layiii
Kwa miaka isiyozidi miwili hakukuwa na amani kati ya Producer wa AM Records Manecky na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz na ni baada ya Manecky kushutumiwa kuvujisha nyimbo za Diamond ambazo hazijakamilika.
Wednesday, 8 July 2015
KOCHA WA BAECELONA KUIONOA TEAM YA TAIFA BRAZIL BRAZIL
LAYIII
Pep Guardiola ni Kocha ambaye anaifundisha Klabu ya Bayern Munich, kwani ana mpango wa kuifundisha Timu yoyote ya Taifa? Dani Alves kafungua haya mengine yaliyokuwa kwenye moyo wa Kocha huyo.
Beki wa pembeni wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Dani Alves amethibitisha dhamira ya kocha wake wa zamani wa klabu hiyo Pep Guardiola kutaka kuinoa timu ya taifa ya Brazil.
Pep Guardiola kuifudisha Timu ya Taifa Brazil? Hiki ndio kilichomwangusha !!
Pep Guardiola ni Kocha ambaye anaifundisha Klabu ya Bayern Munich, kwani ana mpango wa kuifundisha Timu yoyote ya Taifa? Dani Alves kafungua haya mengine yaliyokuwa kwenye moyo wa Kocha huyo.
KUMBE H BABA KWENYE KABUMBU YUMO CHEKI HAPA
LAYIII
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii
kutoka kwa msanii wa Bongo Fleva, H Baba ambaye ametangaza rasmi sasa
hivi kurudi kwenye soka na kujiunga na timu ya Toto African.
‘Kupitia
kwenye kipindi cha AMPLIFAYA cha Clouds FM july 7, 2015 alifunguka na
kusema’Ni kweli kwamba mimi nina vipaji vingi sasa ubora wa vipaji ni
kuvioneshaMsanii H baba kuichezea Toto African?, maneno yake nimekuwekea hapa
Rais JK kuvunja Bunge, Tido Mhando na Wema Sepetu kuwa Mawaziri!? Wageni Dodoma je?>>>Stori Kubwa (Audio)
LAYIII

Ni Jumatano nyingine tena na inawezekana uchambuzi wa magazeti leo kupitia @CloudsFM ulikupita, hiki ndio nilichokipata kwenye Uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini.
Rais JK anatarajia
kulihutubia na kulivunja Bunge kesho July 9 Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma amesema baadhi ya wageni wanaoingia jijini humo watalazimika
kulala nje ya Dodoma mpaka shughuli za Kiserikali zitakapoisha… CHADEMA wanafanya Mkutano kujadili mambo mengi ikiwemo kuangalia mchakato wa BVR.
Kuna stori pia kuhusu watu milioni 11 kuandikishwa kwenye daftari la wapigakura kwa kutumia mfumo wa BVR.
Mgombea Urais wa CCM, Maliki Malupu ametangaza Baraza la Mawaziri litakalokuwa na Mawaziri 18, Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo kungozwa na Tido Mhando na Naibu Waziri kuwa Wema Abraham Sepetu.
Mbunge Joshua Nassari amenusurika
ajali ya helikopta jana, yeye pamoja na wengine waliokuwepo kwenye
ajali hiyo wamepelekwa hospitali kwa ajili ya matibabu.
Uchambuzi wa stori zote uko kwenye hii sauti hapa niliyorekodi #PowerBreakfast.
JIMBO JIPYA LAGUNDULIKA DAR
LAYIII
Wafanyabiashara ni wengi na kila mmoja anataka mambo yake yaende vizuri ndio maana kwa gharama zote anazozimudu anahakikisha amefanikisha kufikia lengo la kuteka wateja wengi. Baada ya mwezi mtukufu mpango wa burudani Dar es salaam unahamia kiwanja kipya cha night club
Wafanyabiashara ni wengi na kila mmoja anataka mambo yake yaende vizuri ndio maana kwa gharama zote anazozimudu anahakikisha amefanikisha kufikia lengo la kuteka wateja wengi. Baada ya mwezi mtukufu mpango wa burudani Dar es salaam unahamia kiwanja kipya cha night club
HIKI NDICHO ABDU KIBA ANATAMANI KWA DIAMOND NA ALIKIBA
LAYIII
Post hii inamilikiwa na Abdu Kiba, msanii wa bongofleva ambaye ni mdogo wa Ali Kiba…. alifika TZA kwenye studio za Millard Ayo na kufanya Interview ya mambo mengi ambapo hii ni sehemu ya pili ya alichokiongea.
