Friday, 26 June 2015

NILICHOKUWEKEA KATIKA bzmorning ya swaxbz.com MAGAZETI YA LEO 27/6/2015 HIKI HAPA

LAYIII

DSC09907
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho

NDANI YA BZMORNING MTU WANGU UKIAMKA USIKOSE KUWEKA MWILI SAWA KWA KUFANYA HAYA

LAYIII


Kutana na picha hii inayokukumbusha tz la asubuhi mtu wangu wa ukweli
ungana nami kupata habari moto na za ukweli kabisa

LEO KATIKA BZMORNING YA SWAXBZ.COM KUTANA NA KAHABARI HAKA ILA KANAUMIZA KINYAMA

LAYIII
FROM UDE KUMBWEMBE PAGE
......Miaka 12 leo tangu Marc-vivien Foe afariki....usiku ule alioanguka dimba la Girland Ufaransa na kufariki, nilisema nikipata mtoto wa kiume nitamuita Marc-vivien kwa heshima ya Foe....Agosti 27 mwaka jana nilipata mtoto wa kiume, ndio huyu anayeitwa Marc-vivien kumwembe.......Rest in peace Legend....

KWA ATAKAYE IPATA PASPOT YA SHETA DAU NONO HAPA

LAYIIII
Shetta amepoteza passport yake ya kusafirisha na kuamua kuweka tangazo kkwenye vyomba mbalimbali vya habari kwa mtu yoyote atakayefaniki kupatikana kwa passport hiyo.

Ahadi ya Shetta kwa atakayeipata passport yake iliyopotea…#Uheard (Audio) 

shee
Shetta amepoteza passport yake ya kusafirisha na kuamua kuweka tangazo kkwenye vyomba mbalimbali vya habari kwa mtu yoyote atakayefaniki kupatikana kwa passport hiyo.

AL SHABAAB IMESHAMBULIA KITUO CHA AMISOMI

LAYIII
Walioshuhudia wanasema kuwa mlipuaji wa kujitolea mhanga aliendesha gari lake moja kwa moja hadi kwenye lango kuu la kituo hicho .
Kituo hicho kiko katika eneo la Leego, barabara kuu inayounganisha mji mku wa Mogadishu na Baidoa.

 Takriban watu 30 wamepoteza maisha yao baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha wanajeshi wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amisom.
Walioshuhudia wanasema kuwa mlipuaji wa kujitolea mhanga aliendesha gari lake moja kwa moja hadi kwenye lango kuu la kituo hicho .

BAADA YA KUFANYA VIZURI KATIKA COLLABLE NA DIAMOND SASA KAPAA KTK HEADLINE TENA ZA POWER TO WIN

LAYIII
Baada ya kufanya vizuri kwenye collabo ya wimbo mpya wa Diamond wa Nana, staa wa Nigeria Mr Flavour amerudi kwenye headlines na sasa ametoa Video yake mpya ya wimbo wa ‘Power To Win’

Mr.Flavour karudi kwenye headlines na hii ‘Power To Wini’ (Video)

fleva
Baada ya kufanya vizuri kwenye collabo ya wimbo mpya wa Diamond wa Nana, staa wa Nigeria Mr Flavour amerudi kwenye headlines na sasa ametoa Video yake mpya ya wimbo wa ‘Power To Win’
Nakukaribisha kuitazama hapa mtu wangu…


KATIKA HEADLINE YA MAGAZETI YA LEO TAR 26/06/2015

LAYIII
 Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JUNE 26, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo

DSC09906
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

BUNGE KUANZA KUJADILI WATOTO WA WABUNGE lipe bunge lako comment moja tu ya nguvu mtu wangu wa ukweli

LAYIII
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

Dakika kumi za Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo kuhusu ishu ya mtoto wake kujadiliwa Bungeni… #June262015

Sugu Bungeni
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

#MAGAZETINI JUNE 26…Fisi amnyang’anya mama mtoto na kumla, Muhongo aumbuka na Nchimbi abaki njia Panda

layiii
ROUNDMWANANCHI
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wamemzuia Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kuhudhuria shughuli ya kuvunja Baraza hilo itakayoongozwa na Rais Dk Ali Mohamed Shein leo.

