YOUTUBE
Kamishna wa kanda maalumu ya Dar es salaam Kamanda Simon Sirrio
amethibitisha kuwa wanamshikiria mbunge wa Singida mashariki Tundu
Lissu,
Aidha kamanda Sirro amesemakuwa wanamshikiria Lissu kwa kwa mahojiano juu ya matamshi yake aliyoyatia dhidi ya rais Joh Magufuli
Kamanda Sirro amesema kuwa Lissu anashikiriwa na polisi tangu jana
jioni alipokamatwa mara baada ya
Watuhumiwa wa biashara na matumizi ya dawa za kulevya waliotajwa hivi
karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamm, Paul Makonda, Jumanne hii,
February 7, 2017 wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es
Salaam kujibu tuhuma zinazowakabili.
Mastaa hao wakiwemo TID, Nyandu Tozi, Babu wa Kitaa, Romy Jones, Tunda,
na wengine, wameachiwa kwa sharti la dhamana ya shilingi milioni 10 kila
mmoja na watakuwa wakiripoti kwa mwezi mara mbili huku
Magari ni kati ya vitu vinaundwa kwa ubunifu mkubwa zaidi duniani,
magari yamekuwa yakifanya dunia kuwa sehemu rahisi kufikika kwa haraka
ingawa ni kwa maeneo yenye barabara tu. Magari sio tena hitaji la
wanaume pekee, hata wanawake wanamiliki magari mazuri na ya kisasa kila
siku.
Leo nimekutafutia hii taarifa kuhusu vitu vya kujua kwenye magari; vipo
vingi kuanzia kwenye aina
Msanii na producer mtanzania anayeishi marekani kaja na hii mpya ambayo anaitambulisha kupitia huko soundcloud.com/jaymett. Ni watanzania wachache sana ambao wanamake headline huko majuu ikiwa ni pamoja na wafanya biashara na wasanii waliojitengenezea jina ndani na nje ya
Watu ambao muunganiko wao umeunganishwa kutokea mbinguni iwe marafiki,
wapenzi au wanandoa basi matokeo ya kile walichounganishiwa huwa na
msisimko na ladha ya kipekee. Kama ni ndoa huwa na furaha na mmiminiko
wa Baraka. Kama ni muziki basi huwa ni muziki ambao si rahisi ladha yake
kuisha.
Alikufa Kwa Ngoma, Hawajui, Sikiliza, Msiache Kuongea,ukisikiliza hizi
nyimbo pasi na shaka utakubaliana kuwa sio tu ni moja kati ya nyimbo
kali kuwahi kutokea kwenye muziki wetu ila ni moja kati ya nyimbo bora
kabisa za kushirikiana katika muziki wa Bongo Flava.
Rapa
mkongwe bongo AY amefunguka na kumtaja msanii wa Rnb kutoka Tanzania
Ben Pol kuwa ndiye mfalme wa Rnb kwa Afrika Mashariki, Kusini mwa jangwa
la Sahara na Afrika Mashariki na kati.
Mbali
na hilo AY amemfananisha Ben Pol na mkali wa Rnb kutoka Marekani R
Kelly na kusema Ben Pol ndiye R Kelly wetu hivyo tunapaswa kumpa support
tu katika kazi zake ili azidi kufanya mambo makubwa
Video
queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini
hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money’, ametema cheche akisema kuwa, watu wote
wanaomsema kwamba kutokana na kuvaa nusu utupu na kujiachia na midume
mbalimbali huenda ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi, waache kwani kama
ni kweli basi wengi wangekufa kwa sababu ameshatembea na mastaa kibao
Bongo.
Rapa Darassa amefunguka na kuweka wazi jambo ambalo katika maisha yake
ya muziki lilimkwaza sana na hataweza kulisahau ni baada ya mmoja wa
Producer wake kutoka AM Record Manecky kumkatalia kufanya kazi ambayo
ndiyo iliweza kufungua zaidi milango
Baada
ya kuwa na tetesi za kuachana kwa Hip Hop Couple ya Nicki Minaj na Meek
Mill, Jan 5 2017, hatimae tumepata kauli ya mwisho kutoka kwa Nicki
Minaj kuhusu tetesi hizo.
