Wednesday, 4 May 2016

WAKATI WEWE UNAUGULIA NJAA NA UHABA WA FEDHA FLOYD MAYWEATHER ANACHOMA DOLLAR

SWAXBZ

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe

Pembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili wake...Jamaa ana kufuru

NICKI MINAJ Kamchagua yupi Kati ya Meek Mill na Drake? Jibu Liko Hapa

Chanzo na udaku specially
SWAXBZ

Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek Mill ambaye ni boy friend wake.
Kwa mujibu wa Hollywood Life Nicki Minaj amemchagua Meek Mill na amekata mawasiliano kabisa na rapa Drake ambaye wapo pamoja kwenye lebel moja ya Young Money.
Wawili hawana mawasiliano toka June 2015 beef kati ya Meek na Drake lilipoanza. Pia mpaka sasa

MTANGAZAJI WA CLOUDSFM DIVA KASEMA NYIMBO ZAKE ZINABANIWA KUPIGWA REDIONI

SWAXBZ

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.

Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa zikiwapa support bila kujali kuwa wanatoka Clouds lakini redio karibu zote za Dar zimekuwa zikibania nyimbo zao.

Diva ambaye anaandaa album yake, The Life of The Diva, amesema kuwa hicho ni kitu ambacho angependa kuona kinafutika.

MAMA MZAZI WA TUPAC SHAKUR AFARIKI DUNIA

SWAXBZ


Mamaake aliyekuwa mwanamuziki wa mtindo wa Rap Tupac Shakur ,Afeni Shakur amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
Kaunti ya California imethibitisha kifo chake kupitia ujumbe wa Twitter.Hakuna maelezo zaidi yaliotolewa.
Alice Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na kujiunga na vuguvugu la Black Panther.
Alikuwa na mimba ya Tupac mwaka 1971 alipokamatwa na kufungwa jela pamoja na wanachama

BASI LA WANAWAKE LAZUA MJADALA

SWAXBZ 


Uzinduzi wa basi la wanawake pekee katika mji mmoja wa China umewakasirisha wanaume wa taifa hilo na kuzua mjadala mkali katika mitandao ya kijamii.
Huduma hiyo mpya itatolewa wakati wa asubuhi na wakati wa shughuli nyingi katika mji wa mashariki wa Zhengzhou katika juhudi za kupunguza visa vya wanawake kusumbuliwa na wanaume kulingana na gazeti la Dahe daily.
Kampuni hiyo ya basi itawalinda wanawake dhidi ya kunyanyaswa wakati wanapovaa nguo nyepesi

Tuesday, 3 May 2016

MAELFU KUAGA MWILI WA PAPA WEMBA

LAYIII

Papa Wemba
Maelfu ya waombolezaji walijitokeza kuadhimisha misa ya wafu kwa heshima ya mwanamuziki nyota wa muziki wa Soukus na Rhumba raia wa Jamhuri ya Congo Papa Wemba.
Waomboloezaji walipiga foleni ilikupata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa msanii huyo nguli aliyeaga dunia juma lililopita alipokuwa akiwatumbuiza mashabiki wake huko Abidjan Ivory Coast.
Mwili wake umewekwa katika majengo ya bunge mjini Kinshasa.

WHATSUP HAIJAFANYA KAZI NDANI YA SAA 72 HUKO BRAZIL

LAYIII

Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.Hakimu huyo Marcel Montalvao amesema kampuni inayomiliki mtandao huo imeshindwa kusaidia kutoa taarifa katika kesi ya uhalifu.
Mwezi Machi,Montalvao aliamuru kukamatwa kwa afisa mwandamizi wa Facebook katika nchi za Kilatini bwana Diego Dzoran baada ya kukataa kutoa ushirikiano katika uchunguzi dhidi ya dawa za

DOWNLOAD NGOMA MPYA YA HARMONIZE NA RAYMOND (PENZI)

LAYIII
Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymond wameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, millardayo.com imeinasa na kukusogezea track hiyo

Monday, 2 May 2016

Utafiti: Matumizi makubwa ya mitandao ya kijamii yanasababisha sonona (depression)

LAYIII

Watafiti wa University of Pittsburgh School of Medicine walifanya utafiti kuhusu madhara ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika mood ya watumiaji.

