Sunday, 28 June 2015

JK ALA SHAVU SIKU YA MAGEREZA {MAGEREZA DAY}

BZNEWZ ULITAKA KUJUA JINSI JK ALIVOKULA SHAVU MAGEREZA DAY NICHEKI HAPA
RAIS  wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amelisifia Jeshi la Magereza kwa jitihada zao nzuri katika utendaji kazi pamoja na chagamoto nyingi walizonazo.

RAIS JK AIFAGILIA MAGEREZA DAY

Rais Dk. Jakaya Kikwete akipokea heshima ya Wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili katika Viwanja  vya Chuo cha Maofisa Magereza kilichopo Ukonga jijini Dar.

KUTANA NA KINDA MWINGINE ANAYE KWENDA KUTUA CHELSEA KUTOKA BRAZIL

LAYIII
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa 

Kinda mwingine kutoka Brazil anayetua Chelsea huyu hapa…

kenn
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa kuwa klabu ya Chelsea

KUTANA NA VIDEO YA ALIKIBA KWA MARA YA KWANZA KATIKA TRACE TV HAPOKESHO

LAYIII
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.
Sasa good news ninayotaka kukusogea ni kwamba video hiyo mpya iliyotayarishwa Afrika Kusini inatarajiwa  kutambulishwa kesho June 29 kama ‘Exclusive’ kupitia kituo cha TV

Kwa mara ya kwanza video ya Ali Kiba inaoneshwa kesho kwenye TV

.
.
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.

LUKUVI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI IRINGA

BZMORNING TANZANIA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akizungumza na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na wale wa sekta ya ardhi na Sekretarieti ya Mkoa wa Iringa ambapo alisisitiza Shirika…

WAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiwasili kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub huku Meya wa Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akishuhudia.

Saturday, 27 June 2015

BZMORNING TANZANIA LEO KATIKA TUKIO LA MIUJIZA HUKO SAUD ARABIA

LAYIII
Leo katika pitapita nikaona nikukumbushie ile habari ya mtoto aliye zaliwa saudi arabia anaye kuwa kila baada ya dakika ishirini video yake iko hapa chini
BZMORNING TANZANIA tukio la miujiza limetokea nchini saudi arabia kwenye hospitali ya Jizan huko saudi arabia. siku ya ijumaa mosi ramadhani ya 4/1346 saa saba mchana bibi amna antar amejifungua mtoto bila matatizo baada ya dakika ishirini akaanza kukuwa kila baada ya dakika 20 adaktari wamepata na mshangao na watu wamenyomi kwenda kushangaa muujiza huo katika hospitali hiyo jambo lililo pelekea policy kuzuia uwingi na ongezeko la watu
mpaka sasa mtoto huyo moyo unafanya kazi kama kawaida na nimzima wa afya
cheki video na picha zake hapa




DAVIDO KUCHOCHEA BIFU NA DIAMOND UPYA NA ......... HUENDA VIDEO HIYO HAPO CHINI YA DIAMOND IKAFUNGWA

LAYIII

Exclusive New Photos From Diamond and Nay wa Motego New Coming Video 


During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major

KATIKA BZMORNING TANZANIA YA WWW.SWAXBZ.COM CHECK MAGAZETI YA LEO 28/6/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho
.
.
.
.

