Friday, 24 July 2015

LOWASSA NA KAULI YA MSEMAJI WAKE KUHUSU KUJIUNGA UKAWA

LAYIII
BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo ili kuongeza nguvu ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa na tayari amejiunga rasmi Ukawa akiwa mwanachama halisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefahamika.
 

 

WEMA LEO NI LEO ATAKATWA AU ATAINGIA MJENGONI KUWA NAMI KATIKA BZNOON NA SWAXBZ.COM

LAYIII
No comments
Actress grade one Bongo Wema Sepetu, ni miongoni mwa wasanii kadhaa waliojitokeza kuomba nafasi za kuwania uongozi Tanzania katika vyama mbali mbali.
Mrembo huyo anawania kuteuliwa kuwa Mbunge wa viti maalum

NCHINI KENYA ULINZI NI WA KUFA MTU KILA KONA NI MAKACHELO WA MAREKANI

LAYIII

Gari na helikopta zisizopenya risasi.

Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao.

FC BARCELONA WALIPOKUTANA NA MABINGWA WA NBA FULL SHANGWE MTU WANGU

LAYIII
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los Angels Lakers Kobe Bryant kutembelea timu yao wakati wa mazoezi sambamba

Pichaz za Wachezaji wa FC Barcelona walipokutana na mabingwa wa NBA, Iniesta, Busquet na Pique waliweza Basketball?

2015-07-23_ENTRENO_48.v1437689442
Pique kushoto akiwa na kombe la NBA, Harrison Barnes katikati akiwa na kombe la URFA na Busquet kulia akiwa na mpira wa Basketball
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los

ASABABISHA MAUAJI KTK NYUMBA YA SINEMA NAYE AJITUNDIKA

LAYIII
Masaa machache yaliyopita kumetokea tukio la mauwaji Marekani ambako mwanaume mmoja aliamua kupiga risasi ovyo akiwa kwenye nyumba ya Sinema iliyopo jijini Lafayette Louisiana na kusababisha vifo vya watu 2 na majeruhi ya watu 9 kabla ya kujiua yeye mwenyewe.

ABIRIA WACHOMWA VISU........ KENYA NA ZIARA YA OBAMA....... ALIYE AHIDIWA UWAZIRI

LAYIII
Bzmorning tanzania leo katika headline za magazeti ya leo nimejaribu kukunyofolea habari hiii mtu wangu wa ukweli
AKIBA TENA
MWANANCHI
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.

NIMEKUWEKEA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO 24/07/2015

LAYIII

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 24 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa

LOWASA ABANWA...........NA MASHINE ZA BVR DAR TATIZO........!!!!!!!!! KATIKA POWER BREAKFAST {ZIARA YA OBAMA}

LAYIII

headlines1
Uchambuzi wa magazeti redioni leo umekupita? Nimekusogezea stori zote za magazeti zilizosikika @Clouds.fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…
Tatizo la BVR linazidi kuwa kubwa, kasoro za uandikishaji zinazidi kujitokeza jijini Dar huku Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Meck Sadik akiomba mashine za BVR kuongezwa na zile mbovu kutengenezwa.

Thursday, 23 July 2015

HABARI ZA KUSHTUA NI KWAMBA TUPAC YUPO HAI NA POLICE WAMEPIMA DNA ZIMECORFIRM {NAKUWEKEA KAMA ILIVO COPY PASTE}

LAYIII

BREAKING NEWS - Police Confirms The Dna "TUPAC IS ALIVE" 2015 Video Proof


BONYEZA PCHA HAPO KUUSHUDIA UKWELI

Today: May 21 2015 we can confirm that Mr. Tupac Amaru Shakur lives. According to the Police officer mr. Beck. "Lately we used to check the DNA test and we discovered that Mr. Shakur lives and as you can see in the video he admits his existen

ALICHOKISEMA DAVIDO KUHUSU COLLABLE YAKE NA ALI KIBA SOMA HAPA

LAYIII

Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya ‘number one rmx’ na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.


