LAYIII
October 6 2015 waimbaji wa gospel ambao ni wanandoa, Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha walifika Mahakamani kwenye kesi ya madai ya talaka iliyofunguliwa na Flora zaidi ya
Wednesday, 7 October 2015
Monday, 5 October 2015
KILA WAKATI MAYWEATHER, JUSTIN BIEBER HUWAKOSI KATIKAHEADLINE ZA MAISHA YAO
LAYIII
Kila wakati bondia Floyd Mayweather humkosi kwenye
headlines zinazohusu maisha yake ndani na nje ya kipaji chake…mara kwa
mara amekuwa akizungumziwa kutokana na utajiri alionao huku akiwa na
matumizi yaliyopitiliza ya pesa zake.
Safari hii ameonekana akila bata katika fukwe za Bora Bora pamoja na rafiki yake mkubwa mwanamuziki Justin Bieber.
Safari hii ameonekana akila bata katika fukwe za Bora Bora pamoja na rafiki yake mkubwa mwanamuziki Justin Bieber.
UJIO MPYA WA VANESSAMDEE
LAYIII
Ni hits baada ya hits mtu wangu… msanii wa muziki wa Bongo Flava Vanessa Mdee anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani jumatatu hii, baada ya kuachia hit single yake ‘Nobody But Me’ aliomshirikisha rapper kutoka South Africa K.O, Vanessa Mdee amewatangazia mashabiki wake kupitia page yake ya Instagram ujio wa single yake mpya ‘Never Ever’ inayopatikana kwenye Album yake Money Mondays!
WAKATI TUKITARAJIA ROBERTO KUFANYA COLLABO BONGO......NEY WA MITEGO YAMEMKUTA MENGINE KWAKE
LAYIII
Tanzania ilipata ugeni wa msanii kutoka Zambia Roberto aliyeimba ngoma ya ‘Amarula’ ambaye alikuja na kupiga show Mwanza..msanii Galaxy kutoka Tanzania amemshawishi Roberto wapige naye collabo moja..Galaxy amesema amepata connection nzuri ya kuweza kukutana na msanii huyo lakini bado hawajafanya collabo, kwa sasa tayari wamepanga mikakati yao na anachosubiri ni yeye awe tayari.
Ney wa Mitego alivamiwa na majambazi nyumbani kwake Mbezi ya Kimara..Anasema siku ya tukio yeye hakuwa nyumbani na majambazi hao walifika nyumbani kwake majira ya saa 4 usiku..walikuja
Tanzania ilipata ugeni wa msanii kutoka Zambia Roberto aliyeimba ngoma ya ‘Amarula’ ambaye alikuja na kupiga show Mwanza..msanii Galaxy kutoka Tanzania amemshawishi Roberto wapige naye collabo moja..Galaxy amesema amepata connection nzuri ya kuweza kukutana na msanii huyo lakini bado hawajafanya collabo, kwa sasa tayari wamepanga mikakati yao na anachosubiri ni yeye awe tayari.
Ney wa Mitego alivamiwa na majambazi nyumbani kwake Mbezi ya Kimara..Anasema siku ya tukio yeye hakuwa nyumbani na majambazi hao walifika nyumbani kwake majira ya saa 4 usiku..walikuja
FAMILIA YA MAREHEMU MCHUNGAJI MTIKILA IMETOA MAJIBU KUHUSU KILICHOTOKEA KWENYE AJALI, KUAGA MWILI NA MAZISHI..
layiii
October 05 2015 ni siku ya pili inaisha
tangu litokee tukio la ajali ya gari ndogo katika Kijiji cha Msolwa,
Chalinze Mkoa wa Pwani ambapo ndani yake kulikuwa na watu watatu pamoja
na Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alifariki kutokana na ajali hiyo.
Sunday, 4 October 2015
KIKGUNGU HAYA NDIYO MAAMUZI YAKE
LAYIII
Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombare Mwiru leo ametangaza kujiondoa ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM na sasa atakuwa mwananchi huru.
Kingunge amezungumza leo mbele ya waandishi wa Habari akiwa nyumbani kwake Kijitonyama, Dar es salaam.
Kingunge amezungumza leo mbele ya waandishi wa Habari akiwa nyumbani kwake Kijitonyama, Dar es salaam.
PICHA ZA AWALI NYUMBANI KWA MAREHEMU MTIKILA
LAYIII
Kwenye list ya Wanasiasa walioamua
kuingia kwenye Mchakato wa Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaofanyika October
2015, alikuwepo pia Mwanasiasa Mkongwe, Mchungaji Christopher Mtikila ambaye alitangaza kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP).
Saturday, 3 October 2015
BREAKING: Mchungaji Christopher Mtikila wa DP amefariki.
