Saturday, 20 February 2016

ETI RAY ALISHAWAHI KUMUOKOA NEY WA MITEGO ASIPIGWE

LAYIII
STAA wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara nyingine ameendelea kuteka ‘headlines’ baada ya kuibuka na kudai kuwa alishawahi kumuokoa staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego asipigwe.
Akizungumza asubuhi hii katika kipindi cha

CHUKUAMUDA WAKO KUTAZAMA VIWANJA KUMI VYENYE MVUTO KWA AJIRI YA KOMBE LA DUNIA 2022

LAYIII
Kwa kawaida maandalizi ya Michuano ya Kombe la Dunia hufanyika miaka zaidi ya minne kabla ya nchi husika kuanza kupokea timu katika miji yao. Imekuwa kawaida kwa kila nchi inayotarajia kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia kutengeneza viwanja vipya na vyenye hadhi kwa ajili ya michuano hiyo.
Nchi ya Qatar ambayo ndio mwenyeji wa Michuano ya Kombe la Dunia 2022 mtandao wa sokka.com umetoa list pichaz 12 za viwanja vinavyotajwa kuwa vitatumika katika mihuano hiyo 2022. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz 12 za muonekano wa viwanja 12 vilivyotajwa na sokka.com

Wednesday, 17 February 2016

VIDEO: MAREHEMU JOHN WOKA ALIVYOAGWA LEO DAR, FEB 17 2016

LAYIII


Leo Feb 17 2016 Watanzania mbalimbali waliungana pamoja na baadhi ya mastaa kwa lengo la kuuaga mwili wa marehemu John Woka katika Hospitali ya Muhimbili, Dar kisha kuusafirisha kwenda kwao Tanga.

VAN GAAL: ITABIDI TUSHINDE EUROPA LEAGUE

MANENO YA UCHUNGU ALIYOZUNGUMZA WEMA SEPETU JUU YA UJAUZITO WAKE

LAYIII
Baada ya kuwa na tetesi na Uvumi kila kona kuhusiana na Ujauzito wa Wema Sepetu kutokuwepo tena  mwenyewe leo amefunguka kupitia mtandao wa kijamii na kutoa uhakika.

Ameandika maneno haya; 

"Ni kweli. Na imeniuma sana lakini nimefika kwenye hatua maishani mwangu naweza kusema Alhamdulillah for everything.

Monday, 15 February 2016

YAJUWE MAAMUZI YA DK MAGUFULI KWA MIGILO NA WENGINEO

LAYIII
Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk John Pombe Magufuli ametangaza kuwateuwa mabalozi wa tatu katika wizara ya mambo ya nje, ushirikiano wa Afrka Mashariki, kikanda na kimataifa. Rais Magufuli  pia alitangaza kuteua watu wengine katika nyadhifa tofauti. Hii ndi baru yenye mchanganuo wote.

Saturday, 13 February 2016

ZARI AKUTANA NA ISSUE YA KUWA NA MAKALIO FEKI

LAYIII

zariNasibu Abdul ‘Diamond’ na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’
Stori: Musa mateja, Ijumaa
Dar es Salaam
Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ukipenda muite mama Tiffah, amekwaa skendo ya kutumia makalio feki kila anapokuwa kwenye mtoko.

UJUE UNDANI WA MWANAMKE ALIYE PAMBANA NA MAJAMBAZI NA KUPOKONYA BUNDUKI ZAO

LAYIII

RISASI MAJAMBAZI MWANAMKE (4)Sophia Manguye akisaini mara baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo.
Mwanamke aliyepambana na jambazi na kufanikiwa kumnyang’anya bunduki aina ya SMG, Sophia Manguye (46), amepewa zawadi ya Sh 500,000 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Tarime/Rorya, Gemini Mushy.
Mwanamke huyo ambaye aliomba Serikali kumpa silaha ili kujilinda, alisema kuwa hajaridhika na zawadi hiyo kwa kuwa kama asingemmudu jambazi huyo watu wengi wangepoteza maisha.

