STAR wa Bongo Movie mwenye mvuto wa pekee na mshiriki wa shindano la
Ijumaa la Figa Bomba, Irene Uwoya, amefunguka kupitia ukurasa wake wa
Instagram kuwa havutiwi na wanaume wenye muonekano mzuri na hujui ni kwa
nini
Aidha staa huyo amewahi kuripotiwa na vyombo vya habari kuwa anavutiwa
sana na wasanii wa Bongo