TEVEZ AREJEA NYUMBANI BOCA JUNIOR

LAYIII
Straika wa Argentina Carlos Tevez amekamilisha Uhamisho wake kwenda Boca Juniors kutoka kwa Mabingwa wa Italy Juventus.
Tevez, mwenye Miaka 31, alianzia Soka lake huko kwao na Klabu ya Boca ambayo aliihama Mwaka 2004 kwenda Brazil kuchezea Corinthians na kisha kukaa Miaka 9 akichezea Klabu za Ulaya.
Huko Ulaya alizichezea Klabu za England, West Ham, Mwaka 2006-2007, Manchester United, 2007-2009, na Manchester City, 2009-2013, na kisha kwenda Italy kuichezea Juventus ambako msimu uliopita aliisaidia tena kutetea Taji lao la Ubingwa kwa kupiga Bao 20.
Majuzi Juventus walimbadili Tevez kwa kumsaini Straika wa Atletico Madrid ya Spain, Mario Mandzukic ambae anatoka Croatia.
Akithibitisha Uhamisho huu, Rais wa Boca Juniors Daniel Angelici alisema: "Ni Siku ya furaha sana na ya kuridhisha. Kurudi kwa Tevez akiwa kwenye kilele cha mafanikio ni habari njema kwa Washirika na Mashabiki wote wa Boca na Soka la Argentina!"


NA KATIKA MICHEZO GHANA FA LAKANUSHAUBADHILIFU BRAZIL

LAYIII
Shirikisho la soka la Ghana GFA limekanusha madai ya ubadhirifu wa fedha katika kombe la dunia la Brazil 2014.
Shirikisho hilo limeitupia tope ripoti ya kamati maalum iliyoundwa kutathmini sababu za matokeo duni huko Brazil 2014.
null
Shirikisho la soka la Ghana GFA limekanusha madai ya ubadhirifu wa fedha katika kombe la dunia la Brazil 2014.
Shirikisho hilo limeitupia tope ripoti ya kamati maalum iliyoundwa kutathmini sababu za matokeo duni huko Brazil 2014.

UNAJUA KUWA UCHAGUZI BURUNDI NI JUMATATU

LAYIII UNGANA NAMIII
Balozi wa Burundi kwenye umoja wa mataifa amesema kuwa uchaguzi utaendelea jinsi ulivyopangwa siku ya jumatatu licha ya ombi kutaka uahirishwe kutoka kwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki moon.
Ban anasema kuwa ana wasiwasi kuhusu hali ya usalama nchini Burundi kufuatia mzozo wa kisiasa unaoendelea huko.
null

Burundi:''Uchaguzi utafanyika Jumatatu''

null

Rais Nkurunziza naye anashikilia kuwa awamu ya kwanza aliteuliwa na wajumbe wala sio raia kama vile inavyohitajika kwenye katiba iliyoundwa baada ya makubaliano ya Arusha yaliyokomesha vita vya wenyewe kwa wenye nchini humo.

KAMA HUKUJUA 15 KATI YA WALIO UWAWA TUNISIA NI WAINGEREZA

LAYIII
Maelfu ya watalii wanaondoka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu. Makampuni ya utalii pia yanavunja safari za kwenda huko.
 


Maelfu ya watalii wanaondoka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu.
Makampuni ya utalii pia yanavunja safari za kwenda huko.

MPE NENO MOJA TU KAMANDA WAKO WA UKWELI HAPA

LAYIIIION SPOT


NIMEPENDA KUSHARE NAWE HII VIDEO YA MTOTO WA ANTI EZEKIEL KWA MARA YA KWANZA KABISA

LAYIII


DAVIDO KUJA NA PROJECT YA NGUO

LAYIII
MWIMBAJI Davido wa Nigeria amezindua mradi wa kuuza nguo ili kushindana na wauza nguo wengine nchini humo. Mwanamuziki huyo ameungana na makundi mengine ya wasanii na waendesha burudani ambao wamejikita katika mauzo ya nguo ili kuongeza vipato vyao mbali na muziki.

DAVIDO AZINDUA MRADI WA NGUO

Lagos, Nigeria
MWIMBAJI Davido wa Nigeria amezindua mradi wa kuuza nguo ili kushindana na wauza nguo wengine nchini humo. Mwanamuziki huyo ameungana na makundi mengine ya wasanii na

UZAMINI WA LOWASSA JIJINI DAR NI HATAREEEEE ..........??????????

