Sunday, 20 March 2016

RIPOT INAONYESHA WAPAKA RANGI WANATEMBEA NA WAKE ZA WATU SANA

LAYIII
STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa
Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!
 JE UNATAKA KUTENGENEZA PESA UMEKAA BONYEZA PICHA KUBETONLINE NA MERIDIAN MTU WANGU WA NGUVU JISAJIRI SASA
Rangi
 Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake wakiendelea na kazi yao.
STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa
Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake, wamegandwa na skendo ya kutembea na wateja wao hao huku mazingira ya kazi yao yakitajwa kuwa chanzo, Ijumaa lina ripoti ya kutisha!

Saturday, 19 March 2016

UKIKUTA MAHUSIANO YAKO YA KIMAPENZI HAKUNA VITU HIVI BASI PITA KUSHOTO

LAYIII
NI VEMA UKAYAJUA HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI KTK VIDEO HOTS YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g
3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema.
4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote.
5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu.
6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi.

ISHUDIE HII MWIZI AKIMNG`ANG`ANIA POLISI APELEKWE KITUONI

LAYIII
Kama alivyokutwa huyu mwizi kariakoo huku raia wakimuomba afande awaachie mwizi huyo angalau dakika 5 wamlainishe mtuhumiwa apate kwenda vizuri
 BONYEZA PICHA KUSHUDIA AJALI YA MOTO YA KITUO CHA MAFUTA HUKO SUMBAWANGA
 
Kama alivyokutwa huyu mwizi kariakoo huku raia wakimuomba afande awaachie mwizi huyo angalau dakika 5 wamlainishe mtuhumiwa apate kwenda vizuri polisi,Lakini kilisikika kilio kutoka kwa mwizi huyo aliyejitambulisha kwa jina la alfani akisema” kaka mkubwa afande twende wote sentro kaka watanimaliza

CHIDI BENZI WATANZANIA NISAIDIENI

LAYIII
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.
BONYEZA PICHA KUONA ILE VIDEO YA VOLCANO ILIYO TOKEA NDANI YA MAJI
https://www.youtube.com/watch?v=8B2S3rtS304
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.
Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa. “Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu

Friday, 18 March 2016

MAHUSIANO YALIYOPO KATI YA OMMMY DIMPOZ NA DIAMOND PLATNUMZ YANATIA KIGUGUMIZI ........

LAYIII
“Hapa hakuna mambo ya kufichaficha, kwamba haina noma hata jana nilikuwa naye. Vitu viko wazi vinaonekana hatuko karibu kama zamani, hilo liko wazi. Lakini itakapotokea huko mbele mimi sina tatizo kabisa,” amesema.
BONYEZA PICHA KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE

Ommy Dimpoz aliwahi kuwa rafiki mkubwa wa Diamond lakini urafiki wao kwa sasa umeonekana kupungua au haupo kabisa.

Hitmaker huyo wa ‘Achia Body’ ametueleza hali ilivyo sasa.

Amesema hana ukaribu sana na Diamond kwa sasa lakini hana tatizo naye.

MHADHIRI ALIYE IGIZA FILAMUN YA NGONO AJIUZURU

LAYIII
Mhadhiri mmoja mashuhuri wa somo la kemia katika chuo kimoja kikuu nchini Uingereza amejiuzulu baada ya kugunduliwa kuwa amekuwa akiishi maisha mara mbili.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO NAMI YOUTUBE USIACHE SUBSCRIBE NAMI 
Goddard
Mhadhiri mmoja mashuhuri wa somo la kemia katika chuo kimoja kikuu nchini Uingereza amejiuzulu baada ya kugunduliwa kuwa amekuwa akiishi maisha mara mbili.
Amekuwa akifunza kama Profesa na vilevile kuigiza kisiri katika filamu za ngono.

