Sunday, 16 August 2015

HILI NDILO GARI LA KWANZA KABISA AMBALO ALIWAHI KUMILIKI WYNE ROONY WA MAN U

LAYIII
Katika maisha kila mtu ana dream yake lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse, mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu anapohitaji kutumia matunda yake aliyochuma kutoka sehemu mbalimbali hususani katika kazi yake.
hi-res-9b3a5f04568f997f91879ed28ca0c436_crop_north
Hakuna askari polisi, Doctor, mwanasheria au nurse asiyekuwa na ndoto y

TAARIFA YA KUSTUA MWILI WA MICHAEL JACKSON WAONEKANA LOS ANGELS

LAYIIII

Micheal Jackson Double At BET Awards - michaeljacksonnotdead.wordpress.com 

Since you are here – it means that you too also question the ‘death’ of Michael Jackson.  The truth is that it was indeed staged, and Michael is STILL ALIVE

EWAAAA FURAHIA MAGOLI YA SIMBA VS URA AUGUST 2015 FULL TIME 2-1


MJUE MGOMBEA URAIS KUPITIA ACT

LAYIII
swaa
MWANANCHI
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.
Tukio hilo, ambalo lilifanyika mbele ya msafara wa Lowassa, lilitokea jana eneo la Daraja la

Saturday, 15 August 2015

TUDDY THOMAS KARUHUSIWA KUTOKA HOSPITAL NI BAADA YA KUPIGWA NA WEZI

LAYIII

2mgflIjumaa usiku wa July 31 ni siku ambayo Producer wa bongofleva wa hits kama mdogomdogo ya Diamond Platnumz, Tudd Thomas alivamiwa na wezi na kumshambulia kisha kumuibia vitu alivyokua navyo usiku huo

Friday, 14 August 2015

BABA AMZALISHA BINTIE MWENYE UMLI WA MIAKA 11

LAYIII
FILE FILE - In this May 14, 2015 file photo, a 13-year-old girl holds her one-month-old baby at a shelter for troubled children in Ciudad del Este, Paraguay. The girl said she was raped by her stepfather from the time she was 10 and became pregnant when she was 12. Another pregnant girl, age 11, whose case drew international scorn when Paraguay's government denied her an abortion, gave birth on Thursday, Aug. 13, 2015. The girl was allegedly raped and impregnated by her stepfather when she was 10. In Paraguay, abortion is banned except when the mother's life is in danger. (AP Photo/Jorge Saenz, File)
Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya yake inapokua hatarini.
Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto baada ya kubakwa na baba yake wa kambo imeingia kwenye headlines.

JOKATE ALIKIBA SIRI NJE TENA SIKIA SAUTI KUTOKA KWA SUDI

LAYIII
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Mengine ya Ali Kiba na Jokate haya hapa kwa Soudy Brown…kuna ndoa? #UHeard (Audio)

jojo
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo.

Thursday, 13 August 2015

Magazeti ya Tanzania Agosti 14, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !

layiii

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 14,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya

Tuesday, 11 August 2015

P SQURES WAMZUNGUMZIA DIAMOND

LAYIII
PeterPeter ambaye ni mwimbaji kutoka kundi la P Square aliongea na ripota wako Millard Ayo kuhusu Diamond

RAIS TP MAZEMBE KUWA RAIS WA CONGO

LAYIII

Moise Katumbi, the governor of the Katanga region of the Democratic Republic of Congo and president of the TP Mazembe Lubumbashi football club, arrives for their African Champions league football match against Sewe Sport on March 23, 2014 at the Robert Champroux stadium in Abidjan. AFP PHOTO / ISSOUF SANOGO
Moise Katumbi, the governor of the Katanga region of the Democratic Republic of Congo
 and president
 of the TP Mazembe Lubumbashi football club, arrives for their African Champions league
football match against Sewe Sport on March 23, 2014 at the Robert Champroux stadium in
Abidjan. AFP PHOTO / ISSOUF SANOGO
Rais wa klabu ya Tp Englebert Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Moise Katumb

