Kiasili binadamu tumepewa uwezo mkubwa wa kufikiri ukitofautisha na
wanyama wengine. Uwezo huu tulionao huwa unakuja hasa kutokana na
matumizi ya mawazo au kufikiri kwetu. Kufikiri huko ambapo tunafanya
kila siku na kila wakati ndipo kunapotufanya tuwe na maisha ya aina
fulani, haijalishi yawe ya mafanikio au kushindwa.
Lakini hata hivyo wengi wetu huwa tunafikiri au tuna mawazo ya kimazoea
na kushindwa kutambua kwamba hayo mawazo yetu pia yamegawanyika. Kwa
mawazo yoyote uliyonayo mara huwa yamegawanyika katika sehemu. Kwa mfano
unapowaza wazo fulani, wazo hilo linakuwa lipo moja
Leo hii karibu kila mtu aliyeajiriwa ukimuuliza je, unafurahia maisha ya
kuajiriwa? Atakwambia hapana ila natamani kujiajiri, na endapo
utaendelea kumuuliza ni kwa nini unatamani kujiajiri? Utamsikia anasema
nataka kuwa huru na muda na pia nahitaji uhuru wa kipesa.
Majibu hayo kwa mtazamo wa wengi ni sawa, ila kuna kitu ambacho ni vyema
ukakijua kabla ya kuamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri.
Kujiajiri kuna hitaji ujasiri wa hali ya juu sana maana kuna changamoto
zaidi ya kuajiriwa. Hivyo nakusihi ufikirie kwa umakini sana suala zima
la kuacha kazi kabla kwenda kujiajiri.
Na endapo utaamua kuacha kazi ya kuajiriwa bila ya kufikiria ipo siku
utakuja kujutia uamuzi wako. Hivyo ni vyema ukafikiria mara mbili kabla
ya kufanya maamuzi magumu. Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuacha kazi. 1. Kuwa na nidhamu ya muda.
Kwa kuwa kwa sasa bado umeajiriwa, hivyo huna jukumu la kufanya maamuzi
ya matumizi ya muda, Bali unafanya kazi kutokana na muda ambao muajiri
wako ameamua yeye kukupangia kuweza kufanya kazi.
Na kwa kuwa umezoea kufanya kazi kutokana na amri ya mwajiri wako, hata
pale ambapo utaamua kuacha kazi fahamu fika ya kwamba suala la kuwa na
nidhamu ya muda kwako ni suala gumu, hivyo unatakiwa kufanya jitihada
zako binafsi kadri iwezekanavyo hasa katika matumizi sahihi ya kufanya
kazi hasa suala zima la uzalishaji wa mali au huduma.
Nazungumza suala zima la matumizi ya muda kwani hapa ndipo ambapo
tunapata makundi mawili ya watu waliofanikiwa na wasiofanikiwa. Hivyo ni
jambo jema kuhakikisha unazingatia matumizi sahihi ya muda ili pindi
utakapoacha kazi wewe ndiye ambaye utakuwa na jukumu la kupanga muda wa
kufanya kazi na ni muda gani utakuwa ni wa kupumzika. Pia ikiwezekana
ongeza matumizi sahihi ya muda mara mbili zaidi ya ulivyokuwa
umeajiriwa. 2. Kutokuahirisha kufanya mambo ya msingi.
Utakuwa shahidi ya kwamba wakati umeajiriwa suala zima la uahirishaji wa
kufanya mambo ya msingi lilikuwa ni suala gumu sana labda awe ameamua
mwajiri wako. Kama ndivyo hivyo basi pale ambapo utakuwa umeamua
mwenyewe kuacha kazi na kuamua kufanya kazi mwenyewe hivyo huna budi
kuhakikisha ya kwamba suala zima la uhairishaji mambo linakuwa ni suala
ambalo halina nafasi katika maisha yako.
Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi kwa kuamua kutenda bila kuahiirisha vitu
vya msingi ama hakika utafika kilele cha mafanikio yako ndani ya muda
mfupi. Ni vyema kulizingatia hili, kwani hili ndilo ambalo limewafanya
watu wengi ambao waliacha kazi kuwa na maisha duni zaidi, kwani wengi
wao walikuwa ni waahirishaji wazuri wa vitu vya msingi
Msanii wa filamu anayefanya vizuri na filamu ‘Safari ya Gwalu’ Salim
Ahmed aka Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu
wakiwa na juhudi wanaweza kuziba pengo la marehemu Steven Kanumba.
Mwigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wa filamu ambao wanafanya
vizuri kwa sasa, amedai kama wasanii wakiamua kufanya kazi kwa bidii
basi kila kitu kinawezekana.
Msanii wa muziki wa kurap, Mr Blue amesema hahitaji kuwa na meneja wa
kumsaidia katika kazi zake za muziki kwa kuwa tayari alishawahi kuwa na
mameneja zaidi ya watatu ambao hawakumpatia mafanikio.
f1cbmr-Blue-ft-alikiba-mboga-saba
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo.
Kupitia Instagram, Wema ameandika:
When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was
Yours…. Congratulations mdogo wangu… You deserve it… And I have a very
good feeling about Your performance in the
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa
wanaendelea na upelelezi kwa kufuatia kuuawa kwa mwanamasumbwi Thomas
Mashali na watatoa taarifa ya kifo hicho siku ya Jumatano.
Akizungumza na waandshi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kamanda wa
Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro amesema
taarifa zilizopo kwa kufuatia kifo cha bondia huyo ni za kufikirika na
zinasemwa tu, hivyo Jumatano nitatoa taarifa hiyo.
Rais
Magufuli ambaye yuko nchini Kenya kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili
ambapo kabla ya Mkutano na waandishi wa habari leo October 31 2016
amepokelewa rasmi kwa kupigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride rasmi
lililoandaliwa kwa
Nay
wa Mitego ni kati ya Mastaa wa Tanzania ambao karibia kila
wanachokifanya kwenye maisha yao hugeuka kuwa Headlines kubwa kutokana
na style ya vitu wanavyofanya. Leo October 27, 2016 kupitia Instagram
Rapa Nay wa Mitego a.k.a True Boy amepost video
Baada tu ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la Miss Tanzania mwaka 2016, Mrembo Diana Lukumay
alianza kupokea msg za taarifa zilizosambazwa mitandaoni kuonyesha
kwamba alifeli kidato cha nne lakini pia pamoja na hayo bado CV yake
ilionyesha anayo degree. Diana ameamua kuweka kila kitu wazi kwa
kusema ‘Jina langu ni Diana Loi Lukumay, mmasai na
Ni habari iliyo njema kwa muziki wa Tanzania pale unapoona
mwimbaji wake anaalikwa kwenda kutumbuiza kwenye taifa ambalo sio
taifa linalotumia lugha ya Kiswahili lakini muziki wa bongofleva umeweza
kupenya. Mwimbaji Diamond Platnumz
wa Tanzania alialikwa kwenda kutumbuiza Malawi Jumamosi ya
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Inawatangazia waombaji wote wa mwaka wa masomo 2016/2017 ,kuangalia mikopo waliyopangiwa.
Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya dk 1 tu) kama limepata mkopo tafadhali fanya yafuatayo;
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi
kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikopo kwa
wanafunzi 20,183 (asilimia 74) wa mwaka wa kwanza hadi sasa kati ya
25,717 iliyopanga kuwapa mikopo katika mwaka huu wa masomo, 2016/2017.
Idadi iliyobaki (asilimia 26) ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza itajazwa
na waombaji ambao baadhi ya nyaraka walizowasilisha zinaendelea
kuchambuliwa ili kuthibitisha uhalisi wake na baadhi
Siku kadhaa zimepita toka msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz atangaze kuwa kanunua nyumba ya kuishi Afrika Kusini, huku baadhi ya watu wakidaiwa kutoa
UTAJUAJE KAMA UNA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI?
Umeshawahi kwenda hospitali kumlalamikia daktari kuwa mwili wako hauna
nguvu na unajisikia kuchokachoka sana na baada ya kukuchunguza,
akakwambia huna tatizo lolote isipokuwa una upungufu wa maji mwilini tu?
KATIKA makala ya afya wiki hii tuangalie sababu zinazosababisha mimba kuharibika.
Kuharibika kwa mimba ni hali ya mwanamke kupata ujauzito na ukatoka
kabla ya muda wake ambapo tatizo hili huangaliwa kabla ya kutimiza wiki
20 tangu kutungwa kwake.
