Sunday 12 July 2015

MOJA BORA YAPATIKANA CCM

LAYIII
 Yaone matokeo hapa sasa
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!

Kwenye watatu waliopitishwa kwenye Urais CCM matokeo ya mwisho ni haya hapa… #CCMDodoma

DSC_2987
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!
Kura zimepigwa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM na matokeo yako hivi >>> John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10% na Asha-Rose Migiro 3%.

 


No comments:

Post a Comment

advertise here