Thursday 22 September 2016

IJUWE ORODHAZA YA WATAKAO WANIA TUZO ZA MTV MAMA 2016 KUTOKA NCHINI TANZANIA

Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba 22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy Kenzo.

Hii ni orodha kamili ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo


Best Live Act

Stonebwoy (Ghana)
Cassper Nyovest (South Africa)
Mafikizolo (South Africa)
Mr Flavour (Nigeria)
Eddy Kenzo (Uganda)

Best POP/ ALtenative

Tresor – Never let Me Go
Shekinah & Kyle Deutsch – Back to the Beach
Timo ODV – Find My Way
LCVL ft Sketchy Bongo – Cold Shoulder
Desmond & The Tutus – Pretoria Girls

Personality of the Year

Caster Semenya
Linda Ikeji
Pearl Thus
Wizkid
Pierre Emerick

Best Group

Toofan (Togo)
Micasa (South Africa)
Navy Kenzo (Tanzania)
R2Bees (Ghana)
Sauti Sol (Kenya)

Best Male

Black Coffee (South Africa)
Diamond Platnumz (Tanzania)
AKA (South Africa)
Patoranking (Nigeria)
Wizkid (Nigeria)

Best Lusophone

NGA
Nelson Freitas
C4 Pedro
Lizha James
Preto Show

Best International Act

Beyonce
Drake
Adele
Future
Rihanna

Best Collaboration

AKA ft Yanga, Burna Boy, Khuli Chana – Baddest
Dj Maphorisa, ft Wizkid, Dj Buckz – Soweto Baby
Nasty C ft Davido, Cassper Nyovest – Juice Back (Remix)
Sauti Sol ft Alikiba – Unconditionally Bae
Patoranking ft Sarkodie – No Kissing

Best Hip Hop

Emtee (South Africa)
Ricky Rick (South Africa)
YCEE (Nigeria)
Olamide (Nigeria)
Kiff No Beat (Ivory Coast)

No comments:

Post a Comment

advertise here