Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye
kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata
mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek Mill ambaye ni boy friend
wake.
Kwa mujibu wa Hollywood Life Nicki Minaj amemchagua Meek Mill na amekata
mawasiliano kabisa na rapa Drake ambaye wapo pamoja kwenye lebel moja
ya Young Money.
Wawili hawana mawasiliano toka June 2015 beef kati ya Meek na Drake
lilipoanza. Pia mpaka sasa
SWAXBZ
Mtangazaji
wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji
mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona
si sawa.
Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa zikiwapa support bila kujali
kuwa wanatoka Clouds lakini redio karibu zote za Dar zimekuwa zikibania
nyimbo zao.
Diva ambaye anaandaa album yake, The Life of The Diva, amesema kuwa hicho ni kitu ambacho angependa kuona kinafutika.
Mamaake aliyekuwa mwanamuziki wa mtindo wa Rap Tupac Shakur ,Afeni Shakur amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
Kaunti ya California imethibitisha kifo chake kupitia ujumbe wa Twitter.Hakuna maelezo zaidi yaliotolewa.
Alice
Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima
alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na kujiunga na vuguvugu la Black
Panther.
Alikuwa na mimba ya Tupac mwaka 1971 alipokamatwa na
kufungwa jela pamoja na wanachama
Uzinduzi wa basi la wanawake pekee
katika mji mmoja wa China umewakasirisha wanaume wa taifa hilo na kuzua
mjadala mkali katika mitandao ya kijamii.
Huduma hiyo mpya
itatolewa wakati wa asubuhi na wakati wa shughuli nyingi katika mji wa
mashariki wa Zhengzhou katika juhudi za kupunguza visa vya wanawake
kusumbuliwa na wanaume kulingana na gazeti la Dahe daily.
Kampuni
hiyo ya basi itawalinda wanawake dhidi ya kunyanyaswa wakati wanapovaa
nguo nyepesi
Maelfu ya waombolezaji walijitokeza
kuadhimisha misa ya wafu kwa heshima ya mwanamuziki nyota wa muziki wa
Soukus na Rhumba raia wa Jamhuri ya Congo Papa Wemba.
Waomboloezaji
walipiga foleni ilikupata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa
msanii huyo nguli aliyeaga dunia juma lililopita alipokuwa akiwatumbuiza
mashabiki wake huko Abidjan Ivory Coast.
Mwili wake umewekwa katika majengo ya bunge mjini Kinshasa.
Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga
mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.Hakimu
huyo Marcel Montalvao amesema kampuni inayomiliki mtandao huo imeshindwa
kusaidia kutoa taarifa katika kesi ya uhalifu.
Mwezi
Machi,Montalvao aliamuru kukamatwa kwa afisa mwandamizi wa Facebook
katika nchi za Kilatini bwana Diego Dzoran baada ya kukataa kutoa
ushirikiano katika uchunguzi dhidi ya dawa za
Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymondwameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, millardayo.com imeinasa na kukusogezea track hiyo
LAYIII Watafiti wa University of Pittsburgh School of Medicine walifanya
utafiti kuhusu madhara ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika mood
ya watumiaji.
Utafiti huo ulibaini kuwa kadri vijana wanavyotumia mitandao hiyo zaidi,
ndivyo wanavyopata tatizo la sonona ambalo kitaalam linajulikana kama
depression, au kukosa uchangamfu na furaha.
“Kwasababu mitandao ya kijamii imekuwa kitu kilichojiweka kwenye
mawasiliano ya binadamu, ni muhimu kwa wauguzi kuongea na vijana kuhusu
kutambua uwiano unaotakiwa kuwepo na kuhimiza matumizi chanya wakati
wakijiondoa kwenye matumizi yenye matatizo,” alisema Brian A. Primack,
M.D., Ph.D., ambaye ni mwandishi mkuu wa utafiti huo.
L
Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Tanzania, Master J amesema kuwa
maproducer ndio wanaomiliki beat ila wanawafanyia fair wasanii.