KASHIKA MAKALIO YA MWENZAKE KILICHO FUATA ..........fumba macho....!!!!!!!! hapo copa america

LAYIII cheki video hapo chini
Ligi ya Copa America ni moja ya Ligi za soka ambazo ni maarufu sana duniani, lakini headlines mfululizo ndani ya wiki moja sasahivi sio stori nzuri sasa.. tulisikia kuhusu Shirikisho la Soka Amerika ya Kusini kumpa adhabu ya kusimamishwa mechi nne staa wa soka toka Brazil ambae pia ni winga wa pembeni katika Kikosi cha Barcelona, Neymar  da Silva Santos Júnior.

Mchezaji kamshika mwenzie makalio Ligi ya Copa America, kilichofuatia kikazua utata mwingine !!

redcard
Ligi ya Copa America ni moja ya Ligi za soka ambazo ni maarufu sana duniani, lakini headlines mfululizo ndani ya wiki moja sasahivi sio stori nzuri sasa.. tulisikia kuhusu Shirikisho la Soka Amerika ya Kusini kumpa adhabu ya kusimamishwa mechi nne staa wa soka toka Brazil ambae pia ni winga wa pembeni katika Kikosi cha Barcelona, Neymar  da Silva Santos Júnior.
Leo nimempata huyu mwingine Gonzalo Jara ambaye na yeye kaingia kwenye headlines baada ya kumshika mchezaji mwenzake Cavani skwenye makalio.. inaonekana ni kama haikuwa bahati mbaya kwa vile kabla hajamshika kulitokea kujibizana kati yao.. Video ya tukio hilo imeendelea kusambaa mitandaoni kutokana na hukumu kuonekana kumwangukia asiye na hatia.
Edinson-Cavani-009
Edinson Cavani alikasirishwa na kitendo cha Gonzalo, akampiga kibao cha uso.. refa akatoa kadi ya njano kwa Cavani, lakini kwa vile tayari jamaa alikuwa na kadi ya njano ikabidi apigwe nyekundu na kutolewa nje ya uwanja.

Thursday, 25 June 2015

KAFULILA KAIBUA UFISADI MPYA BUNGENI

LAYIII
2014 itaendelea kukumbukwa kwenye ulimwengu wa Siasa Tanzania baada ya ishu ya ufisadi wa ESCROW kubeba headlines nyingi kutoka Bungeni Dodoma, na Mbunge ambaye ni kama alihusika kuianika ishu hiyo ni Mbunge kutoka Kigoma, David Kafulila.

David Kafulila kaibua mengine ya ufisadi Bungeni? Sikiliza mwongozo wake na majibu ya Spika na Waziri.. (Audio)

IMG-20150625-WA00162014 itaendelea kukumbukwa kwenye ulimwengu wa Siasa Tanzania baada ya ishu ya ufisadi wa ESCROW kubeba headlines nyingi kutoka Bungeni Dodoma, na Mbunge ambaye ni kama alihusika kuianika ishu hiyo ni Mbunge kutoka Kigoma, David Kafulila.

KAMA HUKUMWONA BEKI TATU WA ALIKIBA AKICHEZA MWONE HAPA





LAYIII





NDANI YA MWEZI MTUKUFU MAKUBWA YATOKEA

LAYIII
 

ITALIA IMEINYUKA ENNGLANG NAYE SOUTHGATE KUENDELEA KUWA KOCHA WA ENGLAND

LAYIII
Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.
Italia walianza kuandika bao lao la kwanza dakika ya 25 ya mchezo, kwa bao la Andrea Belotti Kabla ya Marco Benassi kuongeza mengine mawili dakika ya 27 na 72.
Nathan Redmond akaifungia timu yake ya England bao la kufutia machozi baada ya kazi nzuri liliyofanya na kiungo Ruben Loftus-Cheek.
Katika mchezo mwingine wa michuano hii Ureno walikwenda sare ya kufungana bao 1-1 na sweden.
Kwa matokea haya Ureno na sweden wanasonga mbele kenye hatua ya Nusu fainali na kuungana na mataifa ya Ujeruman na Denmark.





kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.

ZILIZO TUFIKIA PUNDE MAKAMU WA RAIS BURUNDI KATOROKA

LAYIII
Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais Rufikiri amekimbia baada ya kuiambia runinga ya France24 kuwa muhula huo wa tatu unakiuka sheria na katiba ya taifa hilo.

