Thursday, 7 April 2016

NI SIKU MBILI TU AAMEDAI ANA MIMBA YANGU E NDELEA NA KISA HIKI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSKILIZA HADITHI KWA NJIA YA SAUTI
Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

WAKATI MWINGINE MWANAMKE KUTOKA NDANI YA NYUMBA WANAUME MNAJITAKIA WENYEWE

LAYIII
Bonyeza picha kuskia hadithi kwa njia ya sauti
Hili suala nimelifikiria kwa kipindi kirefu sana., naona mifano mingi kupitia kwa marafiki zangu na hata ndugu zangu na watu wangu wa karibu. Unakuta mwanaume upo kwenye mahusiano ya kawaida na msichana bado hamjafunga ndoa alafu migogoro na kuachana mara kwa mara, tena unakuta wewe ndo unaachwa na huyo mwanamke alafu unambembeleza mnarudiana. Mwanamke haonyeshi upendo wowote kwako lakini

MTOTO WA DARASA LA TANO AKUTWA KAJINYONGA

LAYIII
ccccccccccccccc-zDada wa marehemu akilia baada ya mdogo wake kujinyonga.
STORI: Dustan Shekidele, Wikienda
Morogoro: Mshtuko! Mwanafunzi wa wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Mchikichini ‘B’ ya mjini hapa, Anosisye Gidion (12), ameacha viulizo kibao baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge cha mama yake, Judith Kilalu ‘Mama Kapipi’.

GUMZO MWANAFUNZI WA KIUME ANAYEPATA HEDHI

LAYIII
Chanzo na BBSWAHILI
UNAWEZA BONYEZA PICHAA KUJIUNGA NAMI KTK HABARI KAMILI MTU WANGU KWA NJIA YA VIDEO
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.
Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi.
Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani ni swala la kifikra kwa sababu sisi ni marafiki wa karibu sana na tuna

MUIMBAJI MAARUFU AFARIKI JUKWAANI

LAYIII
 
Huzuni na mshangao umeghubika Indonesia baada ya muimbaji maarufu Irma Bule, aliyekuwa akiwatumbuiza mashabiki wake kuanguka na kufariki dunia jukwaani
Yamkini bi Bule aliumwa na nyoka yapata dakika 45 zilizotangulia katika ''shoo yake'' iliyokuwa magharibi mwa Java Indonesia.
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa muimbaji huyo nyota alimkanyaga kimakosa nyoka huyo ambaye alikuwa sehemu ya ''shoo'' yake na kwa bahati mbaya nyoka huyo akamuuma kwenye paja.
Japo nyoka huyo alikuwa ameng'olewa chonge zake , kwa njia moja au nyingine aliweza kum'gata na

Wednesday, 6 April 2016

MAMBA WA AJABU AUWAWA HUKO FROLIDA

LAYIII
CHANZO na bbc swahili
unaweza bonyeza picha kujiunga nami habari kwa njia ya video
Lightseyh
Mamba mkubwa mla ng’ombe ameuawa katika jimbo la Florida nchini Marekani.
Mnyama huyo alikuwa na uzani wa kilo 360.
Mwindaji Lee Lightsey amesema mamba huyo wa ukubwa wa futi 15 (4.5m) ndiye mkubwa zaidi ambaye amekumbana naye katika kipindi cha miaka 18.
Baada ya kumuua, alihitaji trekta kumbeba.
Bw Lightsey alimgundua mnyama huyo akiwa na mwelekezi wa wawindaji Blake Godwin walipokuwa

Tuesday, 5 April 2016

ALIYEKUWA MAARUFU KWA KUCHEZA FILAMU ZA NGONO AFARIKI USINGIZINI

LAYIII
BONYEZA HII PICHA KUMWONA YULE DADA ALIYECHEZA KIMAHABA MBELE YA WAFANYAKAZI WENZAKE AKIWA OFISINI
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki usingizi wikendi iliopita.
Amber alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Alikuwa miongoni ,mwa kundi moja la wanawake ambao walidai kwamba James Deen,ambaye pia

Monday, 4 April 2016

LADY JAYDEE SIJAMPIGA VIJEMBE GARDNER KATIKA WIMBO WANGU

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NA MTOTO HAPPY
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe  aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi amemuimba mtu fulani kumbe yeye aliimba kwa ajili ya mashabiki wake wote.

