Saturday 27 June 2015

NYUMBA ZA UDONGO BADO ZIPO DAR ES SALAAM

LAYIII
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

Kwenye nyumba za udongo zilizobaki Dar es Salaam, hizi tano nazo zipo (Pichaz)

Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.25 PM
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

Leo mtu wako nimekatisha maeneo ya Tabata, Buguruni na Mbezi Beach nimekutana na nyumba hizi tano za udongo ambazo japo Mji unatawaliwa na Maghorofa lakini hatahizi nazo zimo !
Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.35 PM
Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.44 PM
Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.54 PM
Screen Shot 2015-06-27 at 12.22.12 PM

 



No comments:

Post a Comment

advertise here