Master J ambaye ni mmiliki wa studio ya MJ Record amefanikiwa kufanya
kazi na wasanii wakongwe wakubwa kwenye muziki wa Bongo Flava lakini pia
alistaafu kazi hiyo ya kuandaa muziki tangu mwaka 2005 na kumuachia
Marco Chali akifanya kazi hiyo.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Master J
alisema, ‘Maproducer
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.
Mshambuliaji
huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na
kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.
Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger
amesema alitarajia mashabiki zaidi waonyeshe kutoridhishwa naye wakati
wa mechi ya Jumamosi dhidi ya Norwich.
Arsenal walishinda 1-0.
Wenger
atatimiza 20 kwenye usukani Arsenal Oktoba mwaka huu lakini mara yake
ya mwisho kushinda ligi ilikuwa 2004 na baadhi ya mashabiki waliinua
mabako ya kusema “wakati wa mabadiliko umefika” uwanjani Emirates.
Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA)
limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio
yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.
Shirika hilo limekuwa
likiandika ujumbe kwenye Twitter na kusimulia matukio yaliyopelekea
kuuawa kwa kiongozi huyo wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda kana kwamba
yalikuwa yanafanyika
Watu zaidi ya 45 wamefariki kutokana
na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu visiwani Zanzibar katika kipindi
cha miezi miwili, shirika la habari la AP limeripoti.
Shirika hilo la habari limemnukuu afisa wa afya visiwani humo anayesema vifo hivyo vimetokea mwezi Machin a Aprili.
Muhammed
Dahoma, ambaye ni mkurugenzi wa anayeangazia kuzuia maradhi katika
wizara ya afya, anasema watu karibu 3,000 wamelazwa hospitalini baada ya
kuugua.
Ameongeza kuwa serikali ya Zanzibar imechukua hatua kukabiliana na mlipuko huo.
Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kupiga marufuku uuzaji wa chakula na juisi maeneo ya wazi.
Taarifa kutoka visiwani humo zinasema serikali pia imeamuru kufungwa kwa shule zote kwa muda usiojulikana.
Waziri
wa elimu Riziki Pembe Juma, amenukuliwa na shirika la habari la Uchina
la Xinhua, akisema uamuzi huo umetolewa baada ya kubainika kwamba
wanafunzi ni miongoni mwa watu walioathiriwa zaidi na ugonjwa huo.
“Tumejaribu
kudhibiti hali, lakini kwa maslahi ya watoto wetu, watakuwa salama
zaidi wakisalia nyumbani,” amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa
Xinhua.
Ameongeza kuwa baadhi ya shule zimeathirika zaidi kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Kisiwa cha Unguja ndicho kilichoathirika zaidi ambapo watu 20 wamefariki na 400 kuambukiwa tangu Januari mwaka huu.
Waziri
wa afya Mahmoud Thabit Kombo aliambia gazeti la serikali la Daily News
wiki jana kwamba ikizingatiwa kwamba Zanzibar ni visiwa vidogo na watu
si wengi sana “kipindupindu sasa ni tishio kubwa”.
Mlipuko wa kipindupindu ulianza mwaka jana.
Kufikia Oktoba, visa 140 vya maambukizi vilikuwa vimeripotiwa katika visiwa hivyo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
Miili ya wakwea milima wawili kutoka Marekani waliotoweka katika milima ya Himalaya miaka 16 iliyopita imepatikana.
Mkwea
milima maarufu duniani Alex Lowe alikuwa akikwea katika kilele cha
Shishapangma chenye urefu wa 8,013m (26,290ft) eneo la Tibet Oktoba 1999
akiwa na mpiga picha David Bridges mkasa ulipotokea.
Wawili hao walifukiwa na maporomoko ya theluji.
LAYIII
Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na
watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini
Uingereza.
davidoz
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua
maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli
au ilikuwa ni drama.
Opposition leader Raila Odinga has rubbished Saturday's burning of ivory
stockpiles as a public relations gimmick by the Jubilee Administration
designed to please the international community.
Raila said that the poachers and the kingpins behind the poaching
syndicate in the country enjoyed their freedom ridiculing the burning
spectacle.
