Friday, 15 April 2016

KIARABU CHA PIGWA MARUFUKI KATIKA MISIKITI NCHINI UJERUMANI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Kiongozi wa chama cha Conservative cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.
Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za

BOBOA BOMOA INAZIDI KUPIGWA KALENDA

LAYIII
Bomoabomoa iliyoanza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye maeneo mbalimbali ya mabondeni ikiwemo kwa maeneo yaliyo kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya wakazi wa Tabata Segerea kufungua kesi kupinga ubomoaji wa nyumba zao. 
April 15 2016 ilikuwa ni siku ambayo kesi ilitakiwa kutolewa hukumu katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi lakini taarifa iliyotoka ni kwamba Jaji Fredrica Mgaya aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo anaumwa. Wakizungumza na millardayo.com Diwani kata ya Tabata, Patrick Assenga na Mbunge wa viti maalum Segerea, Anatropia Theonest, wamesema …..

DOWNLOAD : GODZILLA MWASITI SINGO MPYA

LAYIII
Ni siku kadhaa tangu rapper Godzilla aichie single yake iitwayo ‘I Get High’, sasa time hii anakualika kuisikiliza hii single mpya inayoitwa First Class aliyomshirikisha Mwasiti.
Isikilize hapa

Wednesday, 13 April 2016

HILI NALO JIBU KIJANA UKITAKA KUOA UO MANAMKE MWENYE NYOTA WENGINE MBWEMBWE

LAYIII

Kuna kitu kipo lakini watu hawajui au hawjawahi kukifikiria!! Nacho ni Nyota ya mwanamke!! Ndio nyota
Leo nimeambiwa kisa kimoja ambacho kimelipua mawazo yangu yaliyolala kwa kitu ambacho nilshakua nakuona
STORY
Kuna jamaa yangu anataka kuoa mke wa pili baada ya kuombwa na mke wa kwanza afanye hivo!!Jamaa kamuoa mke wa kwanza miaka michache iliopta na alikua mambo safi kwa sabab bahati

MBONA HATUELEWI HAMA HAMA YA WATANGAZAJI A RADIO

LAYIII

Watangazaji sasa wanabadilisha vituo kama team za soccer.

Gadner katoka Efm kaenda Clouds.

PJ na Hando wametoka Clouds wameenda Efm.

Jabir saleh na Bi Hindu wametoka Times fm wameenda Efm.

Dj Senyorita na Mami wametoka East Africa radio wameenda Clouds.

DIAMOND SIPENDI KUISHI MAREKANI NIMENUNUA NYUMBA SOUTH AFRICA

LAYIII

Msanii Diamond Platnumz amefunguka kuhusu suala la yeye kutonunua nyumba nchini Marekani kama wasanii wenzake wakubwa wa Afrika wanavyofanya.

Diamonda amefunguka hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa haoni umuhimu wa yeye kununua nyumba Marekani, tofauti na alivyonunua Afrika Kusini, kwani kule ilimlazimu.

MUGABE SIFI HADI NIFIKISHE MIAKA 100

LAYIII
Mugabe:Sifi hadi nifikishe miaka 100.
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Februari mwaka huu ametimiza umri wa miaka 92 lakini lengo lake anasena ni kuishi miaka 100. Mwanasiasa huyo alizaliwa Februari 21, 1924. “Nina furaha kwa sababu nakaribia kufikia umri ninaotaka. Unajua umri ninaotaka kufika, miaka 100 kwa hiyo imebaki miaka minane tu,” anasema Rais Mugabe wakati anahojiwa na Shirika la Utangazaji la Zimbabwe (ZBC).

Tuesday, 12 April 2016

SHAMSA FORD KASEMA ALIACHANA NA NAY WA MITEGO KISA MANENO YA WATU ILA KWA SASA AKISEMA WARUDIANE YUPO TAYARI

LAYIII
Ukweli vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine huko bichi

Baada ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiyo.
Shamsa ambaye mara zote alikuwa amepambwa na Bashasha, alidai Penzi lake na rapa huyo lilivunjwa na maneno ya watu.

TANZANIA TUMEPATA MWANAMKE WA KWANZA KUIPAISHA NDEGE AINA YA BOIENG

LAYIII
Huyu amekuwa Rubani wa Kwanza Mwanamke kuipasha ndege aina ya Boieng Tanzania.
Kati ya wanawake wa Kitanzania waliopeperusha bendera yetu vizuri nje ya nchi kielimu ni Kapteni Hilda Wendy Ringo ambaye sasa ni rubani.

Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya Tambaza jijini Dar es Salaam na baadaye Chuo Cha Urubani cha Progress Flight Academy cha jijini Pretoria, Afrika Kusini.

Ni mwanamke wa kujivunia katika nchi yetu kwa sababu amekuwa akirusha ndege yaani rubani. Amewahi kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini na kuhusu kazi yake hiyo anasema:
“Kurusha ndege ni jambo zuri linalofurahisha.”

BAADA YA MIAKA KADHAA LADY JAYDEE AKUTANA NA RAY C

LAYIII
Hakika vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine
Lady Jaydee kakutana Ray C baada ya miaka 6, Kaamua kumuandikia huu Ujumbe.
Kwa mujibu wa Diva wa Muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee, ni kwamba hawakuwahi kuonana na Diva mwenzie Ray C kwa zaidi ya miaka 6.
Sasa juzi wakali hawa wamekutana tena, japo haijawekwa wazi ni wapi lakini furaha ya Jaydee Hit maker wa Ndindindi ilikuwa kubwa kiasi cha kuandika ujumbe mzito Instagram.
“Thank you for visiting me doll( Ray C) A message of Hope: Kila Mtu Anapitia Magumu Katika Maisha

Saturday, 9 April 2016

Download | Bexy Wamusic - Vanessa [Official Audio & Video]

LAYIII

Download | Nikki Mbishi Feat. Becka Title - Kwanini Mimi [Audio]

LAYIII


Download | Lonka Brown - Ndoto Yangu [Audio]

LAYIII

Download | Mabeste Feat. Barakah Da Prince - Macho Kwa Macho / Nakuchana Leo [Audio]

LAYIII


VIWANJA VYA DAR ES SALAAM VYATAKIWA KUKARABATIWA

LAYIII


Shirikishio la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeishukuru kampuni ya bia ya Heineken ambao ni wadhamini wakuu wa michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) kwa kujitolea kufanya ukarabati wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu vilivyopo jijini Dar es salaam.
Katika barua ya Meneja Mkuu wa Heineken nchini Tanzania, Michael Mbugu kwenda kwa wakurugenzi ya Manispaa wilaya za Ilala na kinondoni, nakala yake kutumwa kwa Rais wa TFF, imeeleza mdhamini ameelekeza nguvu zake kwenye kukarabati baadhi ya viwanja nchini ili viwe katika hali nzuri na salama ili kukuza vipaji vya vijana kwenye mchezo wa soka.

TFF YAZITAKIA HERI AZAM FC YANGA AFRICAN

LAYIII


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezitakia kila la kheri klabu za Azam FC na Young Africans ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa itayochezwa wikiendi hii.
TFF imevitaka vilabu hivyo kupambana katika michezo inayowakabili na kuweza kufanya vizuri kwa kupata ushindi, ili kutengeneza mazingira mazuri katika michezo ya marudaino itakayochezwa Aprili 19-20 mwaka huu.

UJUMBE MZITO WAKUTWA KABURINI KWA KANUMBA

LAYIII
IMG_3360Ujumbe uliokutwa kaburini kwa Kanumba.
Stori:  Mayasa Mariwata na Gladness mallya, Ijumaa
Wakati mama yake, Flora Mtegoa (pichani), baadhi ya wasanii na mashabiki wake wakikumbuka miaka minne ya kifo cha aliyekuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo, Steven Charles Kanumba ‘The Great’, kumezuka sintofahamu ya kukutwa ujumbe mzito wa kimapenzi kaburini kwa msanii huyo ambao unadaiwa kuwekwa na mrembo aliyefika mahali hapo mapema wiki hii.

Thursday, 7 April 2016

NI SIKU MBILI TU AAMEDAI ANA MIMBA YANGU E NDELEA NA KISA HIKI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSKILIZA HADITHI KWA NJIA YA SAUTI
Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

WAKATI MWINGINE MWANAMKE KUTOKA NDANI YA NYUMBA WANAUME MNAJITAKIA WENYEWE

LAYIII
Bonyeza picha kuskia hadithi kwa njia ya sauti
Hili suala nimelifikiria kwa kipindi kirefu sana., naona mifano mingi kupitia kwa marafiki zangu na hata ndugu zangu na watu wangu wa karibu. Unakuta mwanaume upo kwenye mahusiano ya kawaida na msichana bado hamjafunga ndoa alafu migogoro na kuachana mara kwa mara, tena unakuta wewe ndo unaachwa na huyo mwanamke alafu unambembeleza mnarudiana. Mwanamke haonyeshi upendo wowote kwako lakini

MTOTO WA DARASA LA TANO AKUTWA KAJINYONGA

LAYIII
ccccccccccccccc-zDada wa marehemu akilia baada ya mdogo wake kujinyonga.
STORI: Dustan Shekidele, Wikienda
Morogoro: Mshtuko! Mwanafunzi wa wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Mchikichini ‘B’ ya mjini hapa, Anosisye Gidion (12), ameacha viulizo kibao baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge cha mama yake, Judith Kilalu ‘Mama Kapipi’.

GUMZO MWANAFUNZI WA KIUME ANAYEPATA HEDHI

LAYIII
Chanzo na BBSWAHILI
UNAWEZA BONYEZA PICHAA KUJIUNGA NAMI KTK HABARI KAMILI MTU WANGU KWA NJIA YA VIDEO
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.
Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi.
Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani ni swala la kifikra kwa sababu sisi ni marafiki wa karibu sana na tuna

MUIMBAJI MAARUFU AFARIKI JUKWAANI

LAYIII
 
Huzuni na mshangao umeghubika Indonesia baada ya muimbaji maarufu Irma Bule, aliyekuwa akiwatumbuiza mashabiki wake kuanguka na kufariki dunia jukwaani
Yamkini bi Bule aliumwa na nyoka yapata dakika 45 zilizotangulia katika ''shoo yake'' iliyokuwa magharibi mwa Java Indonesia.
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa muimbaji huyo nyota alimkanyaga kimakosa nyoka huyo ambaye alikuwa sehemu ya ''shoo'' yake na kwa bahati mbaya nyoka huyo akamuuma kwenye paja.
Japo nyoka huyo alikuwa ameng'olewa chonge zake , kwa njia moja au nyingine aliweza kum'gata na

Wednesday, 6 April 2016

MAMBA WA AJABU AUWAWA HUKO FROLIDA

LAYIII
CHANZO na bbc swahili
unaweza bonyeza picha kujiunga nami habari kwa njia ya video
Lightseyh
Mamba mkubwa mla ng’ombe ameuawa katika jimbo la Florida nchini Marekani.
Mnyama huyo alikuwa na uzani wa kilo 360.
Mwindaji Lee Lightsey amesema mamba huyo wa ukubwa wa futi 15 (4.5m) ndiye mkubwa zaidi ambaye amekumbana naye katika kipindi cha miaka 18.
Baada ya kumuua, alihitaji trekta kumbeba.
Bw Lightsey alimgundua mnyama huyo akiwa na mwelekezi wa wawindaji Blake Godwin walipokuwa

Tuesday, 5 April 2016

ALIYEKUWA MAARUFU KWA KUCHEZA FILAMU ZA NGONO AFARIKI USINGIZINI

LAYIII
BONYEZA HII PICHA KUMWONA YULE DADA ALIYECHEZA KIMAHABA MBELE YA WAFANYAKAZI WENZAKE AKIWA OFISINI
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki usingizi wikendi iliopita.
Amber alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Alikuwa miongoni ,mwa kundi moja la wanawake ambao walidai kwamba James Deen,ambaye pia

Monday, 4 April 2016

LADY JAYDEE SIJAMPIGA VIJEMBE GARDNER KATIKA WIMBO WANGU

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NA MTOTO HAPPY
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe  aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi amemuimba mtu fulani kumbe yeye aliimba kwa ajili ya mashabiki wake wote.

