Tuesday 21 July 2015

DIAMOND AMJIBU JOKATE AMSHANGAA JOKATE KUTOA PONGEZI KWAKE

LAYIII

Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi

Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi

 
Kutangaza hapa piga : 0766900009
UNGEPENDA KUJUA MWANAMKE ALIYEGEUKA NYOKA BASI FATA LINK CHINI
Tembelea :http://www.swaxbz.com/2015/07/mwanamke-ageuka-nyoka-mtu-jamaniii-ndo.html
Mkali wa ngoma ya Nana,ambaye amenyakua tuzo ya MTV MAMA kama Mtumbuizaji Bora wa Afrika,Diamond Platnamz amemjibu mwanamitindo Jokate Mwegelo baada kuandika ‘status’ kwenye akaunti ya Instagram yake na kumpongeza msanii huyo kunyakua tuzo na kusema mbona hakumsapoti kwa kumpost kwenye akaunti yake kabla ya kutwaa tuzo hiyo.

Akizungumza na XXL ya Clouds Fm,Diamond alisema kuwa baada ya kuambiwa alichopost Jokate kumjibu Diamond baada ya kupost video ikimuonyesha mwanamitindo huyo akicheza ngoma yake ya Mdogomdogo alisema kuwa amecheka na nimesikitishwa kwani huwa anazungumza vitu vingi na yeye amecheza kama ‘fun’ na yeye amempost kama ‘fun’ wake na ile ‘caption’ yake hajamuandika jina ha hajasema chochote kwanini yeye amejishuku hivyo kuna namna nyuma.
’Mbona huwa napost watu wengi tu tena naandika ‘caption’ zangu za vituko vituko mimi ni mswahili nimezaliwa Tandale nimekulia Tandale na Tandale kumenifanya leo niwe hapa nilipo mbona huwa naandika caption za uswahili na hakuna anayejibu ila yeye tu ujue hapo kuna tatizo kwani kuna ubaya gani? Yeye aone tatizo kuandika mimi Mtanyooka tu kama yeye haimuuhusu basi ukiona hivyo kuna kitu kinamuhusu,’’alisema Diamond.
‘’Nikasikia kuwa kasema kuwa ndiyo maana wanaogopa kusapoti wasanii wa Tanzania kwa sababu wakisapoti wanadhalilishwa yeye mpaka naenda kuchukua tuzo ya Mtumbuizaji Bora yeye amenisapoti nini hajawahi kunipost hata tuzo moja sasa hivi ndiyo anajishaua eti ananipa hongera kwa tuzo ningemuona wa maana angepost watu wapige kura na kuwahamasisha ili ushindi urudi nyumbani lakini kwa chuki alizojazwa pasipo na sababu na roho mbaya aliyowekwa na watu imemfanya ashindwe kunipost na kutengeneza chiki za chinichini wakidhani wakiwapigia kura Wanageria mimi nitakosa tuzo Mungu amewalaani mimi nimeshinda halafu anajifanya anatoa hongera eti wanasapoti muziki wa Tanzania au kwasababu wameona tuzo imekuja ndiyo wanajifanya wanatoa hongera tuache unafiki,’’alimalizia Diamond.


No comments:

Post a Comment

advertise here