Post hii inamilikiwa na Abdu Kiba, msanii wa bongofleva ambaye ni mdogo wa Ali Kiba…. alifika TZA kwenye studio za Millard Ayo na kufanya Interview ya mambo mengi ambapo hii ni sehemu ya pili ya alichokiongea.
CHEKI ILE STYLE YA WACHINA YA KUFUTURU
LAYIII
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan… Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan… Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.
Picha za Waislamu wa China wanavyoshiriki pamoja kwenye Futari!
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan… Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.
MSIKIE MBUNGE WA SINGIDA HAPA AKIWAAGA WANANCHI WAKE
LAYIII
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi wa August 2015 wapigiwe Kura za kuendelea kuwa Wabunge, lakini wapo walioaga pia.
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi wa August 2015 wapigiwe Kura za kuendelea kuwa Wabunge, lakini wapo walioaga pia.
Maneno ya Mbunge Mohammed Dewji alipokuwa akiaga watu wake Singida Mjini
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete
akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza
kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi wa August
2015 wapigiwe Kura za kuendelea kuwa Wabunge, lakini wapo walioaga pia.
Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji ni Mfanyabiashara mkubwa lakini pia alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo, leo alitua siungida na kuhutubia Wapigakura wake.
Hizi ni Tweets zake alizoandika kile alichowaambia wakati anaaga kutogombea tena Jimbo hilo.
5000 KUSIMAMISHWA KAZI MICROSOFT KISA HIKI HAPA
LAYIII
Kampuni ya Microsoft (MST Tech 30) ni miongoni mwa kampuni kubwa za teknolojia duniani, wakiwa ni watengenezaji wakubwa wa bidhaa za kompyuta na simu duniani.
Kampuni ya Microsoft ilikuwa
na wafanyakazi 118,600 mpaka mwezi March 30 2015, kati yao wafanyakazi
60,000 walikuwa ndani ya Marekani… Mwaka 2014 kampuni hiyo
iliwasimamisha kazi watu 18,000.. wengi walishangazwa na uamuzi huo.
Microsoft inasimamisha kazi watu zaidi ya 5,000… Sababu ni hii iliyotajwa hapa !!
Kampuni ya Microsoft (MST Tech 30) ni miongoni mwa kampuni kubwa za teknolojia duniani, wakiwa ni watengenezaji wakubwa wa bidhaa za kompyuta na simu duniani.
Kampuni ya Microsoft ilikuwa
na wafanyakazi 118,600 mpaka mwezi March 30 2015, kati yao wafanyakazi
60,000 walikuwa ndani ya Marekani… Mwaka 2014 kampuni hiyo
iliwasimamisha kazi watu 18,000.. wengi walishangazwa na uamuzi huo.
Story kubwa kuhusu wao leo inahusu Kampuni hiyo kutangaza
tena kuwasimamisha kazi wafanyakazi 7,800 na hawatatoka Marekani tu
bali kwenye matawi yao yaliyoko sehemu mbalimbali Duniani.
Tuesday, 7 July 2015
BREAKINGS NEWZ HELICOPTER YA WABUNGE YAPATA AJALI
LAYIIII
Stori imeanza kuenea leo jioni July 07 2015 kwenye Mitandao ya Kijamii, inahusisha Mbunge wa CHADEMA kupata ajali ya Helicopter.

Stori imeanza kuenea leo jioni July 07 2015 kwenye Mitandao ya Kijamii, inahusisha Mbunge wa CHADEMA kupata ajali ya Helicopter.
Ajali ya Helicopter imetokea leo July 07 2015, ndani yake alikuwemo Mbunge wa CHADEMA
Stori imeanza kuenea leo jioni July 07 2015 kwenye Mitandao ya Kijamii, inahusisha Mbunge wa CHADEMA kupata ajali ya Helicopter.
Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimeandikwa post zinazoonesha Mbunge Joshua Nassari ndiye
aliyepata ajali hiyo ya Helicopter, amepelekwa Hospitali kwa ajili ya
matibabu pamoja na rubani na watu wengine ambao hawajatajwa.
KATIKA MAGAZETI YA LEO 7/7/2014
LAYIII
Polisi wazuia wageni Dodoma, Lowassa asukiwa zengwe na hukumu ya kina Yona, Mramba…#MAGAZETINI JULY7
MWANANCHI
Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM
itakutana kesho mjini Dodoma kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za
wagombea 38 wanaoomba kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake
kwenye kikao cha Kamati Kuu inayokutana keshokutwa.
