Tuesday 7 July 2015

MRAMBA ALIVOCHUKULIWA NA POLICE CHECK HAPA

LAYIII
July 6 2015 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwahukumu mawaziri wa zamani kwenye serikali ya Tanzania awamu ya tatu, kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya milioni 5 baada ya kupatikana na hatia.

Video: Basil Mramba na Daniel Yona walivyochukuliwa na Polisi kupelekwa gerezani

MrambaJuly 6 2015 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwahukumu mawaziri wa zamani kwenye serikali ya Tanzania awamu ya tatu, kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na faini ya milioni 5 baada ya kupatikana na hatia.
Hii video hapa chini itakupa stori kamili kuanzia mwanzo mpaka mwisho baada ya hukumu kutolewa jinsi Basil Mramba na Daniel Yona walivyochukuliwa na polisi, tazama hii video hapa chini.

 



No comments:

Post a Comment

advertise here