ACHOMWA MOTO BILA HURUMA.........MADHARA YA KUTUMIA MADAWA YA KUONGEZA MAKALIO

LAYIII
 Kweli dunia haina ‪#‎huruma‬, ‪#‎dada‬ huyu ateketea kwa moto kisa ‪#‎MCHEPUKO‬ alipewa ofa nyingi sana na mchepuko wake alipo kutwa na mchepuko mwingine joto likaanzia hapo

Vtwoc Da Costa's photo. 

LOWASA WEMA TUMBO JOTO

LAYIII
DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya 

MAYASA MARIWATA
DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina mkanda kamili.

HAHAHAHA JAMANI MBAVU ZANGUUUU EMBU CHEKA NA WEWE HUYU YESU MTUNA MAAJABU YAKE

LAYIII
Jamaa aliyejifanya yesu na maajabu yake embu mcheki hapa mtu wangu kweli watu na maajabu yao  utapasuka na cheko



Wednesday, 22 July 2015

VISOME VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YOTE YA LEO HAPA

LAYIII
DSC09931
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 23 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa.

Haya ndio maamuzi ambayo Rafael Van der Vaart anajutia kwenye maisha yake ya soka…

layiiii

rafael-van-der-vaa_1996045c
Kiungo wa kimataifa wa kiholanzi Rafael van der vaart ambaye amewahi kuitumikia Tottenham Hotspurs  kuanzia 2010-2012 akitokea katika klabu ya Real Madrid ya Hispania uhamisho ulioshangaza wengi kwa kiungo huyo kujiunga White Hart Lane.

MTOTO WA MIAKA MITATU AOTA MATITI HUKO NIGERIA.........NI LONG TIME BUT CURRENT FOR NEW READER

LAYIII
Ni habari ya muda lakini ni ya kwanza kwako wewe msomaji wa swaxbz.com .Napenda kukumbusha kuwa mwenyezi Mungu yupo na wao wanao mwabudu yawapasa kumwabudu kwa roho na kweli.

HUWEZI KUAMINI...!!!MTOTO WA MIAKA 3 AOTA MATITI MAKUBWA KAMA MSICHANA WA MIAKA 18..MTAZAME HAPA HAPA 

Huwezi kuamini mtoto wa miaka 3 huko Nigeia kuota matiti,unaweza kusema kuwa hili swala limesababishwa na hali ya maumbile ya mtoto.Kusema kweli sisi hatufahamu hili swala limetokeaje kwa mtoto huyu mzuri
TAZAMA PICHA HALISI HAPO CHINI...!!!!

LOWASSA TENA: NI UJUMBE KWA WAPIGA KURA WOTE NA WANAOJIANDIKISHA

LAYIII

LOWASA KAANDIKA UJUMBE TATA KATIKA PAGE YAKE YA INSTOGRAM

LAYIII
Kwanza kabisa napenda kuwapa taarifa kuwa inasemekana imekuwa cornformed lowasa kupeperusha bendera ya ukawa
huu ndo ujumbe wa lowasa katika page yake ya instogram.



 

KUMBE NANANA YA DIAMOND ILIKUWA IFANYWE NA LUDUCRISE

LAYIIII
“Nana” ya Diamond platnumz ni moja ya nyimbo kubwa sana Afrika kwa sasa, Bado inaendelea kukimbiza katika chat mbalimbali za television kubwa kama Trace.Kumbe nyimbo hii ilitakiwa afanye na Ludacris.
Akiongea katika kipindi cha mambo mseto kinachoongozwa na William Mtuva Diamond amesema kuwa nyimbo ya Nana ilitakiwa afanye na Ludacris lakini Midundo ambayo ilitumika ilionekana kuwa Luda asingeweza kufeet katika ngoma, ikabidi asimame Flavour.

