Ni habari iliyo njema kwa muziki wa Tanzania pale unapoona
mwimbaji wake anaalikwa kwenda kutumbuiza kwenye taifa ambalo sio
taifa linalotumia lugha ya Kiswahili lakini muziki wa bongofleva umeweza
kupenya.
Mwimbaji Diamond Platnumz wa Tanzania alialikwa kwenda kutumbuiza Malawi Jumamosi ya
weekend iliyopita na hata yeye mwenyewe amefurahishwa na mwitikio wa Malawi kwenye muziki wake.

Diamond ameandika ‘Licha
ya Mvua kunyesha na kuharibu stage na system yote muziki lakini mliamua
kuvumilia na kunisubiria kuanzia usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi
nilipopanda na kuanza show yangu…‘
‘Imefanya niwapende na kuwathamini kuliko mliyofikiria MALAWI…shukran sana kwa mapenzi yenu kwangu, natumai Show mliifurahia…tukutane tena wakati mwingine……NIGERIA see you this weeknd‘ – Diamond


.

LOGO MOTION WASAFI RECORD
Mwimbaji Diamond Platnumz wa Tanzania alialikwa kwenda kutumbuiza Malawi Jumamosi ya
weekend iliyopita na hata yeye mwenyewe amefurahishwa na mwitikio wa Malawi kwenye muziki wake.
Nilipokua
nikiimba ‘nasema nawe’ leo nimegundua kuwa wasichana wa kimalawi ni
hatari sana kwenye kukatika …..we unahisi Wasichana wa nchi ipi
wanashika number moja kwenye kukatika? – caption ya Diamond kwenye hii
picha
‘Imefanya niwapende na kuwathamini kuliko mliyofikiria MALAWI…shukran sana kwa mapenzi yenu kwangu, natumai Show mliifurahia…tukutane tena wakati mwingine……NIGERIA see you this weeknd‘ – Diamond
.
LOGO MOTION WASAFI RECORD
No comments:
Post a Comment