Monday, 10 August 2015

JINSI DAR ILIVYO CHAFUKA UJIO WA LOWASSA

LAYIII



Lowassa achukua fomu za kuwania urais

10 Agosti 2015 Imebadilishwa mwisho saa 14:45 GMT
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea huku Edward Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani

Sunday, 9 August 2015

KILICHOWAKUTA ARSENAL DHIDI YA WEST HAM HIKI HAPA

layiii
Ligi kuu ya Uingereza Baclays Premier imeendelea jumapili ya leo kwa mchezo uliowakutanisha mahasimu wa mji wa London – Arsenal dhidi ya West Ham United.
 
Mchezo huo uliomalizika hivi punde umemalizika kwa West Ham United kuwashangaza watu wengi kwa kuifunga Arsenal kwa magoli 2-0.

ZIJUE SABABU ZA MOURINHO KUMLAUMU DOCTOR WA CHELSE

LAYIII

Baada ya kutoka sare ya goli 2-2 dhidi ya Swansea City katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza, kocha wa Chelsea Jose Mourinho baada ya matokeo hayo hakupeleka lawama zake kwa muamuzi Michael Oliver ambae alimuonyesha kadi nyekundu golikipa wa Chelsea Thibaut Courtois na kutoa penati kwa Swansea.
29187-o2ij8qMourinho lawama zake zote anapeleka kwa madaktari wa timu wakiongozwa na Eva Carneiro ambao waliingia uwanjani kumpatia matibabu Eden Hazard wakati wa dakika za lala salama

HUYU NDO MWAFRIKA PEKEE ALIYE WAHI KUTWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MIGUU DUNIANI

LAYIII
Ni kawaida kwa binadamu kufanya au kujifunza kitu zaidi ya kimoja lakini huwa ni watu wachache sana wanaoweza kuvimudu vyote kwa ufasaha, kwa rekodi tu wachezaji wote wanaotajwa kuwa bora duniani hawajawahi kuwa makocha wazuri licha ya kuweza kucheza mpira kwa ufasaha mfano kama Diego Maradona na hata Lionel Messi anatajwa hatokuja kuwa kocha mzuri kama akitaka kuja kuwa kocha.
George_Weah
Na wengine kama Pele na Zidane wao wameamua kabisa kutokuwa makocha, tukirudi Afrika hapa nakusogezea historia ya mwanasoka pekee kutoka Afrika aliewahi kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia (Ballon d’or) 1995 George Ousman Weah kutokea Liberia huyu jamaa amemud

LIPUMBA ajificha Burundi........JK,LOWASSA,MAGUFULI,MBOWE kukutana..#StoriKubwa AUGUST 9

LAYIII

yuuuu
MWANANCHI
Rais Jakaya Kikwete amesema sasa atazungumza lugha moja na wakwe zake baada ya kukamilika Barabara ya Ndundu-Somanga kwa kiwango cha lami.
Rais Kikwete alisema hayo juzi jioni kwenye sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo iliyofanyika Kijiji cha Marendego Mpakani na kuhudhuriwa na wananchi wa mikoa ya Lindi, Pwani pamoja na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali akiwamo Balozi wa Kuwait nchini, Jassem Ibrahim AL-

ILE COLLABLE ILIYOKUWA IKISUBILIWA KWA HAMU YA DIAMOND & ALI KIBA YATABILIWA KUVUNJA RECORD

LAYIII


MTOTO ALIYEVUNJA RECORD KWA KUIMBA RAGGER TONE HUKO AFRIKA YA KUSINI HUYU HAPA......... ONA VIPAJI VYA WATOTO CHIPUKIZI HAPA

LAYIII
Kitoto kidogo cha miaka minne kimewaacha hoi maelfu ya watu kiliposikilizwa kikiimba tone za raga tena kwa mbwembwe za ukweli

