Wednesday, 24 June 2015

ATLETICO MADRID WASAJILI MSHAMBULIAJI MPYA

LAYIII
Siku chache baada ya kushuhudia mshambuliaji wake raia wa Croatia Mario Mandzukic akihamia nchini Italia kwenye klabu ya Juventus , mabingwa wa Hispania kwa msimu wa mwaka 2013/2014 Atletico Madrid hii leo wamethibitisha kumsajili mshambuliaji raia wa Colombia Jackson Martinez toka Fc Porto ya nchini Ureno 

Atletico Madrid wasajili mshambuliaji mpya .

Jackson-Martinez

Siku chache baada ya kushuhudia mshambuliaji wake raia wa Croatia Mario Mandzukic akihamia nchini Italia kwenye klabu ya Juventus , mabingwa wa Hispania kwa msimu wa mwaka 2013/2014

MAGUMU KUTOKA REAL MADRID HAYA HAPA

LAYIII
Kufuatia tetesi nyingi ambazo zimezidi kuongezeka miongoni mwa vyombo vya habari vya nchini Hispania na England kuhusu mustakabali wa muda mrefu wa beki wa Hispania Sergio Ramos uongozi wa klabu yake umeendelea kushikilia msimamo wake wa kutokuwekwa katika hali ya utata na beki huyo .

Mambo Magumu kwa Real Madrid na Sergio Ramos.

 
sergio-ramos-real-madrid_1hn6m16ku1c7w14s5iqq6i08yo

Kufuatia tetesi nyingi ambazo zimezidi kuongezeka miongoni mwa vyombo vya habari vya nchini Hispania na England kuhusu mustakabali wa muda mrefu wa beki wa Hispania Sergio Ramos uongozi wa klabu yake umeendelea kushikilia msimamo wake wa kutokuwekwa katika hali ya utata na beki huyo .

YALOMKUTA JAMAA AKIWA KWENYE MISHEMISHE ZAKUTAKA KUIBA HAIELEZEKI

LAYIII
Nimekutana na hizi pichaz pale MICHUZI BLOG, inaonekana jamaa mmoja alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba, hali ya hewa haikuwa nzuri baada ya jamaa huyo kukamatwa na Walinzi.

Balaa likamkuta akiwa kwenye mishemishe za kutaka kuiba.. Ninazo pichaz hapa

6
Nimekutana na hizi pichaz pale MICHUZI BLOG, inaonekana jamaa mmoja alikuwa kwenye pilika pilika za kutaka kuiba, hali ya hewa haikuwa nzuri baada ya jamaa huyo kukamatwa na Walinzi.
Hairuhusiwi kujichukulia Sheria mikononi kama ikitokea mtu amekamatwa kwa kosa lolote, lakini wakati mwingine watu wanaamua kuchukua maamuzi magumu kutokana na hasira.

MMAMA ALIYE JIFUNGULIA NJIANI NDO HABARI YA MJINI KWA SASA

LAYIII
Kesi za wanawake kushindwa kutambua muda wao wa kujifungua unapofika zimekuwa zikitokea mara kwa mara na hata wengine kushindwa kujitambua kama ni wajawazito hadi pale unapokaribia wakati wa kujifungua.

Stori ya mama aliyejifungua njiani bila kujua ipo kwenye headlines

born
Kesi za wanawake kushindwa kutambua muda wao wa kujifungua unapofika zimekuwa zikitokea mara kwa mara na hata wengine kushindwa kujitambua kama ni wajawazito hadi pale unapokaribia wakati wa kujifungua.

UMEPATA KUJUA KILA MTANZANIA ANATAKIWA ALIPE KIASI CHA 100/= KAMA HUJUI UNGANA NAMI HAPA

LAYIII
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.

Kila mwananchi Tanzania anatakiwa achangie shilingi 100/=, unajua ni kwa ajili ya nini?

strategy (1)
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.

MJUE NYOTA MPYA KUTOKA BRAZIL ALIYEPANDA BEI BAADA YA KUHAMIA LIVERPOOL

LAYIII
Klabu ya Liverpool imefuta ndoto za wapinzani wao Manchester United baada ya kufanikiwa kumsajili mshambuliaji kutoka Brazil Roberto Firmino aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Hoffenheim kwa mkataba wa miaka mitano.