Hali hiyo inapotokea huitwa kuwa mimba imetoka au imeharibika (Miscarriage).
Hali hii ya mimba kuharibika inakuwa tofauti kabisa na utoaji mimba
ambapo kitendo cha kutoa mimba kinafanywa na binadamu kwa makusudi na
huwa amedhamiria kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye
Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25
na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500
zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari
inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria
Model
anayedaiwa kutoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu, Calisah
amefunguka na kuzungumzia tetesi hizo ambazo zimekuwa zikisambaa katika
mitandao ya kijamii.
Kijana huyo ambaye tayari ameshaonekana mara kadhaa katika baadhi ya
video za mastaa wa muziki nchini, amemmwagia sifa malkia huyo wa filamu
huku akishindwa kuweka wazi kama ni kweli anatoka naye kimapenzi au la!.
“Wema is a beautiful girl, sexy and every man’s dream, na mimi pia ni
mvulana mzuri ambaye mwanamke yeyote angependa kuwa na mimi, akiwemo
Wema mwenyewe,” Calisah alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV. “Siwezi
kusema moja kwa moja kwamba sisi ni wapenzi, lakini lakizima ujue kuwa
Wema ni mzuri na mimi mzuri,”
Pia kijana huyo alidai kuwa hamtambui Idris Sultan na hakumbuki kama
Tanzania imewahi
Diamond Platnumz, Harmonize,
AY na DJ D-Ommy wa Clouds FM wameshinda tuzo ya African Entertainment
Awards USA zilizotolewa usiku wa kuamkia Jumapili huko New Jersey,
Marekani.
Diamond ameshinda kipengele cha Best Male Single na pia kuungana na AY kwenye Best Collabo (Zigo Remix).
Harmonize ameshinda tuzo ya Best New Artist huku D-Ommy akishinda tuzo ya Dj bora.
Katika kushukuru kwa tuzo hiyo, Harmonize ameandika kwenye Instagram:
Forbes
wametoa orodha ya mastaa waliofariki wanaoendelea kuingiza mkwanja
mrefu zaidi. Mfalme wa muziki wa Pop, Michael Jackson ndiye anayeongoza
orodha hiyo akiwa ameingiza kiasi cha dola milioni 825
Sababu ya kuongoza orodha hiyo imetajwa
ni kufuatia uamuzi wa kuuzwa nusu ya hisa zake kampuni Sony/ATV
inayomiliki nyimbo za The Beatles na kuingizia kiasi cha dola milioni
750.
Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao
na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo
imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video.
Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii,
wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo
lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.
Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa
wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu
ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo
nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia
ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;
(1) Wanaojione Kama Wafalume (King Husband); HIi ni aina ya wanaume
ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa
kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma
hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka
Divaloness ajibu tuhuma za kujiuza Hyatt hotel baada ya Chat Kuvuja akichati na Danga...
Kupitia Kwenye Ukurasa wake wa Instagram ameandika haya hapa :
...
#Regrann from #divathebawse - LOL jaman wanawake wana mambo hahaha
anyways . unaambiwa alietengeneza chat zangu za so called kudanga kwenye
system ya cyber crime anaitwa Mirry au Maarufu kama Tzshade sijui nini
anaishi Dubai , alichat na mwenzie akaenda whatsapp yangu ya biashara na
ku crop kisha kuunganisha chat zake aka edit ila pia akasahau crop
vizuri 😂😂 ,
Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss.
Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti
kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana
mchapakazi kama mimi.
Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi huwa namchukua
na
Unadhani kwanini pamoja na kuwa kinywaji na brand maarufu duniani,
Coca-Cola inaendelea kumwaga fedha nyingi kwaajili ya matangazo?
Kampuni hiyo hutumia zaidi ya dola bilioni 3 duniani kote kwaajili ya
matangazo kila mwaka. Kwanini sasa wanahitaji fedha nyingi kiasi hicho
kujitangaza wakati kila mmoja katika dunia hii anaijua Coca-Cola?
