Tuesday, 21 July 2015

Floyd Mayweather KUKUTANA NA HUYU JAMAA ULINGONI

LAYIII

Andre
Andre Berto
Jina la Floyd Mayweather ni moja ya majina ya mastaa wachache waliochukua headlines nyingi zaidi mwaka 2015, mwaka uko katikati na bado anaendelea kuchukua nafasi hiyohiyo ya juu… mara nyingi kuna stori ya yeye kustaafu mchezo wa Ngumi, mpango wake uko palepale ila leo tutamjua mpinzani wake mwingine.
FMAY
Floyd Mayweather
Pambano lake linalofuatia litakuwepo September 12 2015, na tayari majibu yako on air kwamba atakayepambana nae ni Andre Berto, Bondia ambaye ana rekodi ya kushinda Mapambano 33 na amepigwa kwenye Mapambano matatu.
Floyd Mayweather ameshinda jumla ya mapambano 48, hajapigwa hata pambano moja… Berto ataweza kuianguisha record ya huyu jamaa?
may

Monday, 20 July 2015

KATIKA TUZO ZA AFRIMAMA TANZANIA YAWAKILISHWA NA WASANII SABA WACHEKI HAPO CHINI

LAYIII
NOMINEES
Najua itakuwa furaha kubwa kwa kila mtu wa nguvu ambae anatoa love na suppoort ya kutosha kwa wasanii wa TZ, inapendeza kuona majina ya mastaa wetu wanaofanya muziki wanazidi kufahamika nje ya mipaka yetu.
MTV MAMA 2015 imeshafanyika Durban South Africa ambapo TZ ilikuwa ikiwakilishwa na mastaa wawili tu, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee… lakini kabla mambo hayajapoa nakutana

MWANAMKE AGEUKA NYOKA MTU JAMANIII NDO NYAKATI ZENYEWE HIZI ZA MWISHO

LAYIII

NI KULE INDONESIA TENA

DONALDO ASAMBAZA MIDOLA KWA KOCHA WAKE

LAYIII


DUNIA NA MAAJABU YAKE EMBU MWONE HUYU MTOTO INATIA HURUMA SANA

LAYIII


Ni mtoto aliye zaliwa miaka kumi na mbili iliyo pita inatia huruma sana embu weka comment yako hapo chini walau hata maombi yako ndugu yangu
KUIONA VIDEO HIYO NI FATA LINK HII tbcueltd.blogspot.com

goal keepr afukuzwa huko manchester

layiii
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

louis-van-gaal-manchester-united_1sjazi885y191peieecz900kg

Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

Real Madrid yagonga ukuta kwa De Gea.

David de Gea Manchester United

Usajili wa kipa Mhispania David De Gea kuelekea klabu ya Real Madrid kwa sasa inaonekana kama huenda usitokee tena hivi karibuni baada ya klabu hii ya Hispania na wenzao wa Manchester United kushindwa kufikia makubaliano .
Manchester United imegoma kabisa kufanya mazungumzo na Real kuhusiana na De Gea kutokana na Wahispania hao kushindwa kutimiza masharti ambayo United imeyaweka katika mazungumzo hayo .
United imewaambia Real kuwa endapo wanamtaka De Gea basi wakubali kumruhusu beki Mkongwe Sergio Ramos ajiunge na United au Gareth Bale jambo ambalo vijana hawa wa Florentino Perez amelikataa katakata.

MAREKANI YATOA SALUTE KWA DIAMOND NI BAADA YA NEYO KUFIKISHA SALAM ZA USHINDI WA DIAMOND

LAYIII
KIWANGO ndivyo tunavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani kutoka marekani kumvulia kofia staa wa tanzania DIAMOND PLATNUMZ.
NASEMA TENA
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili....