Saturday, 8 August 2015

KATIKA UFUNGUZI WA LIGI KUU YA UINGEREZA HIZI NDO PICHA KALI MTU WANGU

LAYIII
Baada ya muda mrefu wa mapumziko kwa Ligi mbalimbali Duniani, sasa tunarudi tena kwa mwanzo wa msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza ambao umeanza August 8 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Uingereza, sas mtu wangu wa nguvu nakusogezea picha 10 zinazotajwa kuwa kali katika ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza.
Hizi ndizo picha 10 bora za mwanzo wa msimu kwa mujibu wa mtandao wa talksport.com
albrighton
Albrighton ni mchezaji wa zamani wa Aston Villa ameshinda goli moja na kutengeneza nafasi zilizoifanya Leicester City kuibuka na ushindi wa goli 4-2 dhidi ya Sunderland

Full time ya Chelsea vs Swansea City na matokeo mengine ya EPL nimeweka hapa

layiii
Baada ya Manchester United na Tottenham Hotspur kufungua dimba la mechi za ligi kuu ya Barclays Premier League – Mabingwa watetezi wa kombe hilo Chelsea nao jioni hii walianza utetezi wa kombe hilo kwa kucheza dhidi ya Swansea.
 
Mchezo uliopigwa katika dimba la Stamford Bridge umemalizika kwa sare ya 2-2.

Friday, 7 August 2015

PROFESSOR JAY KWENYE HEADLINE KAPETA TENA KURA ZA MAONI

LAYIII

.
.
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa mkongwe wa Hip Hop Joseph Haule aka Professor Jay ambaye wiki zilizopita alishinda kura za maoni kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo katika Jimbo la mikumi Morogoro.

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 08/08/2015

LAYIII

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Agosti 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa

Thursday, 6 August 2015

HAWA NDIO WATU WABISHI NCHINI CHINA MTU WANGU

LAYIII

p>Ukijua sheria na haki yako ni rahisi kudai na kusimamia msimamo wako kiuhalali kabisa. Hali ndivyo ilivyo kwa wamiliki wa nyumba nyingi huko China ambao wengi ni wabishi hasa nyumba zao zinapotakiwa kubomolewa kupisha miradi mbalimbali.
Je hapa kwetu watu wanajua sheria na taratibu zao? Picha hapo chini zinaonyesha nchi ya kikomnisti ya China. Je nchi za kidemokrasia kama tunavyojiita unaweza kufanya hivi?
nail-house-china-2-v3

Mmiliki wa jengo hilo Luo Baogen, 67, akiwa na mkewe mwenye miaka 65 wamekuwa wakipambana kwa miaka minne ili waweze kupata dola za kimarekani 41,300 kutoka serikali kufidia jengo hilo ili waweze kuondoka hapo. Hali hiyo inaitwa nyumba misumari kwakuwa inakuwa ngumu

MTOTO WA DIAMOND PLATNUMUZ AANZA MAISHA YA KISTAA AKIWA HAJAFIKISHA HATA SIKU MBILI TOKA AZALIWE

LAYIII
 11242009_1478721399110318_1864035948_n (1)
Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.

Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.
Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa imefikisha followers zaidi ya 16,000.
Picha yake ya kwanza kuwekwa kwenye akaunti hiyo ina zaidi ya comments 860.

WASANII WASUSA MWALIKOWA TCRA

LAYIII

?
?
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)  leo Aug 06 waliwaalika wanamuziki wa Tanzania kwa ajili ya semina ya namna ya kuziweka salama akaunti  zao za mitandao ya Kijamii  baada ya

Maneno ya TCRA baada ya mahudhurio machache ya wasanii Aug 06 DSM.


 malalamiko yaliyoripotiwa na baadhi ya wasanii kuhusu

Wednesday, 5 August 2015

TWEET ZINAZOSEMEKANA KUWA NI ZA YULE ALIYEKUWA GAVANA MKUBWA WA FEDHA (BALALI) ZAONEKANA ( NOT CONFIRMED)

