Wednesday, 24 June 2015

YALIYO JIRI KATIKA MAGAZETI YA LEO MAMA AJIFUNGULIA BAFUNI

LAYIII
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki za wapigakura.

#MAGAZATENI JUNE 24…Mama ajifungulia bafuni, Mawaziri 7 wasusia bajeti Z’bar na maandamano yazuka Arusha kupinga BVR

logo 
MTANZANIA
Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, imesema haina mpango wa kurudia  uandikishaji wapigakura katika maeneo waliyopita kwani inaamini kazi hiyo imefanywa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Pamoja na hali hiyo NEC imewaonya wanasiasa kutoingilia kazi yao kwa sababu wanaifanya kwa mujibu wa sharia za nchi, na hawapo kwa ajili ya kumwonea mtu bali kuandikisha na kusimamia haki

Tuesday, 23 June 2015

DIAMOND KUPATA URAIA WA NCHI TATU TANZANIA AFRIKA KUSINI NA NIGERIA CHANZO HAPA CHINI

LAYIII.
Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate the African

CAN THIS PROVE SOON DIAMOND HE WILL BECOME SOUTH AFRICAN CITIZEN? WATCH THIS VIDEO YOU WILL GET THE ANSWER!! 

Diamond loves south Africa and Nigeria because of the big support getting from our fellow brothers and sisters from that nation's since he release my number one remix he started to penetrate

SASA NI VITA KALI KATI YA ALI KIBA NA DIAMOND JIONEE MWENYEWE HAPA

LAYIII
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

ALI KIBA ATANGAZA VITA NA DIAMOND!

Brighton Masalu
VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.

BAADA YA INDIA SASA NI PAKISTAN (JOTO LAENDELEA KUUWA WATU)

LAYIII
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na adha hiyo.

Baada ya India hii ni idadi kubwa nyingine ya vifo vya watu kutokana na joto Pakistan..

pakistannn
Jiji la Dar es salaam ndilo linaloongoza kwa kuwa na joto sana kwa Tanzania na kuna kipindi watu hulalamika uwepo wa joto kali na wengine kulazimika kulala nje wakati wa usiku ili kuepukana na

JUA NINI NORTH KOREA WAMEAMUA KUHUSIANA NA MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII

LAYIII
North Korea wamechukua hatua kali za kulinda siri za nchi baada ya kukerwa na vitendo vinavyo ashiria uvujaji wa siri za nchi hio. Kwa muda sasa North Korea imekua ikijitahidi kupambana na uvujaji wa taarifa kutoka nchini humo kwenda kwenye mtandao wa Instagram ambao baada

North Korea imeamua haya kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii!!

IG 3
North Korea wamechukua hatua kali za kulinda siri za nchi baada ya kukerwa na vitendo vinavyo ashiria uvujaji wa siri za nchi hio. Kwa muda sasa North Korea imekua ikijitahidi kupambana na

Fid Q aja na kampeni ya ‘TUVISHANE’, wasanii wa Arusha waungana kusaka vipaji, Je ni kweli Ali Kiba ana bifu?…#255 (Audio)

layiii
Leo Perfect Crispin kapiga stori na Farid Kubanda, ameanzisha kampeni ya TUVISHANE, ikiwalenga wale wote ambao hununua nguo nzuri na kujikuta hawazivai kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kudai zimepitwa na

kiba
Leo Perfect Crispin kapiga stori na Farid Kubanda, ameanzisha kampeni ya TUVISHANE, ikiwalenga wale wote ambao hununua nguo nzuri na kujikuta hawazivai kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kudai zimepitwa na wakati na yeye kuona umuhimu wa kuanzisha kampeni ya kuomba watu kujitokeza kuwapa nguo wale watu ambao hawana uwezo ili ziweze kuwasaidiaameona awaombe watu kujitokeza kuwasaidia watu ambao wameona hawavai.

MAANDALIZI YA KONGAMANO LA MAARIFA NA UCHUMI MJINI MAKAMBAKO NA KAMPUNI YA TANZANIA BUSINESS CREATIONS COMPANY LIMITED

NA LAYIII ON SPOT


 Ungana na mwalimu irene hapa katika pozi akiandaa masomo  

ukumbi wa green city mjini makambako


KATIKA HEADLINE LEO MSHAHARA ANAOLIPWA KOCHA WA SIMBA YAPATE YA DR. SLAA

LAYIII
MWANANCHI
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa.