Habari kutoka ndani ya CCM zinasema kuwa kamati hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete wakati mwingine hukasimisha shughuli zake kwa kamati ndogo inayoketi chini ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula.
MRAMBA ALIVOCHUKULIWA NA POLICE CHECK HAPA
LAYIII
July 6 2015 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwahukumu mawaziri wa zamani kwenye serikali ya Tanzania awamu ya tatu, kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya milioni 5 baada ya kupatikana na hatia.
July 6 2015 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwahukumu mawaziri wa zamani kwenye serikali ya Tanzania awamu ya tatu, kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya milioni 5 baada ya kupatikana na hatia.
Video: Basil Mramba na Daniel Yona walivyochukuliwa na Polisi kupelekwa gere
LIJUE DAU LA KIUNGO HUYU HUKO BARCELONA
LAYIII
Klabu ya Barcelona imefikia makubaliano na Atletico Madrid kuhusu kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29.
Winga huyo alizivutia pia klabu za Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake baada ya kufikiana makubaliano.
Barcelona yamaliza mpango wa kunasa saini ya kiungo huyu..unajua ni kwa dau gani?…
Klabu ya Barcelona imefikia makubaliano na Atletico Madrid kuhusu kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29.
Winga huyo alizivutia pia klabu za Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake baada ya kufikiana makubaliano.
KENYA 14 WAUWAWA NA ALSHABABU
LAYIII
Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya usiku wa kuamkia leo. Mamlaka husika huko Mandera yathibitisha.

Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya usiku wa kuamkia leo. Mamlaka husika huko Mandera yathibitisha.
WATU 14 WAUAWA NA AL-SHABAAB NCHINI KENYA
Maofisa wa polisi wakiwa eneo la tukio lilipotokea shambulio lililoua watu 14 usiku wa kuamkia leo.
Takribani watu 14 wameuawa, 11 wakijeruhiwa baada ya Al-Shabaab
kushambulia kijiji cha Soko Mbuzi kilichopo jirani na Mji wa Mandera,
Kaskazini Mashariki mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.48 CCM ANAKATWA HAKATWI
LAYIII
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48 zimesalia kufahamu kuwa jina la mgombea huyo litakatwa au halitakatwa katika mchujo wa kwanza, Uwazi linashuka nayo.
MAKONGORO OGING NA OJUKU ABRAHAM
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48 zimesalia kufahamu kuwa jina la mgombea huyo litakatwa au halitakatwa katika mchujo wa kwanza, Uwazi linashuka nayo.
SAA 48 ZA ANAKATWA, HAKATWI
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48
Monday, 6 July 2015
WALIOMTESA DROGBA HAWA HAPA
LAYIII
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba, ni mmoja wa washambuliaji bora zaidi waliowahi kutamba katika barani Afrika, Asia na Ulaya.
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba, ni mmoja wa washambuliaji bora zaidi waliowahi kutamba katika barani Afrika, Asia na Ulaya.
Drogba kawataja hawa mabeki kwamba ndio waliomsumbua zaidi Uwanjani..
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea,
BAADA YA KUKOSA HOUSE GIRL SIARA AMEAMUA HAYA
LAYIII
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja… Ciara alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu life yake ya sasa hivi.
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja… Ciara alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu life yake ya sasa hivi.
Ciara amekosa Housegirl? Haya ndio maisha yake na mtoto wake.. (Pichaz)
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi
karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje
na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja… Ciara alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu life yake ya sasa hivi
Majibu ya Diamond Platnumz kuhusu beef, uchawi, kulipia collabo, Team za mitandaoni.. (Audio)
layiii
Diamond Platnumz alikuwa live kwenye XXL @CloudsFM, kuna vingi kaviongea Exclusive, nilipata nafasi kumsikiliza na hivi ni baadhi ya vitu alivyoviongelea leo June 6 2015.
Unadhani Diamond anaamini uchawi >>> “Japokuwa vitabu vya dini vinasema ‘ndele’ zipo lakini haupaswi kuamini… Kuamini ni sawa na kumkiuka Mwenyezi MUNGU”>>>
NYIMBO ISHIRINI ZA DIAMOND KABLA HAJATOKA
LAYIII


Diamond kabla ya mafanikio
Kampuni ya Coca-Cola Afrika ya Kati, Mashariki na Magharibi imezindua kampeni mahsusi ijulikanayo kama ‘Sababu Bilioni za Kuamini’ inayolenga kuwahamasisha vijana wa Kitanzania kujiamini pindi wanapopita katika changamoto mbalimbali zinazowakabili kimaisha kabla ya kutimiza ndoto zao. Kampeni hiyo ya miezi mitatu itaendeshwa nchi nzima.