BABU TALE AELEZEA NAMNA ALIVYOSAIDIWA NA RAY C KABLA HAJAJULIKANA

LAYIII
BONYEZA PICHA YA TALE KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY USIACHE KUSUBSCRIBE YOUTUBE
Babu-Tale


 Meneja wa Tip Top Connection na WCB, Babu Tale, amefunguka kuwa anatamani kumsaidia Ray C kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na kumrejesha vizuri kwenye muziki kama zamani kwakuwa naye aliwahi kumsaidia.

Akiongea kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM, Jumamosi iliyopita, Tale alidai watu wengi hawajui Ray C alimsaidia kwa kiasi kikubwa kukaa kwenye ramani nzuri kisanaa kama alivyo leo.

CUF: HATUMTAMBUI SHEIN KAMA RAIS ZANZIBAR

LAYIII
BONYEZA PICHA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA UKAWA KIPINDI CHA UCHAGUZI WA BARAZA LA MAWAZIRI
CUF
Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimesema hakimtambui Dkt Mohamed Ali Shein aliyetangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio uliofanyika mwezi uliopita.
Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), wakizungumza kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi huo ambao chama hicho kilisusia, wamesema hawamtambui Dkt Shein kama rais wa visiwa hivyo.
“Tangu mapema, tangu Jecha (Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha) alipofuta uchaguzi, tulisema waziwazi kwamba haikuwa halalali. Walipoitisha uchaguzi wa marudio, tulisema waziwazi

MAGUFULI AFUTA SHEREHE ZA MUUNGANO

LAYIII
KAMA HUKUONA ZILE SHEREHE ZA CHADEMA KIPINDI CHA UCHAGUZI UNAWEZA BONYEZA PICHA HII
Magufuli
Rais wa Tanzania John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na badala yake akawataka Watanzania waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa katika shughuli zao binafsi.
Siku hiyo hata hivyo bado itasalia kuwa ya mapumziko kama kawaida. Agizo hilo la Dkt Magufuli aidha linaathiri shamrashamra za mwaka huu pekee.

Sunday, 3 April 2016

BUNGE KUJADILI NAMNA YA KUMNG`OA ZUMA

LAYIII

Bunge la Afrika kusini litajadili hoja ya kumng'oa rais Jacob Zuma madarakani siku ya Jumanne.
Spika wa bunge la Afrika Kusini ametoa taarifa hiyo baada ya shinikizo kutoka kwa vyama vya upinzani vikiongozwa na kile cha Economic Freedom Fighters (EFF) kinachoongozwa na Julius Malema.

BAADHI YA WACHEZAJI WA EPL WANATUMIA MADAWA HARAMU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Gazeti la Sunday Times limechapisha ripoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo

BREAKING NEWZ NDEGE YAGONGA GARI HUKO CARFONIA

LAYIII

Mtu mmoja ameuawa baada ya ndege moja kuangukia gari alimokuwa kwenye barabara kuu ya California Marekani.
Walioshuhudia wanasema kuwa ndege hiyo ilionekana kama iliyokuwa na matatizo ya injini na ikalazimika kutua kwa dharura kwenye barabara ya Interstate 15 freeway California.
Rubani wa ndege hiyo Dennis Hogge hata hivyo alishindwa kuidhibiti na ikateleza na kuigonga gari

NILIIBA MUME WA RAFIKI YANGU ALICHONIFANYIA SITASAHAU

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUMSHUDIA ALIYE CHEZA KIMAHABA OFISINI
skirt dress sexy dress party dress black dress o neck cute skirt jumpsuit fashion beautiful preppy women clothes classy trendy cool girl new cute
Tulipotoka chuo mwanzoni mwa miaka ya 2000 mimi na rafiki yangu kipenzi tulipata kazi nzuri na yenye kulipa vizuri sana, kazi hiyo tulitafutiwa na Mchumba wa huyo shosti wangu, tulipomaliza probation tu, rafiki yangu na Mchumba wake wakafunga ndoa rasmi.