SIMBA ATOROKA KATIKA HIFADHI NA KUJERUHI KENYA

LAYIII
Wiki kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata.
BONYEZA PICHA HAPO CHINI KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Wiki kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata.
Leo March 18 2016 inaripotiwa tena Simba mmoja ametoroka kutoka Hifadhi ya Taifa ya Nairobi nchini

Wednesday, 16 March 2016

MAJIMBO YOTE MUHIMU NCHINI MAREKANI NGOME YA TRUPH

LAYIII
Donald Trump amepiga hatua katika kukaribia kutwaa tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani baada ya kushinda mchujo majimbo matatu makubwa, likiwemo jimbo la Florida.
Bilionea huyo kutoka New York ameshinda majimbo ya Illinois na North Carolina.Hata hivyo ameshindwa na John Kasich jimbo la Ohio.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Trump
Mgombea anayeongoza chama cha Democratic Hillary Clinton naye amepanua uongozi wake kwa kupata ushindi majimbo ya Florida, Ohio, Illinois na North Carolina.
Marco Rubio, mmoja wa waliotarajiwa kutoa ushindani kwa Trump katika chama cha Republican amejiondoa baada ya kushindwa na Trump katika jimbo lake la nyumbani la Florida.

ULIIPATA HII YA MAGUFULI KUHUSU VIJANA WOTE KUFANYA KAZI BASI JIUNGE NAMI HAPA

LAYIII
Rais wa Tanzania John Magufuli amelalamikia tabia ya vijana wengi kukaa vijiweni na kucheza pool badala ya kufanya kazi mijini na maeneo ya mashambani. Rais Magufuli ametoa wito kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wanafanya kazi hususani vijana.
MSIKILIZE RAIS MAGUFULI HAPA BONYEZA PICHA
 Magufuli
Rais wa Tanzania John Magufuli amelalamikia tabia ya vijana wengi kukaa vijiweni na kucheza pool badala ya kufanya kazi mijini na maeneo ya mashambani.
Rais Magufuli ametoa wito kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha watu wanafanya kazi hususani vijana.
"Haiwezekani vijana wawe wanashinda vijiweni wanacheza pool, wakati wazee na akina mama wapo

PICHA YA UTUPU WA KIM KARDASHIAN ZAFUTWA AUSTRALIA

LAYIII

Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu yalioandikwa chini yake.
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO HOTShttps://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Picha iliochorwa ya utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australia. Picha hiyo ilichorwa na msanii Lush Sux katika ukuta mmoja wa makaazi ya mji huo. Lakini picha hiyo yenye urefu wa mita 10 ilirushiwa rangi mbali na kuwekewa maandishi machafu

Tuesday, 15 March 2016

UNAJUA MILIONI 50 ALIZOSHINDA KAYUMBA HUKO BONGO STAR SEARCH ZILITUMIKAJE BASI JIUNGE NAMI HAPA

LAYIII
Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe.
Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo cha Mkubwa na Wanawe.

BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

JE KUNA UKWELI KUHUSU RAIS MAGUFULI KUWAPUZIA MARAIS WASTAAFU ULINZI ........ UKWELI WOTE HAPA

LAYIII
Kwenye Gazeti la JamboLEO, toleo namba 2381 la tarehe 15 March 2016 limechapisha taarifa yenye kichwa cha habari kisemacho Magufuli awapunguzia ulinzi marais wastaafu
Taarifa yake kamili ipo katika ukurasa wa nne na inaeleza kuwa Rais Magufuli amewapunguzia

Monday, 14 March 2016

UNAJUA KUWA MAMA DIAMOND ALITOBOA KISA CHA ZARI NA MAISHA YAKE BONGO

LAYIII
Source na Bongoswagzz.com
Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

UNATAKA KUONA ILE VIDEO YA DADA ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI BASI BONYEZA PICHA HII CHINI


Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Sunday, 13 March 2016

VIJUE VIWANJA VYA NDEGE HATARI DUNIANI

LAYIII
Wakati Tanzania magari yanasimama treni ipite spain magari yanasimama ndege ipite mtu wangu. Kuna hatari nyingi sana duniani na hii ni moja ya hizo hatari….. inanishtua hata mimi kuona kiwanja cha ndege kipo pembeni ya bahari yani Pilot akikosea kidogo tu inakua stori nyingine, tazama hii video hapa chini.
PICHA ZOTE NA LINK YA VIDEO ZA VIWANJA VYA MAAJABU NA HATARI DUNIANI