Utafiti huo ulibaini kuwa kadri vijana wanavyotumia mitandao hiyo zaidi, ndivyo wanavyopata tatizo la sonona ambalo kitaalam linajulikana kama depression, au kukosa uchangamfu na furaha.

“Kwasababu mitandao ya kijamii imekuwa kitu kilichojiweka kwenye mawasiliano ya binadamu, ni muhimu kwa wauguzi kuongea na vijana kuhusu kutambua uwiano unaotakiwa kuwepo na kuhimiza matumizi chanya wakati wakijiondoa kwenye matumizi yenye matatizo,” alisema Brian A. Primack, M.D., Ph.D., ambaye ni mwandishi mkuu wa utafiti huo.

WASANII WANAFANYIWA FAIR SANA :MANENO YA MASTER J

LAYIII

L
Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.

Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia Marco Chali akifanya kazi hiyo.

Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J alisema, ‘Maproducer

Download | Madee - Migulu Pande [Audio]

LAYIII

Download | Barakah Da Prince & Ben Pol Feat. Mr. Blue - Mwambie [Audio]

LAYIII

VARDY MCHEZAJI BORA WA MWAKA UINGEREZA

LAYIII
Vardy
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.
Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.

KOCHA WA ARSERNAL , WENGER KUMBE ALITEGEMEA MABANGO MENGI KUTOKA EMIRATES

LAYIII
Wenger
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema alitarajia mashabiki zaidi waonyeshe kutoridhishwa naye wakati wa mechi ya Jumamosi dhidi ya Norwich.
Arsenal walishinda 1-0.
Wenger atatimiza 20 kwenye usukani Arsenal Oktoba mwaka huu lakini mara yake ya mwisho kushinda ligi ilikuwa 2004 na baadhi ya mashabiki waliinua mabako ya kusema “wakati wa mabadiliko umefika” uwanjani Emirates.

NIMEKUSOGEZEA JEDWALI LINALOONYESHA MSIMAMO WA LIGI YA EPL

LAYIII
ULIMIS KUIONA TARIFA YA HABARI HIII CHEKI HAPA Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 2 Mei, 2016.

CIA YASHUTUMIWA MTANDAONI KWA SABABU YA OSAMA

LAYIII

OsamaL
Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.
Shirika hilo limekuwa likiandika ujumbe kwenye Twitter na kusimulia matukio yaliyopelekea kuuawa kwa kiongozi huyo wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda kana kwamba yalikuwa yanafanyika

WATU 45 WAFARIKI DUNIA KWA KIPINDU PINDU

LAYIII
Zanzibar
Watu zaidi ya 45 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu visiwani Zanzibar katika kipindi cha miezi miwili, shirika la habari la AP limeripoti.
Shirika hilo la habari limemnukuu afisa wa afya visiwani humo anayesema vifo hivyo vimetokea mwezi Machin a Aprili.
Muhammed Dahoma, ambaye ni mkurugenzi wa anayeangazia kuzuia maradhi katika wizara ya afya, anasema watu karibu 3,000 wamelazwa hospitalini baada ya kuugua.
Ameongeza kuwa serikali ya Zanzibar imechukua hatua kukabiliana na mlipuko huo.
Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kupiga marufuku uuzaji wa chakula na juisi maeneo ya wazi.
Taarifa kutoka visiwani humo zinasema serikali pia imeamuru kufungwa kwa shule zote kwa muda usiojulikana.
Waziri wa elimu Riziki Pembe Juma, amenukuliwa na shirika la habari la Uchina la Xinhua, akisema uamuzi huo umetolewa baada ya kubainika kwamba wanafunzi ni miongoni mwa watu walioathiriwa zaidi na ugonjwa huo.
“Tumejaribu kudhibiti hali, lakini kwa maslahi ya watoto wetu, watakuwa salama zaidi wakisalia nyumbani,” amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa Xinhua.
Ameongeza kuwa baadhi ya shule zimeathirika zaidi kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Kisiwa cha Unguja ndicho kilichoathirika zaidi ambapo watu 20 wamefariki na 400 kuambukiwa tangu Januari mwaka huu.
Waziri wa afya Mahmoud Thabit Kombo aliambia gazeti la serikali la Daily News wiki jana kwamba ikizingatiwa kwamba Zanzibar ni visiwa vidogo na watu si wengi sana “kipindupindu sasa ni tishio kubwa”.
Mlipuko wa kipindupindu ulianza mwaka jana.
Kufikia Oktoba, visa 140 vya maambukizi vilikuwa vimeripotiwa katika visiwa hivyo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).


