LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO
Moja ya
taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya
habari asubuhi ya leo march 9 2016, ni pamoja na hili tukio la ajali ya
magari matatu ambayo ni gari la abiria aina ya DCM, Lori la mchanga na
gari lingine lililokuwa limebeba mchanga kugongana katika eneo la
Tabata, Dar es salaam.
Hadi sasa
hakujawa na uhakika wa taarifa za uhakika