Makamu wa rais Burundi atoroka

Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi ametoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

AFRIKA YA KUSINI MBIONI KUJITOA KATIKA ICC

UNGANA NA LAYIII
Afrika Kusini imesema kuwa huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC yenye makao yake makuu huko Hague Uholanzi kufuatia jaribio la kumkamata rais wa Sudan Omar al Bashir alipokuwa nchini humo majuzi.

Afrika Kusini huenda ikajiondoa kwenye ICC

Afrika Kusini imesema kuwa huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC yenye makao yake makuu huko Hague Uholanzi kufuatia jaribio la kumkamata rais wa Sudan Omar al Bashir alipokuwa nchini humo majuzi.

HABARI ZA HIVI PUNDE NI KWAMBA KARENZI KAREKE AMEACHILIWA KWA DHAMANA

LAYIII
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

NIKO KENYA IJUE HABARI KUBWA LEO KATIKA VYOMBO VYA HABARI NCHINI KENYA

LAYIII
Chama cha TAC kimekubali ombi la walimu la kupunguza muda ambapo walimu wapya wametakiwa kuhudumia Kaskazini Mashariki mwa Kenya, ama sehemu nyingine yoyote yenye changamoto ambapo sheria za TAC zinahitaji mwalimu kuhudumu zaidi ya miaka mitano kabla ya kuomba uhamisho.

Nimekuwekea habari kubwa za leo kutoka radio Jambo Kenya

kenyaaa
Chama cha TAC kimekubali ombi la walimu la kupunguza muda ambapo walimu wapya wametakiwa kuhudumia Kaskazini Mashariki mwa Kenya, ama sehemu nyingine yoyote yenye changamoto ambapo sheria za TAC zinahitaji mwalimu kuhudumu zaidi ya miaka mitano kabla ya kuomba uhamisho.

KATIKA HEADLINE TENA NCHINI BURUNDI MAKAMU WA RAIS AHOFIA USALAMA WAKE

LAYIII
Makamu wa pili wa rais nchini Burundi, Gervais Ruyikiri ametangaza kuwa hatorurudi nchini kama usalama wake utakua haujalindwa ipasavyo. Akizungumza kwenye televisheni ya Ufaransa France 24, Gervais Rufyikiri, amesema ameamua kufanya hivyo akihofia usalama wake kutokana na jinsi hali invyoendelea nchini Burundi.

Burundi: makamu wa pili wa rais ahofia usalama wake 

Makamu wa pili wa rais wa Burundi, Gervais Rufyikiri, ambaye ametangaza kujiuzulu kwenye wadhifa wake.
Makamu wa pili wa rais wa Burundi, Gervais Rufyikiri, ambaye ametangaza kujiuzulu kwenye wadhifa wake.
AFP PHOTO / Fabrice Coffrini 

KATIKA DALADALA ALIKIBA AKUMBANA NA KIZANGA CHA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII
Mwimbaji wa bongofleva Ali Kiba aliamua kufanya ziara ya ghafla na kuanza kupanda Mabasi (Daladala) za ndani ya Dar es salaam June 23 2015 ikiwa ni ziara ya kuwashukuru mashabiki kwa kumpa ushindi wa tuzo 6 za KTMA na moja ya Tuzo za Watu 2015.

Video ikimuonyesha Ali Kiba alivyopanda daladala na kuulizwa maswali likiwemo la yeye na Diamond.

Ali Kiba 1 


JJMwimbaji wa bongofleva Ali Kiba aliamua kufanya ziara ya ghafla na kuanza kupanda Mabasi (Daladala) za ndani ya Dar es salaam June 23 2015 ikiwa ni ziara ya kuwashukuru mashabiki kwa kumpa ushindi wa tuzo 6 za KTMA na moja ya Tuzo za Watu 2015

BURUNDI KIMENUKA TENA

LAYIII
Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu hatma ya uchaguzi mkuu wa Burundi unaotarajia kufanyika mwezi ujao kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea kupinga kugombea tena kwa Rais Pierre Nkurunziza..headlines zimerudi tena nchini humo.

Burundi tena kwenye headlines…inahusu kutoroka kwa makamu wa Rais!! kisa kiko hapa

vice
Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu hatma ya uchaguzi mkuu wa Burundi unaotarajia kufanyika mwezi ujao kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea kupinga kugombea tena kwa Rais Pierre Nkurunziza..headlines zimerudi tena nchini humo.