Kampuni ya Coca-Cola Afrika ya Kati, Mashariki na Magharibi imezindua kampeni mahsusi ijulikanayo kama ‘Sababu Bilioni za Kuamini’ inayolenga kuwahamasisha vijana wa Kitanzania kujiamini pindi wanapopita katika changamoto mbalimbali zinazowakabili kimaisha kabla ya kutimiza ndoto zao. Kampeni hiyo ya miezi mitatu itaendeshwa nchi nzima.
Nyota
wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ni miongoni mwa vijana
wanaotolewa mfano katika dhana hii. Alitengeneza single zaidi ya 20
kabla ya kufanikiwa na hatimaye kufikia katika mafanikio makubwa
aliyonayo sasa..
JINSI CHRISTIAN RONALDO ALIVOWAACHA WAANDISHI KWENYE MATAA
LAYIII
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo ametoa kali baada ya kuondoka katikati ya kipindi cha runinga wakati akihojiwa na Televisheni ya Sports News.
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo ametoa kali baada ya kuondoka katikati ya kipindi cha runinga wakati akihojiwa na Televisheni ya Sports News.
Kitendo cha mchezaji huyo kuondoka kulisababishwa na kuulizwa swali kuhusu mchezaji mwenzake beki Sergio Ramos. kama ataendelea kubaki Real Madrid au kujinga na Manchester United swali lililoonekana kumkera.
BZMORNING TANZANIA NA MAGAZETI YA LEO 6/7/2015
LAYIII
NIPASHE
#MAGAZETINI JULY6…Mume kumnyonga mjamzito, wiki ngumu CCM na kompyuta yaibiwa kituo cha kupigakura
Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa
Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti
na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho.
Wakati Lowassa akiwafunika watia nia wenzake ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa, anawafunika wenzake kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) akiwa changuo la wengi kwa asilimia 23.1.
CHEKI MAREKANI WALIVO SHEREKEA KOMBE LA DUNIA HAPA
LAYIII
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.

Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa
kutawala mchezo kwa muda wote kwani ndani ya dakika 15 tayari wailikua
wameshafunga mabao 4 na kuwachanganya zaidi wapinzani wao.
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya.
Sunday, 5 July 2015
SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA LATOA UAMUZI MGUMU DHIDI YA KOCHA WAKE
LAYIII
Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo

Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo
Uamuzi mgumu wa uongozi wa Shirikisho la soka Nigeria kwa kocha wa timu ya Taifa…
Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya
kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia
uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Super Eagles’, Steven Keshi kuendelea kuifundisha timu hiyo.
DIAMOND ATOA SALUT KWA AY KATIKA PAGE YAKE YA FACEBOOK SOMA HAPA
LAYIII
LAYIII
NA KATIKA KOMBE LA DUNIA LA WANAWAKE JAPANI KUCHUANA NA MAREKANI
LAYIII
Fainali:Japan kuchuana na Marekani
Mabingwa watetezi Japan watajaribu
kulihifadhi taji lao la kombe la dunia upande wa wanawake wakati ambapo
wanakutana na Marekani kwa kipute cha fainali ya kombe hilo kwa mra ya
pili mfululizo.
KATIKA MASHINDANO YA CCOPA AMERICA CHILE YACHUKUA USHINDI
LAYIII

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
KIMENUKA ZITTO ATAJA WALIOFICHA FEDHA BENK
LAYIII
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.

Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Hata ni maneno aliyoyazunguza:-
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Sentensi nne za Zitto Kabwe akiwataja Watanzania walioficha fedha benki ya Uswis (Pichaz&Audio)
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga na kutaja orosha ya majina ya Watanzania wlaioficha mabilioni ya fedha katika benki ya Uswis.
Hata ni maneno aliyoyazunguza:-
Saturday, 4 July 2015
IKULU YA JK YAVAMIWA NA KITOTO kauli ikulu si ya babako ndo inatumika kwa sana
LAYIII
"IKULU SIO YA BABA'KO"!
Hii ni kauli ambayo inatumika kwenye Project Mpya ya kisiasa inayovuma nchini kwa jina la DJ (Dogo Jembe).