LAYIII
WAZIRI  Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amepata udhamini wake kwa kishindo katika mkutano uliofanyika katika ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni leo.
Lowassa amepata udhamini huo baada ya wanachama kujitokeza katika ofisi za Makao Makuu ya CCM ya Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni, Dar, ambapo amepata zaidi ya wadhamini  95,251 huku akisema ni zaidi ya mikoa yote ya Tanzania.

LOWASSA APATA WADHAMINI KWA KISHINDO DAR

Lowassa akiendelea kuzungumza katika mkutano huo.

WENGI WAHAMIA CCM KISA NI KOMREDI KINANA

LAYIII
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza.

KOMREDI KINANA ASABABISHA WAPINZANI LUKUKI KUHAMIA CCM MAGU‏

 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza.

KANYE WEST BALAA AMWEKA MKWE KATIKA VIDEO YAKE

LAYIII
New York, Marekani
HABARI ya mjini kwa sasa ni juu ya baba wa kufikia wa mwanamitindo, Kim Kardashian aliyejibadilisha jinsia na kuwa mwanamke, Bruce Jenner ‘Caityln’ kuingizwa kwenye video ya wimbo mpya wa Kanye West.

BABA WA KIM NDANI YA VIDEO YA KANYE


Bruce Jenner ‘Caityln’.
New York, Marekani
HABARI ya mjini kwa sasa ni juu ya baba wa kufikia wa mwanamitindo, Kim Kardashian aliyejibadilisha jinsia na kuwa mwanamke, Bruce Jenner ‘Caityln’ kuingizwa kwenye video ya wimbo mpya wa Kanye West.

NYUMBA ZA UDONGO BADO ZIPO DAR ES SALAAM

LAYIII
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

Kwenye nyumba za udongo zilizobaki Dar es Salaam, hizi tano nazo zipo (Pichaz)

Screen Shot 2015-06-27 at 12.21.25 PM
Kwa mtu ambaye hajafika Dar es salaam kwa miaka kumi iliyopita akifika leo ni rahisi kupotea kwa sababu ya mabadiliko makubwa katikati ya Jiji.
Kuna watu wanaishi Dar na hawajawahi kukutana na nyumba za udongo, wapo wanaoamini kuwa Dar ni maghorofana mijengo mikubwa, hakuna nyumba za udongo!!

HIKI NDICHO KINAACHO WAPA HOFU P SQURES

LAYIII
Peter na Paul Okoye kwa pamoja tunawajua kama P Square, ukubwa wa jina lao sio ndani ya Africa pekeyake… wana hits kibao ambazo zimewaweka kwenye ramaniya dunia pia.

Unajua kitu kinachowapa hofu zaidi P Square? Majibu yao ni haya hapa..

PSQURRR 2
Peter na Paul Okoye kwa pamoja tunawajua kama P Square, ukubwa wa jina lao sio ndani ya Africa pekeyake… wana hits kibao ambazo zimewaweka kwenye ramaniya dunia pia.
Mafanikio yao yalianzia pale ambapo waliweka nguvu yao nyingi kwa kufanya muziki wakitumia lebo yao ya Square Records… December 2011 milango mingine mikubwa ikafunguka

ANGALIA UCHAMBUZI WA MAGAZETI LIVE KTK GLOBALTV

LAYIII

Friday, 26 June 2015

BABU SEYA USO KWA USO NA JK

LAYIII

Nguza Vicking Babu Seya,(kulia) na Mtoto wake Papii Nguza,wakiwa wamekaa katika viti vya Mahakama ya Rufaa Dar es Salaam walipofikishwa kusikiliza rufaa yao jana.(Picha na Yusuf BADI)).Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.
Haruni Sanchawa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza ya Ukonga jijini Dar, ana ratiba ya kuzungumza na maafande na maafisa wa jeshi la magereza na wafungwa katika Siku ya Magereza Tanzania 2015 ambayo huadhimishwa kila mwaka.

MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Mkuranga mkoani Pwani na kupora fedha kisha kumuua askari mmoja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafary Mohamed ameuthibitishia mtandao huu kutokea kwa tukio hilo na kwamba kwa sasa yupo njiani kuelekea eneo la tukio.
"Taarifa hizo nimezipata kuwa watu hao wanaodhaniwa kuwa majambazi kuvamia Benki ya NMB, Mkuranga na kupora fedha ambazo kiasi chake bado hakijafahamika kisha kumuua askari mmoja aliyekuwa nje ya uzio wa eneo hilo la benki ambaye hakuwa kazini ila walinzi wote wa benki wapo salama na silaha zao hazijachukiliwa. Kwa sasa nipo njiani kuelekea eneo la tukio kupata taarifa zaidi." Alisema Kamanda huyo.

MJUE DOGO ALIYECHUKUA FORM YA URAIS KUPITIA CCM

HAHAHAHAHAHA NA LAYIIIIIIII ON SPOT DOGO KANIUWAAAA


BZMORNING AFRIKA MCHEKI OBAMA ALIVOMZOMEA MWANAHARAKATI NDANI YA WHITE HOUSE SORCE NA BBC SWAHILI

LAYIII

Obama amzomea mwanaharakati White House

26 Juni 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:18 GMT
Rais Barack Obama alilazimika kumzima mwanaharakati aliyekatiza hotuba yake katika dhifa aliloandaa katika ikulu ya White House.
Wageni walimshabikia Obama alipomsuta bwana huyo wakimpigia makofi kwa kuchukua msimamo.
Hatimaye rais Obama alimuonya kuwa angeamrisha aondolewe iwapo hatatulia akisema ''hapa ni kwangu, ukienda kwa mtu sharti ufuate sheria za mwenyeji wako''

NILICHOKUWEKEA KATIKA bzmorning ya swaxbz.com MAGAZETI YA LEO 27/6/2015 HIKI HAPA

LAYIII

DSC09907
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho

NDANI YA BZMORNING MTU WANGU UKIAMKA USIKOSE KUWEKA MWILI SAWA KWA KUFANYA HAYA

LAYIII


Kutana na picha hii inayokukumbusha tz la asubuhi mtu wangu wa ukweli
ungana nami kupata habari moto na za ukweli kabisa

LEO KATIKA BZMORNING YA SWAXBZ.COM KUTANA NA KAHABARI HAKA ILA KANAUMIZA KINYAMA

LAYIII
FROM UDE KUMBWEMBE PAGE
......Miaka 12 leo tangu Marc-vivien Foe afariki....usiku ule alioanguka dimba la Girland Ufaransa na kufariki, nilisema nikipata mtoto wa kiume nitamuita Marc-vivien kwa heshima ya Foe....Agosti 27 mwaka jana nilipata mtoto wa kiume, ndio huyu anayeitwa Marc-vivien kumwembe.......Rest in peace Legend....

KWA ATAKAYE IPATA PASPOT YA SHETA DAU NONO HAPA

LAYIIII
Shetta amepoteza passport yake ya kusafirisha na kuamua kuweka tangazo kkwenye vyomba mbalimbali vya habari kwa mtu yoyote atakayefaniki kupatikana kwa passport hiyo.

Ahadi ya Shetta kwa atakayeipata passport yake iliyopotea…#Uheard (Audio) 

shee
Shetta amepoteza passport yake ya kusafirisha na kuamua kuweka tangazo kkwenye vyomba mbalimbali vya habari kwa mtu yoyote atakayefaniki kupatikana kwa passport hiyo.

AL SHABAAB IMESHAMBULIA KITUO CHA AMISOMI

LAYIII
Walioshuhudia wanasema kuwa mlipuaji wa kujitolea mhanga aliendesha gari lake moja kwa moja hadi kwenye lango kuu la kituo hicho .
Kituo hicho kiko katika eneo la Leego, barabara kuu inayounganisha mji mku wa Mogadishu na Baidoa.

