LAYIII
Kwenye list ya Wanasiasa walioamua
kuingia kwenye Mchakato wa Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaofanyika October
2015, alikuwepo pia Mwanasiasa Mkongwe, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alitangaza kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP).