LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
Kiongozi wa chama cha Conservative
cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike
wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za