layiii
BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA

Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!

Wengine wanafafanua kwamba, TAKUKURU na mamlaka nyinginezo kama TRA wataanza kumsakama kuhusu mali zake ambazo 'zinasemekana' zimechumwa kifisadi, na Mahakama itagongelea msumari wa mwisho kumsweka gerezani au kuruhusu afilisiwe kwa mamlaka iliyonayo...
Hizi ni hoja dhaifu sana. Ni mawazo mufilisi kuamini kwamba Lowassa atasita kufanya maamuzi ya aina hiyo akitaka kwa kuhofia hayo yasemwayo. What a great underestimation!!!

BREAKING NEWS : LOWASA AJIUNGA CHADEMA RASMI, PICHA NA VIDEO ZA KILICHOONGELEWA LEO NMEKUWEKEA
Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!
Eti Lowassa Akijitoa CCM, Atafilisiwa na Kufanyiwa Hujuma, Nani Kasema?
Wengine wanafafanua kwamba, TAKUKURU na mamlaka nyinginezo kama TRA wataanza kumsakama kuhusu mali zake ambazo 'zinasemekana' zimechumwa kifisadi, na Mahakama itagongelea msumari wa mwisho kumsweka gerezani au kuruhusu afilisiwe kwa mamlaka iliyonayo...
Hizi ni hoja dhaifu sana. Ni mawazo mufilisi kuamini kwamba Lowassa atasita kufanya maamuzi ya aina hiyo akitaka kwa kuhofia hayo yasemwayo. What a great underestimation!!!
Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi
(CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini
sahihi kwa kadri itakavyompendeza.
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!
Wengine wanafafanua kwamba, TAKUKURU na mamlaka nyinginezo kama TRA wataanza kumsakama kuhusu mali zake ambazo 'zinasemekana' zimechumwa kifisadi, na Mahakama itagongelea msumari wa mwisho kumsweka gerezani au kuruhusu afilisiwe kwa mamlaka iliyonayo...
Hizi ni hoja dhaifu sana. Ni mawazo mufilisi kuamini kwamba Lowassa atasita kufanya maamuzi ya aina hiyo akitaka kwa kuhofia hayo yasemwayo. What a great underestimation!!!
Tuseme hayo yote yatafanyika, lakini will he really give up the defeat?! Muache kumfananisha Lowassa na Martha Mlata bandugu. Lowassa is too BIG!
Amevaa sura ya upole usoni lakini ana nguvu kubwa sana kwa ndani. Naweza kuhisi moto unaomuwaka nyoyoni na hasira aliyonayo kwa sasa. CCM isijefanya mistake kabisa.
Natoa ushauri; Aachwe awe huru na maamuzi yake. Aangaliwe moves zake, Aangaliwe kama ataropoka, pengine atakuwa ameamua kuondoka kwa wema, sasa kama ni hivyo, uamuzi wa 'kumzuia' ni uamuzi hatari sana.
Wanayoyajua CCM kuhusu Lowassa, Lowassa anayajua pia kuhusu wao; WAKIMWAGA MBOGA.............???
Nimesema!
Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!
Wengine wanafafanua kwamba, TAKUKURU na mamlaka nyinginezo kama TRA wataanza kumsakama kuhusu mali zake ambazo 'zinasemekana' zimechumwa kifisadi, na Mahakama itagongelea msumari wa mwisho kumsweka gerezani au kuruhusu afilisiwe kwa mamlaka iliyonayo...
Hizi ni hoja dhaifu sana. Ni mawazo mufilisi kuamini kwamba Lowassa atasita kufanya maamuzi ya aina hiyo akitaka kwa kuhofia hayo yasemwayo. What a great underestimation!!!
Tuseme hayo yote yatafanyika, lakini will he really give up the defeat?! Muache kumfananisha Lowassa na Martha Mlata bandugu. Lowassa is too BIG!
Amevaa sura ya upole usoni lakini ana nguvu kubwa sana kwa ndani. Naweza kuhisi moto unaomuwaka nyoyoni na hasira aliyonayo kwa sasa. CCM isijefanya mistake kabisa.
Natoa ushauri; Aachwe awe huru na maamuzi yake. Aangaliwe moves zake, Aangaliwe kama ataropoka, pengine atakuwa ameamua kuondoka kwa wema, sasa kama ni hivyo, uamuzi wa 'kumzuia' ni uamuzi hatari sana.
Wanayoyajua CCM kuhusu Lowassa, Lowassa anayajua pia kuhusu wao; WAKIMWAGA MBOGA.............???
Nimesema!
LOWASSA KUTOA HATMA YAKE KISIASA , NI WIKI YA MTIKISIKO MKUBWA WA KISIASA TANZANIA!

LowassaNi
wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa
nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea
ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa
za Tanzania.
Hali
hiyo inatokana na vuguvugu la kisiasa linalohusisha viongozi wenye
ushawishi kuhama vyama vyao vya siasa na kutimkia kwenye vyama vingine,
ikiwa ni siku chache kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka
huu.
Ni
wiki ambayo itapambwa na matokeo ya kikao cha Baraza Kuu la Uongozi wa
CUF kilichofanyika jana mjini Zanzibar kuhusu mustakabali wake ndani ya
Ukawa, ikizingatiwa kuwa hivi karibuni chama hicho kiliamua kujiweka
kando ya vikao vya umoja huo hadi vikao vya juu viamue.
No comments:
Post a Comment