Wednesday, 10 February 2016

AJALI MBAYA YATOKEA MANDELA ROAD DAR-ES-SALAAM

LAYIII


Habari zilizoenea kwa kiasi kikubwa kwa watumiaji wa barabara ya Mandela jijini Dar Es Salaam ni kuhusiana na ajali iliyotokea ya kontena kuangukia basi dogo la abiria maarufu kama daladala na gari ndogo. Ajali hiyo kwa taarifa za awali inatajwa kutokea maeneo ya Tabata. Kwa mujibu wa mtandao wako wa press bongo....... inafuatilia kwa kina taarifa kamili ili kukuletea habari za uhakika zaidi ila hizi ni picha za mwanzo kuhusu ajali hiyo

MJUE MKONGO POLICE AMBAYE NI MWANAMZIKI

LAYIII

Polisi ambaye ni mwanamuziki DR Congo

5 Februari 2016 Imebadilishwa mwisho saa 16:50 GMT
Kwa kawaida polisi huzingatiwa kuwa watu wenye kuwaandama wahalifu na kila wakati wanapoonekana, wengi hujiuliza kwani leo kulikoni?
Na hali huwa ni ya wasiwasi zaidi ikiwa mmoja wa maafisa hao wa polisi ni wa cheo cha juu.
Bahati Kasamba Innocent, ni afisa wa cheo cha juu ndani ya idara ya polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo anayesifika sana katika fani ya uimbaji wa nyimbo za Injili.
Anasema yeye huimba katika juhudi za kuhubiri amani, uongozi bora na pia upendo.
Mwandishi wa BBC Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Byobe Malenga huko Bukavu, alikutana na msanii huyo studioni akiandaa baadhi ya nyimbo zake.


UTAFITI UNAONYESHA KUWA FARASI HUTAMBUA HISIA ZA MWANADAMU.....

LAYIII



Farasi huweza kubaini kati ya mtu aliye na furaha na aliye kasirika kwa kuangalia uso wa mwanadumu,utafiti umesema.
Katika jaribio, kwa kutumia picha za mwanamume wanasayansi kutoka chuo kikuu cha Sussex walionyesha kwamba farasi wanaofugwa nyumbani huchukizwa na sura zilizokasirika.
Wanasayansi hao wanasema kuwa ufugaji huo huenda umewawezesha farasi kuelewa tabia za binaadamu.

Tuesday, 9 February 2016

JINSI DIAMOND ALIVYO KATAA KUSHOUT VIDEO ZAKE BONGO, KIJUE KILE MRISHO MPOTO ANACHOTAMANI KUMWAMBIA RAIS

LAYIII
Kwenye 255 ya Clouds fm leo kulikuwa na stori hizi tatu kubwa,:-
Diamond Platnumz kazungumzia vitu vilivyomvutia Director Godfather alipotua bongo “Ugomvi wangu mimi na Godfather ilikuwa ni yeye kutaka nishoot video zangu Tanzania, sasa mimi nikawa simuelewi, alivyokuja bongo nikapitanaye Kigamboni.. yani kilakitu alikuwa akikiona anashangaa mazingira yalivyo mazuri”

Monday, 8 February 2016

JINSI MIMBA YA WEMA ILIVYOMTIA UCHIZI PENNY

LAYIII

penny Penniel Mungwilwa ‘Penny’.
Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa mimba ya shosti wake, Wema Sepetu inampa ‘uchizi’ kwa kutamani kila kukicha na yeye anase ujauzito.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Penny alisema kuwa hivi sasa karibia rafiki zake wote wana watoto kitu kinachomchanganya na kumtamanisha na yeye atundikwe kibendi.

ALIYE DAIWA KUMBAKA SHILOLE AFUNGUKA MAZITO

LAYIII

IMG_8508Makala Elia Joseph.
Makala: Richard Manyota -Igunga
KATIKA mahojiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick Evarist, Februari 2012, msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alinukuliwa akieleza kisa hiki:
“Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa.”
Kwa kuwa kisa hiki cha kusikitisha kimesemwa sana na Shilole katika mahojiano yake mengi na vyombo mbalimbali vya habari, Gazeti la Ijumaa lililazimika kufunga safari mpaka wilayani Igunga

Thursday, 4 February 2016

KAMA HUJUI ANAYE FATA KATIKA YALE MAJIPU YANAYOTUMBULIWA SOMA HAPA

LAYIII

Magufuli3 (1)Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’.
Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda
Dar es Salaam: Who is next (nani anafuatia?) Ndivyo Wabongo wengi wanavyojiuliza kufuatia tumbutumbua majipu katika sekta za serikali inayofanywa na Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ili kupisha mfumo mpya wenye Kauli Mbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’.
Kwa mujibu wa baadhi ya wananchi waliozungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, wana imani na Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuwa hatanii katika suala la tumbuatumbua ya majipu inayoendelea ambapo familia za wakurugenzi waliotumbuliwa sasa ni vilio tupu.