CHADEMA KUMTAJA MGOMBEA URAIS LEO

LAYIII
Pirika pirika ni nyingi asubuhi na inawezekana uchambuzi wa Magazeti redioni @Clouds.fm umekupita, nimefanya juhudi ya kukurekodia stori zote za magazeti zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…

CHADEMA na mgombea Urais leo, Odinga aivulia kofia Zanzibar na Madereva kulipa fine kielektroniki. (Audio)

xxxx
Pirika pirika ni nyingi asubuhi na inawezekana uchambuzi wa Magazeti redioni @Clouds.fm umekupita, nimefanya juhudi ya kukurekodia stori zote za magazeti zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa…
James Lembeli atangaza sababu zilizomtoa CCM mizengwe na rushwa kuwa sababu kuu zilizomtoa kwenye Chama hicho na kuhamia CHADEMA.

Tuesday, 21 July 2015

ALIYEGEUKA NUSU NYOKA VIDEO YAKE HAPA ENZI ZA UTOTO WAKE

LAYIII
Kama ulifatilia ile post ya juzi nilikuwekea picha za mwanamke aliye kuwa nusu nyoka sasa camera yetu imezipata video zao zote zifate hapo chini ndugu yangu

picha nyingine hapa alifichwa sana ili watu wasijue kama yupo huyu hapa mcheki katika video hiii

NIMEKUWEKEA VIDEO UONE BINADAMU ANAVYOUMBWA .........HAYA NDO MAAJABU YA MWENYEZI MUNGU

LAYIII
Ikiwa ni siku chache wanasayansi walivyokuwa wakijaribu  kumtengeneza binadamuna juhudi zote kukwama nimeamua kukuletea video ujionee jinsi binadamu anavyoumbwa utaona ukuu wa mungu ulivyo jamani mwacheni mungu aitwe mungu yeye ndio muweza



DIAMOND AMJIBU JOKATE AMSHANGAA JOKATE KUTOA PONGEZI KWAKE

LAYIII

Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi

Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi

 
Kutangaza hapa piga : 0766900009
UNGEPENDA KUJUA MWANAMKE ALIYEGEUKA NYOKA BASI FATA LINK CHINI
Tembelea :http://www.swaxbz.com/2015/07/mwanamke-ageuka-nyoka-mtu-jamaniii-ndo.html
Mkali wa ngoma ya Nana,ambaye amenyakua tuzo ya MTV MAMA kama Mtumbuizaji Bora wa Afrika,Diamond Platnamz amemjibu mwanamitindo Jokate Mwegelo baada kuandika ‘status’ kwenye akaunti ya Instagram yake na kumpongeza msanii huyo kunyakua tuzo na kusema mbona hakumsapoti kwa kumpost kwenye akaunti yake kabla ya kutwaa tuzo hiyo.

SASA NI ZAMU YA IRENE UWOYA

LAYIII
Baada ya kuona mastaa mbalimbali wakiendelea kujitokeza katika kuchukua fomu za kuwania ubunge 2015 kwaajili ya kutetea haki za wananchi wao, sasa good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya mwigizaji wa filamu Irene Uwoya naye amechukua fomu ya kuwania Ubunge viti maalumu mkoani Tabora.

.
.
Baada ya kuona mastaa mbalimbali wakiendelea kujitokeza katika kuchukua fomu za kuwania ubunge 2015 kwaajili ya kutetea haki za wananchi wao, sasa good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya mwigizaji wa filamu Irene Uwoya naye amechukua fomu

Donald kaisambaza hii na Diamond Platnumz leo

LAYIII
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Time hii nakukaribisha kuisikiliza hii single mpya aliyoshirikishwa na msanii kutoka South Africa Donald wimbo unaitwa ‘Wangu’.
.
.
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Time hii nakukaribisha kuisikiliza hii single mpya aliyoshirikishwa na msanii kutoka South Africa Donald wimbo unaitwa ‘Wangu’.

Nay wa Mitego kamvalisha pete Shamsa?, Rabbit katua kufanya video, Crazy GK kauzungumzia muziki wa TZ..#255 (Audio)

LAYIII
sham
Rabbit msanii kutoka pande za Kenya amedondoka Bongo kufanya video na G Nako, Joh Makini,Rich Mavoko..amesema amekuja kufanya kazi na Director wa huku..anataka kujaribu kufanya kazi na watu mbalimbali.
rabit
Rabbit
Pia mkongwe kutoka ECT, Crazy GK amesema kitu kinachomis kwenye muziki wa Tanzania ujuzi wa muziki…wengi wanajaribu bado hawana ujuzi wa kutosha kwenye muziki..