Sunday, 19 July 2015

SIKILIZA ALIKIBA ALIVOONGELEA COLLABLE NA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII


INASIKITISHA SANA MWANAMKE AJIFUNGUA TEMBO BAADA YA KUBEBA MIMBA MIEZI KUMI NA TATU (13)

LAYIII
MAAJABU YA, Mwanamke mmoja nchini Indonesia amejifunngua TEMBO badala ya mtoto katika ujauzito aliodumu nao zaid ya miezi 13 bila madaktari kugundua kilichopo ndani, play video ujioneee

RED CARPET PLATNUMZ MWANZO MWISHO HADI TUZO YA BEST LIVE P.......

LAYIII


ULIMISS KUONA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO ZA MTVMAMA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII

Screen Shot 2015-07-19 at 8.35.00 PM
Diamond Platnumz jana katangazwa Mshindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act, hajachelewa kurudisha Tuzo home.. tayari kaingia Dar es Salaam na hata kabla hajafika Uwanja wa Ndege kulikuwa na Kundi kubwa la watu waliofurika

MATOKEO YA AZAM FC .........KOMBE LA KAGAME HAPA

LAYIII

azaaa
Klabu ya Azam imeanza vyema michuano ya kombe la Kagame inayoendelea kwenye uwanja wa Taifa, Dar es salaam baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao

ONA VIDEO ALIYO POST DIAMOND HAPA IKIMONYESHA KIDOTI AKICHEZA NA MANENO ALIYO AMBATANISHA

LAYIII

photo-collage
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @  
BAADAYE NAYE JOKATE KATUPIA LAKE HAPA MTU WANGU


NIMEKUSOGEZEA KIONJO CHA SHOW YA DIAMOND HUKO MTV

LAYIII



UVUMI WA LOWASA KUHAMIA CHADEMA NA MAGAZETI YA LEO 19/07/2015

LAYIII
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Uamuzi wa Lembeli umekuja wakati wanachama kutoka sehemu mbalimbali wakitangaza uamuzi wao wa kujiengua CCM na kujiunga na vyama vya upinzani, hasa Chadema ambayo imesomba asilimia kubwa ya wahamaji hao.

LEMBELI kuihama CCM?, Mafuriko ya LOWASSA CHADEMA na Mwinyi avunja ukimya…#MAGAZETINI JULY19

LATE
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.

SIKILIZA MAJIBU YA BENK KUU YA TANZANIA KUHUSU UWEPO WA SARAFU YA TSH 500

LAYIII
Kwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

BOTKwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

Saturday, 18 July 2015

MTVMAMA YAKAMILISHA KAZI YAKE TUZO MOJA NYUMBANI MTU WANGU

LAYIII
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.
CKOalk7UMAAasmN

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.
List ya Washindi wote hii hapa..

DIAMOND KAELEZEA UKWELI JUU YA BIFU LAKE NA DAVIDO

LAYIII


ETI LAZIMA MWANAJESHI UWE NA SURA NGUMU TANZANIA EMBU CHEKI HAWA WATOTO WAZURI

LAYIII

Hawa Ni Watoto Wa Kike Kutoka Rwandan Army!! Ohh Mama Mia!!

Rwanda-Army11
Watu wengi wameshazoea kwamba wanajeshi lazima uwe na sura ngu… hivi, hakuna watoto wakali na nini! lakini kwa jeshi la Rwanda ni tofauti aisee watoto wakali kinoma, imeletea mijadala kibao

NIMEKUSOGEZEA VIDEO HAPA JINSI DIAMOND ALIVOKUWA AKIHOJIWA NA WAANDISHI HUKO DURBAN

LAYIII

Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali w

KATIKA PRESS CONFERENCE DIAMOND HAJABAKI NYUMA BADO ........... NI KATIKA TUZO ZA MTVMAMA MJINI DURBAN

LAYIII
 
.
.
Ni july 17 ambapo Diamond Platnumz, Neyo, Jhene, Bucie, P Square na wasanii wengine waliungana na MTV Base kwenye mkutano wa waandishi wa habari kutoka media mbalimbali uliofanyika Durban Afrika Kusini.

