Thursday 23 July 2015

ALICHOKISEMA DAVIDO KUHUSU COLLABLE YAKE NA ALI KIBA SOMA HAPA

LAYIII

Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya ‘number one rmx’ na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.


No comments:

Post a Comment

advertise here