KAMA UNAAMINI MIPIRA INAZUIA ZINAA KAZI KWAKO UMELETEWA MIPYA CHEKI HAPA

LAYIII

Wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Uingereza wamezindua mipira ya kiume ‘kondomu’ yenye uwezo wa kugundua maradhi ya zinaa wakati watumiaji wanapokutana kimwili.

Ubunifu mwingine ni huu wa mipira ya kiume inayotambua magonjwa…

mipiraa
Wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Uingereza wamezindua mipira ya kiume ‘kondomu’ yenye uwezo wa kugundua maradhi ya zinaa wakati watumiaji wanapokutana kimwili.

MTOTO AUWAWA KIKATILI JIJINI DAR

LAYIII
TANZANIA DAIMA
Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka mitano hadi sita ameuwa kikatili jijini Dar es salaam baada ya kubakwa na kasha kunyongwa shingo huku akidaiw akunyofolewa sehemu za siri.
Mwili wa mototo huyo unadaiwa kutelekezwa katika moja ya nyumba iliyokuwa haijaisha na kugunduliwa na kijana aliyekuwa akiokota chupa tupu za maji eneo la tabata kisiwani, Dar es salaam.

Mtoto auawa kikatili Dar, waandikishaji BVR wafungiwa kituoni na Raia wa Kuwait akamatwa JNIA na kobe hai 173…#MAGAZETINI JUNE25

HEAD

TANZANIA DAIMA
Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka mitano hadi sita ameuwa kikatili jijini Dar es salaam baada ya kubakwa na kasha kunyongwa shingo huku akidaiw akunyofolewa sehemu za siri.
Mwili wa mototo huyo unadaiwa kutelekezwa katika moja ya nyumba iliyokuwa haijaisha na kugunduliwa na kijana aliyekuwa akiokota chupa tupu za maji eneo la tabata kisiwani, Dar es salaam.

SIASA TANZANIA YAINGILIWA NA WASANII BAADA YA WEMA SEPETU SASA NI MPOKI WA COMEDY

LAYIII
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

Mpoki naye kwenye Ubunge Kilombero? Yasikie majibu yake kwa Soudy Brown…#Uheard (Audio)

Mpoki TT
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

baada ya mbrazil kusajiliwa liverpool sasa ni zamu ya mwingereza

layiii
Baada ya kufanikiwa kufanikisha usajili wa Danny Ings kutoka Burnley na Roberto Firmino kutoka Hoffenheim ya Ujerumani, klabu ya Liverpool sasa inatarajia kukamilisha usajili mchezaji mwingine ndaninya saa chache zijazo.

Baada ya Mbrazil Firmino, Liverpool sasa kumsajili beki huyu wa kiingereza

  Baada ya kufanikiwa kufanikisha usajili wa Danny Ings kutoka Burnley na Roberto Firmino kutoka Hoffenheim ya Ujerumani, klabu ya Liverpool sasa inatarajia kukamilisha usajili mchezaji mwingine

LOL LINA NDANI YA STUDIO ZA MILLARDAYO... IJUE BIFU YAKE NA WEMA HAPA


Linah 3Linah ni mwimbaji wa bongofleva ambapo hivi karibuni mpaka Mama yake mzazi alimpigia simu kutaka ajiepushe kugombana na watu baada ya kusikia stori kwamba anagombea Mwanaume na Wema Sepetu.Ilimfanya mama afikie hatua hiyo baada ya kusikia tu stori za watu na baadhi ya mitandao na gazeti lililoandika hiyo habari lakini ukweli wenyewe kutoka kwa Linah uko kwenye hii video ya Interview aliyofanyiwa TZA kwenye studio ya Millard Ayo.

EBANA EEE LEO NAONA NISHARE PICHA ZA ENZI HIZO ZA WATU MAARUFU HAPA NCHINI

LAYIII
 Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.