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 18/07/2015 HAPA

LAYIII

MAGAZETI TZ
Good morning mtu wa nguvu.. swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti ya Tanzania leo July 18 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

Friday, 17 July 2015

MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZ WAKE WALIVOPOKELEWA HUKO ZANZIBAR

LAYIII
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari la wazi pamoja na mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hassan kwenye mitaa ya Michenzani Zanzibar.
Mhe. Magufuli aliwasili Zanzibar kwa lengo la kutambulishwa kwa wanachama wa CCM Zanzibar akiongozana na mgo

WAJUE ALIENS HAPA MTU WANGU

LAYIII

Makala na Sifael Paul
MPENZI msomaji ungana nami katika simulizi hii mpya ya kweli inayohusu viumbe wa ajabu waishio angani. Kama ni msomaji wa vitabu vitakatifu, Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Inahisiwa kuwa visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizizopita

SABABU YA FIFA KUBADILI BAADHI YA KANUNI

LAYIII
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA lina mpango wa kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuzibana nchi zinazowania kuandaa Kombe la Dunia, zisitumie mwanya wa misaada ya kifedha kwa nchi nyingine kama rushwa.

Kipengele kile kinachoziruhusu nchi zinazoshindania nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia kusambaza pesa katika nchi nyingine huenda kikafutwa.

WATU AROBAINI WAFARIKI NIGERIA KISA SOMA HAPA CHINI

LAYIII
Wafanyakazi wa uwokoaji Nigeria wanasema katika eno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika mji wa Gombe watu arobaini wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya milipuko kutokea kwenye soko katika eneo hilo.

Mlipuko wa kwanza umetokea nje ya kwenye maegesho nje ya duka la viatu, na kufuatiwa na mlipuko mwingine muda mfupi baadae. Mmoja ya wafanyakazi wa uokoaji miongoni mwa waliouwa ni wanawake na watoto.

HABARI YA MJINI CHANZO CHA WEMA KUGOMBE UBUNGE CHAJULIKANA

LAYIII
Erick Evarist
MADAM Wema Sepetu ameweka bayana kuwa mtu aliyemsukuma kujiingiza kwenye siasa ni marehemu baba yake, Abraham Sepetu. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Wema ambaye juzi alitarajiwa kuchukua fomu ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, alisema marehemu baba yake alimpa wazo hilo

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO HAPA MTU WANGU

LAYIII

FREDZ
Good morning mtu wa nguvu.. www.swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 23 ya Tanzania leo July 17 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

KUTANA NA UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO TAREHE 17/07/2015 HAPA MTU WANGU

LAYIII
SAUTI ZOTE NIMEKUWEKEA HAPA MTUWANGU WA UKWELI
999
Inawezekana ulikuwa mbali na redio yako na uchambuzi wa magazeti kupitia @Clouds.Fm umekupita, nimefanya juhudi za kukurekodia zile zote kubwa zilizosikika leo kwenye @Power breakfast….
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli jana apokelewa kwa kishindo Zanzibar na fukutu la kuchukua fomu za Ubunge zimeanza rasmi jana.

Thursday, 16 July 2015

CHEKI UJIO WA OBAMA NCHINI KENYA

LAYIII


Zimebaki siku kadhaa nchi ya Kenya kutembelewa na Rais wa taifa lenye nguvu kubwa Duniani, nchi ya Marekani Barack Obama.
IMG-20150715-WA0031
Gari zikishushwa kwenye ndege, maandalizi ya safari hiyo ya Rais Obama nchini Kenya.

AAMUA KUTUWISHA NDEGE YAKE BARABARANI

LAYIII

Mambo yalivyoharibika Rubani ilibidi aishushe ndege katikati ya barabara na magari yanapita.. Ona pichaz na video

11140244_905720162820481_1506951124395673716_n
Japo kumekuwa na stori nyingi zinazohusu ajali za ndege, bado sifa ya kuwa usafiri salama namba moja duniani haijaharibika, nimezipata hizi pichaz na video zinazoonesha Rubani ambaye alijiongea na kuona bora aishushe

Juhudi bila ya Wadau ngumu kutoboa nje – Dayna Nyange.