 Takriban watu 30 wamepoteza maisha yao baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha wanajeshi wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amisom.
Walioshuhudia wanasema kuwa mlipuaji wa kujitolea mhanga aliendesha gari lake moja kwa moja hadi kwenye lango kuu la kituo hicho .

BAADA YA KUFANYA VIZURI KATIKA COLLABLE NA DIAMOND SASA KAPAA KTK HEADLINE TENA ZA POWER TO WIN

LAYIII
Baada ya kufanya vizuri kwenye collabo ya wimbo mpya wa Diamond wa Nana, staa wa Nigeria Mr Flavour amerudi kwenye headlines na sasa ametoa Video yake mpya ya wimbo wa ‘Power To Win’

Mr.Flavour karudi kwenye headlines na hii ‘Power To Wini’ (Video)

fleva
Baada ya kufanya vizuri kwenye collabo ya wimbo mpya wa Diamond wa Nana, staa wa Nigeria Mr Flavour amerudi kwenye headlines na sasa ametoa Video yake mpya ya wimbo wa ‘Power To Win’
Nakukaribisha kuitazama hapa mtu wangu…


KATIKA HEADLINE YA MAGAZETI YA LEO TAR 26/06/2015

LAYIII
 Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JUNE 26, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo

DSC09906
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

BUNGE KUANZA KUJADILI WATOTO WA WABUNGE lipe bunge lako comment moja tu ya nguvu mtu wangu wa ukweli

LAYIII
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

Dakika kumi za Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo kuhusu ishu ya mtoto wake kujadiliwa Bungeni… #June262015

Sugu Bungeni
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

#MAGAZETINI JUNE 26…Fisi amnyang’anya mama mtoto na kumla, Muhongo aumbuka na Nchimbi abaki njia Panda

layiii
ROUNDMWANANCHI
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wamemzuia Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kuhudhuria shughuli ya kuvunja Baraza hilo itakayoongozwa na Rais Dk Ali Mohamed Shein leo.

KASHIKA MAKALIO YA MWENZAKE KILICHO FUATA ..........fumba macho....!!!!!!!! hapo copa america

LAYIII cheki video hapo chini
Ligi ya Copa America ni moja ya Ligi za soka ambazo ni maarufu sana duniani, lakini headlines mfululizo ndani ya wiki moja sasahivi sio stori nzuri sasa.. tulisikia kuhusu Shirikisho la Soka Amerika ya Kusini kumpa adhabu ya kusimamishwa mechi nne staa wa soka toka Brazil ambae pia ni winga wa pembeni katika Kikosi cha Barcelona, Neymar  da Silva Santos Júnior.

Mchezaji kamshika mwenzie makalio Ligi ya Copa America, kilichofuatia kikazua utata mwingine !!

redcard
Ligi ya Copa America ni moja ya Ligi za soka ambazo ni maarufu sana duniani, lakini headlines mfululizo ndani ya wiki moja sasahivi sio stori nzuri sasa.. tulisikia kuhusu Shirikisho la Soka Amerika ya Kusini kumpa adhabu ya kusimamishwa mechi nne staa wa soka toka Brazil ambae pia ni winga wa pembeni katika Kikosi cha Barcelona, Neymar  da Silva Santos Júnior.
Leo nimempata huyu mwingine Gonzalo Jara ambaye na yeye kaingia kwenye headlines baada ya kumshika mchezaji mwenzake Cavani skwenye makalio.. inaonekana ni kama haikuwa bahati mbaya kwa vile kabla hajamshika kulitokea kujibizana kati yao.. Video ya tukio hilo imeendelea kusambaa mitandaoni kutokana na hukumu kuonekana kumwangukia asiye na hatia.
Edinson-Cavani-009
Edinson Cavani alikasirishwa na kitendo cha Gonzalo, akampiga kibao cha uso.. refa akatoa kadi ya njano kwa Cavani, lakini kwa vile tayari jamaa alikuwa na kadi ya njano ikabidi apigwe nyekundu na kutolewa nje ya uwanja.