(JE ULIIJUA HII ) GARI LINALOJIENDESHA LA GOOGLE LAGONGA BASI

LAYIII
Gari moja la Google linalojiendesha liligonga basi moja mjini California mwezi uliopita.Hakuna mtu aliyejeruhiwa.Sio mara ya kwanza kwa gari linalojiendesha la kampuni ya Google kuhusika katika ajali,lakini huenda ni mara ya kwanza kwa magari hayo kufanya ajali.Kampuni ya Google inataraijiwa kukutana na idara ya magari mjini California ili kuzungumzia kuhusu kisa hicho na kubaini ni nani wa kulaumiwa.
 







https://www.youtube.com/watch?v=9sM6NHl7Xzw
Mnamo tarehe 14 mwezi Februari gari hilo ambalo lilikuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 3 kwa saa liligonga basi moja la umma lililokuwa likisafiri kwa kasi ya kilomita 24 kwa saa.
Mtu aliyekuwa katika gari hilo la Google aliripoti kwamba alidhani basi hilo

KAMA HUKUJUA HIZI NDIO SIMU ZITAKAZO ACHA KUTUMIA WHATSUP YAANI ZITATUPWA NA WHATSUP APPL

LAYIIII
Huduma ya WhatsApp haitatumika tena katika simu zinazotumia mifumo kadha ya programu ikiwemo Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1.
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK
WhatsApp 
Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo imesema inataka kuangazia kustawisha “huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi.”
WhatsApp, itaacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu kufikia Desemba 2016.
Licha ya kuacha kutumika katika simu nyingi za Blackberry, WhatsApp bado itaendelea kutumiwa katika simu za kisasa zaidi za Blackberry kwa sababu simu hizo hutumia mfumo wa Android.

KAINGIA KITANZINI BAADA YA KUSEMA MUGABE NI MZEE

LAYIII
Afisa mmoja wa polisi amefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baada ya kulaumiwa kwa kusema kuwa rais Robert Mugabe ambaye sasa ana umri wa miaka 92 ni mzee sana kuwa kiongozi. Thomson Joseph Mloyi pia anadaiwa kumtusi mkewe rais Mugabe, Grace, kuwa kahaba kwa mujibu wa gazeti la kibinafsi nchini humo.
 BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI MATUKIO KWA NJIA YA VIDEO



Rais Mugabe

Afisa mmoja wa polisi amefikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baada ya kulaumiwa kwa kusema kuwa rais Robert Mugabe ambaye sasa ana umri wa miaka 92 ni mzee sana kuwa kiongozi.

Saturday, 12 March 2016

MBADALA WA DK SLAA CHADEMA HUYU HAPA

LAYIII
Usiku wa March 12 2016, Chadema imeweka kumbukumbu mpya ya kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji anayechukua nafasi ya Dk. Wilbroad Slaa, kwenye kikao cha Baraza kuu la Chadema nimekusogezea sentensi zake na picha baada ya kuupata Ukatibu Mkuu.
BONYEZA PICHA KUSHUDIA VIDEO YA SHANGWE ZA CHADEMA
Usiku wa March 12 2016, Chadema imeweka kumbukumbu mpya ya kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji anayechukua nafasi ya Dk. Wilbroad Slaa, kwenye kikao cha Baraza kuu la Chadema nimekusogezea sentensi zake na picha baada ya kuupata Ukatibu Mkuu.
Image00002
Wajumbe wa Baraza kuu Chadema wa pili kulia ni Tundu Lissu.