Baada ya kama miaka 3 hivi, mimi na yule shemeji yangu tukaanzisha uhusiano usiofaa kwa siri bila mwenye mali kujua, baadae yule bwana akaanzisha fujo nyumbani kwake ili waachane, rafiki yangu akaja kugundua kuwa mimi ndiye mbaya wake, urafiki ukaishia hapo

HUYU NDIYE MSANII WA KIUME AMBAYE LADY JAYDEE ANAMFIKILIA KWA SASA

LAYIII
NJOO YOUTUBE BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lady Jaydee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa 'Ndi ndi ndi' amefunguka na kuweka wazi wazi msanii wa kiume ambaye kwa sasa anamfikiria katika kufanya nae kazi.

Kupitia Accout yake ya twitter ambapo alitoa nafasi ya maswali kutoka kwa mashabiki zake Lady Jaydee aliulizwa swali kama ataweza kufanya remix ya wimbo wake mpya na kama

MADAWA: ARSENAL, CHELSEA, LEICESTER` NI UONGO

layiii

BONYEZA PICHAA HII BET ONLINE SASA NA MERIDIANBET.CO.TZ

https://meridianbet.co.tz/?affiliate=9051&campaign=8930&refer=5nCOhT6G1Prq2kPpwPGyvw#!join


Vilabu vitatu vikuu katika ligi kuu ya Uingereza EPL vimekanusha madai kuwa wachezaji wao wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Vilabu hivyo vimekanusha madai hayo yaliyochapishwa na jarida la Sunday Times kuwa ya ''uongo''
Jarida hilo limechapisha ripoti ya ufichuzi inayodai kuwa daktari mmoja mwenye zahanati ya kibinafsi mjini London Mark Bonar amekiri kuwapa madawa yaliyopigwa marufuku wachezaji 150 katika kipindi cha miaka 6 iliyopita.

KOREA KUSINI MAHAKAMANI JE NGONO IHALALISHWE AU IPOTEZEWE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NA MTOTO HAPPY
Mahakama ya katiba Korea kusini imeendelea kukataa rufaa iliyowasilishwa kupinga sheria inayopiga marufuku biashara ya ngono ikiwa ni ishara ya kushindwa kwa wafanyabiashara hii ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakifanya kampeni kupinga hayo maamuzi.
Hakimu Kim chang jong amesema kampeni za kuleta uwazi na uhuru katika ngono hazimaanishi kuwa

Saturday, 2 April 2016

RAILA ODINGA ATUA CHATO NYUMBANI KWA MAGUFULI KWA KUTUMIA HELKOPTA BINAFSI

LAYIII
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisemamimi na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike, pia nimekuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijaja hapa Chato na nilisema siendi Dar, nitakuja hapahapa Chato

GARI LA KIFAHARI LA POLICE LAMFANYA MKOSAJI ASAHAU FAINI HUKO DUBAI

LAYIII
Dubai ni moja ya sehemu ukienda kwa mara ya kwanza utajikuta unashangaa tu tena kama wewe ni mpenzi wa magari makali na maisha mengine ya kifahari ndio kabisa maana kuanzia watu binafsi mpaka Jeshi la Polisi wanayo magari ya kifahari kama Ferrari, Bugatti na Lamborghini ambayo wengi wetu tumezoea kuyaona kwenye video za mastaa wa dunia kama kina Nicki Minaj, Chris Brown na wengine.

DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA KAI BOY DEAR GOD

LAYIII
NONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

JE ULIIJUA HIII ------- AFANYIWA UPASUAJI MARA 25 ILI KUONDOA TATUU ZILIZOKO USONI KWAKE

LAYIII
 BONYEZA PICHA KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY KISHA SUBSCRIBE NAMI YOUTUBE ILI KILA SIKU UPATE VIDEO KALI ZA MATUKIO
http://images.postr.hu/uploads/blogs/1496/122060/post_122060_20130317222102.jpg
Kijana mmoja ambae alikuwa kiongozi wa Wahuni nchini ujerumani alifanyiwa operation mara 25 usoni kwake ili kufuta tattoo zilizopo usoni mwake.

