Wednesday 30 September 2015

MILIONEA ALIYEKIJENGA KISASA KIJIJI ALICHOZALIWA

layiii
ImageProxy
Milionea Xiong Shuihua akijisomea

NYUMBA 15 ZA MASTAA ZILIZOONGOZA KWA UFAHARI HADI KUFIKIA NOV.2013

layii
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika biashara.

Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)

LAYIII

Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16 ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni kama saa moja tu hivi unakuwa umemaliza safari !!
Sasa hizo saa za kukaa kwenye basi safari ya Mwanza-Dar kuna watu wanazitumia wakiwa angani kwenye Ndege… Nimezipata Rekodi Mitandaoni, zinaonesha safari kumi za Ndege ambazo wasafiri

ABILIA KAKOSEA MLANGO WA NDEGE KATAKA KUFUNGUA WA KUTOKEA NJE AKATI NDEGE IKO ANGANI KILICHO MKUTA STORI NYINGINE

LAYIII
Ndege ya Shirika la KLM ilikuwa katikati ya safari kutoka Edinburgh kwenda Amsterdam, Uholanzi… ilibaki kidogo mambo yaharibike katikati ya safari.. abiria mmoja akakosea mlango, badala ya kufungua mlango wa kuingia chooni, yeye akaenda moja kwa moja kwenye mlango wa kutokea nje huku ndege ikiwa juu angani na safari inaendelea !!

Sunday 27 September 2015

Magazeti 20 ya Tanzania leo September 28 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews!

layiii

.
.
September 28 2015 ninazo tayari stori kubwakubwa kwenye kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania >>> Udaku, Hardnews na Michezo.

DR CHENI AFUNGUKA ISHU YA MADAI ETI KUWA YEYE KUTAKA KUMUOA LULU!!

layiii

Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu.

HAWAKUJALI MANENO NA MINONG`ONO NDIYO MAANA MPAKA LEO UHUSIANO WAO UNADUMU NANI HAOO...............

LAYIII

Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na kuchangia mahusiano yao kuvunjika.
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia

BAADA YA KUPOTEZA MECHI NNE, KUNA DALILI YA JKT RUVU KUFANYA MAAMUZI HAYA MAGUMU

layiii
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea September 27 kwa mechi mbili kupigwa , huu ukiwa ni muendelezo wa mechi za round ya nne kwa timu za Ligi Kuu. Msimu wa Ligi 2015/2016 kila timu inaonekana kujiandaa na haitaki kupoteza mchezo wowote wa Ligi Kuu licha ya kuwa hali ni tofauti kwa klabu ya JKT Ruvu.

NEW KUTOKA BONGOHOLLYWOOD BLOG

LAYIII
Wakati mkiwa tayari kupata habari kwa njia ya simu ukiwa na laini ya tigo na millardayo mtu wako wa nguvu swaxbz amekusogezea bongohollywood.blogspot.com ambayo itakupa ratiba mbalimbali za show za wasanii headline ya siku pamoja na ngoma mpya kabisa ungana na bongohollywood kudownload ngoma mpya kila siku na uwe mmoja wa watu wa kisasa zaidi

MAGUFULI AIGEUZIA KIBAO TUME YA TAFITI ILIYOMPA USHINDI WA URAIS

LAYIII

By Peter Elias, Mwananchi
Kahama. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema waliofanya utafiti wamempunja asilimia kwani ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 95 na si 65 kama zilivyotajwa kwa kuwa wananchi wanampenda, naye yuko tayari kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo.

WAISLAMU WATOA TAMKO DHIDI YA LOWASSA NA GWAJIMA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

LAYIII

  
Picha na Maktaba
TAMKO LA TAASISI YA KIISLAMU YA IMAM BUKHARY JUU KAULI ZA NDUGU EDWARD LOWASSA NA ASKOFU GWAJIMA WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA

NINAZO PICHA ZA KILIFEST HAPA MTU WANGU

LAYIII
Ruby.
Ni Sept 26, 2015 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walishuhudia Burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo, Ruby, Fid Q, Aika na Nahreel, Damian Soul, Barnaba na wengineo,Show hiyo iliyopewa jina la Kill Fest ilifanyika katika viwanja vya Leaders Club Dar es

Friday 25 September 2015

MAANDALIZI YA KILIFESTIVAL HAPO KESHO

LAYIII
Jumamosi September 26 2015 Viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam kutashuhudiwa Burudani ya nguvu, list ya mastaa watakaoikamilisha Burudani yote tayari imetajwa…

UNATAKA UTAJIRI WA HARAKA EMBU SOMA HAPA

LAYIII
HAISHANGAZI kama ukilala maskini ukaamka tajiri. Swali ni je, utaufanyia nini utajiri huo? Amini usiamini inawezekana. Kumbuka, sijasema itakuwa rahisi, nilichokisema ni kwamba inawezekana. Hapa nakuletea dondoo za namna ya kupata utajiri haraka kwa lugha ya mtaani fastafasta.