HIZI NDIO LAWAMA ZA MOURINHO KWA FC PORTO

LAYIII
Iker Casillas amelelewa na Klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa miaka 25, ndani ya kipindi hicho ameichezea Klabu hiyo kwa miaka 16, lakini mambo yakabadilika baadae ambapo mwezi huu alitangaza kuhamia Klabu ya FC Porto ya Ureno kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja zaidi.

Mourinho analaumu FC Porto kumsajili Casillas pamoja na mshahara wake?

jose-mourinho-chelsea_e5smuyx0q03h1346wwab0ldj5
Iker Casillas amelelewa na Klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa miaka 25, ndani ya kipindi hicho ameichezea Klabu hiyo kwa miaka 16, lakini

Floyd Mayweather KUKUTANA NA HUYU JAMAA ULINGONI

LAYIII

Andre
Andre Berto
Jina la Floyd Mayweather ni moja ya majina ya mastaa wachache waliochukua headlines nyingi zaidi mwaka 2015, mwaka uko katikati na bado anaendelea kuchukua nafasi hiyohiyo ya juu… mara nyingi kuna stori ya yeye kustaafu mchezo wa Ngumi, mpango wake uko palepale ila leo tutamjua mpinzani wake mwingine.
FMAY
Floyd Mayweather
Pambano lake linalofuatia litakuwepo September 12 2015, na tayari majibu yako on air kwamba atakayepambana nae ni Andre Berto, Bondia ambaye ana rekodi ya kushinda Mapambano 33 na amepigwa kwenye Mapambano matatu.
Floyd Mayweather ameshinda jumla ya mapambano 48, hajapigwa hata pambano moja… Berto ataweza kuianguisha record ya huyu jamaa?
may

Monday, 20 July 2015

KATIKA TUZO ZA AFRIMAMA TANZANIA YAWAKILISHWA NA WASANII SABA WACHEKI HAPO CHINI

LAYIII
NOMINEES
Najua itakuwa furaha kubwa kwa kila mtu wa nguvu ambae anatoa love na suppoort ya kutosha kwa wasanii wa TZ, inapendeza kuona majina ya mastaa wetu wanaofanya muziki wanazidi kufahamika nje ya mipaka yetu.
MTV MAMA 2015 imeshafanyika Durban South Africa ambapo TZ ilikuwa ikiwakilishwa na mastaa wawili tu, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee… lakini kabla mambo hayajapoa nakutana

MWANAMKE AGEUKA NYOKA MTU JAMANIII NDO NYAKATI ZENYEWE HIZI ZA MWISHO

LAYIII

NI KULE INDONESIA TENA

DONALDO ASAMBAZA MIDOLA KWA KOCHA WAKE

LAYIII


DUNIA NA MAAJABU YAKE EMBU MWONE HUYU MTOTO INATIA HURUMA SANA

LAYIII


Ni mtoto aliye zaliwa miaka kumi na mbili iliyo pita inatia huruma sana embu weka comment yako hapo chini walau hata maombi yako ndugu yangu
KUIONA VIDEO HIYO NI FATA LINK HII tbcueltd.blogspot.com

goal keepr afukuzwa huko manchester

layiii
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

louis-van-gaal-manchester-united_1sjazi885y191peieecz900kg

Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye timu pale ambapo anaona anakwenda kinyume na matarajio yake .

Real Madrid yagonga ukuta kwa De Gea.