Projekti hii, yenye uwekezaji mkubwa na inayofanyika kwa viwango vya hali ya juu vya kiteknolojia katika uzalishaji na usambazaji wake, inamtumia kijana wa umri chini ya miaka 18, ambaye anataja mifano ya changamoto za nchi na kuzishangaa ni kwa namna gani zinashindwa kutatuliwa wakati inawezekana!
Kinachoipa nguvu hii projekti, ni namna ambavyo DJ huyo ameweza 'kuchukua' fomu ya Urais kupitia CCM na kutia nia ya kujitosa kwenye uongozi huo wa juu, ili kuweza kuwafundisha mafisadi cha kufanya katika kuiletea nchi maendeleo kwa upande wa afya, elimu, miundombinu na kadhalika.
Kwa namna inavyoendeshwa, hakuna shaka kwamba ina 'mkono mzito' wa mmoja wa watia nia ya urais nchini. Ni jambo jema, lakini usiri wake unazua maswali lukuki.
Watu wengi sasa wanajiuliza; Je, Ni nani aliye nyuma ya hii projekti? Ni nini haswa 'motive' ya hii projekti? Anafaidikaje kutokana na huu uwezekezaji?
Sasa basi, Napenda tusugue vichwa kwa pamoja, na tuanze kuunganisha nukta ili kuweza kumtambua muhusika wa hili suala.
Tuko nyakati za mambo mengi sasa kisiasa, kwahiyo ni vema tukajua michezo yote inayochezwa, iwe misafi ama michafu ili tusije tukaachwa feri!
"IKULU SIO YA BABA'KO"!
Hii ni kauli ambayo inatumika kwenye Project Mpya ya kisiasa inayovuma nchini kwa jina la DJ (Dogo Jembe).
Projekti hii, yenye uwekezaji mkubwa na inayofanyika kwa viwango vya hali ya juu vya kiteknolojia katika uzalishaji na usambazaji wake, inamtumia kijana wa umri chini ya miaka 18, ambaye anataja mifano ya changamoto za nchi na kuzishangaa ni kwa namna gani zinashindwa kutatuliwa wakati inawezekana!
Kinachoipa nguvu hii projekti, ni namna ambavyo DJ huyo ameweza 'kuchukua' fomu ya Urais kupitia CCM na kutia nia ya kujitosa kwenye uongozi huo wa juu, ili kuweza kuwafundisha mafisadi cha kufanya katika kuiletea nchi maendeleo kwa upande wa afya, elimu, miundombinu na kadhalika.
Kwa namna inavyoendeshwa, hakuna shaka kwamba ina 'mkono mzito' wa mmoja wa watia nia ya urais nchini. Ni jambo jema, lakini usiri wake unazua maswali lukuki.
Watu wengi sasa wanajiuliza; Je, Ni nani aliye nyuma ya hii projekti? Ni nini haswa 'motive' ya hii projekti? Anafaidikaje kutokana na huu uwezekezaji?
Sasa basi, Napenda tusugue vichwa kwa pamoja, na tuanze kuunganisha nukta ili kuweza kumtambua muhusika wa hili suala.
Tuko nyakati za mambo mengi sasa kisiasa, kwahiyo ni vema tukajua michezo yote inayochezwa, iwe misafi ama michafu ili tusije tukaachwa feri!
Dondoo: Huu mradi
unamiliki tovuti ya kisasa, vipande vya video vimerekodiwa kwa ubora wa
hali ya juu, Kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii zimedhaminiwa, na
waandishi wa habari wenye wafuasi wengi pia wanashiriki kuisambaza
(mfano, MillardAyo).
STARS NA UGANDA ZATOKA SARE 1-1
LAYIII
ANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.
Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.
Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’ alianza kuifungia Tanzania kwa penalti dakika ya 53 kwa penalti.
Penalti hiyo ilitolewa baada ya beki wa Uganda kuunawa mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Tanzania, Rashid Mandawa.
ANZANIA imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.
Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.
Dakika 45 za kwanza zilimalizika kukiwa hakuna timu iliyopata bao na kipindi cha pili na kipindi cha pili, John Bocco ‘Adebayor’ alianza kuifungia Tanzania kwa penalti dakika ya 53 kwa penalti.