TBT: Picha 5 za zamani za Jokate, Wema Sepetu na ya Q Chief na Diamond, Millard Ayo na JK na Lowassa

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5VJbwZmzkGWJAYZBBBWHvfmSmwVWujKEc77mV8QvSNn0IMwI5QnN6NM6lHvzO-i0uE7LMrIlS9zKcYSHq6rw0ZAjyW1UhJurk7uW_CMk8P7ZnbuIENcPAXOhnJG72sTSftFOiUoeQ488/s1600/6B.jpg 

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/Barrack-Obama2.jpg?resize=537%2C300

Wednesday, 24 June 2015

KIJUE KISA CHA ALIKIBA KUTIMULIWA KATIKA NYUMBA ALIYOKUWA AKIISHA

LAYIII
LICHA ya mwenyewe kukanusha vikali lakini madai mazito yanasema kuwa, nyota wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi iliyopo Kunduchi-Beach jijini Dar baada ya kukosana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake ambaye pia ndiye mmiliki wa mjengo huo.


LICHA ya mwenyewe kukanusha vikali lakini madai mazito yanasema kuwa, nyota wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi iliyopo Kunduchi-Beach jijini Dar baada ya kukosana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake ambaye pia ndiye mmiliki wa mjengo huo.

SHINDANO LA MISS KILIMANJARO LAFUNGULIWA RASMI JIJINI DAR

LAYIII
SHINDANO la kumsaka mlimbwende atakayeuwakilisha Mkoa wa Kilimanjaro kwenye shughuli mbalimbali za Kijamii limezinduliwa mapema leo, ambalo litakuwa na jumla ya washiriki 20 watakaowania taji hilo Julai 24 mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Kili Home Resort.

ASHINDANO YA MISS KILIMANJARO YAZINDULIWA DAR

kama hukujua basi ni kijana mwingine tena ccm katika ninyang`anyiro cha urais

layiii
 endelea kufatana na,i na nitaendeleakukupasha habari mbali mbali zinazo endelea kila iitwapo leo mtu wangu wa ukweli

KIJANA MWINGINE KUINGIA KINYANG'ANYIRO CHA URAIS





KUTANA NA VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YA LEO TAREHE 25/6/2025

LAYIII
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM  kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 25, 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo


ATLETICO MADRID WASAJILI MSHAMBULIAJI MPYA

LAYIII
Siku chache baada ya kushuhudia mshambuliaji wake raia wa Croatia Mario Mandzukic akihamia nchini Italia kwenye klabu ya Juventus , mabingwa wa Hispania kwa msimu wa mwaka 2013/2014 Atletico Madrid hii leo wamethibitisha kumsajili mshambuliaji raia wa Colombia Jackson Martinez toka Fc Porto ya nchini Ureno 

Atletico Madrid wasajili mshambuliaji mpya .

Jackson-Martinez

Siku chache baada ya kushuhudia mshambuliaji wake raia wa Croatia Mario Mandzukic akihamia nchini Italia kwenye klabu ya Juventus , mabingwa wa Hispania kwa msimu wa mwaka 2013/2014

MAGUMU KUTOKA REAL MADRID HAYA HAPA

LAYIII
Kufuatia tetesi nyingi ambazo zimezidi kuongezeka miongoni mwa vyombo vya habari vya nchini Hispania na England kuhusu mustakabali wa muda mrefu wa beki wa Hispania Sergio Ramos uongozi wa klabu yake umeendelea kushikilia msimamo wake wa kutokuwekwa katika hali ya utata na beki huyo .

Mambo Magumu kwa Real Madrid na Sergio Ramos.

 
sergio-ramos-real-madrid_1hn6m16ku1c7w14s5iqq6i08yo

Kufuatia tetesi nyingi ambazo zimezidi kuongezeka miongoni mwa vyombo vya habari vya nchini Hispania na England kuhusu mustakabali wa muda mrefu wa beki wa Hispania Sergio Ramos uongozi wa klabu yake umeendelea kushikilia msimamo wake wa kutokuwekwa katika hali ya utata na beki huyo .

YALOMKUTA JAMAA AKIWA KWENYE MISHEMISHE ZAKUTAKA KUIBA HAIELEZEKI

LAYIII
Nimekutana na hizi pichaz pale MICHUZI BLOG, inaonekana jamaa mmoja alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba, hali ya hewa haikuwa nzuri baada ya jamaa huyo kukamatwa na Walinzi.