LAYIII
Tukiwa katika vugu vugu la uchaguzi mkuu huku tukiahidiwa na mweshimiwa lowassa kuwa akipata fursa atatuletea yule aliye kuwa gavanna wa fedha tanzania leo nimekuletea baadhi ya tweet zinazosemekana kuwa ni za mheshimiwa balali
 Zipo baadhi ya tweet zinazo wataja baadhi ya viongozi wakubwa serikalini kuhusiana na sakata la escrow lakini kulingana na swala zima la uhakika nimeziweka kapuni ikifikia wakatizitatoka tu hewani

Tuesday, 4 August 2015

SHUDIA MSAFARA WA POMBE MAGUFULI ALIPOKUWA AKIENDA KUCHUKUA FORM LEO

LAYIII
Screen Shot 2015-08-04 at 7.54.29 PM


Ni baada ya Chama cha mapinduzi kumteua John Magufuli kuwa mgombea wa urais wa Tanzania leo ilikuwa ni siku ya kuchukua fomu Tume ya taifa ya uchaguzi mwaka 2015



BEKI HUYU MBIONI KUINGIA MAN U ..NI BAADA YA KUPOTEZA MATUMAINI YA KUMPATA RAMOS

LAYIII
Klabu ya Manchester United imekuwa ikimuwania beki wa Real Madrid ya Hispania Sergio Ramos kwa muda mrefu licha ya kuwa Real Madrid walikataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United kwani bado walikuwa wanahitaji  huduma yake. Man United walikuwa na matumaini ya kumsajili Ramos baada ya yeye kukiri kutokuwa na furaha Real Madrid.
1418670996_extras_noticia_foton_7_0
Baada ya Rais wa klabu ya Real Madrid Florentino Perez kutangaza kuwa wamefikia makubaliano ya kuongeza mkataba na Ramos, Man United wamebadili mawazo yao na kukubali yaishe

THAMANI YA VIPODOZI VILIVYOTEKETEZWA NA TFDA KWA MWAKA 2014/2015 HII HAPA

LAYIII

fekiiii
Mmlaka ya chakula na Dawa TFDA imeatoa ripoti ya mwaka wa fedha kuhusu bidhaa mbalimbali zilizokamatwa na kuteketezwa kwa mujibu wa sheria na hatua zilizochukuliwa.
Mkurugenzi wa TFDA Hitti Sillo amesema  katika mwaka wa fedha wamekamata na kuteketeza vipodozi ambavyo vimepigwa marufuku tani 16.61 ambazo thamani yake ni shilingi milioni 44.2

KAMA HUKUONA AU KUSKIA KUHUSU MWAFRIKA ALIYE VULIWA NGOZI NYEUSI NA KUVISHWA NYEUPE ILI AWE MZUNGU ONA HAPA

LAYIII

See wonderful Russian Laboratory has invented a way to remove the black Skin layer of black People

 ADD US ON BBM 56899A10
This is unbelievable and yet real. According to a publication of the Moscow Faculty of Sciences , researchers have developed a chemical process to « w

KIJASHO KIDOGO CHAMTOKA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KISA KUMBEBA LOWASSA UKAWA

LAYIII

Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

ILI KUHAKIKISHA HAUPITWI NIMEKUWEKEA PICHA ZOTE ZA MKUTANO WA CHADEMA HAPA MLIMANI CITY UNAO FANYIKA LEO 4/8/2015

LAYIII
2X6A9160
Headlines nyingine zilianza kuandikwa Tanzania kwenye Siasa 2015, ambapo July 28 2015 Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli alikaribishwa CHADEMA na kupewa Kadi za Uanachama yeye pamoja na mkewe, Mama Regina Lowassa.

