Monday 22 June 2015

Hali ilivyo baada ya Bunge kuvamiwa Pakistan leo June 22 2015

layiii
Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Bunge Paki ii 


Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Wavamiaji hawakuwa nna nia njema, ripoti zinaonesha jamaa hao walikuwa sita na ni members wa Kundi la Taliban.
Polisi wamefanikiwa kuwaua jamaa hao ambao walikuwa na silaha pamoja na mabomu, hapa ninazo pichaz ambazo zinaonesha jengo la Bunge kwa ndani likiwa na moshi mzito.
Bunge Paki ii

Bunge Paki ii
Bunge Paki III
Bunge Paki
Bunge V
Wabunge wa Pakistan wakiwa nje ya eneo la Bunge baada ya Shambulio hilo.
Bunge
Wavamiaji hao walilipua gari moja nje ya Jengo la Bunge kabla ya kuvamia ndani !!



No comments:

Post a Comment

advertise here