Balaa likamkuta akiwa kwenye mishemishe za kutaka kuiba.. Ninazo pichaz hapa

6
Nimekutana na hizi pichaz pale MICHUZI BLOG, inaonekana jamaa mmoja alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba, hali ya hewa haikuwa nzuri baada ya jamaa huyo kukamatwa na Walinzi.
Hairuhusiwi kujichukulia Sheria mikononi kama ikitokea mtu amekamatwa kwa kosa lolote, lakini wakati mwingine watu wanaamua kuchukua maamuzi magumu kutokana na hasira.

MMAMA ALIYE JIFUNGULIA NJIANI NDO HABARI YA MJINI KWA SASA

LAYIII
Kesi za wanawake kushindwa kutambua muda wao wa kujifungua unapofika zimekuwa zikitokea mara kwa mara na hata wengine kushindwa kujitambua kama ni wajawazito hadi pale unapokaribia wakati wa kujifungua.

Stori ya mama aliyejifungua njiani bila kujua ipo kwenye headlines

born
Kesi za wanawake kushindwa kutambua muda wao wa kujifungua unapofika zimekuwa zikitokea mara kwa mara na hata wengine kushindwa kujitambua kama ni wajawazito hadi pale unapokaribia wakati wa kujifungua.

UMEPATA KUJUA KILA MTANZANIA ANATAKIWA ALIPE KIASI CHA 100/= KAMA HUJUI UNGANA NAMI HAPA

LAYIII
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.

Kila mwananchi Tanzania anatakiwa achangie shilingi 100/=, unajua ni kwa ajili ya nini?

strategy (1)
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.

MJUE NYOTA MPYA KUTOKA BRAZIL ALIYEPANDA BEI BAADA YA KUHAMIA LIVERPOOL

LAYIII
Klabu ya Liverpool imefuta ndoto za wapinzani wao Manchester United baada ya kufanikiwa kumsajili mshambuliaji kutoka Brazil Roberto Firmino aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Hoffenheim kwa mkataba wa miaka mitano.

Nyota mpya wa Brazil aliyesajiliwa na Liverpool..aingia kwenye rekodi ya mchezaji ghali zaidi!!

braa
Klabu ya Liverpool imefuta ndoto za wapinzani wao Manchester United

REKODI ZA KOCHA WA SIMBA ZAISHTUA TANZANIA

LAYIII
KOCHA mpya wa Simba, Dylan Kerr, anatarajiwa kutua nchini wikiendi hii akiwa anaonekana kuwa kocha mwenye rekodi kadhaa za ajabu kwenye soka. Kocha huyo anatua nchini kuchukua mikoba ya Goran Kopunovic, ambaye aliachana na timu hiyo ya Msimbazi baada ya kushindwana kwenye masuala ya kimaslahi.

REKODI 5 ZA KUSHTUA ZA KOCHA MPYA SIMBA


KAMA HUKUJUA CCM WALISHA BARIKI UBUNGE WA WEMA SEPETU NIFATE TUENDE PAMOJA

LAYIII
Gladness Mallya
BARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo 

Gladness Mallya
BARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo huyo kwa uamuzi wake huo.
Akistorisha na gazeti hili, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kila

IDADI YA VIFO KUTOKANA NA ONGEZEKO LA JOTO NCHINI PAKISTANI

LAYIII
Zaidi ya watu 780 wamefariki huko Karachi huku 30 wakiripotiwa kufariki kutoka sehemu nyingine mkoani humo.
Taarifa kutoka katika hospitali kadhaa mkoani humo zimeripoti kuelemewa baada ya mochwari zake kujaa miili hivyo kushindwa kuhifadhi miili mingine.
Mamlaka husika zimelaumiwa kwa kushindwa kukabiliana na janga hilo lililoanza Jumamosi iliyopita.

WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN


Mmoja wa majeruhi wa joto nchini Pakistan akipatiwa huduma ya kwanza.
WATU zaidi ya 800 wamefariki dunia mpaka sasa kutokana na hali ya joto kali kwenye Mkoa wa Sindh uliopo kusini mwa nchi ya Pakistan.

KATIKA HEADLINE NYINGINE NCHINI CHINA ISSUE YA MADAWA YAKULEVYA NDO HABARI YA MJINI

LAYIII
Jana niliipata record nyingine kubwa toka China, ishu ni wao na dawa za kulevya… Kwenye ripoti hiyo nikayajua mambo matatu; kwanza ni kwamba kuna ongezeko la watu 46,300 ambao wanatumia dawa za kulevya.