Mbali
na kauli hiyo pia zilishaibuka tetesi Nov 21 mwaka Jana (2016) kuwa
Nicki Minaj amempata mwanaume wa kumrithi Meek Mill baada ya kumpiga
chini. Mwanaume huyo
Kampuni
ya Facebook inayomiliki huduma ya Whatsapp imesema kuna baaadhi ya simu
za zamani zikiwemo zile zinazotumia mfumo wa Windows Phone 7.1, Android
2.2 na simu aina ya iPhone 3GS/iOS hazitakuwa na huduma za whatsapp kwa
sababu wanataka kuendana na mifumo inayotumiwa na watu wengi.
WAZIRI
Mkuu, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Manispaa ya Kigamboni
kuhakikisha unasimamia ujenzi wa kisasa na kutenga maeneo maalumu ya
wazi katika manispaa hiyo, ili kuepusha makosa ya ujenzi holela
yaliyofanyika katika maeneo mengine jijini Dar es Salaam.
Pamoja
na hayo, Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa amesema manispaa
hiyo mpya kwa sasa inakabiliwa na tatizo la ukosefu wa majisafi na
salama na wakazi wake wanatumia maji ya visima pekee ambayo si safi na
salama.
Rais Barack Obama amewahimiza
wanachama wa chama cha Democratic kupigania sheria yake ya bima ya afya
ambayo utawala wa Donald Trump umeahidi utaibatilisha upesi baada ya
kuingia madarakani.
Kwenye mkutano wa faraghani wa saa mbili, Bw
Obama aliwahimiza wabunge wa chama hicho kuitetea sheria hiyo, huku
wanachama wa Republican nao wakichukua hatua kufuta sheria hiyo.
Tottenham imefutilia mbali ndoto ya
Chelsea kutaka kuweka historia katika ligi kuu ya England kwa kushinda
michezo 14 baada ya vinara hao kuchakazwa 2-0 White Hart Lane.
Spurs
wamekwaa mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi baada ya Dele Alli
kufunga magoli yote mawili kwa njia ya kichwa hii ikiwa ni mwishoni mwa
kipindi cha kwanza na dakika ya 54.
BONEZA PICHA KUONA VIDEO USIACHE KUSUBSCRIBE KATIKA CHANNEL YETU YOUTUBE ILI YAKUFIKIE MAZURI KILA SIKU MTU WANGU
PLAY VIDEO HAPO CHINI USIACHE KUSUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU YOUTUBE
Licha ya kuwa na changamoto nyingi, ujauzito ni hatua yenye faraja kubwa
sana wanawake wengi. Kwani kila mmoja huwa na matumaini makubwa kwa
kile alichokibeba tumboni.
Hakuna ubishi kuwa mama anapokuwa katika hali hii hupenda kuishi maisha
yasiyo na bughudha ama rabsha. Pamoja na kuwa watu wengi hukubaliana na
changamoto zinazowapata wanawake
Familia moja jijini Arusha inadaiwa kumzika kwa siri mtoto wao mdogo wa
kike wa miaka mitatu katika kaburi lililofichwa, huku majirani
wakidanganywa kuwa binti huyo yupo hai.
Taarifa za kisa hicho cha kusikitisha zimevifikia vyombo vya usalama.
Kwa sasa kuna mipango ya kuhakikisha kuwa mwili wa binti huyo, Nuru
Losipha aliyezikwa kwa siri na familia yake,
Arsenal imeambulia alama moja nyumbani kwa Bournemouth baada ya kutoka nyuma kwa magoli 3-0.
Ilikuwa
nii kama kutimiza lengo kwa the Gunners baada ya kufunga magoli matatu
ndani ya dakika 20, kabla ya hapo Bournemouth ambao walikuwa wenyeji
walikuwa wakiongoza kwa magoli 3-0.
