu anayeweza kuniamrisha” >>> Anne Makinda.
JANUARY MAKAMBA KAJIBU HAYA KUHUSU WIZI WA MUDA WA HEWANI
LAYIIII
Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu
yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, hii ishu
imewagusa Wabunge… Alianza Mbunge kwa kuuliza swali kwamba nini
kinafanyika kuzuia wizi wa aina hiyo.
“Kumekuwa
na malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba wanapoteza pesa kujiunga na
vifurushi ama wanaponunua vocha… Serikali itachukua hatua gani kudhibiti
Makampuni ya simu ambayo yanafanya wizi kwa wananchi” >>> Mbunge Murtaza Mangungu.
“Kumekuwa
na udhaifu mkubwa kwa upande wa TCRA kwenye kufuatilia malalamiko ya
watu pale ambapo wanadhurumiwa, watu wanatoa malalamiko kwa Makampuni ya
simu lakini hakuna hatua zinazochukuliwa” >> January Makamba.
“Serikali
imetoa onyo kwa TCRA kwamba tunataka hatua zianze kuchukuliwa na namna
mpya ikiwemo kuhakikisha kwamba kuna kituo ambacho kipo saa zote kwa
ajili ya kupokea simu na malalamiko ya watu na ni rahisi kituo hicho
kufikika na watu wanahakikishiwa majibu, malalamiko yasiposhughulikiwa
ndani ya saa 48 hatua za Kisheria zinachukuliwa kwa makampuni ya simu” >>> Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
DAVIDO KAPOST PICHA ZAKE AKIWA NA DIAMOND MTV BASE KTK PAGE YAKE YA INSTOGRAM.....ONA COMMENT ZAKE MTUWANGU
LAYIII
Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..
Davido amepost picha yake na Diamond, kaandika na haya maneno kuhusu #MTVMAMA2015..
Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..
Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2
layiii

MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.
Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa
hisia, alisema hayo jana mara baada ya kurejesha fomu ya kuwania
kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2
MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.
MAJIBU YA LOWASA KUHUSU KUITWA FISADI NIMEKUWEKEA AUDIO HAPA
LAYIII
Kwenye headlines kubwa Magazetini kuna hizi stori ambazo nimekusogezea baada ya kuchambuliwa redioni June 02 2015.
Makada wa CCM wameendelea kurudisha fomu za Urais na leo ndio siku ya mwisho, Lowassa amesema
amechoshwa na wanaomwita Fisadi.. kingine ni kuhusu ishu ya ushirikina
Wilaya ya Mwibala, mtu mmoja ameuawa akituhumiwa kuwafanyia ushirikina
Walimu.
Wanaomwita Lowassa fisadi? mwisho wa kurudisha fomu CCM? Matokeo ya Mitihani TZ kwa simu?.. #PBCloudsFM
Wednesday, 1 July 2015
MAISHA CLUB MPYA YA DAR YAFIKIA HAPA
LAYIII
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi… hapa ninazo picha 11

millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi… hapa ninazo picha 11
Ujenzi wa Maisha Club mpya Dar es Salaam umefikia hapa (Pichaz)
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
AJARI YA BASI NA TRENI MOROGORO MAJERUHI NA WALIYO KUFA NIFATE HAPA MTU WANGU
LAYIII
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Ajali ya Treni na basi la abiria Morogoro, kuna majeruhi na waliofariki.. #RIP
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01
2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria
ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Liverpool yakamilisha usajili wa mchezaji wa sita leo hii.
LAYIII
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino wiki iliyopita.
wiki iliyopita.
Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya uhamisho ya £12.5m, na mchezaji huyo leo amesaini mkataba wa miaka 5.
“Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne aliuambia mtandao wa Liverpool.
“Mara tu baada ya Liverpool kuonyesha kunihitaji, Nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.”

Clyne, ambaye alikuwa amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino wiki iliyopita.
wiki iliyopita.
Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya uhamisho ya £12.5m, na mchezaji huyo leo amesaini mkataba wa miaka 5.
“Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne aliuambia mtandao wa Liverpool.
“Mara tu baada ya Liverpool kuonyesha kunihitaji, Nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.”
Clyne, ambaye alikuwa amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.
NUSU NUSU YA JOMAKINI SASA IKO JUU KATIKA MTV BASE
LAYIII
GoodNews ni hapa ilipofikia #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
GoodNews ni hapa ilipofikia #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
WATU WANGU WA MIELEKA ROCK KAWEKA WAZI SABABU ZA KUUACHA MCHEZO HUO
LAYIII ON SPOT
Dwayne Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action Hollywood, Marekani.
The Rock ameweka wazi sababu za yeye kuacha mchezo wa mieleka…
Dwayne Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action Hollywood, Marekani.
Subscribe to:
Posts (Atom)