Monday, 3 August 2015

BREAKING NEWS!!! MAAMUZI MAGUMU YA CHADEMA DHIDI YA DR SLAA

LAYIII







Hatimaye baraza kuu la Chadema limeridhia kusimama kwa muda kufanya kazi za chama aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.
Ni kishindo cha baraka za baraza kuu la Chadema likiridhia kupumzika kwa Dk Wilibroad Slaa ambaye tangu kujiunga kwa wazir mkuu mstaafu Edward Lowassa amekuwa hao

Saturday, 1 August 2015

HII NDIO JEURI YA MOURINHO KWA WENGER

LAYIII

Mourinho_Wenger_he_3394228b
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho ameingia tena kwenye headlines kwa kauli zake anazozitoa kuelekea mchezo wa Ngao ya Hisani, Chelsea itakutana na Arsenal August 2 saa 11 jioni kwenye uwanja wa Wembley wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 90,000. Mourinho ambae anajulikana

KAMA HUKUJUA MZUNGU NAYE ALIKUWA NYANI BASI HIZI NDIYO PICHA ZAKE ENZI HIZO

LAYIII

KAULI HII NDIO INAYO MMALIZA LOWASA KABISA

LAYIII





WATANZANIA TUJIPANGE KUMPINGA LOWASSA KWA NGUVU ZOTE.

Ni napenda kuungana na watanzania wote hususani wanachama wa vyama vinavyounda

KIJANA WA MIAKA 12 NUSURU AMEZWE NA CHATU

LAYIII
dah noma sana huu mtindo jamani utaisha lini eti mtu unampiga picha BADALA  ya kuokoa dah it's hurt me alot jaman , kama unaona huwezi kuokoa acha ushamba fanya uwezavyo

Amezwa na Nyoka aina ya Anaconda

Friday, 31 July 2015

HII NDIYO KAULI YA KIKWETE KUHUSU LOWASSA KUHAMA CHADEMA

LAYIII

 

BATA ALIYOKULA VEE MONEY SOUTH AFRIKA YALETA GUMZO MJINI

LAYIII
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.17.13-PM-600x362

Utapenda kuona matembezi aliofanya VeeMoney Johannesburg South Africa. (Pichaz)

DR SLAA AJIBU MAPIGO TUHUMA ZA KUHAMA CHADEMA

LAYIII
Uchambuzi wa magazeti umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni.

Lowassa na Urais CHADEMA, Dk. Slaa?, BVR Dar? Lembeli na Esther Bulaya? Jangwani.. Majibu yako hapa (Audio)

the_news_today_EN
Uchambuzi wa magazeti umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni.

Thursday, 30 July 2015

TUKIWA KATIKA HARAKATI ZA UCHAGUZI KIGOGO AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA.... NAYO CHADEMA YAZIDI KUPAAA KATIKA ANGA YA SIASA

LAYIII

This is very big shame for our country due to these day to day events, most of our leaders are not trustful thus why tried to participate in this dangerous business that destroy our human resources

LOWASSA GUMZO OFISI ZA CHADEMA

LAYIII
Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amechukua Fomu rasmi ya kugombea urais kupitia tiketi ya Chadema.
Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amesema baada ya kuchukua fomu hizo Lowassa atakuwa tayari kuzunguka nchi nzima kujitambulisha kwa wananchi kama mgombea rasmi wa Chadema.

Wednesday, 29 July 2015

BREAKING NEWZ WEMA SEPETU NAYE NDANI YA UKAWA

LAYIII

Soon nitakupatia habari mpya kuhusu wema sepetu kujiunga na ukawa endelea kuwa nami na usiache kulike page yangu swaxbz

CCM YATOA SIRI ZA LOWASSA NJE

LAYIII
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye
 picha  na Maktba

 

Ndugu wananchama wa Chama cha Mapinduzi-CCM ni wiki mbili tangu tulipo maliza mchakato ndani ya chama kumpata mgombea wa Urais hapo Octoba 25, 2015. 