LAYIII
Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha DP Christopher Mtikila amefariki dunia alfajiri ya leo wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Thursday, 1 October 2015
ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI
LAYIII
Wiki
iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na
hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika
Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda
Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA…
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Wednesday, 30 September 2015
NYUMBA 15 ZA MASTAA ZILIZOONGOZA KWA UFAHARI HADI KUFIKIA NOV.2013
layii
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha
wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi
huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika
biashara.
Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)
LAYIII
Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza
mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16
ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni kama saa moja tu hivi
unakuwa umemaliza safari !!
Sasa hizo saa za kukaa kwenye basi safari ya Mwanza-Dar
kuna watu wanazitumia wakiwa angani kwenye Ndege… Nimezipata Rekodi
Mitandaoni, zinaonesha safari kumi za Ndege ambazo wasafiri
ABILIA KAKOSEA MLANGO WA NDEGE KATAKA KUFUNGUA WA KUTOKEA NJE AKATI NDEGE IKO ANGANI KILICHO MKUTA STORI NYINGINE
LAYIII
Ndege ya Shirika la KLM ilikuwa katikati ya safari kutoka Edinburgh kwenda Amsterdam,
Uholanzi… ilibaki kidogo mambo yaharibike katikati ya safari.. abiria
mmoja akakosea mlango, badala ya kufungua mlango wa kuingia chooni, yeye
akaenda moja kwa moja kwenye mlango wa kutokea nje huku ndege ikiwa juu
angani na safari inaendelea !!
Sunday, 27 September 2015
DR CHENI AFUNGUKA ISHU YA MADAI ETI KUWA YEYE KUTAKA KUMUOA LULU!!
layiii

Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu.

Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu.
HAWAKUJALI MANENO NA MINONG`ONO NDIYO MAANA MPAKA LEO UHUSIANO WAO UNADUMU NANI HAOO...............
LAYIII
Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu
katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na
kuchangia mahusiano yao kuvunjika.
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia
BAADA YA KUPOTEZA MECHI NNE, KUNA DALILI YA JKT RUVU KUFANYA MAAMUZI HAYA MAGUMU
layiii
Ligi Kuu soka Tanzania
bara imeendelea September 27 kwa mechi mbili kupigwa , huu ukiwa ni
muendelezo wa mechi za round ya nne kwa timu za Ligi Kuu. Msimu wa Ligi
2015/2016 kila timu inaonekana kujiandaa na haitaki kupoteza mchezo
wowote wa Ligi Kuu licha ya kuwa hali ni tofauti kwa klabu ya JKT Ruvu.
NEW KUTOKA BONGOHOLLYWOOD BLOG
LAYIII
Wakati mkiwa tayari kupata habari kwa njia ya simu ukiwa na laini ya tigo na millardayo mtu wako wa nguvu swaxbz amekusogezea bongohollywood.blogspot.com ambayo itakupa ratiba mbalimbali za show za wasanii headline ya siku pamoja na ngoma mpya kabisa ungana na bongohollywood kudownload ngoma mpya kila siku na uwe mmoja wa watu wa kisasa zaidi
MAGUFULI AIGEUZIA KIBAO TUME YA TAFITI ILIYOMPA USHINDI WA URAIS
LAYIII
By Peter Elias, Mwananchi
Kahama. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema waliofanya utafiti wamempunja asilimia kwani ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 95 na si 65 kama zilivyotajwa kwa kuwa wananchi wanampenda, naye yuko tayari kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo.
Kahama. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema waliofanya utafiti wamempunja asilimia kwani ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 95 na si 65 kama zilivyotajwa kwa kuwa wananchi wanampenda, naye yuko tayari kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo.
WAISLAMU WATOA TAMKO DHIDI YA LOWASSA NA GWAJIMA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
LAYIII

Picha na Maktaba
TAMKO LA TAASISI YA KIISLAMU YA IMAM BUKHARY JUU KAULI ZA NDUGU EDWARD LOWASSA NA ASKOFU GWAJIMA WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA
NINAZO PICHA ZA KILIFEST HAPA MTU WANGU
LAYIII
Ruby.
Ni Sept 26, 2015 ambapo mashabiki wa
muziki wa Bongo Fleva walishuhudia Burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii
mbalimbali akiwemo, Ruby, Fid Q, Aika na Nahreel, Damian Soul, Barnaba na wengineo,Show hiyo iliyopewa jina la Kill Fest ilifanyika katika viwanja vya Leaders Club Dar es
Saturday, 26 September 2015
Friday, 25 September 2015
Monday, 21 September 2015
Friday, 18 September 2015
COLLABO YA STEREO NA AY, ‘STAY’ YA GODZILLA KWENYE DOCUMENTARY, ALBAMU MPYA YA HEMED PHD JE?..#255
LAYIII
Kwenye zile headlines za burudani leo Rapper Stereo amesema wakati wa kufanya kazi na AY umefika na sasa wanatarajia kuachia bonge la ngoma na itatoka wakati wowote chini ya Studio za MJ Records..pia leo anatarajia kutambulisha kichupa chake cha ‘Ilala na Ukonga’ akimshirikisha Chid Benz.