Nyota mpya wa Brazil aliyesajiliwa na Liverpool..aingia kwenye rekodi ya mchezaji ghali zaidi!!

braa
Klabu ya Liverpool imefuta ndoto za wapinzani wao Manchester United

REKODI ZA KOCHA WA SIMBA ZAISHTUA TANZANIA

LAYIII
KOCHA mpya wa Simba, Dylan Kerr, anatarajiwa kutua nchini wikiendi hii akiwa anaonekana kuwa kocha mwenye rekodi kadhaa za ajabu kwenye soka. Kocha huyo anatua nchini kuchukua mikoba ya Goran Kopunovic, ambaye aliachana na timu hiyo ya Msimbazi baada ya kushindwana kwenye masuala ya kimaslahi.

REKODI 5 ZA KUSHTUA ZA KOCHA MPYA SIMBA


KAMA HUKUJUA CCM WALISHA BARIKI UBUNGE WA WEMA SEPETU NIFATE TUENDE PAMOJA

LAYIII
Gladness Mallya
BARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo 

Gladness Mallya
BARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo huyo kwa uamuzi wake huo.
Akistorisha na gazeti hili, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kila

IDADI YA VIFO KUTOKANA NA ONGEZEKO LA JOTO NCHINI PAKISTANI

LAYIII
Zaidi ya watu 780 wamefariki huko Karachi huku 30 wakiripotiwa kufariki kutoka sehemu nyingine mkoani humo.
Taarifa kutoka katika hospitali kadhaa mkoani humo zimeripoti kuelemewa baada ya mochwari zake kujaa miili hivyo kushindwa kuhifadhi miili mingine.
Mamlaka husika zimelaumiwa kwa kushindwa kukabiliana na janga hilo lililoanza Jumamosi iliyopita.

WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN


Mmoja wa majeruhi wa joto nchini Pakistan akipatiwa huduma ya kwanza.
WATU zaidi ya 800 wamefariki dunia mpaka sasa kutokana na hali ya joto kali kwenye Mkoa wa Sindh uliopo kusini mwa nchi ya Pakistan.

KATIKA HEADLINE NYINGINE NCHINI CHINA ISSUE YA MADAWA YAKULEVYA NDO HABARI YA MJINI

LAYIII
Jana niliipata record nyingine kubwa toka China, ishu ni wao na dawa za kulevya… Kwenye ripoti hiyo nikayajua mambo matatu; kwanza ni kwamba kuna ongezeko la watu 46,300 ambao wanatumia dawa za kulevya.

Headlines nyingine ni China na dawa za kulevya, hawana utani kwenye hii ishu !!

cHINA III 
Jana niliipata record nyingine kubwa toka China, ishu ni wao na dawa za kulevya… Kwenye ripoti hiyo nikayajua mambo matatu; kwanza ni kwamba kuna ongezeko la watu 46,300 ambao wanatumia dawa za kulevya.

KAMA HUKUJUA MADINI YANAYOPATIKANA KATIKA SARAFU YA SHILINGI MIATANO YAJUE HAPA

LAYIII
Ilianza kama ishu ya kawaida hivi lakini muda ulivyozidi kwenda ikazidi kuchukua headlines kwenye mitandao ya kijamii kwamba eti kuna watu wananunua sarafu za shilingi mia tano za Tanzania alafu wanatumia madini ya sarafu hiyo kutengeneza vito kama mikufu hivi !

Ni kweli sarafu ya shilingi mia tano ina madini? Majibu yako kwenye hii video

Meneja BoT
Ilianza kama ishu ya kawaida hivi lakini muda ulivyozidi kwenda ikazidi kuchukua headlines kwenye mitandao ya kijamii kwamba eti kuna watu wananunua sarafu za shilingi mia tano za Tanzania alafu wanatumia madini ya sarafu hiyo kutengeneza vito kama mikufu hivi !

BAMBA HEADLINE ZA MAGAZETI YOTE YA LEO 24/6/2015

LAYIII
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa www.swaxbz.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 24, 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Ishu ya manesi na mjamzito Simiyu, msiba wa Mbunge.. Bajeti ya TZ 2015/16 >> Zote ziko hapa (Audio)

LAYIII
Magazeti ya leo June 24 2015 yamekupita mtu wangu? Hapa nimekurekodia stori zote za magazetini zilizosikika leo redioni @PowerBreakfast hizi nimezirekodi na kukuwekea hapa.