David de Gea Manchester United

Usajili wa kipa Mhispania David De Gea kuelekea klabu ya Real Madrid kwa sasa inaonekana kama huenda usitokee tena hivi karibuni baada ya klabu hii ya Hispania na wenzao wa Manchester United kushindwa kufikia makubaliano .
Manchester United imegoma kabisa kufanya mazungumzo na Real kuhusiana na De Gea kutokana na Wahispania hao kushindwa kutimiza masharti ambayo United imeyaweka katika mazungumzo hayo .
United imewaambia Real kuwa endapo wanamtaka De Gea basi wakubali kumruhusu beki Mkongwe Sergio Ramos ajiunge na United au Gareth Bale jambo ambalo vijana hawa wa Florentino Perez amelikataa katakata.

MAREKANI YATOA SALUTE KWA DIAMOND NI BAADA YA NEYO KUFIKISHA SALAM ZA USHINDI WA DIAMOND

LAYIII
KIWANGO ndivyo tunavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani kutoka marekani kumvulia kofia staa wa tanzania DIAMOND PLATNUMZ.
NASEMA TENA
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili....

Sunday, 19 July 2015

SIKILIZA ALIKIBA ALIVOONGELEA COLLABLE NA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII


INASIKITISHA SANA MWANAMKE AJIFUNGUA TEMBO BAADA YA KUBEBA MIMBA MIEZI KUMI NA TATU (13)

LAYIII
MAAJABU YA, Mwanamke mmoja nchini Indonesia amejifunngua TEMBO badala ya mtoto katika ujauzito aliodumu nao zaid ya miezi 13 bila madaktari kugundua kilichopo ndani, play video ujioneee

RED CARPET PLATNUMZ MWANZO MWISHO HADI TUZO YA BEST LIVE P.......

LAYIII


ULIMISS KUONA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO ZA MTVMAMA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII

Screen Shot 2015-07-19 at 8.35.00 PM
Diamond Platnumz jana katangazwa Mshindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act, hajachelewa kurudisha Tuzo home.. tayari kaingia Dar es Salaam na hata kabla hajafika Uwanja wa Ndege kulikuwa na Kundi kubwa la watu waliofurika

MATOKEO YA AZAM FC .........KOMBE LA KAGAME HAPA

LAYIII

azaaa
Klabu ya Azam imeanza vyema michuano ya kombe la Kagame inayoendelea kwenye uwanja wa Taifa, Dar es salaam baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao

ONA VIDEO ALIYO POST DIAMOND HAPA IKIMONYESHA KIDOTI AKICHEZA NA MANENO ALIYO AMBATANISHA

LAYIII

photo-collage
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @  
BAADAYE NAYE JOKATE KATUPIA LAKE HAPA MTU WANGU


NIMEKUSOGEZEA KIONJO CHA SHOW YA DIAMOND HUKO MTV

LAYIII



UVUMI WA LOWASA KUHAMIA CHADEMA NA MAGAZETI YA LEO 19/07/2015

LAYIII
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Uamuzi wa Lembeli umekuja wakati wanachama kutoka sehemu mbalimbali wakitangaza uamuzi wao wa kujiengua CCM na kujiunga na vyama vya upinzani, hasa Chadema ambayo imesomba asilimia kubwa ya wahamaji hao.

LEMBELI kuihama CCM?, Mafuriko ya LOWASSA CHADEMA na Mwinyi avunja ukimya…#MAGAZETINI JULY19

LATE
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.

SIKILIZA MAJIBU YA BENK KUU YA TANZANIA KUHUSU UWEPO WA SARAFU YA TSH 500

LAYIII
Kwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

BOTKwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

Saturday, 18 July 2015

MTVMAMA YAKAMILISHA KAZI YAKE TUZO MOJA NYUMBANI MTU WANGU

LAYIII
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.
CKOalk7UMAAasmN

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.
List ya Washindi wote hii hapa..

DIAMOND KAELEZEA UKWELI JUU YA BIFU LAKE NA DAVIDO

LAYIII


ETI LAZIMA MWANAJESHI UWE NA SURA NGUMU TANZANIA EMBU CHEKI HAWA WATOTO WAZURI

LAYIII

Hawa Ni Watoto Wa Kike Kutoka Rwandan Army!! Ohh Mama Mia!!