LAYIII
Mwanamuziki Dayna Nyange ametoa mtazamo wake wa namna gani wasanii wa nyumbani watawezakuvuka mipaka ya nje ya nchi.
Alipokuwa anafanyiwa mahojiano na mwandishi wa timesfm.co.tz Dayna alifunguka kwamba ili wasanii waweze kutoboa ni lazima wawe na Wadau wa nje (connection) kwani wengi wanafanya kazi nzuri lakini kutokuwa na wadau ndio kikwazo.
“Msanii kama Vanessa Mdee leo hii anaanza kuvuka boda ni kwa sababu ya connection ya watu wa nje alionao, kama aliweza kufanya kazi na watu wa MTV sasa kwa nini asifike mbali ukizingatia anafanya kitu kizuri”, alifafanua Dayna.
Dayna alieleza pia kuhusu ujio wa video ya wimbo wake wa Nitulize aliomshirikisha Nay wa Mitego kwamba wataanza kuirekodi siku chache zijazo kwani kuna vitu muhimu wanasubiri kutoka nje ya nchi.
Video hiyo inatarajiwa kurekodiwa hapahapa nyumbani Tanzania, huku akisita kuweka wazi ni kampuni gani ambayo itatengeneza video hiyo na kusema watu wasubiri Surprise.
Dayna mwanamuziki huyu mwenye asili ya huko mkoani Morogoro mwisho alitoa taarifa kwa mashabiki wake wa Tanga wakae sawa kwani anatarajia kuanza show zake mkoani humo kuanzia sikukuu ya Eid

MAPYA YAIBUKA LOWASA KILELENI TENA KISA NI KINGUNGE

LAYIII
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.

#newsflash CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na

MAISHA YA WANAFUNZI HATARINI HUKO BUKOBA................KASHAI, BUKOBA

LAYIII
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kashai, mjini Bukoba,  wakiendelea kuchota maji kwenye mto Kashai karibu na mtaro wa maji machafu.

V MONEY PLATNUMZ TUZO TENA

LAYIII
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.

AEA
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.
Star wa muziki wa Bongo Flava Nasseb Abdul “Diamond Plutnums”, ametajwa kuwania tuzo za African Entertainment awards 2015.

Hii ni good news kwa mashabiki wa Azam FC

LAYIII
Jean Baptiste Mugiraneza ni kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyesajiliwa na klabu ya Azam FC msimu huu akitokea klabu ya APR ya Rwanda kwa mkataba wa miaka miwili. Awali taarifa zilitoka kuwa kiungo huyo atarejea Rwanda kujumuika na kuitumikia timu yake ya APR katika mashindano ya kombe la Kagame yatakayoanza july 18 jumamosi hii.
Ila mambo yamekuwa tofauti baada ya klabu ya APR kumruhusu aichezee Azam FC katika mashindano ya kombe la Kagame. APR ambayo ipo kundi B n

WASANII WAJITO KATIKA SIASA

LAYIII

.
.
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella aka Mkubwa Fella alionesha mapema kabisa leo July 15 amechukua fomu ya kugombea udiwani wa katika mtaa wa Kilungule, Wilaya ya Temeke Dar es Salaam.

Tuesday, 14 July 2015

YONA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO

SWAXBZ

DSC00608
Good morning mtu wa nguvu.. SWAXBZ.COM huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 17 ya Tanzania leo July 15 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

CHEKI MAPOKEZI YA YA MAGUFULI MTUWA NGU UTAPENDA

LAYIII
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.50 PM
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.26 PM
Yeye pamoja na Mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan tayari wamefika Dar es Salaam na leo July 14 2015 ilikuwa siku rasmi ambayo ilitangazwa kwa ajili ya kuwatambulisha Wagom