UNAJUA NAMANA YA KUZUGUSHA KIUNO NA KUMRIZISHA MMEO JIFUNZE HAPA

LAYIII
bonyeza picha hii kujifunza zaidi

Sio siri licha ya kuwa na pilika nyingi mchana kutwa lakini unapoingia usiku hasa kwa wale wanao ishi na wenza wao ni vyema kufarijiana kwa njia hii, ili kuchangamsha mwili na akili kwani kujua kupika na usafi ni mambo ya kawaida lakini  katika nyanja za usiku inabidi uwe fundi na ndio maana www.swaxbz.com imeamua kukujuza ni jinsi gani unaweza kutaka ili

OBAMA: TRUMP HAELEWI SERA ZA KIGENI

LAYIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu! Haya ni kulingana na rais wa Marekani Barrack Obama. Obama ameyasema haya kufuatia matamshi ya Donald Trump kuwa

KIWANGO CHA PESA ANACHO LIPWA DK MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

LAYIII
 BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Baada ya baadhi ya Wabunge wa vyama vya upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya kodi, President Magufuli ambaye ni Rais wa awamu ya tano kwenye Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekubali kuutaja mshahara wake.
Kama kawaida yake yeye ni shabiki wa kipindi cha TV cha Clouds 360 on CloudsTV ambacho alikipigia simu kwa suprise March 17 2016, sasa wakati anatazama kipindi hicho April 1 2016 akiwa

NA UPDATE KUTOKA TRACE TV HIZI NDIO VIDEO 10 BORA ZENYE WATANZANIA WANNE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Headlines za Tanzania zinazidi kuwa nyingi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho Wasanii wengi wamekua wakililia au kutamani video zao zionyeshwe hapo kutokana na ukubwa wa Station hiyo na nguvu yake iliyosambaa sehemu mbalimbali Afrika.
Leo March 31 2016 kupitia kituo hicho kilitoa video 10 bora za Africa zinazofanya vizuri zikiwemo mbili kutoka Tanzania Navy Kenzo – Kamatia, Ay ft Diamond Platnumz – Zigo Remix

VIDEO MPYA YA RIHANNA "KISS IT"

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Ipokee na hii ‘kiss it better‘ video mpya ya Rihanna ambaye February 20 2016 alitimiza umri wa miaka 28, single yake ambayo imelia sana masikioni na imepita sana kwenye TV zetu ni work ft. Drake aliyoiachia February 22 2016 na imeshika namba

Friday, 1 April 2016

NDUGU WA SAJUKI WAFUNGUKIA TARAKA YA WASTARA

LAYIII
BONYEZA PICHA HAPA KUSKILIZA NA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
WASTARA13
Na Gladness Mallya
KUTOKANA na madai ya kupewa talaka na mumewe Sadifa Juma, ndugu wa aliyekuwa mume wa Wastara Juma, marehemu Sadick Kilowoko ‘Sajuki’, Mohamed Kingochi ‘Mdidi’ amefunguka kuwa ameumizwa na suala hilo kwani walitegemea ndiyo amepata mtu wa kumpa faraja.

ULIJUA JINSI WAUMINI WALIVYO MLIPUA MBONGO MOVIE LULU KIMEMETA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUMSKIA MTOTO HAPPY
lulu210
Staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akitoa neno katika Kanisa la Living Water Centre.
Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan, Ijumaa
Dar es Salaam: Baada ya hivi karibuni kukiri kanisani kuwa ameokoka na kumkubali Mungu kuwa bwana na mwokozi wake kisha kukengeuka na kupiga picha chafu za nusu utupu, waumini wamemlipua staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani akiwa na biblia) kwa madai kuwa anatia aibu.
TUJIUNGE KANISA LA MAKUTI-KAWE

MABADILIKO KATIKA INSTAGRAM YAMEZUWA HISIA KALI SANA KWA WATUMIAJI

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUMSKILIZA MTOTO HAPPY
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Mabadiliko ya yaliomo katika mtandao wa instagram yamezua hisia kali miongoni mwa watumizi wake.
Mtandao huo una mpango wa kuweka ratiba ya mpangilio wa ujumbe hivyobasi kupanga machapisho kulingana na maslahi ya mtumiaji badala ya kuyapanga kulingana na mda.
Machapisho mengi ya watu maarufu ambao wana wasiwasi kwamba picha zao huenda zisionekane na watu wengi yamewataka wafuasi wao kufungua kitufe cha ujumbe.