KUHUSU STORI YA WATANZANIA WANAWAKE WANAO PIGWA HUKO INDIA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
India ni moja kati ya nchi ambazo vijana wengi wa kitanzania hupendelea kupelekwa na wazazi wao kwenda kusoma, siku kadhaa nyuma ziliingia headlines kuhusu stori za kibaguzi zinazoendelea katika nchi ya India. Inaripotiwa kuwa India mtu mweusi anabaguliwa sana.
Wiki iliyopita January 31 msichana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 21 ambaye anasoma India aliingia

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUANZA MWAKA MPYA

LAYIII


Tuesday, 2 February 2016

NYOMI KUUNGANISHWA NA FREE MASON JIJINI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.
2 (2) (1) Kiongozi Mkuu wa Freemason Ukanda wa Afrika Mashariki, Sir Andy Chande.
Stori: Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha, WIKIENDA
DAR ES SALAAM: Ama kweli Bongo lazima utumie ubongo! Wakati watu wakisaka utajiri kwa njia ya hata ushirikina na ile ya kuamini unapatikana Taasisi ya Freemason, nyuma ya dhana hiyo kuna kundi kubwa la waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ambao wanajifanya Freemason wakidai kutoa utajiri huku wakiishia kutapeli watu.

JE ILE VIDEO YA MBWANA SAMATTA ALIVYO TUA KULE KRC Genk ULIIKOSAA? ..... POA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa anaichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta January 29 taarifa za yeye kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji zilianza kuenea, na baadae kuthibitika baada ya picha za utambulisho wa staa huyo kuanza kuenea mitandaoni.

ILE MELI KUBWA YA VITABU DUNIANI IMEWASILI DAR-ES-SALAAM

LAYIII
Kama wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu, basi Good news ikufikie kuwa tayari meli ya Logos Hope ya Ujerumani ambayo huzunguka nchi mbalimbali Duniani kusambaza vitabu vya aina tofauti imeshatua Dar kuanzia Jan 26 na itaondoka Febr 17. Kutana na muonekano wote nje ndani kwenye hii video hapa chini.

Tuesday, 19 January 2016

BARABARA ZA ANGA KUWA TISHIO TANZANIA

LAYII
Kama umebahatika kukatisha makutano ya barabara ya Mandela na Nyerere pale eneo la mataa ya TAZARA utakuwa umekutana na bango linaloonesha dalili nzuri… ni dalili za ujio wa flyover, zile barabara ya juujuu kwa ajili ya kusaidia kuokoa foleni eneo lile.

DAR-ES-SALAAM KAMA ULAYA CHEKI JINSI DARAJA LA KIGAMBONI LILIVYO JENGWA BAHALINI

LAYIII
Dar es salaam inasubiria kwa hamu daraja jipya la Kigamboni linalojengwa juu ya bahari ambalo ilitangazwa kwamba linatakiwa kuanza kufanya kazi mwanzoni mwa mwaka 2016 kurahisishia Wananchi ambao sasa hivi inabidi watumie kivuko wakati wote, tazama hii video hapa chini.

BARDMAN LIL WYNE WAKUTANA USO KWA USO NA WAMEYAMALIZA KABISA

LAYIII
Headlines za beef kati ya rapper Lil Wayne na Boss wa Cash Money Records Birdman ni miongoni mwa stori zilizokaa kwenye kurasa za burudani kwa kipindi kirefu, lakini baada ya mvutano wa muda mrefu kati ya wawili hao, Lil Wayne maarufu pia kama Birdman Jr na Birdman wamefikia muafaka wa ugomvi wao tarehe 17 January 2016 maeneo ya LIV Nightclub, Miami.