BARAZA KUU LA CHADEMA PICHA NANE ZA MWANZO MTU WANGU

LAYIII
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama, hapa nimezipata picha za mwanzo kwenye tukio.
kila picha ikiibonyeza iko na link ya tukio BONYEZA PICHA YOYOTE HAPO KWENDA KWENYE TUKIO HALISI
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama,

PITIA VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YA LEO March 12 2016

LAYIII
March 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook@swaxbz, twitter@swaxbz na instagram@emmanuely_1 ili niwe nakutumia kila
March 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu

SCANIA ILIVYO WAKA MOTO MAENEO YA KASESYA/ KASANGA HUKO SUMBAWANGA

LAYIII
Katika hali ya kustukiza eneo la makutano filling station kasesya/kasanga road manispaa ya sumbawanga kumetokea mlipuko wa gali kubwa aina ya scania. kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba utingo wa scania ulipokwenda kurekebishwa ndipo moto ulipotokea kuanzia kwenye betrii
tizama na ubonyeze picha kuitazama video ya tukio nzima mtu wangu




https://www.youtube.com/watch?v=9sM6NHl7Xzw

Friday, 11 March 2016

KENYA NDANI YA DARUBINI YA IAAF

LAYIII
 Mkutano wa kamati kuu ya shirikisho la mchezo wa riadha duniani IAAF ambayo imekuwa ikikutana mjini Monaco imetangaza kuwa Kenya na Ukraine ni miongoni mwa nchi ambazo zimewekwa katika orodha ya mataifa ambayo yanachunguzwa kwa kina na shirikisho hilo kuhusiana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli michezoni.


Mataifa mengine ni pamoja na Ethiopia, Morocco, na Belarus
Kwenye kikao na waandishi wa habari, afisa mkuu wa shirikisho hio anayehusika na maadili amesema kuwa, mataifa hayo yamepewa muda kuunda kamati maalum, ili kudhibiti matumizi ya dawa hizo michezo.

UMEPITWA NA TAARIFA YA HABARI LEO 10/03/2016 NIMEKUSOGEZEA HABARI KUBWA HAPA

LAYIII
Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya March 11 2016 usijali www.swaxbz.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari tano kubwa kupitia TV za Tanzania.Habari kutoka Clouds TVKesi ya Tembo Yaahirishwa Mahakama ya kisutu Jijini Dar es salaam imeharisha kesi ya wachina wawili walikamatwa na Meno ya Tembo
Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya March 11 2016 usijali www.swaxbz.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari tano kubwa kupitia TV za Tanzania.
Habari kutoka Clouds TVKesi ya Tembo Yaahirishwa

JUX NILIMPENDA JACK CLIFF LAKINI SITARUDIANA NAYE TENA

LAYIII
source na Bongoswaggz 
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE




Msanii Jux ambaye kwa sasa yupo kimahusiano na Vanessa Mdee, amefunguka na kuweka wazi sakata ambalo lilimkuta mpenzi wake wa zamani anayefahamika kama Jackie Cliff na mahusiano yake na model huyo.

Kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV Jux alikiri wazi kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na Jackie Cliff na kusema alikuwa anampenda sana licha ya bidada huyo kumzidi umri.

Thursday, 10 March 2016

MASTAA WANAVYO TUMIKA KUKAMATA VIGOGO WAUZA UNGA

LAYIII
 USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE BONYEZA PICHA
MASOGANGE5Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’
Stori: Sifael Paul, Ijumaa
Dar es Salaam: Mjini hakukaliki! Mkakati wa Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ wa kupambana na biashara haramu ya dawa za kulevya ‘unga’ hapa nchini, umeiva ambapo uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba unawatumia baadhi ya mastaa Bongo kuwakamata vigogo wanaojihusisha na biashara hiyo.

UKISTAAJABU YA MUSSA HUTAYAONA YA FILAUNI CHEKI PICHA HIZI NA USTAAJABU

LAYIII
Tafadhari waweza bonyeza picha kisha jiunge nami youtube mtu wangu kushuhudia nami maajabu hayo usiache kusubscribe youtube

https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA

SKIA ALICHOSEMA NAJ KUHUSU KUTOKA KIMAPENZI NA BARAKA DA PRINCE

LAYIII
  Bonyeza picha kujiunga nasi youtube
Msanii bongo fleva Naj amevunja ukimya na kusema kuwa yeye hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na msanii Baraka da Prince.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuenea habari kuwa anatoka kimpenzi na msanii huyo na kusisitiza kuwa Baraka ni rafiki yake wa karibu na hakuna zaidi.