PESA SI FURAHA ....FURAHA UWE NA KITU CHA ZIADA MAJIBU YA BILIONEA WA FACEBOOK HAPA

LAYIII
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

Zuckernberg
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

HATA UWE NA ULINZI KIASI GANI MWIZI MJANJA TU CHEKI ALIKOPITIA MUUZA UNGA

LAYIII

Federal police patrol near the Altiplano maximum security prison in Almoloya, Toluca, Mexico, early Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped on Saturday night from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
Joaquin “El Chapo” Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha kutoroka kwenye Gereza lenye ulinzi mkubwa kimefanya kila mtu ashtuke

Monday, 13 July 2015

MICHUANO YA KAGAME KUTIMUA VUMBI

LAYIII
Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati jumamosi wiki hii inaanza kutimua vumbi mjini Dar es Salaam Tanzania huku jumla ya vilabu 13 vikishiriki.
Rais wa Rwanda Paul Kagame anatarajiwa kutoa kiasi cha dola elfu 60 za marekani kama zawadi kwa washindi.
Kundi A itajumuisha timu za Yanga yaTanzania, Gor Mahia ya Kenya, Kmkm Zanzibar, Telecom ya Djibout na Khartoum- Sudani Kaskazini.
Kundi B - APR Rwanda, Al Shandy ya Sudan, LLB FC Burundi naHeegan Somalia.
Wakati kundi C - Azam ya Tanzania, Malakia ya Sudan Kusini, Adama ya Ethiopia na KCCA ya Uganda.
Hata hivyo mgawanyo wa zawadi kwa kila mshindi ni kwamba mshindi wa kwanza atajinyakulia dola elfu 30, wa pili dola elfu 20 na wa tatu dola elfu 10.

CHEKI MIONDOKO YA DAVIDO KATIKA NGOMA HIII

LAYIII
Kila siku vituo vya redio na TV Afrika vinapokea mamia ya kazi mpya kutoka kwenye midundo ya Afrika ambapo wiki hii hii ya R2Bees – Gboza ft. Davido ni moja ya video mpya zinazochezwa kwenye TV mbalimbali.

MJUE MAGUFULI MGOMBEA URAIS CCM HAPA

LAYIII

- Alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato, wakati huo ikiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera (sasa mkoa wa Geita).
- Mwaka 2006 – 2009, Shahada ya Uzamivu ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mwaka 1991 – 1994, Shahada ya Uzamili ya Kemia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadaye Chuo Kikuu  cha Salford, Uingereza.
- Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.

SENTENSI 3 ZA DR SLAA KUHUSU CCM NA UBORA WAKE

LAYIII

Dr Slaa 4Kwenye mkusanyiko wa stori za mitandao ndani ya siku tano zilizopita kutoka kwa walichoandika watu mbalimbali maarufu wa Tanzania, zipo pia hizi tweets za katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa.
Ameandika >>> ‘Siku ambayo Watanzania watatambua kwamba walipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo, na kujua kwamba kikwazo ni CCM na kukiondoa haiko mbali, hakuna msafi CCM, wala hii si habari mpya… ubora wa CCM ulizikwa na Azimio la Zanzibar 1994, kwa mara nyingine tena tunapaswa kuamua
Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi‘ – Dr. Slaa.

UKIKOSEA TU MAITI ......... CHEKI BARABARA HIZI MTU WANGU

LAYIIII
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja tu unajiweka kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha, hatari hii inapatikana kwenye barabara ambazo zipo kwenye sehemu mbalimbali duniani.

HII NDO PESA ALIYO LIPWA DIAMOND BAADA YA NYIMBO ZAKE KUCHEZWA KTK TV ZA MAREKANI

LAYIII
Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye TV maarufu kwa burudani, BET ya Marekani.

DNi utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao

LOWASSA GUMZO KILA KONA, KAGUFU HAIJAWAI TOKEA

LAYIII
Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan, lakini yaliyojiri katika mchakato wa kumpata mgombea huyo, hayajawahi kutokea, Ijumaa Wikienda limechimba na kuchimbua.
Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan,

kwa nini hip hop bongo haitusui majibu ya izzo b na majibu yake hapaa

layiii
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu zinazopelekea kwa kukwama.