606x340_302989
Magazeti ya leo June 24 2015 yamekupita mtu wangu? Hapa nimekurekodia stori zote za magazetini zilizosikika leo redioni @PowerBreakfast hizi nimezirekodi na kukuwekea hapa.

KUMI KUTOKA KWA WEMA SEPETU

LAYIII
Wema Abraham Sepetu ni mrembo mwenye headlines zake nyingi TZ kwa zaidi ya miaka 10… toka amekuwa Miss Tanzania, akaingia kwenye filamu na nyingine mpya kabisa ni safari yake kuingia kwenye headlines za siasa !!

Mengine 10 Exclusive kutoka kwa Wema Sepetu niliyoyapata leo June 24 2015…

IMG-20150624-WA0012
Wema Abraham Sepetu ni mrembo mwenye headlines zake nyingi TZ kwa zaidi ya miaka 10… toka amekuwa Miss Tanzania, akaingia kwenye filamu na nyingine mpya kabisa ni safari yake kuingia kwenye headlines za siasa !!

YALIYO JIRI KATIKA MAGAZETI YA LEO MAMA AJIFUNGULIA BAFUNI

LAYIII
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki za wapigakura.

#MAGAZATENI JUNE 24…Mama ajifungulia bafuni, Mawaziri 7 wasusia bajeti Z’bar na maandamano yazuka Arusha kupinga BVR

logo 
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki

Tuesday, 23 June 2015

DIAMOND KUPATA URAIA WA NCHI TATU TANZANIA AFRIKA KUSINI NA NIGERIA CHANZO HAPA CHINI

LAYIII.
Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate the African

CAN THIS PROVE SOON DIAMOND HE WILL BECOME SOUTH AFRICAN CITIZEN? WATCH THIS VIDEO YOU WILL GET THE ANSWER!! 

Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate

SASA NI VITA KALI KATI YA ALI KIBA NA DIAMOND JIONEE MWENYEWE HAPA

LAYIII
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!

Brighton Masalu
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

BAADA YA INDIA SASA NI PAKISTAN (JOTO LAENDELEA KUUWA WATU)

LAYIII
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na adha hiyo.

Baada ya India hii ni idadi kubwa nyingine ya vifo vya watu kutokana na joto Pakistan..

pakistannn
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na

JUA NINI NORTH KOREA WAMEAMUA KUHUSIANA NA MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII

LAYIII
North Korea wamechukua hatua kali za kulinda siri za nchi baada ya kukerwa na vitendo vinavyo ashiria uvujaji wa siri za nchi hio. Kwa muda sasa North Korea imekua ikijitahidi kupambana na uvujaji wa taarifa kutoka nchini humo kwenda kwenye mtandao wa Instagram ambao baada

North Korea imeamua haya kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii!!

IG 3
North Korea wamechukua hatua kali za kulinda siri za nchi baada ya kukerwa na vitendo vinavyo ashiria uvujaji wa siri za nchi hio. Kwa muda sasa North Korea imekua ikijitahidi kupambana na

Fid Q aja na kampeni ya ‘TUVISHANE’, wasanii wa Arusha waungana kusaka vipaji, Je ni kweli Ali Kiba ana bifu?…#255 (Audio)

layiii
Leo Perfect Crispin kapiga stori na Farid Kubanda, ameanzisha kampeni ya TUVISHANE, ikiwalenga wale wote ambao hununua nguo nzuri na kujikuta hawazivai kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kudai zimepitwa na

kiba
Leo Perfect Crispin kapiga stori na Farid Kubanda, ameanzisha kampeni ya TUVISHANE, ikiwalenga wale wote ambao hununua nguo nzuri na kujikuta hawazivai kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kudai zimepitwa na wakati na yeye kuona umuhimu wa kuanzisha kampeni ya kuomba watu kujitokeza kuwapa nguo wale watu ambao hawana uwezo ili ziweze kuwasaidiaameona awaombe watu kujitokeza kuwasaidia watu ambao wameona hawavai.

MAANDALIZI YA KONGAMANO LA MAARIFA NA UCHUMI MJINI MAKAMBAKO NA KAMPUNI YA TANZANIA BUSINESS CREATIONS COMPANY LIMITED

NA LAYIII ON SPOT


 Ungana na mwalimu irene hapa katika pozi akiandaa masomo  

ukumbi wa green city mjini makambako


KATIKA HEADLINE LEO MSHAHARA ANAOLIPWA KOCHA WA SIMBA YAPATE YA DR. SLAA

LAYIII
MWANANCHI
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa.

Mshahara atakaolipwa kocha mpya wa Simba, NAPE na ushindi wa CCM na BVR yazua vurugu Z’bar…#MAGAZETINI JUNE23

BETA
MWANANCHI
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa.

IJUWE SABABU YA NIKI MINAJI KUIAMA CASH MONEY

LAYIII
Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma 

Drake na Nicki Minaj kuondoka Cash Money Records!? Stori nzima ipo hapa.

Nicki-Minaj-and-Drake 2
Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma kwa madai ya kutaka kutoka katika label hio ya muziki.

HATIMA YA SUGU MAHAKAMANI BOFYA HAPOOO

LAYIII
Ni habari ambayo imeandikwa na gazeti ya Mwananchi June 23 2015 ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam kuhusu kesi iliyokua imefunguliwa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi kuhusu mke wake wa zamani.

Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi aliyoifungua Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ dhidi ya mkewe wa zamani

Sugu 1Ni habari ambayo imeandikwa na gazeti ya Mwananchi June 23 2015 ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam

Monday, 22 June 2015

NINAZO STORY ZOTE ZA MAGAZETI YA LEO

LAYIII

Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 23, 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

KWA JINSI BARNABA ALIVYO TAKE CARE KWA VANNESA JUX LAZIMA APANIKI MCHEKI MWENYEWE HAPA



DAKIKA ZA MAJERUHI ZITTO AGALAGAZA CHADEMA

LAYIIII

PICHAZ:SHUHUDIA ZITTO KABWA ALIVYOIGALAGAZA CHADEMA KWA DAKIKA ZA MAJERUHI..........

 Wakati ccm na chadema wakijipanga kuchukua urais hapo octoba zitto  kabwe awagalagaza pamoja na kujinadi kwao fuatilia picha zao hapo ushudie yaliyo jili

 Msafara wa Viongozi wa ACT ukiwasili Kigoma...

RUDI TENA KATIKA HEADLINE ZA SWAXBZSITE

NA LAYIII

Ni kweli Rose Muhando kachukua pesa na hajaenda kwenye show?! #U Heard!! 


Leo kwenye UHeard na Soudy Brown kasogezewa malalamiko na Promota ambae anadai kuwa alikuwa na makubaliano na Rose Muhando ya kwenda kwenye show maeneo ya Njombe, Iringa lakini madai ya Promota huyo ni kwamba Rose alipokea hela na hajaenda kwenye show !! rose-muhanda

MAKUBWA HAYA SI MGOMBEA URAIS CCM KAPIGWA ..........NINI KISA FATILIA HAPA

LAYIII ON SPOT
Moja ya video ambayo watu wameshare sana kwenye mitandao ya Kijamii hasa kwenye Whatsapp siku chache zilizopita ilikuwa inaonesha Mgombea mmoja wa CCM akipigwa japo wengine waliiona hiyo video na hawakujua ni nani anayepiga na anapigwa kwa sababu gani !!

General News

Hizi ni sentensi 12 za Mgombea Urais wa CCM aliyepigwa Tanga pamoja na alichokisema Nape Nnauye.. (Audio)

DSC09640 (1)
Moja ya video ambayo watu wameshare sana kwenye mitandao ya Kijamii hasa kwenye Whatsapp siku chache zilizopita ilikuwa inaonesha Mgombea mmoja wa CCM akipigwa japo wengine waliiona hiyo video na hawakujua ni nani anayepiga na anapigwa kwa sababu gani !!

HAHAHAH REKODI MPYA NYAMA YA MBWA INAVYO LIWA KULE CHINA

NA LAYIII
China imeingia ingia kwenye headlines baada ya ulaji wa nyama ya mbwa kuongezeka nchini humo. Hapo awali ulaji wa nyama hio ulikatazwa nchini China baada ya kuonekana kua ulaji wa nyama hio ni kinyume na utaratibu wa kibinadamu kwa sababu mbwa

doog
China imeingia ingia kwenye headlines baada ya ulaji wa nyama ya mbwa kuongezeka nchini humo. Hapo awali ulaji wa nyama hio ulikatazwa nchini China baada ya kuonekana kua ulaji wa nyama hio ni kinyume na utaratibu wa kibinadamu kwa sababu mbwa walionekana kua viumbe venye thamani kubwa kwenye maisha ya bindamu, kwenye ulinzi na hata uwindaji pia.

