Monday 5 December 2016

MADAKTARI KENYA WAANZA MGOGO KITAIFA

Taarifa zilizoripotiwa na BBC leo December 5 2016 kuhusiana na nchi ya Kenya ni kuwa madaktari  na wauguzi wa nchi hiyo wameanza mgomo wa kitaifa ikiwa kama sehemu ya kuishinikiza serikali kutimiza mahitaji yao.
Madaktari na wauguzi Kenya wameanza mgomo huo wa kitaifa kwa kushirikiana ili kuishinikiza serikali kuwalipa nyongeza zao za mishahara pamoja marupurupu yao kutokana na makubaliano ya mkataba uliosainiwa June 2013.
ULIMISS KUONA VIEO INAYOONYESHA MIJI KUMI MICHAFU DUNIANI HII HAPA

No comments:

Post a Comment

advertise here