Godzilla aliachia ngoma ya ‘Stay’ na sasa anatarajia kuachia Video yake pamoja na Documentary… yupo katika mazungumzo na waandishi mbalimbali watakaomsaidia kuandika script ili kukamilisha
Godzilla aliachia ngoma ya ‘Stay’ na sasa anatarajia kuachia Video yake pamoja na Documentary… yupo katika mazungumzo na waandishi mbalimbali watakaomsaidia kuandika script ili kukamilisha
COLLABO NYINGINE YA LIL WYNE FEAT.CHRISTINA MILIAN ISIKUPITE WEEKEND HII MTU WANGU
LAYIII
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao.
LIST YA VIWANJA 10 VYA NDEGE AMBAVYO NI VYA GHARAMA ZAIDI DUNIANI…(PICHAZ)
layiii
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa
ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani
kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo
vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
Hii ndiyo list kamili…
HAYA NI MAISHA MENGINE YA KOCHA JOSE MOURINHO NJE YA SOKA…
layiii
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa
sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa
katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo
anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.
Thursday, 17 September 2015
PICHAZ ZA JAY Z, BEYONCE NA MTOTO WAO WAKIENJOY KATIKA BOTI YA KIFAHARI ZIPO HAPA…
LAYIII
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo inaitwa Galactica Star, gharama ya kukodi boti hiyo kwa wiki ni dola 900000 za kimarekani ambazo
HADI KUFIKIA JUNE 2013 HAYA NDIO YALIKUWA MAAJABU 10 YA DUBAI (+PICHAZ)
LAYIII
Miongoni mwa sehemu nzuri na zakuvutia kutembelea katika hii Dunia basi Dubai haiwezi kukosa, Dubai
unatajwa kuwa mji wa kitalii na kibiashara, wengine wanautaja kama pepo
ya watalii. Mji huo umejengeka kwa majengo yenye ramani za kuvutia.
September 17 nakusogezea
MAGUFULI NA M4C, ZITTO NA JK, CCM NA UCHAGUZI MKUU, MAJARIBIO YA FAINI TZ LEO? >>> STORI KUBWA (AUDIO).
layiii
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast…
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli asema “M4C” inamaanisha “Magufuli 4
Wednesday, 16 September 2015
NINAYO TAYARI ORODHA KAMILI YA WALE WOTE WANAOWANIA TUZO ZA ANNUAL BET HIP HOP AWARDS 2015!
LAYIII
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani Marekani BET huandaa tuzo za kipekee kabisa ‘Annual BET Hip Hop Awards’
kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa
mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa
2015 zikiwa
GOOD NEWZ DIAMOND TUZO NYINGINE
LAYIII
Entertainment
#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!
Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumz alitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini Milan Italy.
AJIKUTA MIKONONI MWA POLICE BAADA YA KUONYESHA UBUNIFU WAKE
LAYIII
Ahmed Mohamed
ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya
ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu
wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo
cha Polisi na wakamkamata !!
TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)
LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari
kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu
una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya
mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na
kujaa zinachukua muda pia
Tuesday, 15 September 2015
AUNT EZEKIEL KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM….(AUDIO)
layiii
Ni stori inayoendelea kuchukua healines
kwenye mitandao mbalimbali kuhusu Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi, sasa
leo Sept 15, 2015 ripota wa millardayo.com alikutana na Aunt Ezekiel na
kueleza sababu zilivyomfanya yeye kuhama UKAWA na kuhamia chama cha
Mapinduzu.
SABABU YA LILY WAYNE NA CHRISTINA MILIAN KUACHANA HII HAPA…
LAYIII
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada
ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi
PSQUARE WAWEKA HEADLINES KWA KUBUKA NA MJENGO MWINGINE HUKO ATLANTA….
LAYIII
Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.
Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.
JINSI AZAM FC NA MTIBWA SUGAR WALIVYOTIMIZA VIGEZO VYA KUPATA LESENI YA KLABU KWA 95% (+AUDIO)
LAYIII
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.
MAJIBU YA MOURINHO KUHUSU MFULULIZO WA MATOKEO MABOVU NA KUELEKEA MECHI DHIDI YA KLABU YA MACCABI TEL AVIV..
layiii
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa
timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na
klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.
HABARI ZA KUSHTUA DJ FETTY ATANGAZA KUACHA KAZI YA UTANGAZAJI
LAYIII
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty,
moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East
Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia
kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.
Monday, 14 September 2015
BAADA YA KUSHINDA PAMBANO LA 49, FLOYD MAYWEATHER ANAACHANA NA MCHEZO WA NGUMI??
LAYIII
Bondia Floyd Mayweather ni
jamaa mwenye rekodi nzuri ambayo ameijenga kwa kipindi chote cha miaka
yote 19 aliyoitumia kwenye mchezo wa ngumi..Usiku wa kuamkia leo
September 13 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)