Alexis Sanches alianza
kuiandikia bao la kwanza Arsenal dakika ya 70 kabla ya Lucas Perez
BONYEZA PICHA HAPA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE USIACHE KUSUBSCRIBE MTU WANGU
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imetangaza bei mpya za Petrol, Diesel na mafuta ya Taa zinazoanza kutumika leo Jumatano huku bei ya mafuta ya Taa na Diesel ikiwa imeshuka kwa wastani wa shilingi 66 kwa lita.
⏩BY@lemutuz_nation - Wiki hii the National Debate is MADAWA YA KULEVYA
kama ulivyo ushoga it is another very sensitive Subject niliwahi huko
nyuma kusema kwamba binafsi ninalifahamu sana hili la Drugs kwa sababu
nimewahi kuishi at the Source of it New York City nilichokiona kwa macho
yangu ni kwamba once binadam akishajikita kwenye kuyatumia madawa ya
kulevya huwa anafikia kutumia Cocaine kwa njia ya kujidunga Sindano that
is the end of story ni almost impossible kwa yule binadamu kuja ku
recover...I am just being realistic na sio kumkatisha anybody tamaa
mfumo wa Ubepari Capitalism una tabia moja ya kuheshimu walioshinda tu
lakini hauna nafasi kwa walioshindwa tunawahitaji sana Investors like
kutoka USA but tatizo ni kwamba wanapokuja kuwekeza wanakuja na
utamaduni wao pia au the American Culture ambayo inapokuja
Tatizo hili huwasumbua wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na baadhi ya wanawake ambao tayari wameshafikia ukomo wa kuzaa.
Kwa mwanamke aliyekwishafunga kupata hedhi kuendelea kupata damu ya
hedhi au kutokwa na damu ukeni bila ya mpangilio siyo hali ya kawaida.
Lori la mafuta limelipuka nje ya mji wa Nivasha nchini Kenya usiku wa Jumamosi December 10 2016 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40.
Taarifa iliyotolewa mapema leo December 11 2016 asubuhi na msemaji wa idara ya taifa ya mambo ya dharura nchini Kenya Pius Masai amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kwamba magari zaidi ya 11 yameteketezwa kwa moto katika barabara ya Nairobi-Naivasha.
Mkali wa ‘Aje’, Ali Kiba jana aling’ara zaidi katika tuzo za EATV 2016
zinazoandaliwa na kituo cha runinga cha East Africa zilizotolewa katika
ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Nape Nnauye huku msema chochote akiwa mtangazaji wa zamani wa
kituo hicho, Salama Jabir.
Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi
sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na
ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya nchi..
Mpaka mziki huu umefanikiwa kufika hapo imekuwa ni safari iliyojaa
milima na mabonde! Kuna
Vijana wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha
kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli
kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi
ipasavyo.
Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo
ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa
wakati gani. Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau
wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa
bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto zinazowakabili.
Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza
pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa na eDaily
kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika
wanaotajwa kuingiza pesa nyingi zaidi mwaka 2016.
Related imageMtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii
anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na
headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na
Mawaziri wa utafiti kutoka bara
Ulaya wanaokutana mjini Lucerne, Uswizi wamesisitiza kwamba mpango wa
kutuma chombo maalum kinachoweza kusafiri kwenye sayari ya Mars mwaka
2021 bado utaendelea.
Wameahidi kutoa jumla ya euro €436m ambazo zinahitajika kufanikisha mpango huo.
Mradi
huo umechelewa kiasi na unagharimu pesa zaidi kuliko ilivyotarajiwa,
jambo lililoibua wasiwasi kwamba mataifa wanachama wa Shirika la Anga za
Juu la Ulaya (ESA) huenda wakaufuta
Liwali ambaye hakuwa kazini
alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji,
ambalo lilizuka ghafla katika eneo la San Antonio, jimbo la Texas
nchini Marekani.