Ni hivi – matangazo hayakukumbushi uende kununua soda pale unapokuwa na
kiu – lahashaa! Kazi yake ni kuhakikisha jina lake linakaa zaidi
kichwani kwako, na ni jina ndilo unalolinunua. Kwahiyo watahakikisha
wanajitangaza ili ile nembo ya Coca-Cola ikae daima kichwani kwako.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika
kipindi chenu chenye faida tele cha Ijue Afya Yako. Leo tutazungumzia
tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo Urinary Tract Infection
ugonjwa ambao unawasumbua sana wanawake wengi na watoto katika nchi
nyingi zinzoendelea.
Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa
wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara
yake ni kama haya:
Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba
22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna
vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy
Kenzo.
Hii ni orodha kamili ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo
Kundi la Navy Kenzo ambalo linaundwa na Aika na Nahreel limefanikiwa
kuingia katika Mchakato (Nomination) wa kutafuta washindi wa MTV Mama
Awards 2016 Kwenye kipengele cha Group Bora la Muziki Afrika,
Nimeanza na kuandika Hard Work Pays Kwasababu ni dhahiri kuwa hawa jamaa
wamefanya kazi
Kocha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji Roberto Martinez amesema
mchezaji wa zamani wa klabu za Arsenal na Barcelona, Thierry, ambaye
aling’aa sana wakati akichezea timu ya taifa ya Ufaransa, atakuwa mmoja
wa wasaidizi wake.
Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu ya vijana Arsenal lakini
akajiuzulu Julai baada ya
Tatizo la mimba kutoka au kutolewa ni jambo ambalo limewakumba kina mama
wengi walio katika umri wa kuzaa. Aidha mijadala kuhusu kuhalalishwa au
kuendelea
kuharamishwa kwa utoaji mimba ni jambo linalochukua nafasi ya mazungumzo ya kila siku katika maisha yetu.
Kwa
baadhi ya nchi, suala la utoaji mimba ni jambo lililohalallshwa
kisheria ingawa kwa nchi kama Tanzania, suala hili halijahalalishwa
isipokuwa tu pale panapokuwa na sababu za kitabibu zinazolazimisha
kufanya hivyo.
Have your Google adSense account is disapproved ??? Are you worried
about that ???...so this article will tell you, why your account is
disapproved and what you can do to approve it or what other than you can
do. Google is very strict to their policies and they have made
different policies for different countries. They always keep on
reviewing and editing all these for the benefits of publisher as well as
advertiser. New users need to have some patience in their mind. For new
users and even old bloggers they need some points to be followed right
from ...
Leo tutashauriana changamoto ya jinsi ya kujua biashara inayolipa kwenye
eneo unaloishi. Moja ya changamoto kubwa ambayo watu wengi wanakutana
nayo ni kushindwa kujua biashara gani wafanye kwenye maeneo yao ili
kuweza kupata faida.
Mara nyingi watu wamekuwa wakiomba ushauri sehemu mbalimbali ikiwemo
kwenye mitandao kuhusu biashara gani wafanye kwenye maeneo yao.
Leo nitakushauri biashara unayoweza kufanya kwenye eneo lolote unaloishi na kupata faida kubwa sana.
KUNA vita ya maneno kati ya makundi mawili ya mashabiki wa Muziki wa
Bongo Fleva, wanaowashabikia wasanii Alikiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’,
kila upande ukidai mtu wao ndiye anajua zaidi kuliko mwingine.
Ni mjadala mpana katika mitandao ya kijamii, mitaani na hata miongoni
mwa wasanii wenyewe ambao kwa kificho au waziwazi, wamewahi kuzungumzia
nani mkali katika wawili hao ambao wote ni vijana wenye asili ya Kigoma.
Alikiba ama King Kiba, ndiye wa kwanza kuingia na kupata jina katika
Muziki wa Bongo Fleva, katikati ya miaka ya 2000 akiwa na singo yake ya
kwanza, Cinderella ndiyo ilimfungulia milango, kwani alichomoza hadi juu
ambako alidumu kwa muda mrefu.
Huenda Diamond amewahi kuimba kwa kuiga baadhi ya nyimbo za Alikiba, kwa
sababu yeye alianza kupata jina mwaka 2009, mwaka ambao mwenzake tayari
alishakuwa na albamu mtaani.