Wednesday, 9 March 2016

FROM UDAKU SPECIALLY: SHUDIA MBUNGE ALIVYOKULA KICHAPO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NA JMETTY KUIONA VIDEO YAKE
https://www.youtube.com/watch?v=Gpik8ecGV80
Mwanasiasa mkongwe Moses Wetang’ula Senator wa kaunti ya Bungoma, ambaye pia ni Waziri wa zamani wa mambo ya nje na Waziri wa zamani wa Biashara nchini Kenya. Jumapili ya tar.6 March (siku mbili kabla ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani) alipewa kipigo kikali na mke wake An Wacheke Ngugi hali iliyopelekea kukimbizwa hospitali kwa matibabu kabla hajaenda kuripoti Polisi ambapo alikuta mkewe ameshamtangulia kuripoti. Yani mke alimpiga mume kisha akawahi Polisi kusema amepigwa.

UPDATE NA 3MILLARDAYO PAMOJA NA AJARI KUTOKEA ASUBUHI BADO WATU WAMEKUSANYIKA KITUO CHA POLICE BUGURUNI

LAYIII
Asubuhi ya March 9 taarifa za ajali kutokea maeneo ya Tabata Dar Es Salaam zilisambaa katika sehemu mbalimbali hususani, katika mitandao ya kijamii. Tabata ilitokea ajali iliyokuwa inahusisha basi la abiria aina ya DCM, tipa la mchanga na Lori la ng’ombe.

Tuesday, 8 March 2016

JE WAJUA KAMA MVUMBUZI WA EMAIL KAFARIKI DUNIA

LAYIIII
BONYEZA HAPA KUONA VIDEO MTU WANGU

https://www.youtube.com/watch?v=Gpik8ecGV80

 
Mvumbuzi wa “EMAIL” afariki dunia
Mvumbuzi wa matumizi ya barua pepe kwa kiingereza kama Email RAY TOMLINSON, amefariki dunia na umri wa miaka sabini na nne.
Ray alivumbua matumizi ya barua pepe mwaka 1971 na

TAZAMA PICHA 4 ZA AJARI ILIYOTOKEA TABATA DAR ES SALAAM

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO
Moja ya taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari asubuhi ya leo march 9 2016, ni pamoja na hili tukio la ajali ya magari matatu ambayo ni gari la abiria aina ya DCM, Lori la mchanga na gari lingine lililokuwa limebeba mchanga kugongana katika eneo la Tabata, Dar es salaam.
Hadi sasa hakujawa na uhakika wa taarifa za uhakika

JE UNAJUA KUWA MAALIM SEIF AMELAZWA

LAYIII
 

Maalim Seif Alazwa Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam

BONYEZA PICHA HAPO

Siku tatu baada ya kutoka India alikokwenda kwa ajili ya kupata matibabu, Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad jana alilazwa katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar, Nassoro Mazrui amesema kuwa chanzo cha Maalim Seif kulazwa katika hospitali hiyo jana asubuhi ni uchovu wa safari yake ya India ambayo alienda kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa mgongo.

JE UNAJUA KUWA WIZKID KAITELEKEZA FAMILIA YAKE

LAYIII
 
Mke wa Wizkid, Ogudugu Shola, amefunguka na kudai kwamba mumewe huyo ambaye amezaa naye mtoto mmoja, anashindwa kuihudumia familia yake.

Mrembo huyo amedai kwamba, mapenzi ya msanii huyo na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Boluwatife, yamekuwa tofauti na mwanzo kihuduma.

“Ukweli ni kwamba nimechoka, nimechoka, nimechoka na mambo

Monday, 7 March 2016

DAKIKA 20 ZA DIAMOND PLATNUMZ NA KANYE WEST

LAYIII
VIDEO BONYEZA PICHA HIII
Diamond (2) Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  na rapa maarufu wa Marekani, Kanye West.
Stori: Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kutoka Tandale hadi Marekani! Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  melidokezea Ijumaa Wikienda kilichojiri kwa takriban dakika 20 alipokutana uso kwa uso na rapa  kubwa duniani wa Marekani, Kanye West.
UWANJA WA NDEGE LOS ANGELES
Diamond alikutana na Kanye West kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles wa LAX nchini Marekani wakati akisubiri ndege kuelekea Las Vegas kwa ajili ya shoo na kazi zake za kimuziki.