Saturday, 16 January 2016

HAWA MASTAA NA HAKA KAMCHEZO KUNA NINI?

LAYIII


wema-auntWema Sepetu na Aunt Ezekiel
Miongoni mwa mastaa wa filamu na muziki Bongo wamekuwa na viashiria vya vitendo visivyofaa hasa wanapokuwa kwenye sehemu za starehe na wengi wao ni wale wanaotumia kinywaji chenye kilevi.
Wanaotajwa sana kwenye tabia hiyo mni pamoja na hawan wafuatao kutokana na picha zao kuzagaa nsana mitandaoni na kwenye magazetin mbalimbali.
Hapa nawazungumzia Aunt Ezekiel na Wema Sepetu, Isabela Mpanda na Baby Madaha, Rayuu na Skaina nk.

MJUE RAIS COMEDIANI ALIYE APISHWA GUANTEMALA

LAYIII

Wako mastaa waliojaribu maisha kwenye upande mwingine Tanzania, wako waliotoka kwenye game ya muziki na wengine walitoka kwenye movie… kwa maamuzi ya dhati kabisa wakajitangaza kwamba wanaitaka siasa !!
Wapo waliotoboa, wakafanikiwa kupata nafasi walizogombea kwenye Ubunge na Udiwani lakini wako ambao mambo hayakwenda sawa na wakaahidi kwamba wanaingia mtaani kujipanga rasmi kwa ajili ya jukwaa la kampeni za 2020 Tanzania.

Tuesday, 8 December 2015

HII KWA WANAUME NA WANAWAKE WASIO NA UJASIRI WAKATI WA KUTONGOZA NA KUTONGOZWA

LAYIII

Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu.
Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura.
   Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema eti haifundishwi ... eti kila mwanaume anajua kutongoza.
Sio Kweli !!!

Sunday, 6 December 2015

MADEMU 17 ALIOTOKA NAO CHRISTIAN RONALDO KIM KARDASHIAN YUMO

LAYIII
Vimeandikwa vingi sana kuhusiana na Staa wa soka wa Real Madrid ya Hispania na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, kuhusu kuishi maisha ya kifahari Ronaldo kaandikwa sana, kuhusu watu kuhoji mama wa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 Cristiano Ronaldo Junior ni yupi, hiyo ilikuwa headlines kila kona kuhusu staa huyo.

ULIPITWA NA KISA CHA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA MAJI YA MOTO KISA WIVU WA MAPENZI BONYEZA LINK

LAYIII
Bonyeza picha hii kuiona video yake
20131213-141212.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu akipata matibabu hospitalini.
20131213-140854.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu.

MJUE KIUNDANI MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU

LAYIII

Mjue mwigizaji wa Filamu ya Yesu ambaye baadhi ya watu hudhani kwamba ndie Yesu

Historia ya mtu ambaye ameigiza filamu ya Yesu inayofahamika kwa jina la ''JESUS'' ambayo iliigizwa mnamo mwaka 1979 huko nchini Israel,na kujipatia umaarufu duniani kote,watengenezaji wa filamu hii wametoa maelezo kua " tumeamua kufanya hivi baada ya kuona ni kwa jinsi gani filamu hiyo imekuwa ikigusa maisha ya watu wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wanasahau kwamba mtu aliyemo kwenye filamu hiyo ni mwigizaji tu na siyo Yesu.
hata yeye amekiri kwamba wakati wa uigizaji alikuwa akisuluhisha mambo yaliyokuwa yakijitokeza yeye na waigizaji wenzake baada ya wao kusahau kwamba yeye si Yesu bali anaigiza tu. 