![]() |
Kikosi cha Taifa Stars kilichotoa sare ya 1-1 na Uganda leo Kampala |
WEMA SEPETU APATA BONGE LA SHAVU KATIKA SAFARI YAKE YA UBUNGE NA JOSE CHAMELEON
LAYIII
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Jose Chameleone aahidi kumpiga jeki Wema kwenye safari yake ya kuwania ubunge
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati
zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Petit ambaye ni mmoja wa watu walio karibu na Wema amepost screeshot
kwenye Instagram ya mazungumzo na Chameleone kwenye WhatsApp.
NUHU MZIWANDA HANA CHAKE ALIYE ZAA NA SHILOLE ANENA YAKE
LAYIII
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
Hata hivyo alipoulizwa kama anasikia wivu anasikia na kumuona Shilole akila raha na mpenzi wake mpya msanii Nuh Mziwanda alisema kuwa haoni wivu kwa kuwa Nuh anakula makombo yake kwani yeye ndiye aliyeanza kuwa na msanii huyo.
‘’Sioni wivu kabisa miye ndiyo niliyeanza huyo Nuh anakula makombo yangu,hata hivyo mimi nina mke na familia yangu huku Igunga,’aliongeza Makala.
Msanii Shilole alipoulizwa alisema kuwa hawezi kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui kama mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi, na anakula nini.
‘’Huwa sipendi kabisa kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi na anakula nini,’’alijibu Shilole.
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
ule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema Makala.Hata hivyo alipoulizwa kama anasikia wivu anasikia na kumuona Shilole akila raha na mpenzi wake mpya msanii Nuh Mziwanda alisema kuwa haoni wivu kwa kuwa Nuh anakula makombo yake kwani yeye ndiye aliyeanza kuwa na msanii huyo.
‘’Sioni wivu kabisa miye ndiyo niliyeanza huyo Nuh anakula makombo yangu,hata hivyo mimi nina mke na familia yangu huku Igunga,’aliongeza Makala.
Msanii Shilole alipoulizwa alisema kuwa hawezi kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui kama mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi, na anakula nini.
‘’Huwa sipendi kabisa kumzungumzia mwanaume huyo ambaye hajui mtoto wake anaishi vipi,anasoma wapi na anakula nini,’’alijibu Shilole.
EBANA EEE UNAJISKIAJE UKIKUTANA NA MPENZI ANAYEKUPA MAJIBU HAYA
LAYIII
Eti ukiwa unachat mpenzi wako anakupa majibu kama haya unamchukuliajeee
mfano
1.ukimwambia kila ukimwambia bby i love you much au nakupenda sana mpenzi wangu
yeye hujibu asante au thanks badala ya kusema i love you too mpenzi wangu
2.ukimtumia vocha hukaa kimya ukimpigia hujibu asante nimeipataa.
3.ukimwambia nimekumic mpenzi wangu hujibu asante au thanks au k thanks
4.ukimwambia kuhusu sex huandika k au sawa au bila kujibu
jee unamuongeleajee mpenzi kama huyu kwa wale wataalamu saikolojia
Hivi Unamchukuliaje Mpenzi Wako Mwenye Majibu Kama Haya Ukichat Nae

mfano
1.ukimwambia kila ukimwambia bby i love you much au nakupenda sana mpenzi wangu
yeye hujibu asante au thanks badala ya kusema i love you too mpenzi wangu
2.ukimtumia vocha hukaa kimya ukimpigia hujibu asante nimeipataa.
3.ukimwambia nimekumic mpenzi wangu hujibu asante au thanks au k thanks
4.ukimwambia kuhusu sex huandika k au sawa au bila kujibu
jee unamuongeleajee mpenzi kama huyu kwa wale wataalamu saikolojia
CUBA SHANGWE TUPU HAKUNA UKIMWI WALA KASWENDE
LAYIII
Mafanikio hayo ya kutajika yanafuatia kampeini ya muda mrefu
miongoni mwa wanawake waja wazito ambao wamekuwa wakishauriwa kuanza
kupokea matibabu mapema na kufanyiwa vipimo mahsusi ilikujua hali ya
afya ya mama na mwanaye .
WHO inatumai kuwa mafanikio hayo ya Cuba yataigwa na mataifa mengine.
Shirika la afya duniani WHO, limethibitisha kuwa Cuba imemaliza kabisa maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama mzazi na Kaswende.
Mkuu wa shirika hilo WHO, Daktari Margaret Chan, ametaja ufanisi huo kuwa ''ni mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwa afya ya umma.''WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto
WHO inatumai kuwa mafanikio hayo ya Cuba yataigwa na mataifa mengine.