Album ya Amini na mkewe ipo? Hussein Machozi kaacha muziki?? Diamond kazuia collabo za nje? Ziko zote hapa (Audio)

layiiii

Studio
Tunahesabu mwaka wa pili sasa hivi tangu staa wa Muziki ambae ni moja ya matunda mazuri ya THT, Amini Mwinyimkuu aingie kwenye Headlines baada ya kufunga ndoa.. aliyefunga nae ndoa ni msanii mwenzake pia, walituahidi album ya pamoja.. vipi huo mpango unaendaje mpaka sasa?

Msanii wa bongofleva aliethibitisha kupata Zero kwenye mtihani wa Form IV.

layiii on spot
Huwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha. Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii

MziwandaNATIONHuwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha.
Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii Shilole……

Unyama huu wa baba kwa binti yake na utetezi wake mahakamani..

layiii on spot
Si jambo la kawaida mzazi kuwa na uhusiano na mtoto wake wa kumzaa, na jamii nyingi zimekuwa zikipinga na kukemea maovu ambayo hufanywa na baadhi ya wazazi kuwafanyia vitendo ya unyanyasaji watoto wao hasa wale ambao hata hufikia hatua ya kubaka binti zao.


jailed
Si jambo la kawaida mzazi kuwa na uhusiano na mtoto wake wa kumzaa, na jamii nyingi zimekuwa zikipinga na kukemea maovu ambayo hufanywa na baadhi ya wazazi kuwafanyia vitendo ya unyanyasaji watoto wao hasa wale ambao hata hufikia hatua ya kubaka binti zao.
Kuna hii imetokea kule Zimbwabwe baada ya baba kumbaka binti yake wa miaka 15 kisha kumwambia ni utaratibu wa utamaduni wao kutembea na mtoto wa kwanza ndani ya familia.
Hata hivyo polisi hawakumuachia baba huyo baada ya kumfungulia mashtaka kwa kosa la ubakaji baada ya tukio hilo la aibu lakini aliendelea kujitetea kuwa ni utamaduni wa jamii yao.

Hali ilivyo baada ya Bunge kuvamiwa Pakistan leo June 22 2015

layiii
Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Bunge Paki ii 


Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Floyd Mayweather kwenye headlines nyingine, sasa hivi anawataka hawa wawili ulingoni !!

layiii
Bondia Floyd Mayweather ndio Bondia aliyeandika headlines nyingi zaidi mwaka 2015, ishu ya kuendeleza record yake kutopigwa tangu amekuwa professional kwenye ngumi sio kitu kidogo.. unajua aliowataja kwa 

NEW YORK, NY - DECEMBER 01:  Floyd Mayweather Jr. attends the New Orleans Pelicans vs New York Knicks game at Madison Square Garden on December 1, 2013 in New York City.  (Photo by James Devaney/WireImage)
Floyd Mayweather
Bondia Floyd Mayweather ndio Bondia aliyeandika headlines nyingi zaidi mwaka 2015, ishu ya kuendeleza record yake kutopigwa tangu amekuwa professional kwenye ngumi sio kitu kidogo..

Michezo Uamuzi wa TFF kwa kocha mkuu wa timu ya Taifa

layiii
Baada ya kufungwa mfululizo kwa timu ya Taifa, Taifa Stars hatimaye kocha mkuu wa timu hiyo Maart Nooij ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi hicho.
Kamati ya utendaji ya Shirikisho la soka Tanzania TFF katika kikao chake kilichokaa jana usiku kimefikia uamuzi huo wa kumsimamisha kazi kocha huyo kuanzaia leo June 21 pamoja na kuvunja benchi la ufundi la timu hiyo.
 
stars
Baada ya kufungwa mfululizo kwa timu ya Taifa, Taifa Stars hatimaye kocha mkuu wa timu hiyo Maart Nooij ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi hicho.

Sunday, 21 June 2015

BABA DAY KUVUNJA RECORD YA DUNIA MTOTO WA CHRISS BROUN NDO MGENI RASMI

LAYIII
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani

CHRIS BROWN AANDAA SHEREHE YA SIKU YA BABA DUNIANI, BINTIYE NDIYE MGENI RASMI


Chris Brown akiwa na binti yake Royalty Brown.
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani ambapo mgeni rasmi atakuwa binti yake Royalty Brown
mwenye umri wa mwaka mmoja.

HATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ

LAYIII
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja 

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na
kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;

Thursday, 18 June 2015

WE JAMAA NI GANI CHRIS BROWN AKIKUONA PATACHIMBIKA



UNITARY Entertainment

Kunani kati ya Karruache na mchezaji mpya wa Man United? Chris Brown katajwa pia!


Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United Memphis Depay, anaweza kujiingiza kwenye

NYINGINE KUTOKA KWA DONGATE AKA DIAMOND PLATNUMZ ,,,,,,,,, FATA HAPA MTU WANGU

LAYIII ON SPOT
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.

Diamond Platnumz kwenye kollabo nyingine na msanii Donald kutoka South Africa!!

donald-na-Diamond
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.
Kasi ya Diamond haijaishia hapo kwani sasa hivi ameingia tena studio South Africa na msanii Donald kutengeneza ngoma nyingine kupitia Universal Music Studios  

P SQUARE WAVUNJA RECORD........... NI WAPI UNGANA NAMI HAPA

LAYIII ON SPOT
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007  hawaendi kanisani, kisa unajua ni nini?

Kumbe P Square hawajaingia kanisani kusali toka mwaka 2007? Kisa ni hiki hapa…

P Square 
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007

Wednesday, 17 June 2015

ISSUE TATU HOT KUTOKA ITV

NA LAYIII
eo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania
Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasmi kwamba leo ndio siku ya mwisho kwa Matangazo ya Analogy kuruka Tanzania.

Stori kubwa tatu kutoka ITV>>> Ajali ya moto Dar, mwisho wa Matangazo ya Analogy Tanzania, Wabunge na bidhaa za nje.. (Audio))

 
News Hour JPEG 590X332 
Leo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania

Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasm

kona ya soka manchester yaibua kitu

layii
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.

sterling
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.
Ofa hii inakuwa ya pili toka kwa City ambao wanaonekana kuwa wamepania katika azma yao ya kumsajili kiungo huyu ambaye ametokea kuwa moja kati ya wachezaji muhimu kwenye kikosi cha Liverpool na timu ya taifa ya England katika siku za hivi karibuni.

MAPYA YAIBUKA STAA MKUBWA IRENE UWOYA ANA MIMBA TENA

LAYIII
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.


Ni kweli Irene Uwoya ana mimba? Msami kazungumza hapa na Soudy Brown…#Uheard (Audio)

msami
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.
Awali alikanusha taarifa lakini baadaye akadai kuwa hana uhakika na endapo ni kweli  basi ni ya kwake huku akimtaka Soudy amtafute mwenyewe ali ajue ukweli.
SIKILIZA HAPA
 

 

WADAU WANGU WA SOKA RATIBA YENU LIGI KUU ENGLAND IKO HAPA

LAYIIIII ON SPOT

Ratiba ligi kuu ya England msimu ujao yote iko hapa mtu wangu..!!

fixx
Ratiba ya ligi kuu ya England tayari imetoka rasmi ambapo mabingwa wa ligi hiyo, Klabu ya Chelsea itaanza kutetea taji la ligi hiyo wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea siku ya August 8 2015.

WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!

LAYIII
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baa
Musa Mateja
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu

KIMBEMBE CHAIBUKA FIFA JE WADAU WA SOKA WANASEMAJE UNGANA NAMI HAPA

LAYIIII
Kiungo wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Chile, Arturo Vidal amekumbwa na mkasa ambao huenda atapenda kuusahau haraka iwezekanavyo wakati akiwa na timu yake ya taifa ambayo kwa mwaka huu imekuwa mwenyeji wa michuano ya Copa America.

Hali si shwari ndani ya FIFA, kashfa zazidi kufichuliwa !!

0D62059700000514-0-Russia_and_Qatar_are_the_respective_hosts_of_the_2018_and_2022_W-m-7_1434533375341
Wapelelezi wanaofatilia kashfa ya rushwa inayohusu shirikisho la soka ulimwenguni FIFA wameahidi kufichua makubwa zaidi baada ya kugundua siri nzito zilizojificha kwenye mchakato wa kuchagua mwenyeji wa kombe la dunia.

advertise here