MIILI YA WATU ILIYOPOTEA KWA MIAKA KUMI NA SITA(16) YAPATIKANA

LAYIII
Lowe
Miili ya wakwea milima wawili kutoka Marekani waliotoweka katika milima ya Himalaya miaka 16 iliyopita imepatikana.
Mkwea milima maarufu duniani Alex Lowe alikuwa akikwea katika kilele cha Shishapangma chenye urefu wa 8,013m (26,290ft) eneo la Tibet Oktoba 1999 akiwa na mpiga picha David Bridges mkasa ulipotokea.
Wawili hao walifukiwa na maporomoko ya theluji.

DAVIDO KAMPIGA SHABIKI WAKE VIBAO HUKO UINGEREZA

LAYIII

Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini Uingereza.

davidoz

Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.

Raila Rubbishes Uhuru Ivory Burning...

LAYIII


Opposition leader Raila Odinga has rubbished Saturday's burning of ivory stockpiles as a public relations gimmick by the Jubilee Administration designed to please the international community.

Raila said that the poachers and the kingpins behind the poaching syndicate in the country enjoyed their freedom ridiculing the burning spectacle.

Saturday, 30 April 2016

MADAWA YA KULEVYA NI KWELI YAMEMWANGAMIZA FEROOZ ........... MSKILIZE HAPA

LAYIII
JIUNGE NA MAFANIKIO HAPA http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704
Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.

Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.

JUA ZAIDI KUHUSU SIMU FEKI NA MSIMAMO WA TCRA

LAYIII
UNAWEZA KUJITENGENEZEA PESA MWENYEWE KAMA UTAWEZA KUJIUNGA NA IQOPTION SASA BONYEZA HAPA AU PICHA HII
 http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704

Friday, 29 April 2016

BARA BARA TANO HATARI DUNIANI

LAYIII
 PICHA YOYOTE UKIBONYEZA HAPA UTAPATA NAFASI YA KUJIUNGA NA IQOPTION

KIPYA CHAZUKA KUHUSIANA NA KIFO CHA PAPA WEMBA TIZAMA VIDEO HIII

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJUA ZAIDI VIDEO IKO HAPO CHINI 
http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704
Taarifa  ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea
Kipande cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka inadaiwa jamaa yuleyule badala

MGOMBEA URAIS MAREKANI ASHINDWA KUTAMKA NENO TANZANIA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII UJISAJIRI NA IQOPTION KUTENGENEZA PESA VILE UWEZAVYO
Trump
Mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya kuonekana akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw Trump alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa kuzungumzia sera yake ya kigeni.
Badala ya kutamka vyema ‘Tanzania’ anasikika akitamka ‘Tan-zay-nia’.

KUMBE ARSERNAL WENGER ALIPOTEZA TAJI LA LIGI NYUMBANI

LAYIIII

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa timu yake ilipoteza harakati za kushinda ligi wakati wa kucheza mechi za nyumbani dhidi ya timu zilizo chini ye jedwali.
Arsenal iliopo katika nafasi ya nne imeshinda mechi sita kati ya mechi 16 ilizocheza.
Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.

MBADALA WA SHIKA ADABU YAKO NA NAY WA MITEGO UMEACHILIWA

LAYIIII
Nay wa Mitego:naachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na (BASATA).
Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Msanii huyo alisema kuwa anatarajia wimbo huo mpya ambao bado hajaupa jina utapendwa na mashabiki wa miziki wa kizazi kpya kutokana na mashairi yake kuyapangilia vyema.
“Mei 9 mwaka huu nitaachia wimbo na video ya wimbo wangu mpya ambao ninaamini kuwa ni mkali kuliko

Thursday, 28 April 2016

WEMA AFUNGUKA KUHUSU MAKALIO YAKE FEKI

LAYIII

Madai ya staa mkubwa Bongo aliye pia Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu kwamba wowowo lake linazidi kuwa kubwa kwa sababu anatumia dawa za Kichina yanazidi kushika kasi huku kwa mara ya kwanza mama yake mzazi, Mariam Sepetu akifunguka, Amani limechimba ukweli.