WAZIDI KUFANYA NGONO ETI DAWA YA UKIMWI IMEPATIKANA WACHANGANYIKIWA BAADA YA DAWA HIYO KUKOSOLEWA
LAYIII

Kwa muda mrefu wahudumu wa afya ya
masuala ya ngono wamesisitiza matumizi ya mipira ya kondomu kama mbinu
bora zaidi dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Lakini tabia moja hatari ya kutumia madawa ya kulevya na wapenzi wa jinsia moja inazidi kuibua wasiwasi.Dawa mpya ya ukimwi yakosolewa
Kwa muda mrefu wahudumu wa afya ya
masuala ya ngono wamesisitiza matumizi ya mipira ya kondomu kama mbinu
bora zaidi dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Lakini tabia moja hatari ya kutumia madawa ya kulevya na wapenzi wa jinsia moja inazidi kuibua wasiwasi.RAMAMEL FALCAO ATINGA CHELSEA
LAYIII
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.

Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa
klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna
uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
Falcao
mwenye umri wa miaka 29 alicheza kama mchezaji wa mkopo katika kilabu ya
Manchester United na kufanikiwa kufunga mabao manne katika mechi 29.MAN U YA FUJA PAUNI MILLION 100 KISA USAJIRI MZITO PIA ................
LAYIII
Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.
City ilipigwa faini ya pauni milioni 49 na kulazimishwa kutoa kikosi chenye upungufu wa wachezaji 21 msimu uliopita baada ya kukiuka sheria za UEFA.

Ununuzi wa mchezaji wa Aston Villa Fabian Delph atakayegharimu
Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.
City ilipigwa faini ya pauni milioni 49 na kulazimishwa kutoa kikosi chenye upungufu wa wachezaji 21 msimu uliopita baada ya kukiuka sheria za UEFA.
Mancity kutumia pauni milioni 100 msimu huu
Lakini baada ya kuafikia masharti hayo ,timu hiyo sasa iko huru kuwasaka wachezaji wapya akiwemo Paul Pogba,Kevin De Bruyne na Raheem Sterling.Ununuzi wa mchezaji wa Aston Villa Fabian Delph atakayegharimu
NYOMI YA JITOKEZA KATIKA KINYANG`ANYIRO CHA MILLIONI HAMSINI
LAYIII
Pazia la shindano la kuimba Bongo Star Search mwaka 2015, limeanza rasmi leo mkoani Mwanza ambapo usaili umefanyika kwenye hoteli inayojulikana kama Lakairo.
Shindano hilo linaloibua vipaji vya
vijana mwaka huu lina kauli mbiu mpya ya ‘Kuwa Original Chagua Original’
ambayo inawahimiza vijana kujitokeza na kuonesha vipaji vyao.
BSS 2015 kazi imeanza mwanza, picha 15 za usaili ziko hapa
Pazia la shindano la kuimba Bongo Star Search mwaka 2015, limeanza rasmi leo mkoani Mwanza ambapo usaili umefanyika kwenye hoteli inayojulikana kama Lakairo.
Shindano hilo linaloibua vipaji vya
vijana mwaka huu lina kauli mbiu mpya ya ‘Kuwa Original Chagua Original’
ambayo inawahimiza vijana kujitokeza na kuonesha vipaji vyao.
Shindano hilo la kusaka vipaji vya
kuimba kwa mwaka linatafanya usaili mikoa 5 ambapo Mwanza July 4-5 ndani
ya ukumbi wa La kairo, July 11-12 Arusha ukumbi wa Triple 7,
Friday, 3 July 2015
ULIPITWA NA MAGAZETI YA LEO CHEKI HAPA
LAYIII
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
StoriKUBWA >> Makao Makuu CCM Dom.. Waliosimamishwa Bungeni, Hakimu Feki Mahakamani !!
MWANANCHI
Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia
kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma
umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali.
Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la
Mwananchi kwenye maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma hadi jana, umebaini
kuwa tayari nyumba nyingi za kulala wageni na hoteli zimeshajaa.
NANI WA MAN U KUSAJIRIWA UTURUKI
LAYIII
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Fenerbahce kumsajili Nani wa Man United
Mchezaji wa klabu ya Manchester
United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya
Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya
yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihamia Manchester United kutoka klabu ya Sporting NIKOLAUS ANELKA KUWA TICHA WA MUMBAI SASA
LAYIII
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City

''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye pia ni mwigizaji nyota wa Bollywood Ranbir Kapoor.