LAYIII
JIUNGE NA MAFANIKIO HAPA
Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava
story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia
madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.
Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya
mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya
madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.
Taarifa
ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya
kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala
umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea
Kipande
cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye
stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka inadaiwa jamaa yuleyule badala
LAYIII
BONYEZA PICHA HII UJISAJIRI NA IQOPTION KUTENGENEZA PESA VILE UWEZAVYO
Mgombea urais wa chama cha
Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya kuonekana
akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw Trump
alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika
mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa
kuzungumzia sera yake ya kigeni.
Badala ya kutamka vyema ‘Tanzania’ anasikika akitamka ‘Tan-zay-nia’.
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger
amesema kuwa timu yake ilipoteza harakati za kushinda ligi wakati wa
kucheza mechi za nyumbani dhidi ya timu zilizo chini ye jedwali.
Arsenal iliopo katika nafasi ya nne imeshinda mechi sita kati ya mechi 16 ilizocheza.
Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.
LAYIIII
Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa
mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’
uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Msanii huyo alisema kuwa anatarajia wimbo huo mpya ambao bado hajaupa
jina utapendwa na mashabiki wa miziki wa kizazi kpya kutokana na
mashairi yake kuyapangilia vyema.
“Mei 9 mwaka huu nitaachia wimbo na video ya wimbo wangu mpya ambao
ninaamini kuwa ni mkali kuliko
LAYIII
Madai ya staa mkubwa Bongo aliye pia Miss Tanzania 2006, Wema Isaac
Sepetu kwamba wowowo lake linazidi kuwa kubwa kwa sababu anatumia dawa
za Kichina yanazidi kushika kasi huku kwa mara ya kwanza mama yake
mzazi, Mariam Sepetu akifunguka, Amani limechimba ukweli.
MADAI YALIPOANZA
Mashoga wanena, alianza na kuongeza unene, sasa kahamia kwenye makalio ili awe na wowowo.
Manenomaneno hayo yakazidi kushika kasi zaidi kwenye mitandao mbalimbali
ya kijamii kitu ambacho kinadaiwa kuikosesha amani familia ya staa huyo
na hata yeye mwenyewe.
Kulikoni jijini Mwanza, Pati ya Instagram yazua mjadala.
Wa mtandaoni wao wanasema Wema anatumia dawa za Kichina kukuza ‘tela’ lake.
MAMA YAKE MZAZI SASA
“Nawashangaa wanaomsema vibaya mwanangu kuwa amejaladia (wowowo),
wengine wanasema anatumia dawa za Kichani, hakuna ukweli wowote kwani
Wema ni mwanangu, namjua alivyo. Hakuna kitu alicho-ongeza kwenye mwili
wake.”
Nyumba nyingi katika pwani ya jimbo la Volta huko Ghana zimeharibiwa na mawimbi katika kipindi cha wiki moja iliopita.
Shule hii ilikuwa mbali na ufukwe wa bahari miaka michache iliopita lakini sasa imedidimia ardhini.
Kulikuwa na wanafunzi 54 katika shule hii lakini sasa hawana madarasa.Hatma ya elimu yao haijulikani.
M'momonyoko unaosababishwa na bahari umeharibu vijiji katika ufukwe wa bahari ya Afrika Magharibi ,na
LAYIII
BONYEZA PICHAA HII KUJARIBU BAHATI YAKO
Unachotakiwa kufanya ni kubonyeza ndani ya sekunde 60 tu utakuwa umetengeneza zaidi ya 85% faida
kadilia ni mwelekeo upi bei itaelekea kama itapanda au itashuka kisha utatengeneza zaidi ya 85% kama utaweza kufauru kukadilia
JISAJIRI HAPA KWA MAJARIBIO
LAYIII
Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa wimbo wake wa
chura ni chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba utaweza kumuinua
baada ya kukaa kwa muda kidogo.
Akizungumza Stura alisema kuwa pamoja na kukaa kimya lakini bado
kibao hicho ambacho tayari kipo kwenye video kimeshika nafasi ya juu
kiasa kwamba mashabiki wake wamekuwa wakimtumia maoni ya kumpongeza.