MADAI YALIPOANZA
Mashoga wanena, alianza na kuongeza unene, sasa kahamia kwenye makalio ili awe na wowowo.
Manenomaneno hayo yakazidi kushika kasi zaidi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kitu ambacho kinadaiwa kuikosesha amani familia ya staa huyo na hata yeye mwenyewe.


Kulikoni jijini Mwanza, Pati ya Instagram yazua mjadala.
Wa mtandaoni wao wanasema Wema anatumia dawa za Kichina kukuza ‘tela’ lake.

WEMA ALIPOTAFUTWA
Agoma kupokea simu.
Agoma kujibu ujumbe.
mamawema1Mama Wema

MAMA YAKE MZAZI SASA
“Nawashangaa wanaomsema vibaya mwanangu kuwa amejaladia (wowowo), wengine wanasema anatumia dawa za Kichani, hakuna ukweli wowote kwani Wema ni mwanangu, namjua alivyo. Hakuna kitu alicho-ongeza kwenye mwili wake.”
 

SHULE YADIDIMIA BAHARINI HUKO GHANA

LAYIII
 https://www.youtube.com/watch?v=qh7qJX4wtRA
Nyumba nyingi katika pwani ya jimbo la Volta huko Ghana zimeharibiwa na mawimbi katika kipindi cha wiki moja iliopita.
Shule hii ilikuwa mbali na ufukwe wa bahari miaka michache iliopita lakini sasa imedidimia ardhini.
Kulikuwa na wanafunzi 54 katika shule hii lakini sasa hawana madarasa.Hatma ya elimu yao haijulikani.
M'momonyoko unaosababishwa na bahari umeharibu vijiji katika ufukwe wa bahari ya Afrika Magharibi ,na

Wednesday, 27 April 2016

TENGENEZA PESA MTANDAONI NA IQ OPTIONS NAFASI YAKO SASA SIMU YAKO TU INATOSHA KUFANIKISHA YOTE HAYO

LAYIII
BONYEZA PICHAA HII KUJARIBU BAHATI YAKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4M3Dg0EerFqwDK9i9LhBQ6STPHsBrNKfqrM85K2VB1FS4oPzkvTGCr712pIcdqXxejeSsquXaDbJjoBenUZuRYZrccUtez58SKfxu336sqkSIk4Blvpv7wXQOVlYUeFKAkvSjos5FdkU/?imgmax=800
Unachotakiwa kufanya ni kubonyeza ndani ya sekunde 60 tu utakuwa umetengeneza zaidi ya 85% faida
kadilia ni mwelekeo upi bei itaelekea kama itapanda au itashuka kisha utatengeneza zaidi ya 85% kama utaweza kufauru kukadilia

JISAJIRI HAPA KWA MAJARIBIO

SNURA WIMBO WA CHURA UMENIRUDISHA KIMUZIKI

LAYIII
Snura:Hakuna utata Chura amenirudisha kwenye nafasi kubwa ndani ya muziki wangu.
Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa wimbo wake wa chura ni chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba utaweza kumuinua baada ya kukaa kwa muda kidogo.
Akizungumza Stura alisema kuwa pamoja na kukaa kimya lakini bado kibao hicho ambacho tayari kipo kwenye video kimeshika nafasi ya juu kiasa kwamba mashabiki wake wamekuwa wakimtumia maoni ya kumpongeza.

MR BLUE NA ALIKIBA MBIONI KUACHIA MZIGO MKUBWA

LAYIII
Mr Blue kuachia Mkwaju na King Kiba.
Nota wa Bongo Fleva, Herry Samir ‘Mr Blue’ ambaye hivi karibuni aliuaga ukapera kwa kuamua kufunga pingu za maisha na mzazi mwenzake, Wayda, amedai anatarajia kuachia wimbo mpya ambao amemshirikisha Ali Kiba.
Mr Blue amedai kwamba wimbo huo utajulikana kwa jina la ‘Mboga Saba’
Akizungumza na MTANZANIA, Mr Blue alisema kuwa wimbo huo upo tayari na anatarajia kuuachia wiki

Monday, 25 April 2016

RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA AME UNFOLLOW WATU WOTE TWITTER NA KUACHA WATU KUMI NA MOJA TU ... JPM YUMO

LAYIII

President Uhuru Kenyatta has unfollowed most of the people he had been following on Twitter leaving only 11, mainly famous Heads of State.

