Monday 21 September 2015

SOMA MAWAZO 100 YA KUANZISHA MIRADI NA BIASHARA MBALIMBALI

LAYIII
    1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
    2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
    3. Kutengeneza na kuuza tofali
    4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
    5. Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
    6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa vya compyuta na mawasiliano.
    7. Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
    8. Kushona na kuuza nguo.
    9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
    10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.
    11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa mbalimbali ktk mashule na vyuo.
    12. Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
    13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn na kuziuza.
    14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha
    15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na zinazotumia mafuta
    16. Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika.
    17. Kuuza Mitumba
    18. Kusimamia miradi mbalimbali
    19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali
    20. Kufungua banda la chakula na chips
    21. Kukodisha turubai viti na meza
    22. Kufungua Supermarket
    23. Kufungua Saluni
    24. Kufungua Bucha
    25. Video Shooting & Editing.
    26. Kufungua Internet café
    27. Duka la kuuza matunda
    28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi na landline.
    29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa vya umeme, duka la mabati
    30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na miradi ya ICT
    31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
    32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor)
    33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua (solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k
    34. Kuuza maji kwa jumla na rejaleja.
    35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora.
    36. Kukodisha Music
    37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
    38. Kuanzisha mradi wa Daladala
    39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters, HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa vingine.
    40. Kununua magenerator na kuikodisha
    41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu
    42. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet (ISP)
    43. Kuuza mabati na vigae
    44. Kujenga apartments
    45. Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta ya aina zote
    46. Kufungua Duka la samaki
    47. Kufungua Duka la nafaka
    48. Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo.
    49. Kujenga hostel
    50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku, Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental.
    51. Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza katika viwanda na wananchi.
    52. Ufundi simu
    53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
    54. Maabara ya Macho, Meno
    55. Kuchimba/Kuuza Madini
    56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax
    57. Kuuza miti na mbao
    58. Kufungua Grocery, bar
    59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha
    60. Kucharge simu/battery
    61. Duka la TV na vifaa vingine
    62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe na tamasha mbalimbali (catering).
    63. Banda la kupigisha simu
    64. Kuuza na kushona Uniform za shule
    65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
    66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na magari
    67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe
    68. Kuuza fanicha
    69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi ya magari na mitambo.
    70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel)
    71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium.
    72. Kuuza vioo
    73. Kushona na kukodisha nguo za harusi
    74. Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari
    75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine).
    76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc)
    77. Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi
    78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na televisheni
    79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV Games)
    80. Kufungua benki
    81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga
    82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k
    83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
    84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi (crane)
    85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu.
    86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
    87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL, AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
    88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe, mikutano mbalimbali
    89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara na kuikodisha
    90. Kutengeneza antenna na kuuza
    91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa na kuchana mbao
    92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa kutumia upepo
    93. Biashara ya kuagiza magari
    94. Kufanya biashara za Jukebox
    95. Kukodisha matenki ya maji
    96. Kufungua duka la kuuza Asali
    97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha
    98. Kufungua Duka la vinyago, batiki
    99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY PESA
    100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym).

No comments:

Post a Comment

advertise here