Mshahara atakaolipwa kocha mpya wa Simba, NAPE na ushindi wa CCM na BVR yazua vurugu Z’bar…#MAGAZETINI JUNE23

BETA
MWANANCHI
CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa.

IJUWE SABABU YA NIKI MINAJI KUIAMA CASH MONEY

LAYIII
Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma 

Drake na Nicki Minaj kuondoka Cash Money Records!? Stori nzima ipo hapa.

Nicki-Minaj-and-Drake 2
Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma kwa madai ya kutaka kutoka katika label hio ya muziki.

HATIMA YA SUGU MAHAKAMANI BOFYA HAPOOO

LAYIII
Ni habari ambayo imeandikwa na gazeti ya Mwananchi June 23 2015 ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam kuhusu kesi iliyokua imefunguliwa na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi kuhusu mke wake wa zamani.

Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi aliyoifungua Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ dhidi ya mkewe wa zamani

Sugu 1Ni habari ambayo imeandikwa na gazeti ya Mwananchi June 23 2015 ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam

Monday, 22 June 2015

NINAZO STORY ZOTE ZA MAGAZETI YA LEO

LAYIII

Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 23, 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

KWA JINSI BARNABA ALIVYO TAKE CARE KWA VANNESA JUX LAZIMA APANIKI MCHEKI MWENYEWE HAPA



DAKIKA ZA MAJERUHI ZITTO AGALAGAZA CHADEMA

LAYIIII

PICHAZ:SHUHUDIA ZITTO KABWA ALIVYOIGALAGAZA CHADEMA KWA DAKIKA ZA MAJERUHI..........

 Wakati ccm na chadema wakijipanga kuchukua urais hapo octoba zitto  kabwe awagalagaza pamoja na kujinadi kwao fuatilia picha zao hapo ushudie yaliyo jili

 Msafara wa Viongozi wa ACT ukiwasili Kigoma...

RUDI TENA KATIKA HEADLINE ZA SWAXBZSITE

NA LAYIII

Ni kweli Rose Muhando kachukua pesa na hajaenda kwenye show?! #U Heard!! 


Leo kwenye UHeard na Soudy Brown kasogezewa malalamiko na Promota ambae anadai kuwa alikuwa na makubaliano na Rose Muhando ya kwenda kwenye show maeneo ya Njombe, Iringa lakini madai ya Promota huyo ni kwamba Rose alipokea hela na hajaenda kwenye show !! rose-muhanda

MAKUBWA HAYA SI MGOMBEA URAIS CCM KAPIGWA ..........NINI KISA FATILIA HAPA

LAYIII ON SPOT
Moja ya video ambayo watu wameshare sana kwenye mitandao ya Kijamii hasa kwenye Whatsapp siku chache zilizopita ilikuwa inaonesha Mgombea mmoja wa CCM akipigwa japo wengine waliiona hiyo video na hawakujua ni nani anayepiga na anapigwa kwa sababu gani !!

General News

Hizi ni sentensi 12 za Mgombea Urais wa CCM aliyepigwa Tanga pamoja na alichokisema Nape Nnauye.. (Audio)

DSC09640 (1)
Moja ya video ambayo watu wameshare sana kwenye mitandao ya Kijamii hasa kwenye Whatsapp siku chache zilizopita ilikuwa inaonesha Mgombea mmoja wa CCM akipigwa japo wengine waliiona hiyo video na hawakujua ni nani anayepiga na anapigwa kwa sababu gani !!

HAHAHAH REKODI MPYA NYAMA YA MBWA INAVYO LIWA KULE CHINA

NA LAYIII
China imeingia ingia kwenye headlines baada ya ulaji wa nyama ya mbwa kuongezeka nchini humo. Hapo awali ulaji wa nyama hio ulikatazwa nchini China baada ya kuonekana kua ulaji wa nyama hio ni kinyume na utaratibu wa kibinadamu kwa sababu mbwa

doog
China imeingia ingia kwenye headlines baada ya ulaji wa nyama ya mbwa kuongezeka nchini humo. Hapo awali ulaji wa nyama hio ulikatazwa nchini China baada ya kuonekana kua ulaji wa nyama hio ni kinyume na utaratibu wa kibinadamu kwa sababu mbwa walionekana kua viumbe venye thamani kubwa kwenye maisha ya bindamu, kwenye ulinzi na hata uwindaji pia.