Headlines nyingine ni China na dawa za kulevya, hawana utani kwenye hii ishu !!

cHINA III 
Jana niliipata record nyingine kubwa toka China, ishu ni wao na dawa za kulevya… Kwenye ripoti hiyo nikayajua mambo matatu; kwanza ni kwamba kuna ongezeko la watu 46,300 ambao wanatumia dawa za kulevya.

KAMA HUKUJUA MADINI YANAYOPATIKANA KATIKA SARAFU YA SHILINGI MIATANO YAJUE HAPA

LAYIII
Ilianza kama ishu ya kawaida hivi lakini muda ulivyozidi kwenda ikazidi kuchukua headlines kwenye mitandao ya kijamii kwamba eti kuna watu wananunua sarafu za shilingi mia tano za Tanzania alafu wanatumia madini ya sarafu hiyo kutengeneza vito kama mikufu hivi !

Ni kweli sarafu ya shilingi mia tano ina madini? Majibu yako kwenye hii video

Meneja BoT
Ilianza kama ishu ya kawaida hivi lakini muda ulivyozidi kwenda ikazidi kuchukua headlines kwenye mitandao ya kijamii kwamba eti kuna watu wananunua sarafu za shilingi mia tano za Tanzania alafu wanatumia madini ya sarafu hiyo kutengeneza vito kama mikufu hivi !

BAMBA HEADLINE ZA MAGAZETI YOTE YA LEO 24/6/2015

LAYIII
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa www.swaxbz.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 24, 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Ishu ya manesi na mjamzito Simiyu, msiba wa Mbunge.. Bajeti ya TZ 2015/16 >> Zote ziko hapa (Audio)

LAYIII
Magazeti ya leo June 24 2015 yamekupita mtu wangu? Hapa nimekurekodia stori zote za magazetini zilizosikika leo redioni @PowerBreakfast hizi nimezirekodi na kukuwekea hapa.

606x340_302989
Magazeti ya leo June 24 2015 yamekupita mtu wangu? Hapa nimekurekodia stori zote za magazetini zilizosikika leo redioni @PowerBreakfast hizi nimezirekodi na kukuwekea hapa.

KUMI KUTOKA KWA WEMA SEPETU

LAYIII
Wema Abraham Sepetu ni mrembo mwenye headlines zake nyingi TZ kwa zaidi ya miaka 10… toka amekuwa Miss Tanzania, akaingia kwenye filamu na nyingine mpya kabisa ni safari yake kuingia kwenye headlines za siasa !!

Mengine 10 Exclusive kutoka kwa Wema Sepetu niliyoyapata leo June 24 2015…

IMG-20150624-WA0012
Wema Abraham Sepetu ni mrembo mwenye headlines zake nyingi TZ kwa zaidi ya miaka 10… toka amekuwa Miss Tanzania, akaingia kwenye filamu na nyingine mpya kabisa ni safari yake kuingia kwenye headlines za siasa !!

YALIYO JIRI KATIKA MAGAZETI YA LEO MAMA AJIFUNGULIA BAFUNI

LAYIII
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki za wapigakura.

#MAGAZATENI JUNE 24…Mama ajifungulia bafuni, Mawaziri 7 wasusia bajeti Z’bar na maandamano yazuka Arusha kupinga BVR

logo 
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki

Tuesday, 23 June 2015

DIAMOND KUPATA URAIA WA NCHI TATU TANZANIA AFRIKA KUSINI NA NIGERIA CHANZO HAPA CHINI

LAYIII.
Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate the African

CAN THIS PROVE SOON DIAMOND HE WILL BECOME SOUTH AFRICAN CITIZEN? WATCH THIS VIDEO YOU WILL GET THE ANSWER!! 

Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate

SASA NI VITA KALI KATI YA ALI KIBA NA DIAMOND JIONEE MWENYEWE HAPA

LAYIII
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!

Brighton Masalu
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

BAADA YA INDIA SASA NI PAKISTAN (JOTO LAENDELEA KUUWA WATU)

LAYIII
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na adha hiyo.

Baada ya India hii ni idadi kubwa nyingine ya vifo vya watu kutokana na joto Pakistan..

pakistannn
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na

advertise here