Nota wa Bongo Fleva, Herry Samir ‘Mr Blue’ ambaye hivi karibuni
aliuaga ukapera kwa kuamua kufunga pingu za maisha na mzazi mwenzake,
Wayda, amedai anatarajia kuachia wimbo mpya ambao amemshirikisha Ali
Kiba.
Mr Blue amedai kwamba wimbo huo utajulikana kwa jina la ‘Mboga Saba’
Akizungumza na MTANZANIA, Mr Blue alisema kuwa wimbo huo upo tayari
na anatarajia kuuachia wiki
LAYIII
President
Uhuru Kenyatta has unfollowed most of the people he had been following
on Twitter leaving only 11, mainly famous Heads of State.
Kenyatta who has been the most popular Twitter personality in Kenya
based on the number of followers, was following more than 140 people but
his following has suddenly shrinked.
The President has only retained United States President Barrack Obama, François Hollande of France, Indian Prime Minister Narendra Modi and Japan's Abe Shinzo.
LAYIII
1.MCHEPUKO LAMI: Huu ni ule ambao hauombi pesa, katulia hana mapepe, uwe naye au usiwe naye maisha yake yanaendelea tu.
2. MCHEPUKO VUMBI: Huu ni ule wa vibomu!! mara ooohhh sina pesa, naomba
vocha, sijui simu imekufa, oooh mara nipo saluni nadaiwa elf thelathin,
naomba nauli.....n.k! Na hii ndio noma maana njia kuu lazima washtuke
mana mchepuko vumbi unachafua na unasumbua full time.
LAYIII
MUME wa mwanamke anayedaiwa kumkamata ugoni Askofu Dk Alex Malasusa wa
Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKK) Dayosisi ya Mashariki na
Pwani, (DMP) anatafuta watoto waliotoroshwa kwa maelekezo ya Malasusa na
Jeshi la Polisi, anandika Josephat Isango.
Akizungumza baada ya kuachiwa huru kutoka polisi kwa tuhuma za
kushambulia, amesema watoto wake walichukuliwa na raia mmoja mjerumani
aliyeolewa na mtanzania, anaitwa Caroline Shedafa.
Caroline Shedafa ametuhumiwa kuwa ametumia mwanya wa malalamiko ya
Mwakilima na Malasusa kwa sababu ya urafiki alifanikiwa kuwatorosha
watoto hao na kwamba ana mpango wa kuwasafirisha kwenda nje ya nchi
wakati wowote.
LAYIII
Watu watatu akiwemo raia wa Kenya wanashikiliwa na jeshi la polisi
mkoani Kilimanjaro baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya
Mirungi na Bangi kilo 54 na misokoto ya Bangi 4,500 ikisafirishwa kutoka
nchini Kenya kwenda mkoani Arusha.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Bw.Wilbrod Mutafungwa amesema
watuhumiwa hao wamekamatwa katika maeneo ya njia panda Himo wilaya ya
Moshi na Sanya juu wilaya ya Siha wakiwa wameficha madawa hayo ya
kulevya kwenye miili yao kuanzia maeneo ya tumboni hadi
LAYIII April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo
kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es
salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa
Kigoma Mjini Zitto Kabwe amempongeza Rais John Magufuli kwa kuanza katika eneo la ufisadi ambalo ni muhimu sana ambalo anasema ni msingi mkubwa wa kuanzishwa chama chao.
LAYIII
Msanii wa Bongo Flava Judith Wambura maarufu kama Lady JayDee ameweka
hadharani maana ya ngoma yake mpya inayotesa mtaani kwa sasa kwa jina la
NdiNdiNdi.
Akiitambulisha video ya wimbo huo kwa mara ya kwanza ndani ya FNL ya
EATV Lady JayDee amesema kwamba maana ya wimbo huo ni ‘The Ndi Mimi ni
kitu Tori wewe si kitu’ ili kuleta fleva
LAYIII Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz ameoneshwa kustushwa kwake na
taarifa za kifo cha mwanamuziki mwenye asili ya Congo Papa Wemba, huku
akielezea jinsi walivyokutana siku chache zilizopita na kufanya naye
collabo.
