layiii
October 05 2015 ni siku ya pili inaisha
tangu litokee tukio la ajali ya gari ndogo katika Kijiji cha Msolwa,
Chalinze Mkoa wa Pwani ambapo ndani yake kulikuwa na watu watatu pamoja
na Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alifariki kutokana na ajali hiyo.