Album ya Amini na mkewe ipo? Hussein Machozi kaacha muziki?? Diamond kazuia collabo za nje? Ziko zote hapa (Audio)

layiiii

Studio
Tunahesabu mwaka wa pili sasa hivi tangu staa wa Muziki ambae ni moja ya matunda mazuri ya THT, Amini Mwinyimkuu aingie kwenye Headlines baada ya kufunga ndoa.. aliyefunga nae ndoa ni msanii mwenzake pia, walituahidi album ya pamoja.. vipi huo mpango unaendaje mpaka sasa?

Msanii wa bongofleva aliethibitisha kupata Zero kwenye mtihani wa Form IV.

layiii on spot
Huwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha. Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii

MziwandaNATIONHuwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha.
Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii Shilole……

Unyama huu wa baba kwa binti yake na utetezi wake mahakamani..

layiii on spot
Si jambo la kawaida mzazi kuwa na uhusiano na mtoto wake wa kumzaa, na jamii nyingi zimekuwa zikipinga na kukemea maovu ambayo hufanywa na baadhi ya wazazi kuwafanyia vitendo ya unyanyasaji watoto wao hasa wale ambao hata hufikia hatua ya kubaka binti zao.


jailed
Si jambo la kawaida mzazi kuwa na uhusiano na mtoto wake wa kumzaa, na jamii nyingi zimekuwa zikipinga na kukemea maovu ambayo hufanywa na baadhi ya wazazi kuwafanyia vitendo ya unyanyasaji watoto wao hasa wale ambao hata hufikia hatua ya kubaka binti zao.
Kuna hii imetokea kule Zimbwabwe baada ya baba kumbaka binti yake wa miaka 15 kisha kumwambia ni utaratibu wa utamaduni wao kutembea na mtoto wa kwanza ndani ya familia.
Hata hivyo polisi hawakumuachia baba huyo baada ya kumfungulia mashtaka kwa kosa la ubakaji baada ya tukio hilo la aibu lakini aliendelea kujitetea kuwa ni utamaduni wa jamii yao.

Hali ilivyo baada ya Bunge kuvamiwa Pakistan leo June 22 2015

layiii
Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Bunge Paki ii 


Hali sio nzuri Pakistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya ku vamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, yalikuwepo mabomu na risasi pia !!

Floyd Mayweather kwenye headlines nyingine, sasa hivi anawataka hawa wawili ulingoni !!

layiii
Bondia Floyd Mayweather ndio Bondia aliyeandika headlines nyingi zaidi mwaka 2015, ishu ya kuendeleza record yake kutopigwa tangu amekuwa professional kwenye ngumi sio kitu kidogo.. unajua aliowataja kwa 

NEW YORK, NY - DECEMBER 01:  Floyd Mayweather Jr. attends the New Orleans Pelicans vs New York Knicks game at Madison Square Garden on December 1, 2013 in New York City.  (Photo by James Devaney/WireImage)
Floyd Mayweather
Bondia Floyd Mayweather ndio Bondia aliyeandika headlines nyingi zaidi mwaka 2015, ishu ya kuendeleza record yake kutopigwa tangu amekuwa professional kwenye ngumi sio kitu kidogo..

Michezo Uamuzi wa TFF kwa kocha mkuu wa timu ya Taifa

layiii
Baada ya kufungwa mfululizo kwa timu ya Taifa, Taifa Stars hatimaye kocha mkuu wa timu hiyo Maart Nooij ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi hicho.
Kamati ya utendaji ya Shirikisho la soka Tanzania TFF katika kikao chake kilichokaa jana usiku kimefikia uamuzi huo wa kumsimamisha kazi kocha huyo kuanzaia leo June 21 pamoja na kuvunja benchi la ufundi la timu hiyo.
 
stars
Baada ya kufungwa mfululizo kwa timu ya Taifa, Taifa Stars hatimaye kocha mkuu wa timu hiyo Maart Nooij ametimuliwa kazi ya kuendelea kukinoa kikosi hicho.

Sunday, 21 June 2015

BABA DAY KUVUNJA RECORD YA DUNIA MTOTO WA CHRISS BROUN NDO MGENI RASMI

LAYIII
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani

CHRIS BROWN AANDAA SHEREHE YA SIKU YA BABA DUNIANI, BINTIYE NDIYE MGENI RASMI


Chris Brown akiwa na binti yake Royalty Brown.
MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani ambapo mgeni rasmi atakuwa binti yake Royalty Brown
mwenye umri wa mwaka mmoja.

HATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ

LAYIII
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja 

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na
kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;

Thursday, 18 June 2015

WE JAMAA NI GANI CHRIS BROWN AKIKUONA PATACHIMBIKA



UNITARY Entertainment

Kunani kati ya Karruache na mchezaji mpya wa Man United? Chris Brown katajwa pia!


Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United Memphis Depay, anaweza kujiingiza kwenye

NYINGINE KUTOKA KWA DONGATE AKA DIAMOND PLATNUMZ ,,,,,,,,, FATA HAPA MTU WANGU

LAYIII ON SPOT
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.

Diamond Platnumz kwenye kollabo nyingine na msanii Donald kutoka South Africa!!

donald-na-Diamond
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa.
Tumehesabu siku siku chache zimezopita toka ilipoachiwa brand new collabo ya Love Boat ambayo Diamond kashirikishwa na msanii wa Nigeria, Kcee.
Kasi ya Diamond haijaishia hapo kwani sasa hivi ameingia tena studio South Africa na msanii Donald kutengeneza ngoma nyingine kupitia Universal Music Studios  

P SQUARE WAVUNJA RECORD........... NI WAPI UNGANA NAMI HAPA

LAYIII ON SPOT
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007  hawaendi kanisani, kisa unajua ni nini?

Kumbe P Square hawajaingia kanisani kusali toka mwaka 2007? Kisa ni hiki hapa…

P Square 
Mastaa na maisha yao nyuma ya pazia, mengine ni haya nimeyajua leo toka kwa wakali wa Nigeria, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye… wamesema toka mwaka 2007

Wednesday, 17 June 2015

ISSUE TATU HOT KUTOKA ITV

NA LAYIII
eo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania
Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasmi kwamba leo ndio siku ya mwisho kwa Matangazo ya Analogy kuruka Tanzania.

Stori kubwa tatu kutoka ITV>>> Ajali ya moto Dar, mwisho wa Matangazo ya Analogy Tanzania, Wabunge na bidhaa za nje.. (Audio))

 
News Hour JPEG 590X332 
Leo ndio mwisho wa Matangazo ya TV kwa Mfumo wa Analogy Tanzania

Wakati TZ ikitangaza kuzima Mitambo ya kurushia Matanagazo ya Digital mwaka 2012 ilkuwa ishu ambayo watu wengi hawakukubaliana nayo, ilikuwa kama watu wamewahishwa kuingia kwenye mfumo huo mpya wa Matangazo, leo iko stori nyingine kutoka TCRA ambapo wametangaza rasm

kona ya soka manchester yaibua kitu

layii
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.

sterling
Klabu ya Manchester City imetuma ofa ya paundi milioni 40 kwenda kwa klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.
Ofa hii inakuwa ya pili toka kwa City ambao wanaonekana kuwa wamepania katika azma yao ya kumsajili kiungo huyu ambaye ametokea kuwa moja kati ya wachezaji muhimu kwenye kikosi cha Liverpool na timu ya taifa ya England katika siku za hivi karibuni.

MAPYA YAIBUKA STAA MKUBWA IRENE UWOYA ANA MIMBA TENA

LAYIII
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.


Ni kweli Irene Uwoya ana mimba? Msami kazungumza hapa na Soudy Brown…#Uheard (Audio)

msami
Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.
Awali alikanusha taarifa lakini baadaye akadai kuwa hana uhakika na endapo ni kweli  basi ni ya kwake huku akimtaka Soudy amtafute mwenyewe ali ajue ukweli.
SIKILIZA HAPA
 

 

WADAU WANGU WA SOKA RATIBA YENU LIGI KUU ENGLAND IKO HAPA

LAYIIIII ON SPOT

Ratiba ligi kuu ya England msimu ujao yote iko hapa mtu wangu..!!

fixx
Ratiba ya ligi kuu ya England tayari imetoka rasmi ambapo mabingwa wa ligi hiyo, Klabu ya Chelsea itaanza kutetea taji la ligi hiyo wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea siku ya August 8 2015.

WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!

