Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa
ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani
kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo
vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
1. Kansai International Airport –Japan: kimetumia dola bilioni 20 kujengwa
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa
sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa
katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo
anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo inaitwa Galactica Star, gharama ya kukodi boti hiyo kwa wiki ni dola 900000 za kimarekani ambazo
Miongoni mwa sehemu nzuri na zakuvutia kutembelea katika hii Dunia basi Dubai haiwezi kukosa, Dubai
unatajwa kuwa mji wa kitalii na kibiashara, wengine wanautaja kama pepo
ya watalii. Mji huo umejengeka kwa majengo yenye ramani za kuvutia.
September 17 nakusogezea
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast…
Mgombea Urais kupitia CCMDk. John Magufuli asema “M4C” inamaanisha “Magufuli 4
Hans Mloli na mtandao WAHAMIAJI wapo kila mahali
duniani lakini mara kadhaa huwa ni ngumu sana kung’ara au kuonyesha
kipaji chako mbele ya wenyeji na kuwafunika kirahisi.
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani MarekaniBET huandaa tuzo za kipekee kabisa ‘Annual BET Hip Hop Awards’
kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa
mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa
2015 zikiwa
#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!
Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumzalitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini MilanItaly.
Ahmed Mohamed
ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya
ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu
wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo
cha Polisi na wakamkamata !!
Watumiaji wa smartphones wakae tayari
kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu
una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya
mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na
kujaa zinachukua muda pia
Ni stori inayoendelea kuchukua healines
kwenye mitandao mbalimbali kuhusu Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi, sasa
leo Sept 15, 2015 ripota wa millardayo.com alikutana na Aunt Ezekiel na
kueleza sababu zilivyomfanya yeye kuhama UKAWA na kuhamia chama cha
Mapinduzu.
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza
kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa
Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na
kuhamia chama cha Mapinduzi.
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&BChristina Milianalianza kuonekana sana na rapper Lil Waynebaada
ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa
timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na
klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty,
moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East
Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia
kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.
Bondia Floyd Mayweatherni
jamaa mwenye rekodi nzuri ambayo ameijenga kwa kipindi chote cha miaka
yote 19 aliyoitumia kwenye mchezo wa ngumi..Usiku wa kuamkia leo
September 13 2015
Ligi kuu ya Uhispania imeendelea leo baada ya mapumziko ya kupisha
mechi za kimataifa kumalizika, Real Madrid walisafiri mpaka jijini
Barcelona kwenda kucheza na Espanyol.
Ule mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu baina ya wapinzania wa
jadi wa ligi kuu ya Uingereza, vilabu vya Manchester United dhidi ya
Liverpool umepigwa usiku huu.
LAYIII Kazi
yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo
stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea
96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye
baadhi ya vituo vya radio nchini.
Msanii huyo alipokutana
na ripota wa millardayo.com aliweza kuelezea sababu
Pambano la Floyd Mayweather na Manny PacquiaoMay
02 2015 lilivunja rekodi nyingi ikiwemo ya mauzo ya Ticket, ticket
ziliuzwa kati ya Dola 1,500 na Dola 10,000 lakini ndani ya saa mbili tu
ziliuzika zote !!
DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru
kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha
Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 9,2015 tayari
nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,
headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa
kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, baada ya siku kadhaa
kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Viko vya CHADEMA pamoja na Vyama
vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado
Headlines zilibeba stori kubwa November 13 2014 kuhusu Sultan Kosen, raia wa Uturuki ambae ndio mtu mrefu zaidi Duniani pamoja na Chandra Dangi Raia wa Nepal
ambaye alikuwa anashikilia
50 Cent siku zote ni mtu wa masuprise tu mtu wangu, mwezi July
rapper huyo alitangaza kuwa amefilisika na idadi ya mali nyingi
alizonazo si zake bali ni mali za mkopo, badaae tukasikia kuwa
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari
nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,
headlines baada
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe kupitia Cuf, Rashid Mwinshehe
‘Kingwendu’ juzi alikuwa kivutio wakati akitambulishwa na mgombea mwenza
wa urais wa Jamhuri, Juma Duni Haji.
layiii Team ya polisi huko Oakland, California walipigiwa simu na wananchi
baada ya mtoto mchanga kuonekana akiwa kaachwa kwenye gari na madirisha
yakiwa yamefungwa. Ili
Timu ya taifa ya Tanzania na Nigeria September 5 zimekutana kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2017, ikiwa ni zaidi ya miaka 20 toka zikutane katika mechi za mashindano. Nigeria inayonolewa na kocha mzawa Sunday Oliseh ndio imecheza mechi ya kwanza
Staa wa Nigeria Mr.Flavor amewashirikisha mastaa wawili mapacha
wanaounda kundi la P square katika video yake mpya inayoitwa ‘Sexy
Rosey’.
Video imeongozwa na Godfather.
Kabla ya mechi kuanza naomba nikusogezee first eleven ya timu zote mbili. Taifa StarsVsNigeria, mechi itakayopigwa muda mchache kuanzia hivi sasa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
Siri CCM na UKAWA nje, Mke wa DK.Slaa afichua siri, Magufuli na wazawa wa gesi, Lowassa na ‘Operation Tokomeza? (Audio).
Uchambuzi wa Magazeti @CloudsFM
ni sehemu inayokupa habari zote zilizoweka headlines magazetini, kazi
yangu ni kukusogezea zile kubwa kubwa kwenye vichwa vya habari…
Siri yafichuka CCM na UKAWA vyama hivyo vimeanzia kampeni nyanda za juu kusini, Mke wa
Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records
Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records
ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima
ya kuwemo katika kitabu hicho kutokana na rekodi zao mbalimbali.
Jose Mourinho ndio ameingia katika headlines kubwa zaidi baada ya kupewa Tuzo za Guinness World Recordsmara nne, hivyo ana rekodi nne tofauti zitakazo mfanya aandikwe katika kitabu hicho.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na klabu ya Tottenham HotspurEmmanuel Adebayor, ambaye kabla ya dirisha la usajili kufungwa alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya West Ham United ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Moja kati ya wachezaji ambao tulikuwa tukitarajia kuona
LAYIII
Askofu Josephat Gwajima amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na
aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa kuwa alishiriki kama
‘mshenga’ kumshawishi mwanasiasa huyo kumpokea Edward Lowassa katika
chama hicho.
Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada
kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake
kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara ya
Mambo ya nje kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu Simba Yahya amezungumza.
Msanii wa muziki wa Bongo FlavaMr Blue ana asbabu kubwa sana ya kufurahia siku hii ya leo, dakika chache zilizopita Mr Blueameshare na sisi furaha yake kubwa ya kumkaribisha mtoto wake