SHAROBARO APAGAWISHWA KIMAPENZI NA RIYAMA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE USKIE KILICHOJIRI KULE
Taarifa ikufikie kwamba, staa wa kitambo wa Bongo Muvi, Riyama Ally amelipiwa mahari na mpenzi wake ‘sharobaro’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu ‘Leo Mysterio’ huku mipango kabambe ya ndoa ikiendelea.

HIZI NDIO RECORD LABEL SITA AMBAZO WASANII WAKE WANAFANYA VIZURI HAPA TANZANIA

LAYIII
SeeBait
Record label ni kampuni inayosimamia wasanii ama brand, kuratibu utengenezaji wa nyimbo, video, usambazaji, masoko, promotion na mambo mengine. Record label pia hutafuta wasanii wapya kwa nia ya kuendeleza vipaji vyao.
Nchini Tanzania tumeanza kuona record label mbalimbali ambazo zinafanya vizuri kwa kiasi chake, japo bado hatujafika kule ambako tunatarajia record label zetu zifike. Hapa tumeandaa record label kadhaa ambazo kwa sasa zinafanya poa.

MABESTE NA LISA KUFUNGA NDOA MWEZI WA NANE

LAYIII
Rapper Mabeste amesema anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na mchumba wake wa siku nyingi, Lisa aliyezaa naye mtoto mmoja aitwaye Kendrick.
Akiongea katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Mabeste alisema:

VANESSA MDEE AMESEMA ANAMWOMBEA JACK PATRICK ATOKE JELA MAPEMA

LAYIII
Mwanamuziki Vanessa Mdee amesema anamuombea Jack Patrick atoke jela mapema.
Jack aliyefungwa jela nchini China baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aliwahi kuwa mpenzi wa Jux, ambaye kwa sasa ni boyfriend wa muimbaji huyo wa Niroge.

NEW VIDEO TEMBA FT JOKATE MWENGERO maromboso-fundi

layiii
https://youtu.be/FmNBsdof0io

KATIKA STORY ZA MASTAA DIAMOND AKIRI KUTOKUWA NA TATIZO NA MSANII YEYOTE AWEKA PICHA YA ALIKIBA NA MR BLUE OFISINI KWAKE

LAYIII

diamond afrima

Diamond amesema hataki kuulizwa tena kama ana bifu na msanii mwingine, amedai hana tatizo na msanii yoyote na ndio maana hata ukienda ofisini kwake utakuta ameweka picha za wasanii wote  hata ambao amekuwa akihusishwa kuwa na bifu nao.

JE ULIJUA KUWA HOTUBA YA TRUMP IMETUMIWA KATIKA FILAMU

LAYIII


Image caption Donald Trump
Wazalishaji wa filamu moja nchini Mexico kuhusu wahamiaji wanaojaribu kuingia nchini Marekani wametoa kipande kidogo cha filamu hiyo ambacho kinatumia hotuba ya bwana Donald Trump kupitisha ujumbe wa filamu hiyo kwamba maneno ni hatari kama risasi.
Sauti iliowekwa katika filamu hiyo ya Kihispania, Desierto ,inemuonyesha bwana Trump akiitaka

WORK FROM HOME YAINGIA KUMI NA TANO BORA

LAYIII
Kama unafatilia muziki wa kizazi cha sasa duniani unaweza kuwa umeshakutana nayo lakini kama hujakutana na hii, nakufahamisha wanaitwa Fifth Harmony na single wamemshirikisha Ty Dolla $ign na ni moja ya video zinazochezwa sana kwenye TV kubwa za burudani duniani, kabla ya hapo walipita sana kwenye masikio yetu na hit single ya ‘worth’ ft. Kid Ink.

Wednesday, 30 March 2016

NI MENGI YAMEZUNGUMZWA KUHUSU FREEMASONI NDANI YA TANZANIA ILA LEO JUA ZAIDI KUHUSU JAMII HII YA SIRI NA NANI WASHIRIKI

LAYIII


HISTORIA KWA UFUPI
Freemason ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao.

Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu.