Saturday, 5 March 2016

TCRA Yakiri Zigo Remix ni Wimbo Mkubwa na Unaopendwa Sana.

LAYIII
 
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imekiri kuwa wimbo wa AY, Zigo Remix aliomshirikisha Diamond unapendwa sana

MBOWE ALIVYOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR LEO

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA JAY METTY
Hadi time hii headline za Uchaguzi wa Meya Dar es salaam zinazidi kutawala kila siku, ni siku mojatu baada ya Baadhi ya Wabunge na Madiwani wa Ukawa kufikakatika ofisi ya Halmashauri  ya jiji kutaka kujua tarehe ipi uchaguzi utafanyika lakini hawakupata majibu hayo. Leo March 5 2016 Mwenyekiti wa  CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alikutana na waandishi wa habari na kueleza…
Hatutaomba tena kumpata Meya wa jiji la Dar es salaam, tutadai

USIKU WA LEO TANZANIA IMECHUKUA TUZO MBILI "Nigeria Africa Magic Awards 2016"

LAYIII
Mach 5 2016 Tanzania imeingia kwenye headlines tena baada ya waigizaji wa Tanzania kuchukua Tuzo Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria ambapo mwimbaji toka Tanzania Alikiba  alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo.
Wasanii wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael na Single Mtambalike wamefanikiwa kuondoka na tuzo moja kila mmoja ambapo Elizabeth Michael (Lulu) amechukua Tuzo ya Best Movie East Africa kupitia movie yake ya Mapenzi na Single Mtambalike amechukua Tuzo ya Best Indigeous Language Movie/TV Series Swahili kupitia Movie ya Kitendawili

KAMA HUKUJUA JAY Z NA BEYONCE WAMEBWAGANA

LAYIII
Bonyeza picha kuiona video ya jay metty

Bado taarifa zinaendelea kuitafuna familia ya Carters, na uvumi mkubwa ni kwamba huenda vipepeo hawa wawili yani rapa Jay z na Beyonce wamemwagana na kupeana talaka.
Kwenye sherehe ya kuzaliwa ya rafiki wa Beyonce,

Thursday, 3 March 2016

UJUMBE UNAO HISIWA KUWA KAANDIKA BELLE9 UNAOMDISI DIAMOND

LAYIII
Bonyeza picha hii kuingia youtube uone kilichojili
Usiku wa March 2 kuamkia March 3 jina la mkali kutoka Bongoflevani Belle 9 lilirudi kwenye headlines baada ya kuonekana kwa post katika mtandao wa Instagram inamdis Diamond Platnumz lakini baadae inadaiwa kufutwa na account ya msaani huyo kufanyiwa mabadiliko ya jina.
Baada ya muda stori zilianza kuzagaa mitandaoni kuwa post hiyo sio ya kweli huku

Wednesday, 2 March 2016

PICHA 10 ZA HALIMA MDEE AKITOKA MAHAKAMANI

LAYIII
Leo March 2 2016 wabunge wawili wa chadema, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara Pamoja na Diwani wa Kata ya Saranga, Ephrein Kinyafu. Wamefikishwa mahakamani kwa ajili ya kujibu mashitaka ya kumjeruhi katibu tawala Mkoa wa Dar es salaam wakati wa uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam ulipoahirishwa. Watuhumiwa wote

KIJUE KISA CHA WABUNGE WA UKAWA KUSAKWA KILA KONA

LAYIII


Wakati baadhi ya wabunge wa upinzani wakishikiliwa na polisi ama kutafutwa kutokana na chaguzi kile kinachoelezwa ni vurugu kwenye chaguzi za Meya na wenyeviti wa halmashauri zinazoendelea, wale waliotolewa Bungeni kwa nguvu Januari 27, wote wametakiwa kufika Dar es Salaam  wahojiwe.
Mpaka sasa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, anashikiliwa na polisi kwa kile kilichoelezwa ni vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi wa Meya wa Dar es Salaam kuahirishwa Februari 27, mwaka huu.
Mbali na Mdee ambaye jana ilidaiwa kuwa polisi walifanya ukaguzi nyumbani kwake pamoja na ofisini kwake huku kile wanachokitafuta kikiwa hakijulikani, Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) na wa Ubungo, Saed Kubenea, pia inadaiwa wanatafuwa kwa sababu ya vurugu hizo.