Izzoooo
.
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu

Hawa ndio wagombea wa urais wa klabu ya Fc Barcelona

layiii

fc barcelona
.
Mbio za kuelekea uchaguzi mkuu katika klabu ya Fc Barcelona bado zinaendelea na wagombea wanne kati ya saba wametimiza vigezo vya kuendelea hatua inayofuata ya kuwania fursa ya kuwa raisi wa klabu hiyo kwa miaka sita.
Miongoni mwa vigezo wa kuendelea na hatua inayofuata katika mbio hizo za uraisi ni lazima mgombea apate saini za mashabiki wa klabu hiyo kuanzia 2534 na kuendelea.

Sunday, 12 July 2015

EBANAA EEE CHEKI JAMAA ANAVO MLEA MTOTO KISTYLE UTAPENDA

LAYIII
SHARE NAMI KWA WENGINE KAMA UMEIPENDA HIII
Kwanza huyu jamaa  alianza na style ya kawaida tu ya kumbeba mtoto nahisi na wewe utakua unaijua, me najua hii style mar nyingi hutumika  kama mtoto analia au una kazi flan hivi unafany ndio unambeba kwa style hii. Kumbe Kwa Kidhungu inaitwa  ‘Standard Shoulder Hold’ and ‘Reverse Standard Shoulder Hold.’…………… Me Nilikua cjui
Lakini sasa baada ya hapo akaleta style zingine za ajabu ajabu ambazo for really its very fuuny

ONA KIPOFU ALIVYO PATA PESA YA KWENDA STUDIO KUTOKA KWA WAPITANZIA

LAYIII
Eddie alikua kipofu kabisa wakati akiwa na miaka 11 na kazi yake ya kujipatia kipato ikawa na kucheza gitaa katka mitaa ya Florida UAS… I mean USA..
So eddie amekua anabarikiwa sana, sana sana, yaaani sana na watu kumchangia kwa miaka mingi sana, tena sana…….. lakini sasa unajua hizi ela anazopata huyu jamaa anazifanyia nini, wala ja


NIMEAMUA KUSHEA NA WEWE VIDEO HII ILI UPUNZISHE AKIRI YAKO BAADA YA UCHOVU MKUBWA

LAYIII


KWA NDUGU ZANGU WALEMAVU TEKNOLOJIA HII NI MSAADA SANA KWAO

LAYIII

Kwanza muonekano wake ni Simple Tu

kitu cha kupanda ngazi kwako kinaweza ni kitu rahisi sana ila kwa kweli inaweza kuwa ni kitu kigumu kwa wale walemavu ambao hawawezi kupanda hizo ngazi, ila sasa kiti cha Scalevo

MAN U NI MWENDO WA KUSAJIRI VIUNGO VIPYA TU CHEKI GINGI HILI

LAYIII
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa TorinoMatteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya.
Mchezaji huyo  ambaye ameichezea klabu yake mechi 146 na kuifungia mabao matano wakati akiwa na timu hiyo na sasa amekubali Mkataba wa miaka minne Old Trafford.   

Mkali mwingine aliyesajiliwa na Manchester United huyu hapa…

mateo
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa TorinoMatteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya.

MOJA BORA YAPATIKANA CCM

LAYIII
 Yaone matokeo hapa sasa
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!

Kwenye watatu waliopitishwa kwenye Urais CCM matokeo ya mwisho ni haya hapa… #CCMDodoma

DSC_2987
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!
Kura zimepigwa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM na matokeo yako hivi >>> John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10% na Asha-Rose Migiro 3%.

 


UCHAGUZI WAHAIRISHWA

LAYIII
Hii ilikuwa ni mara ya tatu kwa uchaguzi huo kuahirishwa baada ya tume ya uchaguzi kuahirisha uchaguzi kwa majuma matatu kutokea tarehe 26 Juni hadi tarehe 15 Julai

Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena 

Uchaguzi wa Burundi umeahirishwa tena.
Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza amesema uchaguzi utafanyika tarehe 21 Julai.
Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani kuandamana na kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

advertise here