Thursday, 25 June 2015

KAFULILA KAIBUA UFISADI MPYA BUNGENI

LAYIII
2014 itaendelea kukumbukwa kwenye ulimwengu wa Siasa Tanzania baada ya ishu ya ufisadi wa ESCROW kubeba headlines nyingi kutoka Bungeni Dodoma, na Mbunge ambaye ni kama alihusika kuianika ishu hiyo ni Mbunge kutoka Kigoma, David Kafulila.

David Kafulila kaibua mengine ya ufisadi Bungeni? Sikiliza mwongozo wake na majibu ya Spika na Waziri.. (Audio)

IMG-20150625-WA00162014 itaendelea kukumbukwa kwenye ulimwengu wa Siasa Tanzania baada ya ishu ya ufisadi wa ESCROW kubeba headlines nyingi kutoka Bungeni Dodoma, na Mbunge ambaye ni kama alihusika kuianika ishu hiyo ni Mbunge kutoka Kigoma, David Kafulila.

KAMA HUKUMWONA BEKI TATU WA ALIKIBA AKICHEZA MWONE HAPA





LAYIII





NDANI YA MWEZI MTUKUFU MAKUBWA YATOKEA

LAYIII
 

ITALIA IMEINYUKA ENNGLANG NAYE SOUTHGATE KUENDELEA KUWA KOCHA WA ENGLAND

LAYIII
Timu ya England chini ya miaka 21 imekubali kichapo cha Mabao 3-1 kutoka kwa Italia katika michuano ya ulaya.
Italia walianza kuandika bao lao la kwanza dakika ya 25 ya mchezo, kwa bao la Andrea Belotti Kabla ya Marco Benassi kuongeza mengine mawili dakika ya 27 na 72.
Nathan Redmond akaifungia timu yake ya England bao la kufutia machozi baada ya kazi nzuri liliyofanya na kiungo Ruben Loftus-Cheek.
Katika mchezo mwingine wa michuano hii Ureno walikwenda sare ya kufungana bao 1-1 na sweden.
Kwa matokea haya Ureno na sweden wanasonga mbele kenye hatua ya Nusu fainali na kuungana na mataifa ya Ujeruman na Denmark.





kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.

ZILIZO TUFIKIA PUNDE MAKAMU WA RAIS BURUNDI KATOROKA

LAYIII
Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais Rufikiri amekimbia baada ya kuiambia runinga ya France24 kuwa muhula huo wa tatu unakiuka sheria na katiba ya taifa hilo.

Makamu wa rais Burundi atoroka

Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi ametoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

AFRIKA YA KUSINI MBIONI KUJITOA KATIKA ICC

UNGANA NA LAYIII
Afrika Kusini imesema kuwa huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC yenye makao yake makuu huko Hague Uholanzi kufuatia jaribio la kumkamata rais wa Sudan Omar al Bashir alipokuwa nchini humo majuzi.

Afrika Kusini huenda ikajiondoa kwenye ICC

Afrika Kusini imesema kuwa huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC yenye makao yake makuu huko Hague Uholanzi kufuatia jaribio la kumkamata rais wa Sudan Omar al Bashir alipokuwa nchini humo majuzi.

HABARI ZA HIVI PUNDE NI KWAMBA KARENZI KAREKE AMEACHILIWA KWA DHAMANA

LAYIII
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

NIKO KENYA IJUE HABARI KUBWA LEO KATIKA VYOMBO VYA HABARI NCHINI KENYA

LAYIII
Chama cha TAC kimekubali ombi la walimu la kupunguza muda ambapo walimu wapya wametakiwa kuhudumia Kaskazini Mashariki mwa Kenya, ama sehemu nyingine yoyote yenye changamoto ambapo sheria za TAC zinahitaji mwalimu kuhudumu zaidi ya miaka mitano kabla ya kuomba uhamisho.