Maafisa wanasema Dora Linda Nishihara, 69, ambaye
ni naibu liwali aliyekuwa anahudumu kama afisa wa kutekeleza maagizo ya
mahakama, alifariki baada ya gari lake kutumbukia kwenye shimo
Baada ya kufariki uwanjani kwa mshambuliaji wa timu ya Mbao FC Ismail
Khalfan siku ya Jumapili ya December 4, leo December 6 2016 imetoka
ripoti ya kilichosababisha kifo cha mchezaji huyo wakati wa mchezo kati
ya Mbao FC dhidi ya Mwadui FC.
Taarifa zilizoripotiwa na BBC leo December 5 2016 kuhusiana na nchi ya Kenya
ni kuwa madaktari na wauguzi wa nchi hiyo wameanza mgomo wa kitaifa
ikiwa kama sehemu ya kuishinikiza serikali kutimiza mahitaji yao.
Nyota wa filamu nchini ambaye siku za karibuni amekuwa akihaha na
ujauzito alionaonao bila kumuweka wazi muhusika, amekanusha kuwa
ujauzito huo ni wa msanii Baraka The Prince.
Nisha Baby amefunguka kuhusiana na hilo akiwa katika kipindi cha FNL cha
EATV, na kusema kuwa endapo ujauzito huo ungekuwa wa Baraka kama
inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema sana kwa kuwa Baraka
ni miongoni mwa wanaume asiowapenda kabisa duniani.
Msanii wa hip hop nchini Paka Rapa (Young Dee) amesema hatumii dawa
zozote za kukuza misuli yake na mwili wake bali anafanya mazoezi kila
siku na bado hajafikia katika kiwango ambacho anataka kufikia.
Hata hivyo akiongea kupitia eNewz, Young Dee amesema anazingatia
chakula, muda wa mazoezi na
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO mwaka 2010 takribani watu 223,000 walfariki dunia kutokana na kansa ya mapafu.
Afrika mashariki ya kati na kaskazini mwa afrika ndo maeneo yanayoonekana kuwa machafu sana
kwa wastani wa 130 mcg/m3 ikifuatiwa na asia ya kusini yenye wastani wa 100 mcg/m3
hapa chini ni miongon mwa miji michafu sana kwa mujibu wa WHO
10. LAHORE, PAKISTAN
Lahore nchini pakistan ndo mji uonaonekana kuwaumesheheni watu wengi ukiwa na wastani wa 200 mcg/m3na ukionekana ndo mji unaoongoza kwa uchafu duniani kulingana na tak
Jose Mourinho ametetea uamuzi wake
wa kumuingiza uwanjani kiungo wa kati Marouane Fellaini kama nguvu mpya
wakati wa mechi ambayo Manchester United walitoka sare na Everton
Jumapili.
Fellaini alisababisha penalti muda mfupi baada yake
kuingia dakika ya 85, na kuwawezesha Everton kusawazisha na mambo yakawa
1-1.
BEI ya simenti imeanza kupanda katika baadhi ya maeneo nchini, imefahamika.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA unaonyesha kuwa bei hiyo imepanda
zikiwa ni siku chache baada ya kiwanda cha simenti cha Dangote kilichoko
mkoani Mtwara, kusimamisha uzalishaji kutokana na gharama kubwa ya
uzalishaji.
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemnyima dhamana Mbunge wa Arusha Mjini
(CHADEMA) Godbless Lema. Mahakama hiyo imeeleza kuwa mawakili
wamtuhumiwa huyo walipaswa kuonesha kusudio la kukata rufaa ndani ya
siku10 kabla ya kukata rufaa.
Timu ya Dar es Salaam Young Africans leo December 1 2016 imetangaza kumsajili kiungo raia wa Zambia Justine Zulu, kiungo huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Yanga imemsajili Justine Zulu kutokea timu ya Zesco United ya Zambia, kwa taarifa hiyo sasa ni rasmi Justine Zulu ataungana na kocha wake wa zamani ambaye amejiunga na Yanga hivi karibuni
Justin Bieber amekuwa
mbali na mtandao wa Instagram tangu mwezi August 2016 ambapo alijiondoa
rasmi kwenye mtandao huo hali ambayo imesababisha mashabiki wake kumiss
kumuona kwenye mtandao huo ambao unamuwezesha mtumiaji kutuma picha
pamoja na video.