Unapotaka kufanya ulinganisho wa wawili hawa ni lazima uchague unataka
kuwalinganisha nini, vinginevyo unaweza kujikuta umewekeza katika chuki
au ushabiki, kitu ambacho hakitakiwi. Kwa mfano, vigumu kupata idadi
kamili ya mashabiki wa wasanii hao, ingawa mapokeo ya kazi zao yanaweza
kumuongoza mtu kuelewa.
Kitu kimoja cha msingi ambacho wengi wanakubaliana ni kwamba Alikiba ana
uwezo mkubwa wa kuimba na mwenye sauti nzuri kuliko Diamond. Msanii
mmoja chipukizi, Ibrahim Kidugu ‘Wizzy Rapper’ katika kibao chake cha
Kote Nisikike, kwenye mojawapo ya vesi anasema “Ali ni mwanamuziki,
Nasibu Mfanyabiashara.”
Maana ya Wizzy Rapper ni kuwa Diamond anafanya biashara ya muziki, ndiyo
maana anaonekana kuwa juu ya Alikiba ambaye anafanya muziki kwa mazoea.
Katika ubora wake, Alikiba aliwahi kukutana na mkali wa R&B duniani,
R Kelly, katika projekti iliyoitwa One8, ambapo wakali nane wa Afrika
walifanya ngoma moja iliyoitwa Hands Across Africa ambao walikuwa ni
yeye, Fally Ipupa, 2Face, Amani, Movaizhaleine, 4X4, Navio na JK.
Licha ya Kiba kufika nyumbani kwa R Kelly, studio kwake, alishindwa
kutumia ushawishi wa msanii huyo mkubwa ili aweze kumsaidia kuingia
katika soko la Marekani. Mbaya zaidi, alishindwa pia kujitangaza
kimataifa kupitia Fally Ipupa na 2Face ambao ni maarufu kuliko yeye.
Ambwene Yessaya ‘AY’ alimkutanisha Diamond na Davido wa Nigeria na
akafanya naye Ngoma ya Number One Remix. Hapa kijana yule wa Tandale
hakutaka kuishia kwa msanii huyo pekee, akaingia nchini humo na kufanya
kazi na wasanii karibu wote wakubwa, wakiwemo waliofanikiwa zaidi, P
Square.
Hiyo imempa Diamond kujulikana zaidi na kumfanya kuwa mmoja wa wasanii
wakubwa Afrika, kiasi cha wengi kuhitaji kolabo naye kutoka Afrika
Kusini, Zimbabwe, Ivory Coast na kwingineko Afrika.
SUBSCRIBE HAPA USIPITWE NA VIDEO KALI ZINAZO TUFIKIAWakuu nawasalimu!!
Ama hakika kama siku haijafika haijafika tu.July 16 2016 nilimsindikiza
binamu yangu kwa ajili ya matibabu nchini India,yeye alikuwa atangulie
na ndege ya Oman Air kupitia Muscat mpaka India ambapo mimi ningefuata
siku tisa au kumi baadae.Kwa bahati mbaya siku hiyo ilitokea "dhahama"
uwanjani hapo na safari kuahilishwa,hivyo waliondoka siku inayofuata.
BONYEZA PICHA HAPA KUONA VIDEO USIACHE KUSUBSCRIBEMsanii
wa muziki ambaye pia anafanya ‘modeling’ na utangazaji kwenye Kituo cha
Redio cha Choice FM cha jijini Dar, Gift Stanford ‘Gigy Money’
amejitangazia ushindi wa kumnasa aliyekuwa mpenzi wa Wema Sepetu, Idris
Sultan huku akitamba kuwa, sasa atamzalia mtoto.
BONYEZA HAPA KUIONA VIDEO USIACHE KULIKE COMMENT NA KUSUBSCRIBE NASI Mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari.
Diamond
Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo
Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena mtoto mwingine, atakuwa wa
kiume,”
BONYEZA PICHA SUBSCRIBE NASI YOUTUBE Meneja wa mwanamuziki wa kimataifa Diamond Platnumz, Hamis Tale Tale
maarufu kwa jina la ‘Babu Tale’ hivi sasa yupo mikononi mwa polisi
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Babu Tale amekamatwa leo na kufikishwa mahakamani hapo ili ajieleze ni
kwa nini asifungwe kwa kushindwa kutekeleza hukumu ya Mahakama
iliyomwamuru alipe fidia ya Sh250 milioni kwa makosa ya kuvunja sheria
ya Hakimiliki.