Nimekuwekea habari kubwa za leo kutoka radio Jambo Kenya

kenyaaa
Chama cha TAC kimekubali ombi la walimu la kupunguza muda ambapo walimu wapya wametakiwa kuhudumia Kaskazini Mashariki mwa Kenya, ama sehemu nyingine yoyote yenye changamoto ambapo sheria za TAC zinahitaji mwalimu kuhudumu zaidi ya miaka mitano kabla ya kuomba uhamisho.

KATIKA HEADLINE TENA NCHINI BURUNDI MAKAMU WA RAIS AHOFIA USALAMA WAKE

LAYIII
Makamu wa pili wa rais nchini Burundi, Gervais Ruyikiri ametangaza kuwa hatorurudi nchini kama usalama wake utakua haujalindwa ipasavyo. Akizungumza kwenye televisheni ya Ufaransa France 24, Gervais Rufyikiri, amesema ameamua kufanya hivyo akihofia usalama wake kutokana na jinsi hali invyoendelea nchini Burundi.

Burundi: makamu wa pili wa rais ahofia usalama wake 

Makamu wa pili wa rais wa Burundi, Gervais Rufyikiri, ambaye ametangaza kujiuzulu kwenye wadhifa wake.
Makamu wa pili wa rais wa Burundi, Gervais Rufyikiri, ambaye ametangaza kujiuzulu kwenye wadhifa wake.
AFP PHOTO / Fabrice Coffrini 

KATIKA DALADALA ALIKIBA AKUMBANA NA KIZANGA CHA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII
Mwimbaji wa bongofleva Ali Kiba aliamua kufanya ziara ya ghafla na kuanza kupanda Mabasi (Daladala) za ndani ya Dar es salaam June 23 2015 ikiwa ni ziara ya kuwashukuru mashabiki kwa kumpa ushindi wa tuzo 6 za KTMA na moja ya Tuzo za Watu 2015.

Video ikimuonyesha Ali Kiba alivyopanda daladala na kuulizwa maswali likiwemo la yeye na Diamond.

Ali Kiba 1 


JJMwimbaji wa bongofleva Ali Kiba aliamua kufanya ziara ya ghafla na kuanza kupanda Mabasi (Daladala) za ndani ya Dar es salaam June 23 2015 ikiwa ni ziara ya kuwashukuru mashabiki kwa kumpa ushindi wa tuzo 6 za KTMA na moja ya Tuzo za Watu 2015

BURUNDI KIMENUKA TENA

LAYIII
Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu hatma ya uchaguzi mkuu wa Burundi unaotarajia kufanyika mwezi ujao kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea kupinga kugombea tena kwa Rais Pierre Nkurunziza..headlines zimerudi tena nchini humo.

Burundi tena kwenye headlines…inahusu kutoroka kwa makamu wa Rais!! kisa kiko hapa

vice
Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu hatma ya uchaguzi mkuu wa Burundi unaotarajia kufanyika mwezi ujao kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea kupinga kugombea tena kwa Rais Pierre Nkurunziza..headlines zimerudi tena nchini humo.

KAMA UNAAMINI MIPIRA INAZUIA ZINAA KAZI KWAKO UMELETEWA MIPYA CHEKI HAPA

LAYIII

Wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Uingereza wamezindua mipira ya kiume ‘kondomu’ yenye uwezo wa kugundua maradhi ya zinaa wakati watumiaji wanapokutana kimwili.

Ubunifu mwingine ni huu wa mipira ya kiume inayotambua magonjwa…

mipiraa
Wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Uingereza wamezindua mipira ya kiume ‘kondomu’ yenye uwezo wa kugundua maradhi ya zinaa wakati watumiaji wanapokutana kimwili.