Tuesday, 28 July 2015

BAHARI ILIYOGUNDULIWA NA WANASAYANSI KATIKA SAYARI YA MARTH YALETA KITENDAWILI KIKUBWA SANA KWA WAMAREKANI

LAYIII
WANASAYANSI wa anga kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta uwezekano wa maisha katika sayari nyingine, mbali na dunia.Kuna imani kuwa kwenye sayari hizo, huenda zikapatikana raslimali nyingi kwa urahisi kuliko duniani ambako binadamu wameishi mamilioni ya miaka hadi sasa.

Wataalamu hao wa anga wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda sasa na moja ya mambo muhimu wanayoangalia ni upatikanaji wa maji. Popote maji yanapopatikana, wanaamini maisha

HIVI NDIVYO CHADEMA ILIVYO MPOKEA LOWASSA

LAYIII

3X6A9394
July 27 2015 Mbunge James Mbatia ambaye ni mmoja ya Viongozi wa juu wa Jumuiya ya Vyama vinavyounda umoja wa UKAWA aliongea maneno haya baada ya Viongozi wote kukaa Kikao na kukubaliana >>>> “Nachukua fursa hii kumualika Mheshimiwa Lowassa ajiunge na UKAWA na tuko tayari kushirikiana nae kuiondoa CCM madarakani”— James Mbatia.

Lowassa kathibitisha kujiunga na UKAWA

LAYIII

LOWASA BREK
Ikiwa ni siku chache tangu Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa kuenguliwa jina lake katika mbio za kuwania Urais na kamati ya maadili CCM, kumekuwepo na sintofahamu juu ya hatma ya mwanasiasa huyo.
Leo Lowassa kazungumza Bahari Beach, Dar es salaam pamoja na viongozi mbalimbali wa UKAWA walikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia hatma yake kuelekea Ikulu pamoja na upungufu uliojitokeza wakati wa uchaguzi wa kumpata mgombea Urais wa CCM.

KINGUNGE ATOA KAULI TATA YA KUSTUA JAMII BAADA YA LOWASSA KUTANGAZA KUJIUNGA NA CHADEMA LEO HII

LAYIII
 Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

https://www.facebook.com/swaxbz1?ref=aymt_homepage_panel
Kingunge aongea kwa baada ya Lowassa kutimkiaa UKAWA,asema siwezi

Monday, 27 July 2015

HOT NEWZ JUU YA KIKAO CHA CHADEMA ALICHOHUDHURIA LOWASSA

layiii
BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA


Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.

Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!

Eti Lowassa Akijitoa CCM, Atafilisiwa na Kufanyiwa Hujuma, Nani Kasema?

MADAKTARI WA MAREKANI WAZIDI KUPAMBANA KUOKOA MAISHA YA MWANA SAYANSI ALIYEKUWA KAPOTEA MWEZINI

LAYIII
Madaktari Nchini Marekani Jana Walizidi Kupambana Kujaribu Kuokoa Maisha Ya Mwanasayansi Aliyepotelea Mwezini Miaka 180 Iliyopita.Aomba Kuandika FORMULA Ya Kusaidia Kutengeneza Dawa Ambayo Itaweza Kutibu Magonjwa Yote Kwa Wakati Mmoja.Yanayo Itesa Dunia Kwa Sasa.Video Yake Ipo Hapa Akizungumza Kwa Tabu Sana>>>

MAMA SALMA APOKEA UJUMBE WA VITISHO USIKU WA LEO

LAYIII




MJUE MTOTO ALIYE ISHI NA NYOKA MKUBWA KWA MIAKA SITA

LAYIII

Cheza mbali na viumbe hawa jamaa kajifanya mjanja kuona dogo anacheza naye kaona achokoze kilicho mpata story nyingine

LOWASSA ATIA UKAWA JOTO MBIO ZA URAIS........ ZITTO ACT KUSIMAMA YENYEWE URAIS 2015

LAYIII
Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo.

Lowassa na UKAWA , NEC kuhusu Kampeni za Magufuli? ACT Wazalendo na UKAWA? (Audio)

advertise here