LAYIII
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baa
Musa Mateja
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu

KIMBEMBE CHAIBUKA FIFA JE WADAU WA SOKA WANASEMAJE UNGANA NAMI HAPA

LAYIIII
Kiungo wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Chile, Arturo Vidal amekumbwa na mkasa ambao huenda atapenda kuusahau haraka iwezekanavyo wakati akiwa na timu yake ya taifa ambayo kwa mwaka huu imekuwa mwenyeji wa michuano ya Copa America.

Hali si shwari ndani ya FIFA, kashfa zazidi kufichuliwa !!

0D62059700000514-0-Russia_and_Qatar_are_the_respective_hosts_of_the_2018_and_2022_W-m-7_1434533375341
Wapelelezi wanaofatilia kashfa ya rushwa inayohusu shirikisho la soka ulimwenguni FIFA wameahidi kufichua makubwa zaidi baada ya kugundua siri nzito zilizojificha kwenye mchakato wa kuchagua mwenyeji wa kombe la dunia.

Tuesday, 16 June 2015

MAISHA CLUB OSTERBAY YAISHA RASMI Kila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB.

LAYIIII
Kila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB alitamani kujua ni wapi itahamia kwa sababu party ya mwisho ilipofanyika walitangaza baada ya mwezi Mtukufu watu wote watahamia kwenye jumba jipya la starehe kwenye location mpya Dar es salaam.

Bye bye Maisha club Osterbay! picha za Location mpya inakohamia ninazo hapa.

Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.53 PMKila mmoja aliyesikia taarifa za kuhamishwa kwa NEW MAISHA CLUB alitamani kujua ni wapi itahamia kwa sababu party ya mwisho ilipofanyika walitangaza baada ya mwezi Mtukufu watu wote watahamia kwenye jumba jipya la starehe kwenye location mpya Dar es salaam.

KUNA NINI TENA JUX NA VANESA


Jux and Vanessa at KTMA
Jux and Vanessa at KTMA 2
To me this Photo says something must have been going on between Jux and his chick Vanessa and their Neighbors…
What do you think? Feel free to drop your comments  below…

ALIKIBA AKISOMA HIKI ATAKUFA

WATOTO HAWA NI AJABU

LAYIII
Rameshbhai Nandwana, 34, of Gurjarat, India, After knowing his children's they will die.  Father plans to sell his own kidney to fund life-saving treatment for his three morbidly-obese children.

KUTANA NA FAMILIA HII YA HUKO INDIA AMBAPO WATOTO WANAOKULA CHAPATI NANE, BOKSI 5 ZA BISKUTI, SODA CHUPA KUBWA 2, WALI KILO 3, NDIZI KUMI NA MBILI T

 



Rameshbhai Nandwana, 34, of Gurjarat, India, After knowing his children's they will die.  Father plans to sell his own kidney to fund life-saving treatment

DOGO ASLEY NA WEMA SEPETU MAHABA NJE NJE

LAYIII NIFATE HAPA
Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka mahusiano yake wazi,

DOGO ASLAY KUTOKA KUNDI LA YAMOTO BAND APANGUA SKENDO YA KUTOKA NA WEMA SEPETU 

Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka

HUYU DEMU AMESHIKA SIMU YA MPENZI WAKE ALICHUKIKUTA HAKIELEZEKI, SOMA HAPA


Mimi ni kijana umri miaka 26 mchumba wangu anafanya kazi katika kampuni moja hivi ya binafsi ,japo hatujaoana lakin tuna kawaida ya kutembeleana mara kwa mara,yeye anaishi Kinondoni Mkwajuni mimi naishi Ubungo Riverside,

OMG...!!!!!SHOCKING VIDEO>>WATCH THIS VIDEO <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM


Weekend hii nilienda kumtembelea akanipa simu yake nimwekee vocha nikiwa naweka vocha nikashangaa sms inaingia "honey uko wapi". Sikumwambia chochote na wala sikuifingua iyo sms ila niliweza kuisoma coz simu yake ni smartphone aina ya Sony yaan sms ikitumwa uwa inapita kwa juu unaweza kuisoma yote.

               WATCH THIS VIDEO <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM

Niliamua kufungua whatsApp yake nikaanza kupitia baadhi ya chatting zake cha ajabu nikakutana na chatting moja amechat na mwanaume nilijua ni mwanaume coz niliangalia profile picture yake na sms zao zilinitsha sana jamaa kuna sms anasema " Juzi nilifurah mno nilipokuingizia nyuma" halafu mchumba wangu alisms akajibu". Mwenzio sijazoea nyuma". Kuna sms nyingine jamaa alituma akisema " Mwezi wa 6 inabd nikutie mimba".Daah niliishiwa pozi lakini sikusema kitu chochote hadi leo bado niko kimya.