Anelka alikuwa mchezaji mkufunzi katika kilabu ya Shanhai Shenhua mwaka 2012.
Raia huyo wa Ufaransa alifanikiwa kufunga mabao mawili pekee katika mechi saba alizocheza katika msimu wake wa kwanza mjini Mumbai lakini anarudi katika kilabu hiyo kama mchezaji ambaye anafaa kulipwa mshahara mkubwa.
.
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.
Anelka
mwenye umri wa miaka 36 aliichezea klabu hiyo ya ligi kuu nchini India
chini ya ukufunzi wa aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Manchester City
Peter Reid.''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye pia ni mwigizaji nyota wa Bollywood Ranbir Kapoor.
Anelka alikuwa mchezaji mkufunzi katika kilabu ya Shanhai Shenhua mwaka 2012.
Raia huyo wa Ufaransa alifanikiwa kufunga mabao mawili pekee katika mechi saba alizocheza katika msimu wake wa kwanza mjini Mumbai lakini anarudi katika kilabu hiyo kama mchezaji ambaye anafaa kulipwa mshahara mkubwa.
.
SHAMSA NUSURU AUWAWE ATISHIWA KIFO KILICHOENDELEA HAPA NIMEKUWEKEA AUDIO MSIKIE MWENYEWE
LAYIII
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Shamsa aliripoti Polisi baada ya kutishiwa maisha na mchumba wake
Muigizaji wa filamu Shamsa Ford
amefunguka na kusema kwamba tangu aachane na Ex boyfriend wake Dickson
Matoke aliwahi kuwatishia kuwauwa yeye na mwanae zaidi ya mara 10.
Akizungumza na millardayo.com alisema…’Ni
kweli wakati nilipokuwa katika mahusiano naye alikuwa ni mtu ambaye
anapenda sana kuniambia neno nitakuuwa mimi na mwanangu ndio maana
BAADA YA WEMA MPAKA ZARI SASA NI ZAMU YA OMOTOLA MSHUDIE DIAMOND HAPA NA OMOTOLA
LAYIII
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili.
Kwa mujibu wa chanzo kilichoambatana na Diamond katika ziara ya
kimuziki iitwayo ‘Nana Tour’ nchini humo, staa huyo ambaye kwa sasa ni
mpenzi wa mjasiamali maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’
amekuwa akiumizwa na penzi la Omotola kitambo sana lakini hakuwahi
KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde, Ijumaa lina stori kamili.
DIAMOND AKIRI KUMPENDA OMOTOLA
Wanne washindwa kurejesha fomu, kilichojiri Bungeni kiko hapa na BVR Dar sasa Julai 16…#MAGAZETINI JULY3
LAYIII
NIPASHE
Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu
mkoani Kigoma, imeelemewa baada ya idadi ya wakimbizi kutoka Burundi
kuzidi kuongezeka hivyo kuzidi uwezo wake kama inavyotakiwa na sheria za
Umoja wa Mataifa (UN).
Mkurugenzi Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke,
alisema bado wakimbizi wa Burundi hawajaanza kurudi nyumbani kwao bali
hali imekuwa mbaya zaidi kutokana na idadi yao kuendelea kuongozeka.
Kwa mujibu wa Mseke, hadi sasa wakimbizi
katika kambi hiyo kutoka Burundi, wamefikia 71,000 na ndani ya wiki
moja iliyopita wameingia wakimbizi 10,000.
Alisema kwa sasa idadi ya wakimbizi wote kutoka Burundi na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), katika kambi hiyo ni takribani 100,000.
Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, idadi
hiyo ni kubwa kupita kiasi kwani sheria za UN kupitia shirika lake la
kuhudumia wakimbizi duniani (UNHCR) kambi moja inapaswa kuhudumia wakimbizi wasiozidi 50,000.
Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL
LAYIII
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.

Falcao ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Colombia, anatarajia kujiunga na Chelsea kutokea Monaco kwa mkataba wa mwaka mmoja wa mkopo.
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.
Breaking News: Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya ligi kuu ya Uingereza.
Falcao ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Colombia, anatarajia kujiunga na Chelsea kutokea Monaco kwa mkataba wa mwaka mmoja wa mkopo.
MAPYA YAIBUKA DAIMOND KACOPY WIMBO WA NANA
LAYIII
Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.
Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.
Diamond kacopy Video ya Nana? Belle 9 hana habari na mitandao ya kijamii, Mb Dog na muziki je?..#255 (Audio)
Thursday, 2 July 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)