Watuhumiwa wa biashara na matumizi ya dawa za kulevya waliotajwa hivi
karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamm, Paul Makonda, Jumanne hii,
February 7, 2017 wamefikishwa katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es
Salaam kujibu tuhuma zinazowakabili.
Mastaa hao wakiwemo TID, Nyandu Tozi, Babu wa Kitaa, Romy Jones, Tunda,
na wengine, wameachiwa kwa sharti la dhamana ya shilingi milioni 10 kila
mmoja na watakuwa wakiripoti kwa mwezi mara mbili huku