 <<CLICK HERE>>TBCUELTD.BLOGSPOT.COM

Naombeni ushauri wenu.
 By Sodoka on JF

ANATAMANI LULU MICHAEL AFE TU


GOOD NEWZ SHILOLE ATOA VIDEO YA MALELE

Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama video hii mpya ya mwimbaji Shilole iitwayo ‘Malele’ iliyotayarishwa na director Khalfani, 

Good news ni kwamba video ya ‘malele’ ya Shilole ndio hii imetoka.

Shilole 2
Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama video hii mpya ya mwimbaji Shilole iitwayo ‘Malele’ iliyotayarishwa na director Khalfani, ukishaitazama usiache kuniachia comment yako mtu wangu ili Shilole akipita baadae ajue watu wake wanasemaje. WAWEZA INGIA YOUTUBE KUICHEKI







 


BEN PAUL NUSURU AZAME..............

LAYIIII

#Breaking: Mwimbaji Ben Pol anusurika kwenye ajali ya boti iliyozama.

Mwimbaji Ben Pol staa wa hit single ya ‘Sophia’ amenusurika kifo baada ya boti waliyokua wakisafiria na wenzake kuzimika katikati ya safari. Baada ya kunusurika na baadae kuokolewa, Ben aliandika maneno yafuatayo kwa herufi kubwa >>> ‘MUNGU MKUBWA NA NINAMSHUKURU SANA KWA KUNIPA NAFASI NYINGINE YA KUISHI DUNIANI,

SEAMwimbaji Ben Pol staa wa hit single ya ‘Sophia’ amenusurika kifo baada ya boti waliyokua wakisafiria na wenzake kuzimika katikati ya safari.

Umeona Arsenal walivyotambulisha Jezi zao mpya? Unaambiwa MC alikuwa Thierry Henry.. (PICHAZ)

LAYIIII
 
heny2
Maandalizi ya zile pilikapilika za Ligi mbalimbali Ulaya yanaendelea, kwenye Klabu kuna mengi yanafanyika ikiwemo kubadili Jezi zao na kuzitangaza.

heny
Arsenal wameingia kwenye Headlines nao baada ya kuzindua Jezi zao mpya watakazozitumia msimu wa 2015/16… Uzinduzi umefanyika kwenye Uwanja wao wa nyumbani wa Emirates, London na MC alikuwa striker wa zamani wa Klabu hiyo, Thierry Henry.

Headlines za Asha-Rose Migiro June 15 maamuzi yake mapya kuhusu urais wa Tanzania

LAYIII
.
.
CCM imepanga kuanzia mwezi huu hadi Julai 2 kuwa ni muda wa makada wake kuchukua na kurudisha fomu kabla ya vikao vya juu vya chama hicho kukutana kuanzia Julai 12 kuchuja wagombea na baadaye kumpata mmoja atakayesimama kwenye Uchaguzi Mkuu kupambana na wa vyama vingine.
Baada ya makada wa CCM kutangaza nia na hatimaye kuchukua fomu za kugombea urais ikiwa imefikia idadi ya makada 34 wameshachukua fomu, sasa leo june 15 waziri wa katibu na sheria Dkt. Asha Migiro amekuwa mwanamke wa nne kutoka kwenye chama hicho kuchukua fomu ya kugombea za ridhaa.
Akizungumza kupitia TBC1 alisema ‘Kwanza nakishukuru chama cha mapinduzi kwa kuweka mazingira ya kutufanya wengi tujitokeze mara baada ya kufungua pazia la kusaka wale ambao watapata ridhaa ya chama cha Mapinduzi...”

KILICHO MPONZA DIAMOND TUZO ZA KILI HIKI HAPA

Waandishi Wetu
Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond

RAY C KILIO TENA HOSPITALINI

LAYIIIII
Musa Mateja
Maskini! Sexy lady kunako anga la Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amejikuta akiangua kilio hospitalini kutokana na kile kilichodaiwa ni hasira baada ya kudai kufanyiwa ndivyo sivyo na madaktari, Ijumaa Wikienda lina kisa cha kusikitisha.

advertise here