Tuesday 5 April 2016

ALIYEKUWA MAARUFU KWA KUCHEZA FILAMU ZA NGONO AFARIKI USINGIZINI

LAYIII
BONYEZA HII PICHA KUMWONA YULE DADA ALIYECHEZA KIMAHABA MBELE YA WAFANYAKAZI WENZAKE AKIWA OFISINI
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki usingizi wikendi iliopita.
Amber alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Alikuwa miongoni ,mwa kundi moja la wanawake ambao walidai kwamba James Deen,ambaye pia
ni nyota wa filamu za ngono alimshambulia.
Hatahivyo Deen amekana madai hayo.
Mkaguzi wa matibabu katika kaunti ya Los Angeles ameiambia Newsbeat kwamba hakuna sababu rasmi ya kifo chake iliothibitishwa.
Hatahivyo wamesema kuwa familia yake imearifiwa.Bi Rayne ,ambaye jina lake rasmi ni Meghan Wren,alitangaza kujiuzlu kutoka kazi hiyo mwaka uliopita.
Wafanyikazi wenza katika soko la filamu za ngono walituma ujumbe wa kushtushwa na kifo chake.
ULIPITWA NA HIVI VILOJA UNAWEZA CHUKUA MUDA WAKO KUANGALIA VIDEO HII

No comments:

Post a Comment

advertise here