LAYIII
VUNJO, KILIMANJARO
Yakiwa yamesalia majuma mawili kuelekea uchaguzi mkuu mgombea ubunge wa jombo la vunjo kwa tiketi ya TLP mkoani Kilimanjaro Lyatonga Mrema amewaomba wananchi kumchagua mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk John Magufuli kwa kile alichodai kuwa Magufuli ndiye mgombea urais mwenye vigezo na anafaa kuliongoza taifa la Tanzania.
Yakiwa yamesalia majuma mawili kuelekea uchaguzi mkuu mgombea ubunge wa jombo la vunjo kwa tiketi ya TLP mkoani Kilimanjaro Lyatonga Mrema amewaomba wananchi kumchagua mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk John Magufuli kwa kile alichodai kuwa Magufuli ndiye mgombea urais mwenye vigezo na anafaa kuliongoza taifa la Tanzania.