Akiwa kwenye show yake London aliuliza
mashabiki “nani angependa nirudi Instagram?
Njama ya kutumia sigara kumuua Fidel
Castro ambayo ilitibuka inajulikana sana, lakini njama nyengine 637
dhidi ya maisha yake ni zipi?
Shirika la kijasusi nchini Marekani
CIA na watu waliotoroka Cuba wakati wa uongozi wa Castro walitumia nusu
ya karne moja kufanya njama za kumuua kiongozi ambaye taifa lake lina
athari
November 30 2016 Waziri mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Rais mstaafu Jakaya Kikwete waliungana na baadhi ya watanzania katika kutoa salamu zao za mwisho kwa aliyekuwa baba mzazi wa Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda mzee Xavery Pindaaliyepelekwa mkoani Katavi kwa ajili
Philippe Coutinho amepata majeraha mabaya wakati wa kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Sunderland.
Uwanja wa Anfield ulizizima kwa ukimya wakati fundi huyo wa kibrazil
akiwa chini huku wakiwa na shauku ya kutaka kujua itachukua muda gani
nyota wao kurejea tena kwenye pitch.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli,
amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Raul Castro
kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba Mhe. Fidel Castro kilichotokea
tarehe 25 Novemba, 2016. Katika Salamu hizo Rais Magufuli amesema;
"Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Rais Mstaafu wa
Jamhuri ya Cuba Mhe. Fidel Castro. Kwa niaba ya Serikali, Wananchi wa
Tanzania na kwa niaba yangu mwenyewe natoa pole nyingi kwako, familia,
Serikali ya Cuba na wananchi wa Cuba kwa kumpoteza mtu muhimu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli amesema
kuwa Jengo la Makao Makuu ya TANESCO lililopo Ubungo litabomolewa wakati
wowote kuanzia sasa ili kupisha ujenzi wa Ubungo Interchange yenye
ghorofa 2 mpaka 3 hali itakayopunguza msongamano wa magari kwenye eneo
hilo.
Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa
Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic
watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi
wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule.
Wajumbe hao ambao majina yao yalitangazwa jana wanaamini kuwa iwapo
watafanikiwa kuwashawishi wenzao wengine 37 kutoka Chama cha Republican
basi watakuwa wamefanikiwa
STAA wa Bongo fleva hapa nchini, Ommy Dimpoz anayetamba na ngoma yake ya
‘Kajiandae’, amefungukia bifu lake na msanii mwenzake, Diamond
Platinumz kuwa chanzo cha ugomvi wao ni Miss Tanzania wa mwaka 2006,
Wema Sepetu ‘Madam’.
Akizungumza leo Novemba 24, 206 wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha
XXL cha Clouds FM, Dimpoz amesema mwanzoni walikuwa na urafiki mzuri na
Diamond na walikuwa wakishirikiana mambo mengi kuhusu muziki wao, lakini
baadaye hali ilikuwa tofauti baada, Diamond akaanza kumpoteza na
kukwepa kufanya naye baadhi ya mambo kwa pamoja.
Dimpoz amesema hayo baada ya Diamond kusema mambo kadhaa kuhusu yeye
wakati akifanya mahojiano jana kwenye kipindi hicho cha XXL.
Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jana kwa mara ya kwanza
wamefanya upasuaji kwa kutumia darubini (microvascular surgery) wa
kuhamisha misuli na mishipa ya damu kutoka kwenye mguu kwenda sehemu
nyingine chini ya mguu (free gracilis muscle transfer).
Upasuaji huu wa aina yake na ambao mara nyingi huchukua muda wa saa sita
hadi saba una lengo la kujenga uwezo kwa watalaamu wa ndani ili
waendelee kutoa huduma za ubingwa wa hali ya juu kwa Watanzania wengi
zaidi na vilevile kupunguza kasi ya kupeleka wagonjwa nje.