MTOTO AUWAWA KIKATILI JIJINI DAR

LAYIII
TANZANIA DAIMA
Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka mitano hadi sita ameuwa kikatili jijini Dar es salaam baada ya kubakwa na kasha kunyongwa shingo huku akidaiw akunyofolewa sehemu za siri.
Mwili wa mototo huyo unadaiwa kutelekezwa katika moja ya nyumba iliyokuwa haijaisha na kugunduliwa na kijana aliyekuwa akiokota chupa tupu za maji eneo la tabata kisiwani, Dar es salaam.

Mtoto auawa kikatili Dar, waandikishaji BVR wafungiwa kituoni na Raia wa Kuwait akamatwa JNIA na kobe hai 173…#MAGAZETINI JUNE25

HEAD

TANZANIA DAIMA
Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka mitano hadi sita ameuwa kikatili jijini Dar es salaam baada ya kubakwa na kasha kunyongwa shingo huku akidaiw akunyofolewa sehemu za siri.
Mwili wa mototo huyo unadaiwa kutelekezwa katika moja ya nyumba iliyokuwa haijaisha na kugunduliwa na kijana aliyekuwa akiokota chupa tupu za maji eneo la tabata kisiwani, Dar es salaam.

SIASA TANZANIA YAINGILIWA NA WASANII BAADA YA WEMA SEPETU SASA NI MPOKI WA COMEDY

LAYIII
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

Mpoki naye kwenye Ubunge Kilombero? Yasikie majibu yake kwa Soudy Brown…#Uheard (Audio)

Mpoki TT
2015 ndio mwaka ambao wasanii wengi zaidi wameingia kwenye headlines za kutangaza Ubunge, Mpoki nae kaamua kuungana na list ya mastaa hao?

baada ya mbrazil kusajiliwa liverpool sasa ni zamu ya mwingereza

layiii
Baada ya kufanikiwa kufanikisha usajili wa Danny Ings kutoka Burnley na Roberto Firmino kutoka Hoffenheim ya Ujerumani, klabu ya Liverpool sasa inatarajia kukamilisha usajili mchezaji mwingine ndaninya saa chache zijazo.

Baada ya Mbrazil Firmino, Liverpool sasa kumsajili beki huyu wa kiingereza

  Baada ya kufanikiwa kufanikisha usajili wa Danny Ings kutoka Burnley na Roberto Firmino kutoka Hoffenheim ya Ujerumani, klabu ya Liverpool sasa inatarajia kukamilisha usajili mchezaji mwingine

LOL LINA NDANI YA STUDIO ZA MILLARDAYO... IJUE BIFU YAKE NA WEMA HAPA


Linah 3Linah ni mwimbaji wa bongofleva ambapo hivi karibuni mpaka Mama yake mzazi alimpigia simu kutaka ajiepushe kugombana na watu baada ya kusikia stori kwamba anagombea Mwanaume na Wema Sepetu.Ilimfanya mama afikie hatua hiyo baada ya kusikia tu stori za watu na baadhi ya mitandao na gazeti lililoandika hiyo habari lakini ukweli wenyewe kutoka kwa Linah uko kwenye hii video ya Interview aliyofanyiwa TZA kwenye studio ya Millard Ayo.

EBANA EEE LEO NAONA NISHARE PICHA ZA ENZI HIZO ZA WATU MAARUFU HAPA NCHINI

LAYIII
 Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.

TBT: Picha 5 za zamani za Jokate, Wema Sepetu na ya Q Chief na Diamond, Millard Ayo na JK na Lowassa

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5VJbwZmzkGWJAYZBBBWHvfmSmwVWujKEc77mV8QvSNn0IMwI5QnN6NM6lHvzO-i0uE7LMrIlS9zKcYSHq6rw0ZAjyW1UhJurk7uW_CMk8P7ZnbuIENcPAXOhnJG72sTSftFOiUoeQ488/s1600/6B.jpg 

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/Barrack-Obama2.jpg?resize=537%2C300

advertise here