Sunday, 28 February 2016

MSANII CHIPUKIZI KUTOKA TANZANIA ANAYE TIKISA MAREKANI {JAY_METTY}

LAYIII
bonyeza picha kuiona video yake hapo mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 Msanii chipukizi wa bongo flaver kutoka tanzania anayetamba na kutikisa nchini marekani ameonyesha kipaji chake kingine kuwa ni bone la producer na hits zake zimekaa kwa maadhi ya kimataifa  JAY METTY ni msanii anayechipukia na anaonyesha haswa zake nchini marekani huku akishirikiana na baadhi ya wasanii wa kubwa nchini humo kama kundi nzima la cash money na baadhi ya makundi ya sanaa nchini humo
CHUKUA MUDA WAKO KUSKILIZA AUDIO YAKE HAPA MTU WANGU

https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 hivi karibuni JAY METTY alikuwa na ratiba ya kudondosha bonge la shoo nchini Tanzania jijini Dar es salaam lakini kulingana na ratiba na mambo yaliyo chini ya uwezo wake shoo imekwama na imeshindwa kuendelea. kwa mujibu wa msemaji wake mkuu JAY METTY atatoa taarifa mapema pindi mambo yatakapo kuwa yameenda sawa
https://www.youtube.com/watch?v=tNg7FdS2kz4
 Ungana na swaxbz.com ili uwe jirani na kila update zitakazo kuwa zinatufikia kila siku

Wednesday, 24 February 2016

KAMCHOMA MWANAYE KISA KAKOMBA MBOGA

LAYIII

Mkazi wa kitongoji cha Kazima – Kichangani Kata ya Kawajense, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Emmanuel Joseph (31) amemfanyia unyama mtoto wake wa kumzaa, George Emmanuel (4) kwa kuvichoma kwa moto vidole vyake vya mkono wa kushoto, akimtuhumu kukomba mboga yote ya majani aina ya ‘chainizi’ yenye thamani ya Sh 500.
Inasemekana baba huyo amekuwa akiishi na watoto wake watatu baada ya kuachana na mkewe wa ndoa, Semsni Jahala (28) Machi mwaka jana.

Tuesday, 23 February 2016

ALIKIBA KWENDA NIGERIA MWEZI UJAO UBUYU WATEMA MAKUBWA

LAYIII





Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwezi ujao anatarajiwa kukwea pipa hadi nchini Nigeria kwa ajili ya kufanya kazi na mwanamuziki wa nchi hiyo, Deborah Oluwaseyi ‘Seyi Shay’.
Msanii huyo anayetamba na kibao cha ‘Right Now’, aliwaambia waandishi

MTOTO WA SOKWE ANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUZALIWA KWA UPASUAJI

LAYIII



MA BIBI NA MABWANA NIMEKUSOGEZEA NGOMA MPYAA KABISA YA DRAKE NA RIHANNA HAPA


LAYIII



CHUKUA MUDA WAKO KUITIZAMA VIDEO YA HAWA VIJANA WETU

SAMSUNG WAMEZINGUA SIMU MPYA YA GALAX S7

LAYIII

Samsung Galaxy S7

Kampuni ya kutengeneza simu ya Samsung imezindua simu yake mpya ya kisasa aina ya Galaxy S7 na Galaxy S7 Edge.

Kampuni hiyo ya kutokea Korea Kusini imezindua simu hizo mbili ilikukabiliana na upinzani mkali kutoka kwa kampuni ya simu ya Apple.

advertise here