LAYIII
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.
Njaa ikamfanya chatu kula Nungunungu na miba yote aliyonayo, kilichofuatia je?
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal,
South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015,
akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na
kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.