LAYIII
Asubuhi ya March 9 taarifa za ajali kutokea maeneo ya Tabata Dar Es Salaam zilisambaa katika sehemu mbalimbali hususani, katika mitandao ya kijamii. Tabata ilitokea ajali iliyokuwa inahusisha basi la abiria aina ya DCM, tipa la mchanga na Lori la ng’ombe.