Kenyatta who has been the most popular Twitter personality in Kenya based on the number of followers, was following more than 140 people but his following has suddenly shrinked.

The President has only retained United States President Barrack Obama, François Hollande of France, Indian Prime Minister Narendra Modi and Japan's Abe Shinzo.

KAMA HUKUJUA HIZI HAPA AINA NNE ZA MICHEPUKO

LAYIII

1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.

2. MCHEPUKO VUMBI: Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa, oooh mara nipo saluni nadaiwa elf thelathin, naomba nauli.....n.k! Na hii ndio noma maana njia kuu lazima washtuke mana mchepuko vumbi unachafua na unasumbua full time.

ASKOFU WA KKKT MALASUSA AKAMATWA UGONI

LAYIII

MUME wa mwanamke anayedaiwa kumkamata ugoni Askofu Dk Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKK) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) anatafuta watoto waliotoroshwa kwa maelekezo ya Malasusa na Jeshi la Polisi, anandika Josephat Isango.

Akizungumza baada ya kuachiwa huru kutoka polisi kwa tuhuma za kushambulia, amesema watoto wake walichukuliwa na raia mmoja mjerumani aliyeolewa na mtanzania, anaitwa Caroline Shedafa.

Caroline Shedafa ametuhumiwa kuwa ametumia mwanya wa malalamiko ya Mwakilima na Malasusa kwa sababu ya urafiki alifanikiwa kuwatorosha watoto hao na kwamba ana mpango wa kuwasafirisha kwenda nje ya nchi wakati wowote.

WATATU WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KILIMANJARO

LAYIII

Watu watatu akiwemo raia wa Kenya wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Mirungi na Bangi kilo 54 na misokoto ya Bangi 4,500 ikisafirishwa kutoka nchini Kenya kwenda mkoani Arusha.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Bw.Wilbrod Mutafungwa amesema watuhumiwa hao wamekamatwa katika maeneo ya njia panda Himo wilaya ya Moshi na Sanya juu wilaya ya Siha wakiwa wameficha madawa hayo ya kulevya kwenye miili yao kuanzia maeneo ya tumboni hadi

KUTANA NA MAGAZETI YA LEO TAREHE 26/4/2016

LAYIII

April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, UdakuMichezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

MANENO YA ZITTO KABWE KUHUSU JP KUINGILIA KAZI ZA MAWAZIRI

LAYIII

April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amempongeza Rais John Magufuli kwa kuanza katika eneo la ufisadi ambalo ni muhimu sana ambalo anasema ni msingi mkubwa wa kuanzishwa chama chao.

KUMBE HII NDIO MAANA YA NDI NDI NDI YA LADY JAYDEE

LAYIII

Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura maarufu kama Lady JayDee ameweka hadharani maana ya ngoma yake mpya inayotesa mtaani kwa sasa kwa jina la NdiNdiNdi.

Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo ni ‘The Ndi Mimi ni kitu Tori wewe si kitu’ ili kuleta fleva

KUMBE PAPA WEMBA NA DIAMOND PLATNUMZ WALIFANYA PROJECT KABLA YA IFO CHAKE

LAYIII
Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz ameoneshwa kustushwa kwake na taarifa za kifo cha mwanamuziki mwenye asili ya Congo Papa Wemba, huku akielezea jinsi walivyokutana siku chache zilizopita na kufanya naye collabo.

Kwenye ukurasa wake wa Facebook Diamond ameelezea huzuni hiyo, huku akitoa taarifa kuwa kulikuwa na mipango mingi ya wao kufanya kazi, lakini mauti yameshafuta mipango hiyo.