BABU TALE AELEZEA NAMNA ALIVYOSAIDIWA NA RAY C KABLA HAJAJULIKANA

LAYIII
BONYEZA PICHA YA TALE KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY USIACHE KUSUBSCRIBE YOUTUBE
Babu-Tale


 Meneja wa Tip Top Connection na WCB, Babu Tale, amefunguka kuwa anatamani kumsaidia Ray C kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na kumrejesha vizuri kwenye muziki kama zamani kwakuwa naye aliwahi kumsaidia.

Akiongea kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM, Jumamosi iliyopita, Tale alidai watu wengi hawajui Ray C alimsaidia kwa kiasi kikubwa kukaa kwenye ramani nzuri kisanaa kama alivyo leo.

CUF: HATUMTAMBUI SHEIN KAMA RAIS ZANZIBAR

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA UKAWA KIPINDI CHA UCHAGUZI WA BARAZA LA MAWAZIRI
CUF
Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimesema hakimtambui Dkt Mohamed Ali Shein aliyetangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio uliofanyika mwezi uliopita.
Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), wakizungumza kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi huo ambao chama hicho kilisusia, wamesema hawamtambui Dkt Shein kama rais wa visiwa hivyo.
“Tangu mapema, tangu Jecha (Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha) alipofuta uchaguzi, tulisema waziwazi kwamba haikuwa halalali. Walipoitisha uchaguzi wa marudio, tulisema waziwazi

MAGUFULI AFUTA SHEREHE ZA MUUNGANO

LAYIII
KAMA HUKUONA ZILE SHEREHE ZA CHADEMA KIPINDI CHA UCHAGUZI UNAWEZA BONYEZA PICHA HII
Magufuli
Rais wa Tanzania John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na badala yake akawataka Watanzania waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa katika shughuli zao binafsi.
Siku hiyo hata hivyo bado itasalia kuwa ya mapumziko kama kawaida. Agizo hilo la Dkt Magufuli aidha linaathiri shamrashamra za mwaka huu pekee.

Sunday, 3 April 2016

BUNGE KUJADILI NAMNA YA KUMNG`OA ZUMA

LAYIII

Bunge la Afrika kusini litajadili hoja ya kumng'oa rais Jacob Zuma madarakani siku ya Jumanne.
Spika wa bunge la Afrika Kusini ametoa taarifa hiyo baada ya shinikizo kutoka kwa vyama vya upinzani vikiongozwa na kile cha Economic Freedom Fighters (EFF) kinachoongozwa na Julius Malema.

BAADHI YA WACHEZAJI WA EPL WANATUMIA MADAWA HARAMU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Gazeti la Sunday Times limechapisha ripoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo

BREAKING NEWZ NDEGE YAGONGA GARI HUKO CARFONIA

LAYIII

Mtu mmoja ameuawa baada ya ndege moja kuangukia gari alimokuwa kwenye barabara kuu ya California Marekani.
Walioshuhudia wanasema kuwa ndege hiyo ilionekana kama iliyokuwa na matatizo ya injini na ikalazimika kutua kwa dharura kwenye barabara ya Interstate 15 freeway California.
Rubani wa ndege hiyo Dennis Hogge hata hivyo alishindwa kuidhibiti na ikateleza na kuigonga gari

NILIIBA MUME WA RAFIKI YANGU ALICHONIFANYIA SITASAHAU

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUMSHUDIA ALIYE CHEZA KIMAHABA OFISINI
skirt dress sexy dress party dress black dress o neck cute skirt jumpsuit fashion beautiful preppy women clothes classy trendy cool girl new cute
Tulipotoka chuo mwanzoni mwa miaka ya 2000 mimi na rafiki yangu kipenzi tulipata kazi nzuri na yenye kulipa vizuri sana, kazi hiyo tulitafutiwa na Mchumba wa huyo shosti wangu, tulipomaliza probation tu, rafiki yangu na Mchumba wake wakafunga ndoa rasmi.

Baada ya kama miaka 3 hivi, mimi na yule shemeji yangu tukaanzisha uhusiano usiofaa kwa siri bila mwenye mali kujua, baadae yule bwana akaanzisha fujo nyumbani kwake ili waachane, rafiki yangu akaja kugundua kuwa mimi ndiye mbaya wake, urafiki ukaishia hapo

HUYU NDIYE MSANII WA KIUME AMBAYE LADY JAYDEE ANAMFIKILIA KWA SASA

LAYIII
NJOO YOUTUBE BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lady Jaydee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa 'Ndi ndi ndi' amefunguka na kuweka wazi wazi msanii wa kiume ambaye kwa sasa anamfikiria katika kufanya nae kazi.

