Thursday 25 June 2015

SIASA TANZANIA YAINGILIWA NA WASANII BAADA YA WEMA SEPETU SASA NI MPOKI WA COMEDY

LAYIII
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

Mpoki naye kwenye Ubunge Kilombero? Yasikie majibu yake kwa Soudy Brown…#Uheard (Audio)

Mpoki TT
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

Tetesi zikamfikia Soudy Brown kwamba jamaa nae kaamua kuingia kwenye mchakato huo kimyakimya… Soudy akamcheki jamaa, majibu yake ni kwamba hajatangaza na wala hana mpango huo, kwa sasa ni yeye na shughuli yake ya usanii wa kuchekesha.

 


No comments:

Post a Comment

advertise here