Rwanda-Army11
Watu wengi wameshazoea kwamba wanajeshi lazima uwe na sura ngu… hivi, hakuna watoto wakali na nini! lakini kwa jeshi la Rwanda ni tofauti aisee watoto wakali kinoma, imeletea mijadala kibao

NIMEKUSOGEZEA VIDEO HAPA JINSI DIAMOND ALIVOKUWA AKIHOJIWA NA WAANDISHI HUKO DURBAN

LAYIII

Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali w

KATIKA PRESS CONFERENCE DIAMOND HAJABAKI NYUMA BADO ........... NI KATIKA TUZO ZA MTVMAMA MJINI DURBAN

LAYIII
 
.
.
Ni july 17 ambapo Diamond Platnumz, Neyo, Jhene, Bucie, P Square na wasanii wengine waliungana na MTV Base kwenye mkutano wa waandishi wa habari kutoka media mbalimbali uliofanyika Durban Afrika Kusini.

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 18/07/2015 HAPA

LAYIII

MAGAZETI TZ
Good morning mtu wa nguvu.. swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti ya Tanzania leo July 18 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

Friday, 17 July 2015

MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZ WAKE WALIVOPOKELEWA HUKO ZANZIBAR

LAYIII
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari la wazi pamoja na mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hassan kwenye mitaa ya Michenzani Zanzibar.
Mhe. Magufuli aliwasili Zanzibar kwa lengo la kutambulishwa kwa wanachama wa CCM Zanzibar akiongozana na mgo

WAJUE ALIENS HAPA MTU WANGU

LAYIII

Makala na Sifael Paul
MPENZI msomaji ungana nami katika simulizi hii mpya ya kweli inayohusu viumbe wa ajabu waishio angani. Kama ni msomaji wa vitabu vitakatifu, Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Inahisiwa kuwa visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.
Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizizopita

SABABU YA FIFA KUBADILI BAADHI YA KANUNI

LAYIII
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA lina mpango wa kuzifanyia marekebisho kanuni zake ili kuzibana nchi zinazowania kuandaa Kombe la Dunia, zisitumie mwanya wa misaada ya kifedha kwa nchi nyingine kama rushwa.

Kipengele kile kinachoziruhusu nchi zinazoshindania nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia kusambaza pesa katika nchi nyingine huenda kikafutwa.

WATU AROBAINI WAFARIKI NIGERIA KISA SOMA HAPA CHINI

LAYIII
Wafanyakazi wa uwokoaji Nigeria wanasema katika eno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika mji wa Gombe watu arobaini wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya milipuko kutokea kwenye soko katika eneo hilo.

Mlipuko wa kwanza umetokea nje ya kwenye maegesho nje ya duka la viatu, na kufuatiwa na mlipuko mwingine muda mfupi baadae. Mmoja ya wafanyakazi wa uokoaji miongoni mwa waliouwa ni wanawake na watoto.

HABARI YA MJINI CHANZO CHA WEMA KUGOMBE UBUNGE CHAJULIKANA

LAYIII
Erick Evarist
MADAM Wema Sepetu ameweka bayana kuwa mtu aliyemsukuma kujiingiza kwenye siasa ni marehemu baba yake, Abraham Sepetu. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Wema ambaye juzi alitarajiwa kuchukua fomu ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, alisema marehemu baba yake alimpa wazo hilo

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO HAPA MTU WANGU

LAYIII

FREDZ
Good morning mtu wa nguvu.. www.swaxbz.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 23 ya Tanzania leo July 17 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

KUTANA NA UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO TAREHE 17/07/2015 HAPA MTU WANGU

LAYIII
SAUTI ZOTE NIMEKUWEKEA HAPA MTUWANGU WA UKWELI
999
Inawezekana ulikuwa mbali na redio yako na uchambuzi wa magazeti kupitia @Clouds.Fm umekupita, nimefanya juhudi za kukurekodia zile zote kubwa zilizosikika leo kwenye @Power breakfast….
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli jana apokelewa kwa kishindo Zanzibar na fukutu la kuchukua fomu za Ubunge zimeanza rasmi jana.

advertise here