CHANZO PICHA ZA UCHI SIWEMA WA NAY AFUNGWA MIAKA MIWILI ...NAY AAPA KUMTOA GEREZANI

LAYIII
siwema1
Wiki iliyopita zilianza kusikika taarifa mbalimbali kuhusu kuhukumiwa kwa mpenzi wa zamani na mama mtoto wa msanii Nay wa Mitego aliyehukumiwa kwenda jela miaka miwili  jijini  Mwanza.


Pamoja na taarifa zote hizo kutoka hakukuwa na taarifa za kina kueleza ni nini hasa kilitokea mahakamani mpaka akahukumiwa jela miaka miwili  ila taarifa za awali  zilidai kwamba

HIII NDO TIA SAHIHI YA UGONJWA WA BAWASIRI

LAYIII

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au uvimbe

Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,

TAARIFA KUTOKA IKULU KWA JPM LEO TAREHE 25/4/2016

LAYIII



April 25 2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambayo imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto nchini. 
Kamishna wa Polisi Andengenye anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhandisi Pius Makuru

LADY JAYDEE NDI NDI NDI OFFICIAL VIDEO

LAYIII
IMG_9693

KWELI DUNIA INAEEKEA UKINGONI MWANASIASA WA MIAKA 90 KUOA MWANAUME MAREKANI

LAYIII
Harris Wofford
Seneta mmoja wa zamani wa Marekani, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 90, ametangaza kwamba atamuoa mwanamume wa umri wa miaka 40.
Wawili hao watafunga ndoa mwishoni mwa mwezi huu.
Harris Wofford, aliyehudumu katika utawala wa Rais J F Kennedy kama msaidizi maalum aliyehusika na masuala ya haki za raia, aliachwa akiwa mjane baada ya mkewe Clare kufariki kutokana na saratani ya damu miaka 20 iliyopita.
Walikuwa wameishi katika maisha ya ndoa kwa miaka 48.
Akiandika katika gazeti la New York Times, Bw Wofford amesema anajihisi mwenye bahati sana kuishi katika enzi ambazo Mahakama ya Juu Marekani imetambua kwamba “ndoa haitegemeu maumbile ya mtu kijinsia, uamuzi au ndoto za mtu.”
“Msingi wake ni upendo.”
Mwanamume atakayeolewa naye ametambuliwa kama Matthew Charlton.
Wofford alihudumu wakati mmoja kama seneta wa chama cha Democratic akiwakilisha jimbo la Pennsylvania.
Aidha, alihudumu kama mshauri wa Dkt Martin Luther King Jr.
"Mnamo Aprili 30, katika umri wa miaka 90 na 40, tutaunganisha mikono yetu, tukiapa kuunganizhwa pamoja (kwenye ndoa): kuwa pamoja na kuishi pamoja, kwa mema na kwa mabaya, kwa utajiri na umaskini, katika maradhi na katika afya bora, kupenda na kuenzi, tangu kifo kitutenganishe," amehitimisha Wofford katika makala yake iliyochapishwa katika gazeti la New York Times Jumapili

Sunday, 24 April 2016

MCHEZA MIELEKA NA NYOTA WA FILAMU ZA NGONO AFARIKI DUNIA

LAYIII

Aliyekuwa mchezaji miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna amefariki akiwa na umri wa miaka 45.
Meneja wake amethibitisha habari hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter.
''Ni masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi sote tuliompenda.
Chyna alipatikana amefariki nyumbani kwake katika ufukwe wa bahari wa Redondo,mjini California,baada ya kurudi nyumbani kutoka Japan.

WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA HIZI HAPA NDI SHIDA WANAZO ZIPATA

LAYIII

Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa na wanawake wenye makalio makubwa. kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani, Lakini mara nyingi hawadumu kwenye mahusiano kwani Wanaume wengi ambao hawana mapenzi ya kweli huwa wanataka kuonja tu na mara nyingi wanakuta kile ambacho hakutegemea hivyo kukimbia...na kumwacha mwanamke anaumia....Takwimu zinaonyesha wanawake wanene wanaongoza kuumizwa na wenza wao kulilo vipotaable...

MWANAMZII NGURI KUTOKA CONGO PAPA WEMBA AFARIKI DUNIA AKIWA JUKWAANI

LAYIII

Mwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leo.

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marehemu Papa Wemba amefia hospitali alikokimbizwa mara baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akiwa katika onesho jukwaani.

advertise here