Kwenye ukurasa wake wa Facebook Diamond ameelezea huzuni hiyo, huku
akitoa taarifa kuwa kulikuwa na mipango mingi ya wao kufanya kazi,
lakini mauti yameshafuta mipango hiyo.
LAYIII
Wiki iliyopita zilianza kusikika taarifa mbalimbali kuhusu kuhukumiwa
kwa mpenzi wa zamani na mama mtoto wa msanii Nay wa Mitego aliyehukumiwa
kwenda jela miaka miwili jijini Mwanza.
Pamoja na taarifa zote hizo kutoka hakukuwa na taarifa za kina
kueleza ni nini hasa kilitokea mahakamani mpaka akahukumiwa jela miaka
miwili ila taarifa za awali zilidai kwamba
LAYIII BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA (HEMORRHOIDS)
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani au nnje
ya haja kubwa wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka /kuteleza
na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kinyama au
uvimbe
Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita hemorrhoids ilhali katika lugha ya kingereza unajulikana kama piles,
April 25
2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi John Kijazi ambayo imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania John Pombe Magufuliamemteua Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto nchini.
Kamishna
wa Polisi Andengenye anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhandisi Pius
Makuru
Seneta mmoja wa zamani wa Marekani, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 90, ametangaza kwamba atamuoa mwanamume wa umri wa miaka 40.
Wawili hao watafunga ndoa mwishoni mwa mwezi huu.
Harris Wofford, aliyehudumu katika utawala wa Rais J F Kennedy kama msaidizi maalum aliyehusika na masuala ya haki za raia, aliachwa akiwa mjane baada ya mkewe Clare kufariki kutokana na saratani ya damu miaka 20 iliyopita.
Walikuwa wameishi katika maisha ya ndoa kwa miaka 48.
Akiandika katika gazeti la New York Times, Bw Wofford amesema anajihisi mwenye bahati sana kuishi katika enzi ambazo Mahakama ya Juu Marekani imetambua kwamba “ndoa haitegemeu maumbile ya mtu kijinsia, uamuzi au ndoto za mtu.”
“Msingi wake ni upendo.”
Mwanamume atakayeolewa naye ametambuliwa kama Matthew Charlton.
Wofford alihudumu wakati mmoja kama seneta wa chama cha Democratic akiwakilisha jimbo la Pennsylvania.
Aidha, alihudumu kama mshauri wa Dkt Martin Luther King Jr.
"Mnamo Aprili 30, katika umri wa miaka 90 na 40, tutaunganisha mikono yetu, tukiapa kuunganizhwa pamoja (kwenye ndoa): kuwa pamoja na kuishi pamoja, kwa mema na kwa mabaya, kwa utajiri na umaskini, katika maradhi na katika afya bora, kupenda na kuenzi, tangu kifo kitutenganishe," amehitimisha Wofford katika makala yake iliyochapishwa katika gazeti la New York Times Jumapili
Aliyekuwa mchezaji miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna amefariki akiwa na umri wa miaka 45.
Meneja wake amethibitisha habari hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter.
''Ni masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi sote tuliompenda.
Chyna alipatikana amefariki nyumbani kwake katika ufukwe wa bahari wa Redondo,mjini California,baada ya kurudi nyumbani kutoka Japan.
LAYIII
Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa na wanawake wenye makalio makubwa. kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani, Lakini mara nyingi hawadumu kwenye mahusiano kwani Wanaume wengi ambao hawana mapenzi ya kweli huwa wanataka kuonja tu na mara nyingi wanakuta kile ambacho hakutegemea hivyo kukimbia...na kumwacha mwanamke anaumia....Takwimu zinaonyesha wanawake wanene wanaongoza kuumizwa na wenza wao kulilo vipotaable...
LAYIII
Mwanamuziki nguli wa Congo Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba maarufu kama Papa Wemba amefariki dunia huko Abidjan, Ivory Coast, usiku wa kuamkia leo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marehemu Papa Wemba amefia hospitali alikokimbizwa mara baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati akiwa katika onesho jukwaani.