WAMEBADILISHA MIILI YAO ILI KUFANANA NA KILE WANACHOKIPENDA MAAJABU MENGINE HAYA

LAYIII
BONYEZA PICHA YOYOTE HAPO CHINI KWENDA KUONA UPUUZI WA BAADHI YA WATU WANAVYOFANYA CHUKUA MUDAWAKO PIA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KISHA MSIKILIZE MTOTO HAPPY KULE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

Rick: The Zombie Boy

MAENEO YA MAAJABU YA DUNIA

LAYIII
Leo Tunawaletea picha za maeneo ambayo yako katika mvuto wa kipekee.. Maeneo hayo yakiwa yapo yaliyotengenezwa na binadamu enzi za zamani sana na yapo ambayo kimsingi ni uumbaji wa mwenyezi mungu mwenyewe..
Embu Yatizame nawewe.

MWANAMKE MBARONI KWA TUHUMA ZA PEMBE ZA NDOVU

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUSKIA SAUTI YA MTOTO HAPPY
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanamke mmoja Magreth Mosha mkazi wa Kibaha mkoani Pwani kwa tuhuma ya kupatikana na vipande saba vya meno ya tembo.

Jeshi hilo pia linamshikilia Bw. Hamis Balewa mkazi wa kijiji cha Mbasa wilayani Malinyi kwa kukutwa na nyama ya sheshe kilo ishirini zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni moja.

JUA SABABU YA KWANINI KIATU CHA LIONEL MESSI KILIVYO WAKERA WAMISRI

LAYIII
BONYEZA PICHA YOYOTE KUSKILIZA SAUTI YA MTOTO HAPPY
 https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Messi na mtanagazaji aliyempatia viatu vyake  

Mchezaji maarufu wa soka duniani amepeana viatu vyake vya kusakata soka katika mnada wa hisani,bila kujua kwamba hatua hiyo huenda ikawakera wengine.
Hicho ndio kisanga kilichompata nyota huyo wa Barcelona alipotaka kupeana viatu vyake huko Misri.
Kisa hicho kinajiri wiki chache baada ya Messi kupongezwa kwa kutimiza ndoto ya kijana mmoja wa Afghanistan alipomtumia boli na fulana yake.

KITUNGUU SWAUMU HUTIBI ZAIDI YA MAGONJWA 25 SOMA MAKALA HII

LAYIII

Kitunguu swaumu
Kitunguu swaumu
Mungu anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila

VIJUE VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO

Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
 
Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO
Mwanamke mjamzito anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Hata hivyo tafiti nyingi zinathibitisha idadi ya wanawake wajawazito wanaopatwa na vidonda vya tumbo kwa sasa ni ndogo sana.
Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo chanzo cha vidonda vya tumbo kwake.
Mwanamke ambaye ulikuwa unaumwa vidonda vya tumbo hata kabla ya kushika ujauzito unaweza kuendelea kutumia baadhi ya dawa rafiki (hasa zitokanazo na vyakula na mimea) za kutibu au kuzuia dalili za

UKWELI KUHUSU UKIMWI

LAYIII

Ukimwi
Ukimwi

Fuatana nami katika makala hii ndefu, unaweza kuzima kabisa intaneti yako wakati ukiendelea kusoma.
‘’Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwakuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, Mimi nami nitawasahau watoto wako – Hosea 4: 6’’.
Ukweli Kuhusu UKIMWI ni maelezo yanayoipinga dhana inayosema ugonjwa wa UKIMWI husababishwa na Virusi Vya Ukimwi (V.V.U) kupitia maandiko kadhaa ambayo yameshaandikwa na wanasayansi wengine

DAWA MBADALA TISA(9) ZINAZOTIBU UTI

LAYIII
· 26/10/2014
Dawa za U.T.I
Dawa za U.T.I
U.T.I ni kifupi cha maneno ya kiingereza: ‘Urinary tract infections’, ni maambukizi ya bakteria katika njia ya mkojo. Ni moja ya ugonjwa unaowakumba sana wanawake kwa sehemu kubwa ingawa hata wanaume pia wanapatwa na ugonjwa huu. Zaidi ya wanawake milioni 8 wanauguwa ugonjwa huu kila mwaka nchini Marekani peke yake.
Kama ulishawahi kupatwa na U.T.I basi hutazisahau dalili zake ambazo mara nyingi huanza kwa hitaji la

UJUWE UGONJWA WA UTI CHANZO NA MATIBABU YAKE

LAYIII
ugonjwa wa uti

UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima. UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili. Kwa kifupu ugonjwa wa UTI hushambulia viungo vinavyohusika katika

advertise here