ULIPITWA NA SAMAKI WA AJABU ALIYE VULIWA UNGUJA MTIZAME HAPA MTU WANGU

LAYIIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO ZINGINE SUBSCRIBE NAMI MTU WANGU ILI UWE KARIBU NA KILA HABARI INAYO NIFIKIA 
https://youtu.be/w8bqlYRkYP0

Sunday, 15 November 2015

LEO NDO MWISHO WA MICHEPUKO NA NDOA ZA UONGO

LAYIII
nimeamua kushare na wewe namna ya kumkamata mpenzi wako anaye kuchiti kuwa yupo na wewe kumbe ana vigudulia vingine pembeni njia ni moja tu. Nini cha kufanya ingia katika account yako kuona sms zake ktk simu yake bila yeye kujua kwa kutumia account yako ya facebook hata kama yuko mbali na wewe hatua zote angalia video hii kisha jiunge nami youtube ili niwe nakuletea video za mafunzo kali bila kujua zinatoka wapi
Facebo261655

UMEWAHI KUSHUDIA MAGARI YAKITEMBEA JUU YA MAJI BASI NI WAKATI WAKO SASA TIZAMA HAPA

LAYIII

 AMPHICARS:MAGARI YANAYOTEMBEA BAHARINI NA NCHI KAVU
Leo katika maajabu ya dunia nimewaletea maajabu ya gari linaloitwa AMPHIBIAN CARS au kwajina lingine AMPHICARS gari hili lina sifa kuu mbili..Sifa ya kwanza nikutembea ardhini na majini.
 Gari hili lilitengenezwa mnamo wamiaka ya 1962-1967 huko BERLIN UJERUMANI.. Sifa kubwa ya gari hili nikuwa unaweza kuliendesha maili 500 kwasiku.. 

EMBU TUUNGANE KUTIZAMA BAADHI YA PICHA ZA GARI HILI

Terra Wind Amphibious Motorcoach

IJUWE HISTORIA FUPI YA FACEBOOK SIYO UNATUMIA TUU HUJUI CHANZO CHAKE NINI

LAYIII
Najua wengi tunaitumia facebook lakn wengi wao hawajajua ilikuwa vp tokea inaanza kutengenezwa mpaka hapa ilipofikia.. Embu tizama picha hizi za kuanzia 2004 fcebook ilipoanza kutengnezwa.

Facebook 2004 to 2005

Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook 2006 Design

Facebook Website Design from 2004-2011
Facebook Website Design from 2004-2011
Facebook 2007 to 2008 Design Facebook Website Design from 2004-2011

Facebook 2009 Design

Facebo261655


Facebook New TimeLine Design

Facebook Website Design from 2004-2011


WAJUWE WALIOTEMBELEA PAGE YAKO YA FACEBOOK PASIPO WEWE KUJUA

LAYIII
Nimekuwa nikiona watu wengi wakitumia application kutambua niwatu gani ambao wametembeleaprofile zao za facebook..sasa nimewaleteanjia moja na rahisi isiyohitaji wewe kutumia application yeyote ile..
FUATA MAELEZO HAYA
1-nenda katika profile yako ya facebook
2-binya CTRL na herufi U yani CTRL+U kisha chagua au right click mouse yako kisha chagua ” View Page Source
3-kisha binya CTRL na F yani CTRL+F kisha kitatokea kibox kidogo ndani ya kibox hicho andika maneno haya  ordered_list.top_friends.
kama hivi

 

baada ya hapo utaona profile id za watu wote kama ionekanavyokatika picha hii
https://www.facebook.com/swaxbz1
hizo namba ambazo ziko katika vifungo ndo profile za watu hao pasipo majina yao sasa jinsi ya kuona profile za waliotembelea na kukutizama facebook ni hivi.. mimi nitachagua profile ambayo nimeichorea rangi ya blue ambayoni 100000617054353..
nenda kwenye adress bar. kisha type https://www.facebook.com/100000617054353

Natumai utakuwa umeipenda post hii
usisahau kulike page yetu ilikuweza kupokea tips zingne direct kupitia facebook https://www.facebook.com/swaxbz1

  kama unaswali unaweza kutuinbox katika page yetu au kucomment hapa


 


HAYA NDIYO MAENEO YENYE MAAJABU NA MVUTO DUNIANI

LAYIII
Leo Tunawaletea picha za maeneo ambayo yako katika mvuto wa kipekee.. Maeneo hayo yakiwa yapo yaliyotengenezwa na binadamu enzi za zamani sana na yapo ambayo kimsingi ni uumbaji wa mwenyezi mungu mwenyewe..
Embu Yatizame nawewe.
PICHA ZOTE NA LINK YA VIDEO