Kupitia Accout yake ya twitter ambapo alitoa nafasi ya maswali kutoka kwa mashabiki zake Lady Jaydee aliulizwa swali kama ataweza kufanya remix ya wimbo wake mpya na kama

MADAWA: ARSENAL, CHELSEA, LEICESTER` NI UONGO

layiii

BONYEZA PICHAA HII BET ONLINE SASA NA MERIDIANBET.CO.TZ

https://meridianbet.co.tz/?affiliate=9051&campaign=8930&refer=5nCOhT6G1Prq2kPpwPGyvw#!join


Vilabu vitatu vikuu katika ligi kuu ya Uingereza EPL vimekanusha madai kuwa wachezaji wao wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Vilabu hivyo vimekanusha madai hayo yaliyochapishwa na jarida la Sunday Times kuwa ya ''uongo''
Jarida hilo limechapisha ripoti ya ufichuzi inayodai kuwa daktari mmoja mwenye zahanati ya kibinafsi mjini London Mark Bonar amekiri kuwapa madawa yaliyopigwa marufuku wachezaji 150 katika kipindi cha miaka 6 iliyopita.

KOREA KUSINI MAHAKAMANI JE NGONO IHALALISHWE AU IPOTEZEWE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NA MTOTO HAPPY
Mahakama ya katiba Korea kusini imeendelea kukataa rufaa iliyowasilishwa kupinga sheria inayopiga marufuku biashara ya ngono ikiwa ni ishara ya kushindwa kwa wafanyabiashara hii ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakifanya kampeni kupinga hayo maamuzi.
Hakimu Kim chang jong amesema kampeni za kuleta uwazi na uhuru katika ngono hazimaanishi kuwa

Saturday, 2 April 2016

RAILA ODINGA ATUA CHATO NYUMBANI KWA MAGUFULI KWA KUTUMIA HELKOPTA BINAFSI

LAYIII
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisemamimi na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike, pia nimekuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijaja hapa Chato na nilisema siendi Dar, nitakuja hapahapa Chato

GARI LA KIFAHARI LA POLICE LAMFANYA MKOSAJI ASAHAU FAINI HUKO DUBAI

LAYIII
Dubai ni moja ya sehemu ukienda kwa mara ya kwanza utajikuta unashangaa tu tena kama wewe ni mpenzi wa magari makali na maisha mengine ya kifahari ndio kabisa maana kuanzia watu binafsi mpaka Jeshi la Polisi wanayo magari ya kifahari kama Ferrari, Bugatti na Lamborghini ambayo wengi wetu tumezoea kuyaona kwenye video za mastaa wa dunia kama kina Nicki Minaj, Chris Brown na wengine.

DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA KAI BOY DEAR GOD

LAYIII
NONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

JE ULIIJUA HIII ------- AFANYIWA UPASUAJI MARA 25 ILI KUONDOA TATUU ZILIZOKO USONI KWAKE

LAYIII
 BONYEZA PICHA KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY KISHA SUBSCRIBE NAMI YOUTUBE ILI KILA SIKU UPATE VIDEO KALI ZA MATUKIO
http://images.postr.hu/uploads/blogs/1496/122060/post_122060_20130317222102.jpg
Kijana mmoja ambae alikuwa kiongozi wa Wahuni nchini ujerumani alifanyiwa operation mara 25 usoni kwake ili kufuta tattoo zilizopo usoni mwake.