Kipindi cha ujauzito kwa mama ni kipindi muhimu sana ambacho kwa wakati
huu mama hatakiwi atumie kitu chochote cha kujitibu bila ushauri wa
daktari kwani kinaweza kudhuru mtoto lakini pia kipindi cha ujauzito ni
kipindi ambacho mama hatakiwi kunywa kileo chochote kile unachokifahamu.
Sio bia, sio spirit, wala mvinyo au wine. wanawake wengi wa siku hizi
hubeba mimba bila kufahamu kwamba wana mimba na huja kugundua baada ya
mwezi mmoja au miwili baada ya kumshindilia mtoto pombe za kutosha.tabia
hii ina madhara makubwa sana kwa mama na mtoto kama ifuatavyo...
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB), inawaarifu wadaiwa wote ambao mpaka hivi sasa hawajaanza kulipa mikopo waliochukua kipindi wanasoma, na wenye majina yao kwenye orodha hii kwamba wamevunja mkataba kutokana na sheria ya bodi hiyo No. 9 ya 2004 (kama ilivyorekebishwa) sehemu ya 19 (1).
Na wanataarifiwa kwamba, kulingana na sheria hiyo ya bodi (HESLB) No. 9 ya 2004, Bodi imedhamiria kutenda yafuatayo:-
(i) Bodi itachukua hatua za kisheria kulingana na kipengele cha 19 (a) (1) cha sheria ya bodi.
Utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Japan umethibitisha kwamba kukaa kwa mda mrefu na kutazama vipindi vya televisheni kwa masaa mengi kunahatarisha afya kwani huhusishwa na maradhi yanasababisha mzunguko wa damu mwilini kutokuwa sawa.
Watafiti hao wanasema, hali hiyo pia huenda ikasababisha damu kuganda na kutengeneza vidonge katika sehemu kama vile miguu, na iwapo mgando huo utasukumwa na nguvu za mzunguko wa damu na kuingia sehemu kama vile mapafu, husababisha vifo.
Utafiti huo ulihusiha watu zaidi ya 86,000 ambao hupendelea kutazama televisheni katika mida mbalimbali kwa siku.
Kisha afya zao zilifuatiliwa kwa zaidi ya miaka 19 tangu mwaka 1988 hadi 1990.
Vitunguu ni zao la pili ambalo hutumika karibu kila siku katika mlo wa familia za kitanzania. Afrika Mashariki, na Dunia Nzima.
Vitunguu vina chukua nafasi kubwa katika matumizi ya mboga hasa kwa
wakazi wa mijini. Vitunguu hutumika katika kutengeneza kachumbari,
kiungo cha mboga, nyama na
Mwigizaji
wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyekuwa akimuunga mkono
Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM
rasmi jana.Wolper alikaribishwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dkt Jakaya Kikwete baada ya
Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Koffi
Olomide amekamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa polisi katika uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta.
Olomide amekamatwa muda mfupi baada ya kumaliza mahojiano katika kituo kimoja cha runinga jijini Nairobi.
Mkuu wa polisi nchini Kenya Joseph Boinnet alikuwa ametoa taarifa na kuwaagiza polisi wachukue hatua.
Rapper Chidi Benz amefunguka kwa kusema kuwa hakuna msanii wa Hip Hop
ambaye amefikia mafanikio yake huku akidai Joh Makini na Nay wa Mitego
wametengenezwa ili waje kulishika game la muziki.
Akiongea na Uhuru FM Alhamisi hii, Chidi Benz amedai mpaka sasa hakuna
msanii ambaye ameweza kufanikiwa na kufikia mafanikio ambayo aliyafikia
katika kipindi cha nyuma.
Mnamo mwezi Machi, 2016, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
ilitoa notisi ya siku 60 ikiwataka wanufaika wa mikopo ya wanafunzi wa
elimu ya juu kujitokeza na kuanza kurejesha mikopo yao.
Aidha, taarifa hiyo pia iliwataka waajiri kuwasilisha taarifa za
waajiriwa wao na makato ya marejesho. Baada ya kipindi hicho
kumalizika, kipindi cha notisi hiyo kiliongezwa ambacho pia kimekwisha.