Monday 21 September 2015

SOMA MAWAZO 100 YA KUANZISHA MIRADI NA BIASHARA MBALIMBALI

LAYIII
    1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
    2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
    3. Kutengeneza na kuuza tofali
    4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
    5. Kuanzisha kituo cha redio na televisheni

Friday 18 September 2015

COLLABO YA STEREO NA AY, ‘STAY’ YA GODZILLA KWENYE DOCUMENTARY, ALBAMU MPYA YA HEMED PHD JE?..#255

LAYIII
Kwenye zile headlines za burudani leo Rapper Stereo amesema wakati wa kufanya kazi na AY umefika na sasa wanatarajia kuachia bonge la ngoma na itatoka wakati wowote chini ya Studio za MJ Records..pia leo anatarajia kutambulisha kichupa chake cha ‘Ilala na Ukonga’ akimshirikisha Chid Benz.
STEREO
Stereo
Godzilla aliachia ngoma ya ‘Stay’ na sasa anatarajia kuachia Video yake pamoja na Documentary… yupo katika mazungumzo na waandishi mbalimbali watakaomsaidia kuandika script ili kukamilisha

COLLABO NYINGINE YA LIL WYNE FEAT.CHRISTINA MILIAN ISIKUPITE WEEKEND HII MTU WANGU

LAYIII
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao.

LIST YA VIWANJA 10 VYA NDEGE AMBAVYO NI VYA GHARAMA ZAIDI DUNIANI…(PICHAZ)

layiii
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
11
1. Kansai International Airport –Japan: kimetumia dola bilioni 20 kujengwa

HAYA NI MAISHA MENGINE YA KOCHA JOSE MOURINHO NJE YA SOKA…

layiii
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.

Thursday 17 September 2015

PICHAZ ZA JAY Z, BEYONCE NA MTOTO WAO WAKIENJOY KATIKA BOTI YA KIFAHARI ZIPO HAPA…

LAYIII
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo inaitwa Galactica Star, gharama ya kukodi boti hiyo kwa wiki ni dola 900000 za kimarekani ambazo

MAGAZETI YA TANZANIA SEPTEMBA 18, 2015.. UDAKU, MICHEZO NA HARDNEWS !

LAYIII

HADI KUFIKIA JUNE 2013 HAYA NDIO YALIKUWA MAAJABU 10 YA DUBAI (+PICHAZ)

LAYIII
Miongoni mwa sehemu nzuri na zakuvutia kutembelea katika hii Dunia basi Dubai haiwezi kukosa, Dubai unatajwa kuwa mji wa kitalii na kibiashara, wengine wanautaja kama pepo ya watalii. Mji huo umejengeka kwa majengo yenye ramani za kuvutia. September 17 nakusogezea

MAGUFULI NA M4C, ZITTO NA JK, CCM NA UCHAGUZI MKUU, MAJARIBIO YA FAINI TZ LEO? >>> STORI KUBWA (AUDIO).

layiii
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli asema “M4C” inamaanisha Magufuli 4

Wednesday 16 September 2015

WAJUWE WAGENI WALIOITEKA MAREKANI

LAYIII


Rihanna.
Hans Mloli na mtandao
WAHAMIAJI wapo kila mahali duniani lakini mara kadhaa huwa ni ngumu sana kung’ara au kuonyesha kipaji chako mbele ya wenyeji na kuwafunika kirahisi.

NINAYO TAYARI ORODHA KAMILI YA WALE WOTE WANAOWANIA TUZO ZA ANNUAL BET HIP HOP AWARDS 2015!

LAYIII
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani Marekani BET huandaa tuzo za kipekee kabisa  ‘Annual BET Hip Hop Awards’ kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa 2015 zikiwa

GOOD NEWZ DIAMOND TUZO NYINGINE

LAYIII

Entertainment

#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!

Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumz alitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini Milan Italy.

