Wednesday 7 October 2015

KUTANA NA MAMA LOWASSA ALIVYOONGEA NA WANAWAKE ZANZIBAR

LAYIIII
Jana ilikua October 6 2015 ambapo bado sera zimeendelea kunadiwa kuisubiria siku kubwa ya kura ambayo ni October 25 2015 ambapo mmoja wa waliochukua headlines jana ni mke wa mgombea Urais wa UKAWA Mama Regina Lowassa

Alikuwa Zanzibar kuzungumza na kina mama kuhusu mabadiliko…..  akawaeleza umuhimu wakutatua matatizo yao kupitia serikali ya UKAWA.
811838564_105067
811840322_107208
811840918_106288
812212831_80108
812220464_102657
812226423_78026
812238349_76712

No comments:

Post a Comment

advertise here