Friday 31 July 2015

BATA ALIYOKULA VEE MONEY SOUTH AFRIKA YALETA GUMZO MJINI

LAYIII
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.17.13-PM-600x362

Utapenda kuona matembezi aliofanya VeeMoney Johannesburg South Africa. (Pichaz)



VanesaaMdee_Notjustok
Vee Money kwenye studio za  TZA (millardayo.com)
Vanessa Mdee (Vee Money) ni msanii wa Bongo Fleva anaeipeperusha bendera ya Tz vizuri kwenye nchi mbalimbali za Kiafrika. Akiwa anatamba na single yake mpya ya Nobody But Me VeeMoney ni miongoni mwa wasanii wakubwa sasa hivi Tanzania.
Licha ya kuwa mwanamziki Vanessa bado ni mtangazaji wa MTV ya South Africa kituo kikubwa cha burudani Africa na siku chache zilizopita alionekana kwenye kipindi cha Star Gist kinacho onyeshwa Africa Magic channel 151 kwenye DSTV.
12nm
Kwenye kipindi hiki VeeMoney anaungana na mtangazaji Vimbai Mutinhiri na pamoja wanafanya matembezi mbalimbali Johannesburg wakianzia Rand Airport Johannesburg na kutalii sehemu nyingine nyingi ikiwemo kutembelea Apartheid Museum.
Kama ulikikosa kipindi hiki unaweza kukitazama kupitia  www.missvimbai.com, na hapa chini nimekuwekea picha zikionyesha jinsi matembezi hayo yalivyokuwa.
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.13.33-PM-600x368
Matembezi yalianzia Airport hapa ni Rand Airport Johannesburg
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.13.46-PM-479x600
Picha ya pamoja kabla ya kubadilisha nguo
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.14.10-PM-600x357
Kwenye vazi la kirubani hapa wako tayari ku Take-off!
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.17.13-PM-600x362
VeeMoney ndani ya ndege yupo tayari kuanza safari
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.17.25-PM-600x344 (1)
Im Ready…Lets do this!!
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.14.36-PM-600x333
safari ikaanza..rubani mbele VeeMoney nyuma, hapo vanessa anakupa “Peace sign” ni raha tu!
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.14.24-PM-600x312
Wakiwa angani na kuitazama Johannesburg kwa juu..
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.14.45-PM-600x278
Baadhi ya ndege zingine zinazoondoka
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.14.53-PM-600x296
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.12.57-PM-600x379
Badaae matembezi yakahamia kwenye hii Air Balloon..hili ni puto lenye kikapu ambalo mtu anaweza kupanda na kufanya matembezi akiwa angani.
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.12.15-PM-600x408
Picha na selfies ni muhimu mtu wangu kwa ukumbusho.
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.13.16-PM-600x384
Muonekano wa Air Balloon kwa juu
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.15.46-PM-600x299
Baada ya matembezi hayo..matembezi mengine yalianza hapa
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.15.57-PM-600x307
Apartheid Museum South Africa
Screen-Shot-2015-07-30-at-2.16.33-PM-600x346 (1)

No comments:

Post a Comment

advertise here