UNAJUA NAMANA YA KUZUGUSHA KIUNO NA KUMRIZISHA MMEO JIFUNZE HAPA

LAYIII
bonyeza picha hii kujifunza zaidi

Sio siri licha ya kuwa na pilika nyingi mchana kutwa lakini unapoingia usiku hasa kwa wale wanao ishi na wenza wao ni vyema kufarijiana kwa njia hii, ili kuchangamsha mwili na akili kwani kujua kupika na usafi ni mambo ya kawaida lakini  katika nyanja za usiku inabidi uwe fundi na ndio maana www.swaxbz.com imeamua kukujuza ni jinsi gani unaweza kutaka ili

OBAMA: TRUMP HAELEWI SERA ZA KIGENI

LAYIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu! Haya ni kulingana na rais wa Marekani Barrack Obama. Obama ameyasema haya kufuatia matamshi ya Donald Trump kuwa

KIWANGO CHA PESA ANACHO LIPWA DK MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

LAYIII
 BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Baada ya baadhi ya Wabunge wa vyama vya upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya kodi, President Magufuli ambaye ni Rais wa awamu ya tano kwenye Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekubali kuutaja mshahara wake.
Kama kawaida yake yeye ni shabiki wa kipindi cha TV cha Clouds 360 on CloudsTV ambacho alikipigia simu kwa suprise March 17 2016, sasa wakati anatazama kipindi hicho April 1 2016 akiwa

NA UPDATE KUTOKA TRACE TV HIZI NDIO VIDEO 10 BORA ZENYE WATANZANIA WANNE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Headlines za Tanzania zinazidi kuwa nyingi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho Wasanii wengi wamekua wakililia au kutamani video zao zionyeshwe hapo kutokana na ukubwa wa Station hiyo na nguvu yake iliyosambaa sehemu mbalimbali Afrika.
Leo March 31 2016 kupitia kituo hicho kilitoa video 10 bora za Africa zinazofanya vizuri zikiwemo mbili kutoka Tanzania Navy Kenzo – Kamatia, Ay ft Diamond Platnumz – Zigo Remix

VIDEO MPYA YA RIHANNA "KISS IT"

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Ipokee na hii ‘kiss it better‘ video mpya ya Rihanna ambaye February 20 2016 alitimiza umri wa miaka 28, single yake ambayo imelia sana masikioni na imepita sana kwenye TV zetu ni work ft. Drake aliyoiachia February 22 2016 na imeshika namba

Friday, 1 April 2016

NDUGU WA SAJUKI WAFUNGUKIA TARAKA YA WASTARA

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUSKILIZA NA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
WASTARA13
Na Gladness Mallya
KUTOKANA na madai ya kupewa talaka na mumewe Sadifa Juma, ndugu wa aliyekuwa mume wa Wastara Juma, marehemu Sadick Kilowoko ‘Sajuki’, Mohamed Kingochi ‘Mdidi’ amefunguka kuwa ameumizwa na suala hilo kwani walitegemea ndiyo amepata mtu wa kumpa faraja.

ULIJUA JINSI WAUMINI WALIVYO MLIPUA MBONGO MOVIE LULU KIMEMETA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUMSKIA MTOTO HAPPY
lulu210
Staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akitoa neno katika Kanisa la Living Water Centre.
Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan, Ijumaa
Dar es Salaam: Baada ya hivi karibuni kukiri kanisani kuwa ameokoka na kumkubali Mungu kuwa bwana na mwokozi wake kisha kukengeuka na kupiga picha chafu za nusu utupu, waumini wamemlipua staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani akiwa na biblia) kwa madai kuwa anatia aibu.
TUJIUNGE KANISA LA MAKUTI-KAWE

MABADILIKO KATIKA INSTAGRAM YAMEZUWA HISIA KALI SANA KWA WATUMIAJI

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUMSKILIZA MTOTO HAPPY
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Mabadiliko ya yaliomo katika mtandao wa instagram yamezua hisia kali miongoni mwa watumizi wake.
Mtandao huo una mpango wa kuweka ratiba ya mpangilio wa ujumbe hivyobasi kupanga machapisho kulingana na maslahi ya mtumiaji badala ya kuyapanga kulingana na mda.
Machapisho mengi ya watu maarufu ambao wana wasiwasi kwamba picha zao huenda zisionekane na watu wengi yamewataka wafuasi wao kufungua kitufe cha ujumbe.

SHAROBARO APAGAWISHWA KIMAPENZI NA RIYAMA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE USKIE KILICHOJIRI KULE
Taarifa ikufikie kwamba, staa wa kitambo wa Bongo Muvi, Riyama Ally amelipiwa mahari na mpenzi wake ‘sharobaro’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu ‘Leo Mysterio’ huku mipango kabambe ya ndoa ikiendelea.

advertise here