AJIKUTA MIKONONI MWA POLICE BAADA YA KUONYESHA UBUNIFU WAKE

LAYIII
Ahmed Mohamed ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo cha Polisi na wakamkamata !!

TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)

LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na kujaa zinachukua muda pia

Tuesday 15 September 2015

AUNT EZEKIEL KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM….(AUDIO)

layiii

MAKUBWA YAIBUKA AUNT EZEKIEL NA RAY WAMEHAMIA CCM ?, STEVE NYERERE KAYAZUNGUMZA HAPA…

LAYIII....


.
.
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha Mapinduzi.

SABABU YA LILY WAYNE NA CHRISTINA MILIAN KUACHANA HII HAPA…

LAYIII
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi

P-SQUARE WAONYA: SISI WABURUDISHAJI SI WANENGUAJI

layiii
Mapacha wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye.
MAPACHA wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square, wamesema hawataki kuitwa wanenguaji, bali waitwe waburudishaji.

PSQUARE WAWEKA HEADLINES KWA KUBUKA NA MJENGO MWINGINE HUKO ATLANTA….

LAYIII

Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.

JINSI AZAM FC NA MTIBWA SUGAR WALIVYOTIMIZA VIGEZO VYA KUPATA LESENI YA KLABU KWA 95% (+AUDIO)

LAYIII
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.

MAJIBU YA MOURINHO KUHUSU MFULULIZO WA MATOKEO MABOVU NA KUELEKEA MECHI DHIDI YA KLABU YA MACCABI TEL AVIV..

layiii
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.

HABARI ZA KUSHTUA DJ FETTY ATANGAZA KUACHA KAZI YA UTANGAZAJI

LAYIII
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty, moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.

Monday 14 September 2015

BAADA YA KUSHINDA PAMBANO LA 49, FLOYD MAYWEATHER ANAACHANA NA MCHEZO WA NGUMI??

LAYIII
Bondia Floyd Mayweather ni jamaa mwenye rekodi nzuri ambayo ameijenga kwa kipindi chote cha miaka yote 19 aliyoitumia kwenye mchezo wa ngumi..Usiku wa kuamkia leo September 13 2015

Sunday 13 September 2015

HIKI NDICHO KILICHOWAKUTA ESPANYOL WALIPOCHEZA NA REAL MADRID LEO

layiii

Ligi kuu ya Uhispania imeendelea leo baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kimataifa kumalizika, Real Madrid walisafiri mpaka jijini Barcelona kwenda kucheza na Espanyol.

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA ARSENAL VS STOKE NA MAN CITY VS CRYSTAL PALACE

layiii
Baada ya mchezo wa mchana kati ya Chelsea vs Everton, Barclays Premier League imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti nchini Uingereza.

MATOKEO YA MAN UTD VS LIVERPOOL NIMEKUWEKEA HAPA

layiii
Ule mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu baina ya wapinzania wa jadi wa ligi kuu ya Uingereza, vilabu vya Manchester United dhidi ya Liverpool umepigwa usiku huu.

Saturday 12 September 2015

JINSI SINGLE YA ROMA ILIVYOZUILIWA KUCHEZWA KTK VITUO VYA HABARI

LAYIII 
.
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.
Msanii huyo alipokutana na ripota wa millardayo.com aliweza kuelezea sababu

PAMBANO LA KESHO LA FLOYD MAYWEATHER LINAUZA? PROMO HAKUNA? TIKETI JE?

layiii

Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao May 02 2015 lilivunja rekodi nyingi ikiwemo ya mauzo ya Ticket, ticket ziliuzwa kati ya Dola 1,500 na Dola 10,000 lakini ndani ya saa mbili tu ziliuzika zote !!

Thursday 10 September 2015

DK MAGUFULI AKABIDHIWA FIMBO YA NYERERE

LAYIII

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara

Tuesday 8 September 2015

GWAJIMA ATEMA NYONGO AMWANIKA DOKTA SLAA HADHARANI NI KATIKA BZ MORNING YA MAGAZETI YA LEO

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 9,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya

JINSI GWAJIMA ALIVYO MJIBU DOKTA SLAA

LAYIII
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, baada ya siku kadhaa kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Viko vya CHADEMA pamoja na Vyama vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado

TAARIFA KUTOKA OFISI YA TAKWIMU KUHUSU MFUMUKO WA BEI MWEZI AGOST 2015

LAYIII

advertise here