ALIYE VUNJA RECORD YA KUTEMBEA NA NYUMBA YAKE KWA MUDA WA MIAKA MITANO HUYU HAPA KWELI DUNIA HAWEZI ISHA VITUKO

LAYIII
Anaitwa Liu Lingchao nimchina ambaye amekuwa akitembea kwa  zaidi ya miaka mitano sasa akiibeba nyumba yake mabegani na kuzunguka nayo kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
KILA PICHA UKIBONYEZA NIMEKUWEKEA LINK YA VIDEO YAKE
https://www.youtube.com/watch?v=IfHifyK-WsY

LOWASSA NA SIRI NZIRO, M’KITI WA CHADEMA AUAWA, USPIKA,

layiii
MWANANACHI
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana hakuhudhuria mkutano wa kampeni za ubunge mjini Arusha kwa maelezo kuwa anajiandaa kutoa tamko kuhusu hali ya kisiasa visiwani Zanzibar.
Maelfu ya wafuasi wa Chadema jana walifurika kwenye Uwanja wa Ngarenaro mjini hapa kuhudhuria kampeni za ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini ambao uliahirishwa kutokana na kifo cha mgombea kutoka chama cha ACT Wazalendo, lakini wakakumbana na tangazo kuwa Lowassa hataweza kuhutubia na badala yake atakuja siku ya kufunga kampeni hizo.

Saturday, 14 November 2015

SIMULIZI YA AL- SHABAB: WASHAMBULIA BUNGE LA SOMALIA

LAYIII
BONYEZA PICHA KWENDA KATIKA PAGE NYINGINE
https://www.youtube.com/watch?v=FchLBEZdBwwILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya Somalia yakisaidiwa na yale ya kigeni yalivyokuwa yakipambana. Licha ya vipigo vikali kutoka kwa majeshi ya Afrika, wapiganaji hao walishambulia Kambi ya Wakimbizi ya Daadab iliyopo kwenye mpaka wa Somalia na Kenya ambayo inahesabiwa kuwa moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani. SASA ENDELEA…
MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu.
BONYEZA PICHA KUONA TUKIO NZIMA
https://youtu.be/FchLBEZdBww
Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu kutembea na bwana wake.Akisimulia ilivyokuwa, Mbuva

MBASHA AFANYA KUFURU

LAYIIII
BONYEZAPICHA YOYOTE ITAKUPELEKA MOJA KWA MOJA KATIKA TUKIO NZIMA 

https://youtu.be/FchLBEZdBwwEmmanuel Mbasha akiwaongoza waimbaji wengine wakitumbuza kwenye sherehe yake hiyo.
Musa Mateja ASANTE Mungu! Mume wa muimba Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameangusha bonge la pati nyumbani kwake Tabata Kimanga Mwisho, jijini Dar, Jumapili iliyopita kama shukrani kwa Mungu kwa kumfanikisha kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili.

HII NDO FULL TIME YA TAIFA STAR VS NIGERIA

LAYIII

Hatimaye mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali za michuano ya Kombe la Dunia2018 zitakazofanyika Urusi kati ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars dhidi ya timu ya taifa ya Algeria Mbweha wa Jangwani ndio umechezwa leo November

UJUMBE MZITO WA SHUKRANI KWA GROUP ZA FACEBOOK ZOTE NA KWINGINEKO

LAYIII
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wale wote ambao wananipa support katika mwendelezo wa blog yangu ya www.swaxbz.com na kwa wale wote walio subscribe katika  youtube na katika blog hii naomba sapoti zenu zaidi na zaidi kama hujajisajili na blog hiii jisajiri ili niwe nakuunganisha na habari hot kabisa pia kama hujajiunga nami katika youtube jiunge sasa bonyeza picha hii utaenda moja kwa moja katika page yangu ya youtube
 MDADA AVUNJA RECORD YA MWAKA KWA KUCHEZA WIMBO WA SKELEW WA DAVIDO BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO YAKE
lhttps://youtu.be/3IfFYSsCOvE
 Pata nafasi ya kuitazama video ambayo mwanamke mmoja kawachanganya majaji mpaka wameshindwa kutoa kauli za mwisho na kusahau kazi yao ya ujaji

advertise here