Saturday 8 August 2015

KATIKA UFUNGUZI WA LIGI KUU YA UINGEREZA HIZI NDO PICHA KALI MTU WANGU

LAYIII
Baada ya muda mrefu wa mapumziko kwa Ligi mbalimbali Duniani, sasa tunarudi tena kwa mwanzo wa msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza ambao umeanza August 8 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Uingereza, sas mtu wangu wa nguvu nakusogezea picha 10 zinazotajwa kuwa kali katika ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza.
Hizi ndizo picha 10 bora za mwanzo wa msimu kwa mujibu wa mtandao wa talksport.com
albrighton
Albrighton ni mchezaji wa zamani wa Aston Villa ameshinda goli moja na kutengeneza nafasi zilizoifanya Leicester City kuibuka na ushindi wa goli 4-2 dhidi ya Sunderland
harry-kane_0
Boy wonder Harry Kane alishindwa kupenya ukuta wa walinzi wa Manchester United
walker
Kyle Walker alicheza vizuri kabla ya kujifunga goli moja lililoipa ushindi Manchester United wa goli 1-0
miguel-layun
Watford walianza michuano hiyo kwa sare 2-2 ila Miguel Layun alipachika goli la kwanza
bournemouth_0
Kikosi cha Bournemouth ambacho kiliingia kucheza mchezo wake wa kwanza toka ipande Ligi Kuu msimu huu
tommy-elphick
Tommy Elphick akipiga kichwa katika kuisaidia timu yake ya Bournemouth ipate ushindi
gustede
Rudy Gustede akipiga mpira wa kichwa katika harakati za kuisaidia timu yake ipate ushindi.
ross-barkley
Ross Barkley alianza msimu vizuri kwa kuifungia Everton goli
crystal-palace
Wachezaji wa Crystal Palace walioifunga Norwich City goli 3-1


advocaat_0
Kocha wa Sunderland Dick Advocaat akiwa hamini kilichotokea baada ya kufungwa na Leicester City goli 4-2

No comments:

Post a Comment

advertise here